RAY KIGOSI AMJIBU CHUCHU HANS/NIKIKAA KARIBU NA WANAWAKE NA VIMBAVIMBA/ANAPENDA YEYE KULIA

  Рет қаралды 130,208

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

#wasafi #refresh

Пікірлер: 235
@zennakailo8106
@zennakailo8106 3 жыл бұрын
Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
@zuhrajafari7006
@zuhrajafari7006 3 жыл бұрын
Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia... Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane
@henriettenkuba7078
@henriettenkuba7078 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@sabringwal3079
@sabringwal3079 3 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 3 жыл бұрын
😂😂mi limenichekesha sana
@jenfan8781
@jenfan8781 3 жыл бұрын
Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana
@monicamwanjisi693
@monicamwanjisi693 3 жыл бұрын
Muosha huoshwa
@sifathabit4969
@sifathabit4969 3 жыл бұрын
Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana
@wemaomarywema6852
@wemaomarywema6852 3 жыл бұрын
Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz
@wabaremasandiko1024
@wabaremasandiko1024 3 жыл бұрын
Safi umejibu kiume bro!!
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 3 жыл бұрын
Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo
@stellandege5594
@stellandege5594 3 жыл бұрын
Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 жыл бұрын
Kabisa
@shufaaabdulla4961
@shufaaabdulla4961 3 жыл бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 жыл бұрын
Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu
@bakarymray4288
@bakarymray4288 3 жыл бұрын
ray baba una teseka sana
@mariabora1358
@mariabora1358 3 жыл бұрын
Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune
@jumaradhm3926
@jumaradhm3926 3 жыл бұрын
Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???
@chachabeauty9780
@chachabeauty9780 3 жыл бұрын
😂😂😂
@ashuraalijma6659
@ashuraalijma6659 3 жыл бұрын
Hahahaha
@sikudhanjuma3987
@sikudhanjuma3987 3 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa mbvu zngu
@elizabethlizy2731
@elizabethlizy2731 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@farhatrashid2063
@farhatrashid2063 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣umeona eeee
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 3 жыл бұрын
Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 3 жыл бұрын
Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 3 жыл бұрын
Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 жыл бұрын
Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.
@jokhasuley3661
@jokhasuley3661 3 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 3 жыл бұрын
Jokha Suley weee🤣🤣😂😂🤣🤣
@mwanaidimzeeonar3252
@mwanaidimzeeonar3252 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@fatumaabdallah7498
@fatumaabdallah7498 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bifezadofra4453
@bifezadofra4453 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maimamood7033
@maimamood7033 3 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaa
@dottnatta310
@dottnatta310 3 жыл бұрын
Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️
@OmanOman-sm6dv
@OmanOman-sm6dv 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@salamamsusa199
@salamamsusa199 3 жыл бұрын
Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥
@ashaally6662
@ashaally6662 3 жыл бұрын
Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂
@modricnoma3686
@modricnoma3686 3 жыл бұрын
Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 3 жыл бұрын
😀😀😀
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
ujuwe huyo Ray ni mcheza cinéma kwa migeuzo humuwezi...
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 жыл бұрын
Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani
@stellandege5594
@stellandege5594 3 жыл бұрын
Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee
@merveillekasai8936
@merveillekasai8936 3 жыл бұрын
eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey
@hamidsaid2572
@hamidsaid2572 3 жыл бұрын
Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!
@janenana5891
@janenana5891 3 жыл бұрын
Nkweli kabisa
@lupandesimukindje8170
@lupandesimukindje8170 3 жыл бұрын
Bila shaka ndugu yangu mtangazaji ovyo sana
@sumayahfathi9413
@sumayahfathi9413 3 жыл бұрын
Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma
@ashazubere3837
@ashazubere3837 3 жыл бұрын
Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhaphilmon4436
@salhaphilmon4436 3 жыл бұрын
Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like
@FatmaAli-oy7yu
@FatmaAli-oy7yu 3 жыл бұрын
Nana anaonesha anapenda kudanga
@vivianlucas6389
@vivianlucas6389 3 жыл бұрын
Sanaa
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
Danga mdogo anakuja kuja kuja
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 3 жыл бұрын
Wajinaaa!
@teresiamwende8606
@teresiamwende8606 3 жыл бұрын
Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka
@davejoe5949
@davejoe5949 3 жыл бұрын
Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂
@fatmaamran1335
@fatmaamran1335 3 жыл бұрын
Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀
@deborasalum1015
@deborasalum1015 3 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey
@tatuheke1483
@tatuheke1483 2 жыл бұрын
Natamani kuigiza na wew
@esterkimario1126
@esterkimario1126 3 жыл бұрын
safi ray labda anapenda kulia
@natalyaneyzar2093
@natalyaneyzar2093 3 жыл бұрын
Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 3 жыл бұрын
Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Duh! Boss lady Tena??!
