Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
@zuhrajafari70063 жыл бұрын
Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia... Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane
@henriettenkuba70783 жыл бұрын
😀😀😀😀
@sabringwal30793 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@hassanhancha14133 жыл бұрын
😂😂mi limenichekesha sana
@jenfan87813 жыл бұрын
Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana
@monicamwanjisi6933 жыл бұрын
Muosha huoshwa
@sifathabit49693 жыл бұрын
Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana
@wemaomarywema68523 жыл бұрын
Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz
@wabaremasandiko10243 жыл бұрын
Safi umejibu kiume bro!!
@khadijaomar27233 жыл бұрын
Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo
@stellandege55943 жыл бұрын
Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache
@divinebernard26243 жыл бұрын
Kabisa
@shufaaabdulla49613 жыл бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
@D-Man.B-Free3 жыл бұрын
Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu
@bakarymray42883 жыл бұрын
ray baba una teseka sana
@mariabora13583 жыл бұрын
Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune
@jumaradhm39263 жыл бұрын
Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???
@chachabeauty97803 жыл бұрын
😂😂😂
@ashuraalijma66593 жыл бұрын
Hahahaha
@sikudhanjuma39873 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa mbvu zngu
@elizabethlizy27313 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@farhatrashid20633 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣umeona eeee
@ukhtyrayyan78843 жыл бұрын
Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi
@tausingomeni25683 жыл бұрын
Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba
@celinamgundoi56013 жыл бұрын
Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.
@jokhasuley36613 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣
@michelinemapendo66523 жыл бұрын
Jokha Suley weee🤣🤣😂😂🤣🤣
@mwanaidimzeeonar32523 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@fatumaabdallah74983 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bifezadofra44533 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maimamood70333 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaa
@dottnatta3103 жыл бұрын
Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃♀️🏃♀️
@OmanOman-sm6dv3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@salamamsusa1993 жыл бұрын
Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥
@ashaally66623 жыл бұрын
Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂
@modricnoma36863 жыл бұрын
Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣
@khadijaomar27233 жыл бұрын
😀😀😀
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
ujuwe huyo Ray ni mcheza cinéma kwa migeuzo humuwezi...
@Queen-be1uf3 жыл бұрын
Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani
@stellandege55943 жыл бұрын
Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee
@merveillekasai89363 жыл бұрын
eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray
@aminahhuawei11333 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey
@hamidsaid25723 жыл бұрын
Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!
@janenana58913 жыл бұрын
Nkweli kabisa
@lupandesimukindje81703 жыл бұрын
Bila shaka ndugu yangu mtangazaji ovyo sana
@sumayahfathi94133 жыл бұрын
Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma
@ashazubere38373 жыл бұрын
Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhaphilmon44363 жыл бұрын
Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like
@FatmaAli-oy7yu3 жыл бұрын
Nana anaonesha anapenda kudanga
@vivianlucas63893 жыл бұрын
Sanaa
@veeJesus3 жыл бұрын
Danga mdogo anakuja kuja kuja
@fatmazullu49333 жыл бұрын
Wajinaaa!
@teresiamwende86063 жыл бұрын
Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka
@davejoe59493 жыл бұрын
Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂
@fatmaamran13353 жыл бұрын
Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀
@deborasalum10153 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey
@tatuheke14832 жыл бұрын
Natamani kuigiza na wew
@esterkimario11263 жыл бұрын
safi ray labda anapenda kulia
@natalyaneyzar20933 жыл бұрын
Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana
@Queen-be1uf3 жыл бұрын
Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Duh! Boss lady Tena??!
@sumatraveler19573 жыл бұрын
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
@leymundjr50113 жыл бұрын
Ooh
@sarahsimon80603 жыл бұрын
Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Ray uko sawa
@luckyrasulyrasuly98233 жыл бұрын
Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji
@chumemarehema83283 жыл бұрын
Aliacha kunywa maji mengi na zoezi😂
@zabibunduwimana46123 жыл бұрын
Eti anapenda kuliya😂😂😂
@lailamohammed3203 жыл бұрын
🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo
@salhamrishoaish92923 жыл бұрын
Kumbe umesikia
@bimumaulid11713 жыл бұрын
HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆
@fatmamansour23693 жыл бұрын
Wamempata show siku hizi watangazaji Wa bongo kuvaa shungi wanaboa
@ashourahsaleh89583 жыл бұрын
Huyu ndo zake ushungi sjui anann
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
ehéee ndo wote hawo wa Juma Lokole 😂😂😂
@veeJesus3 жыл бұрын
Hii ni for security reasons
@shakylahamad83263 жыл бұрын
😁😁😁
@rehemaahmed48043 жыл бұрын
watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka
@davejoe59493 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji😂😂😂😘
@hussenyassin34993 жыл бұрын
Nakubal xn
@daisyajanga3253 жыл бұрын
Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!
