CHUCHUHANS:AFICHUA SIRI NINA MTOTO WAKIKE MZURI KULIKO MIMI/SITAKI KUMUHARIBU/ANANIUMIZA/KUNUNUADUKA

  Рет қаралды 125,797

Carrymastory

Carrymastory

3 жыл бұрын

Tumepiga story na Chuchu Hans.

Пікірлер: 114
@madamloveness7274
@madamloveness7274 3 жыл бұрын
Ambao tulikuwa tunajua Ana mtoto mmoja na leo tumejua wako 3 tujuane
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
Nipo
@asiahamadi8224
@asiahamadi8224 3 жыл бұрын
Mi nilijua ana wawili kumbe watatu
@tiger-zs2sm
@tiger-zs2sm 3 жыл бұрын
Nimekuwa wakwanza naomben like zenu
@zuhurajuma9122
@zuhurajuma9122 3 жыл бұрын
Nimekuwa wa pili naombeni coment zenu😒😒😆
@ashoasho6542
@ashoasho6542 3 жыл бұрын
Chuchu daima nakupenda wew bidada
@aishamwinyi5048
@aishamwinyi5048 3 жыл бұрын
Tujuane watu wa Tanga nakupenda sana home💕
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
Hata mm
@aishamwinyi5048
@aishamwinyi5048 3 жыл бұрын
Nimefurah kukujua my dear
@aishamwinyi5048
@aishamwinyi5048 3 жыл бұрын
Nimefurah kukujua my dear
@queenaisha5773
@queenaisha5773 3 жыл бұрын
Ht mm
@fatoomefathima5307
@fatoomefathima5307 3 жыл бұрын
Waooooow tupo wengi
@fatmahamisikipindura6640
@fatmahamisikipindura6640 3 жыл бұрын
Sister Chuchu Mimi naitaji ivyo vikoti ulichovaa ww Niko Dar jmn
@faridaiddi104
@faridaiddi104 3 жыл бұрын
Uyu mdada huwa nampenda hatariiii 😋😋😋
@salmaadam4337
@salmaadam4337 3 жыл бұрын
Iiiiii acheni roho mbaya nyie chuchu mzuri jmn tena mzuri mashallah
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
Kweli Hata Madenda Yamenitoka Sijuwi Atanikubali???
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
@@salimsaid7200 😁😅usijali atakukubal
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@happypa2027 🥰🥰🥰👍👍👍
@salomisalomi1828
@salomisalomi1828 3 жыл бұрын
Hongera sn chuchu hans mm nilijuwa una mtt 1 tu ambae ulizaa na ley
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 3 жыл бұрын
Nakupenda chuchu😍
@blasidajulius2240
@blasidajulius2240 3 жыл бұрын
Hongera sana na hela unayo mpnz wengine tukiandika mpk vinafutika
@montana3586
@montana3586 3 жыл бұрын
Hongera chch
@mariamdaudi2315
@mariamdaudi2315 3 жыл бұрын
Hafu mwisho wa siku anakuja kua diamond akimjari chunchu watu wataanza kufunua midomo yao hawajuwi saivi chunchu anahangaika kiasi gani
@NasraKassimu
@NasraKassimu 15 күн бұрын
Jaman farhya nmesoma nae ilala Islamic mcheshi mashallah
@bemeradaniel8402
@bemeradaniel8402 3 жыл бұрын
This is my favorite actres
@xkingx8041
@xkingx8041 3 жыл бұрын
Ulijiendea tanga mwaya!! Hongera saaana
@samilaayomba4203
@samilaayomba4203 3 жыл бұрын
Hongela sana chuchu hasi umefaya vizuli sana kuwekeza kwetu
@amurisabiti7037
@amurisabiti7037 2 жыл бұрын
Kinacho niuma kwenu watoto wa kiislam kuacha dini na kufuata mila nyingine poleni sana
@gladykalonge4540
@gladykalonge4540 3 жыл бұрын
Ooh my jamn mtt wa 4m5 jamn nimependa
@annamwakibinga3190
@annamwakibinga3190 3 жыл бұрын
Hongera sana
@roseeliasi4339
@roseeliasi4339 3 жыл бұрын
We chuchu una mtoto wa form 5 ulimzaa mwaka gani?? 🤔
@mwajabuhamis6234
@mwajabuhamis6234 3 жыл бұрын
Hongera Sana kipenzi Ni vzr Sana kuwekeza nyumbani
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Safi sana
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 3 жыл бұрын
Dada wa busara zake nakupenda buree
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 3 жыл бұрын
Hongera
@ashoasho6542
@ashoasho6542 3 жыл бұрын
Mashallah
@gressluhimbo1215
@gressluhimbo1215 3 жыл бұрын
Woow kumbe unawatto wakubwa
@ashurafundi2873
@ashurafundi2873 3 жыл бұрын
Chuchu nakupenda sana