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 3 жыл бұрын
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
@leymundjr5011
@leymundjr5011 3 жыл бұрын
Ooh
@sarahsimon8060
@sarahsimon8060 3 жыл бұрын
Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Ray uko sawa
@luckyrasulyrasuly9823
@luckyrasulyrasuly9823 3 жыл бұрын
Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji
@chumemarehema8328
@chumemarehema8328 3 жыл бұрын
Aliacha kunywa maji mengi na zoezi😂
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 3 жыл бұрын
Eti anapenda kuliya😂😂😂
@lailamohammed320
@lailamohammed320 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 3 жыл бұрын
Kumbe umesikia
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 жыл бұрын
HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆
@fatmamansour2369
@fatmamansour2369 3 жыл бұрын
Wamempata show siku hizi watangazaji Wa bongo kuvaa shungi wanaboa
@ashourahsaleh8958
@ashourahsaleh8958 3 жыл бұрын
Huyu ndo zake ushungi sjui anann
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
ehéee ndo wote hawo wa Juma Lokole 😂😂😂
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
Hii ni for security reasons
@shakylahamad8326
@shakylahamad8326 3 жыл бұрын
😁😁😁
@rehemaahmed4804
@rehemaahmed4804 3 жыл бұрын
watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka
@davejoe5949
@davejoe5949 3 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji😂😂😂😘
@hussenyassin3499
@hussenyassin3499 3 жыл бұрын
Nakubal xn
@daisyajanga325
@daisyajanga325 3 жыл бұрын
Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!
@daisyajanga325
@daisyajanga325 3 жыл бұрын
@Change Mindset sure
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu
@danneismail5442
@danneismail5442 3 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
@@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁
@habibatyntosso1436
@habibatyntosso1436 3 жыл бұрын
Yan rey jinsi anavoongea na anavoigiza hamna utofauti 😂
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 3 жыл бұрын
Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA
@lightnessdominick3947
@lightnessdominick3947 3 жыл бұрын
Mmmh
@johnco8756
@johnco8756 3 жыл бұрын
Savage 😂😂
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 3 жыл бұрын
Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂
@deboss5935
@deboss5935 3 жыл бұрын
Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂
@zigespagogba8849
@zigespagogba8849 3 жыл бұрын
RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo? Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀
@danisrael8358
@danisrael8358 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@danisrael8358
@danisrael8358 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@salmaalbarwani2618
@salmaalbarwani2618 3 жыл бұрын
Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana
@volo-music2263
@volo-music2263 3 жыл бұрын
this journalist hawezi kabisa
@emanuepeter765
@emanuepeter765 3 жыл бұрын
Nampenda rey baba tandi
@twalib09
@twalib09 3 жыл бұрын
Aaaliyah mwaaahest
@shufaiyammohd5623
@shufaiyammohd5623 3 жыл бұрын
Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Kabisa alilinga ngoja nae aone
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 3 жыл бұрын
eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 3 жыл бұрын
Rày umezungmza vizur
@itshaluastyle
@itshaluastyle 3 жыл бұрын
Nyie mapenzi hatar AFRICAN FASHION mishonoya vitenge MAHARUSI nk kzfaq.info/get/bejne/qt58nLGKv5q9lHk.html
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 3 жыл бұрын
Ray kweli huna sikeñdo mbaya
@pamelaclaud4520
@pamelaclaud4520 3 жыл бұрын
Hii tam🤣🤣
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 3 жыл бұрын
Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂
@winfridamwamban1078
@winfridamwamban1078 3 жыл бұрын
Aaaaa alegi hiyoo veeeep
@janewashe7276
@janewashe7276 3 жыл бұрын
Ray uliacha kunywa maji mengi?
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
kaacha naon
@janewashe7276
@janewashe7276 3 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 😂😂😂😂😂😂
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
@@janewashe7276 ndio my ss tusemej
@fatmaomaomar1514
@fatmaomaomar1514 3 жыл бұрын
Umeona we pia🤣🤣🤣🤣
@janewashe7276
@janewashe7276 3 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 shidaaaaaa😂😂😂
@davejoe5949
@davejoe5949 3 жыл бұрын
I never New Ray is super Ego 😳
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 3 жыл бұрын
Exactly
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Fact
@nehanasri4531
@nehanasri4531 3 жыл бұрын
😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!