@daisyajanga3253 жыл бұрын
@Change Mindset sure
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu
@danneismail54423 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
@@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu
@husseinchea55243 жыл бұрын
Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁
@habibatyntosso14363 жыл бұрын
Yan rey jinsi anavoongea na anavoigiza hamna utofauti 😂
@liciouscharles33703 жыл бұрын
Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA
@lightnessdominick39473 жыл бұрын
Mmmh
@johnco87563 жыл бұрын
Savage 😂😂
@beautywithnay59743 жыл бұрын
Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂
@deboss59353 жыл бұрын
Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂
@zigespagogba88493 жыл бұрын
RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo? Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀
@danisrael83583 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@danisrael83583 жыл бұрын
😂😂😂😂
@salmaalbarwani26183 жыл бұрын
Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana
@volo-music22633 жыл бұрын
this journalist hawezi kabisa
@emanuepeter7653 жыл бұрын
Nampenda rey baba tandi
@twalib093 жыл бұрын
Aaaliyah mwaaahest
@shufaiyammohd56233 жыл бұрын
Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye
@rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын
Kabisa alilinga ngoja nae aone
@januarymwingwa29623 жыл бұрын
eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆
@sheysarahnjeno93263 жыл бұрын
Rày umezungmza vizur
@itshaluastyle3 жыл бұрын
Nyie mapenzi hatar AFRICAN FASHION mishonoya vitenge MAHARUSI nk kzfaq.info/get/bejne/qt58nLGKv5q9lHk.html
@sheysarahnjeno93263 жыл бұрын
Ray kweli huna sikeñdo mbaya
@pamelaclaud45203 жыл бұрын
Hii tam🤣🤣
@emmyyahya83583 жыл бұрын
Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂
@winfridamwamban10783 жыл бұрын
Aaaaa alegi hiyoo veeeep
@janewashe72763 жыл бұрын
Ray uliacha kunywa maji mengi?
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
kaacha naon
@janewashe72763 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 😂😂😂😂😂😂
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
@@janewashe7276 ndio my ss tusemej
@fatmaomaomar15143 жыл бұрын
Umeona we pia🤣🤣🤣🤣
@janewashe72763 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 shidaaaaaa😂😂😂
@davejoe59493 жыл бұрын
I never New Ray is super Ego 😳
@fatumachagudadui31383 жыл бұрын
Exactly
@cestlaviecestlavie40733 жыл бұрын
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Fact
@nehanasri45313 жыл бұрын
😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!
@hawasandale55953 жыл бұрын
Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo
@tiffatzhemedy94853 жыл бұрын
Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo
@aamyaamy85043 жыл бұрын
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Udaku!!!
@katushaberinah33762 жыл бұрын
Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄
@neemathomas20083 жыл бұрын
Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo
@liciouscharles33703 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣maisha ya nini ray????
@fauziakitenge80613 жыл бұрын
Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Huyo ndo Kigosi bhana.
@alimohd12403 жыл бұрын
Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy
@mariasixmund79643 жыл бұрын
Huyu nana mbna km mdangaji
@bundukitv13223 жыл бұрын
Simulizi ya kusisimua. " mwenzangu Alichomwa kisu na kufa mbele yangu / Nilikaa jela miaka mitatu👇 kzfaq.info/get/bejne/hNKil5immbLWfok.html
@khatibkhatib22493 жыл бұрын
Hili sengee saanaa nalo
@doi2553 жыл бұрын
Malengelenge😆
@maxlattinokiki81053 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!
@junuferjinu14443 жыл бұрын
😀😀ushangingo😂😂😂😂
@fatmamakalo30683 жыл бұрын
Mahinda nayy alilia sana zamu yko
@lizychris47763 жыл бұрын
Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea
@eldrednkya14583 жыл бұрын
Play boy niyule mwanamke anaye cheza cheza na wanawake