Seriously Chuchu maji ya kimwagika? Kwani hujui mtoto akizaliwa nje ya ndoa ni WA MAMA?
@Teddy-fq5oc Жыл бұрын
Eti Afungi rey mkristo...kwani wakristo atufungi aujui hichi kipindi ata aujui ni cha kwa resma
@rubbymusa1971 Жыл бұрын
Natamani kujua kwa wakristo kufunga ni lazima?
@nancyg8664 Жыл бұрын
@@rubbymusa1971 sio lazima af kwa uelewa wangu kufunga sio lazima chakula,ko kipind cha kwarezma tunaaswa kutenda yaliyo mema na kutoa sadaka sana na kusaidia waitaji.
@safiahassan6121 Жыл бұрын
Kwaresma ni wakatoriki tu si wakristo wote
@fatfat9093 Жыл бұрын
Mungu akuongoze namsimamo huohuo ddngu
@brandycrescent1208 Жыл бұрын
Wakristu tunafunga na huu ni mwezi wa mfungo wa kwaresma
@jacqueli18 Жыл бұрын
Yaa, yaaaa ivo
@salmaabdu50119 ай бұрын
Wacha thambi huyo ni mtoto wako mama unachukuwa jukumu kwa mungu
@fatumamwalimu5765 Жыл бұрын
Wasanii wengi hovyo kabisa, kuna siku ulihojiwa ukasema Roy amesha silimu!!!
@dullaseif8742 Жыл бұрын
Eti ntafanyaje sas,,yan wazalishwa tu hadi watoto watatu wakt hamjaoana na wajua pia uliyenae hajakubali kuwa katka dini yko...aisee uxur wa sura lkn boggas
@salimakuyela7813 Жыл бұрын
Msanii mzima unasema maji yakisha zoleka hayamwagiki🤣🤣🤣🤣
@judithkatabaro3294 Жыл бұрын
Ushasema msanii
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
Hahaha
@estermahenge-ks3dr Жыл бұрын
nae ni binadam😂
@speciosermusika2009 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mwajumachao9151 Жыл бұрын
Hii soon tutaikuta tiktok 😂😂😂😂😂😂
@jworld1480 Жыл бұрын
why yeye hataki abadilishe dini anamtaka ray peke yake abadilishe na yeye ?