@hawasandale5595
@hawasandale5595 3 жыл бұрын
Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo
@tiffatzhemedy9485
@tiffatzhemedy9485 3 жыл бұрын
Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo
@aamyaamy8504
@aamyaamy8504 3 жыл бұрын
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Udaku!!!
@katushaberinah3376
@katushaberinah3376 2 жыл бұрын
Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄
@neemathomas2008
@neemathomas2008 3 жыл бұрын
Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 3 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣maisha ya nini ray????
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 3 жыл бұрын
Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Huyo ndo Kigosi bhana.
@alimohd1240
@alimohd1240 3 жыл бұрын
Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 3 жыл бұрын
Huyu nana mbna km mdangaji
@bundukitv1322
@bundukitv1322 3 жыл бұрын
Simulizi ya kusisimua. " mwenzangu Alichomwa kisu na kufa mbele yangu / Nilikaa jela miaka mitatu👇 kzfaq.info/get/bejne/hNKil5immbLWfok.html
@khatibkhatib2249
@khatibkhatib2249 3 жыл бұрын
Hili sengee saanaa nalo
@doi255
@doi255 3 жыл бұрын
Malengelenge😆
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 3 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 3 жыл бұрын
😀😀ushangingo😂😂😂😂
@fatmamakalo3068
@fatmamakalo3068 3 жыл бұрын
Mahinda nayy alilia sana zamu yko
@lizychris4776
@lizychris4776 3 жыл бұрын
Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea
@eldrednkya1458
@eldrednkya1458 3 жыл бұрын
Play boy niyule mwanamke anaye cheza cheza na wanawake
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 жыл бұрын
UNALIA NINI CHICHU KWANI AMEKUOA WANAWAKE BADILIKENI MNAWEZA MBONA BILA MWANAUME
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 жыл бұрын
Tena sana. Tunaweza sana,
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 3 жыл бұрын
kama sio umalaya ni nini 🙄🤔, halafu mtoto wa kiarabu, hovyooo mchiiiiiii
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
nashangaaa
@queenwinnie256
@queenwinnie256 3 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 kulilia ona sasa huyo mwanaume sasa anavyojibu,
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
@@queenwinnie256 yan anajibu utumbo2
@beatycosta9306
@beatycosta9306 3 жыл бұрын
Mtangazaji mbona kama huwa unackitika sana hadi kichwa unainamisha nn tatizo?
@ashrifaabdalla3868
@ashrifaabdalla3868 3 жыл бұрын
Huna ushangingi wala ushangigo
@sisterttrouble4331
@sisterttrouble4331 3 жыл бұрын
Ray munamsingizia sio play boy
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 3 жыл бұрын
Yaani chuchu kazi unayo, uyu ray atakuliza mpaka macho yafumbe, anavyo ongea tu unaelewa
@esterbidogo635
@esterbidogo635 3 жыл бұрын
Wanaume bhn mmhh
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 жыл бұрын
Kwa majibu ya Chuchu tu inaonekana kabisa hamjali Chuchu .
@sarahogama9540
@sarahogama9540 3 жыл бұрын
Alafu hili jomba halijui kudanganya haahaa laonekana tu lapenda madem ata venye laongea haahaa
@Bam268
@Bam268 3 жыл бұрын
Huyu mtanzaji choko?
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 жыл бұрын
Nanyinyi watu hajasema ndo kitu anachokipitiya ila alisema ni expérience aliyo ipata kwa watu wa karibu walipokuja kumpa tatizo zao
@maulakilumile2252
@maulakilumile2252 3 жыл бұрын
Eti nikikaa na wanawake navimbavimba
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 59 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 107 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
Tazama Wakali wa Michano Freestyle Bato   Kati Ya Toxic Fuvu Na Cado Kitengo
4:08
Pakistan Kona Mbaya Tv
Рет қаралды 4,6 М.
DHULMA FULL MOVIE PART 2 (OFFICIAL H.D)
58:31
Tamthilia za pwani official
Рет қаралды 986 М.
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 28 М.
Mkasi - SO3E06 with Ray
28:19
MkasiTV
Рет қаралды 260 М.
Sigma Girl Past #sigma #funny #comedy
0:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
ТГК: ЛОГОВО FRIENDS #россия #чатрулетка
0:21
АлексДан
Рет қаралды 8 МЛН
🚓КОПЫ явно такого НЕ ЖДАЛИ🫣#shorts
0:19