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 2 жыл бұрын
Tanga Raha 💓
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Chuchu kanenepa nilikuwa nampendaga
@mariamdaudi2315
@mariamdaudi2315 3 жыл бұрын
Wanaume wanauzi mwacheni kabisa mama dangote ale raha mana kasota namtoyo wake hakuna mtu aliye msaidia
@joycenyakiha8121
@joycenyakiha8121 3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@kassimumaghembe924
@kassimumaghembe924 3 жыл бұрын
Awesome 👌
@tatuabdu1364
@tatuabdu1364 3 жыл бұрын
We mrembo saana
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 3 жыл бұрын
Nakupenda bureeee my dadaaaa
@asteer.mlungu5165
@asteer.mlungu5165 3 жыл бұрын
Ongera
@rabunabraimo914
@rabunabraimo914 3 жыл бұрын
Parabéns
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 3 жыл бұрын
Mtoto wangu ni msichana ni mzuri yaani ni mkali mimi pia ananipita nani kakwambia wewe mzuri??
@rhoycerenathus1118
@rhoycerenathus1118 3 жыл бұрын
😂😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Weee chuchu mzuri bwana asikwambie mtu
@tunumathew446
@tunumathew446 3 жыл бұрын
wivu uwooo
@anitaerasto5482
@anitaerasto5482 3 жыл бұрын
mzuri tu acha roho mbaya kwan mbaya mzur sana
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
Mimi Nimemwambia
@surujajwie4768
@surujajwie4768 3 жыл бұрын
Mashaallah hongera
@veronyanganda179
@veronyanganda179 Жыл бұрын
Eeh Mimi najua Mimi tu, kmbe tuko wengi.
@paulchacha1129
@paulchacha1129 3 жыл бұрын
Ok
@subraissiaka6440
@subraissiaka6440 3 жыл бұрын
Tumeingiliw ten namdudu mke waally anampend itakuwaje sevda
@aminaissa9756
@aminaissa9756 3 жыл бұрын
Nimekua wa tatu, ujinga mtupu. 😏😏😏
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 3 жыл бұрын
Jamani Rey kapoteza karembo kama ichi kweli mwenye macho daima anakua kipofu wa moyo
@mmn7480
@mmn7480 3 жыл бұрын
wameachana kwni
@asmahmusa3468
@asmahmusa3468 3 жыл бұрын
Watoto wa kiislamu lkn wamepoteza muelekeo mpaka inakuwa mtihani jamani, Allah atunusuru cc na vizazi vyetu maana......ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.
@khadjamhozya
@khadjamhozya Жыл бұрын
Munajifanya waisiramu kumbe hamuna rorote kwani amefanya zambi kujitafutia maisha au mbona wake na mabinti zenu Dada zenu wanajisitiri adi nekabu kumbe Maraya wachafu musiwe munajiosha turishawajua😂😂😂😂
@user-vj7in6to3g
@user-vj7in6to3g 2 ай бұрын
Kamaweye apo umekosalakusema kwanikutafutamaisha nimpaka uendekenyume nama amrishoyamungu?duniya tunapita ayomaisha ataendanayokwamungu
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 жыл бұрын
Wa tatu!
@rahelmasiga1503
@rahelmasiga1503 3 жыл бұрын
Huyo mtoto hajanza skuli na huo mnyoyo?
@mwanaidytaifa3329
@mwanaidytaifa3329 3 жыл бұрын
Nina wasiwasi na vunja bei 🤔
@ayoubshomary1116
@ayoubshomary1116 3 жыл бұрын
Clarice 👅
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 жыл бұрын
Watatu
@sherin3171
@sherin3171 3 жыл бұрын
So kuzaa nikawaida tu sio lazima uwe kwa ndoa🤔
@florarose1626
@florarose1626 3 жыл бұрын
Yeah ila nizambi
@safiaimran712
@safiaimran712 3 жыл бұрын
@@florarose1626 kabisa
@fahmiabdy
@fahmiabdy 3 жыл бұрын
Mpe hi Dada nimemiss Sana
@devothamasaki5513
@devothamasaki5513 3 жыл бұрын
Sioburewewe
@ashoasho6542
@ashoasho6542 3 жыл бұрын
Coz tanga moja.but Niko nje ya tz✍️
@azizayusuph6255
@azizayusuph6255 3 жыл бұрын
Haya sasa wababa mkiambiwa ukweli mnachukia
@tausisabuni6620
@tausisabuni6620 2 жыл бұрын
Arekiba
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 3 жыл бұрын
Kumbee uyuu Dada ni mkubwaaa aiseeee
@mariamselemani1366
@mariamselemani1366 Жыл бұрын
Kuza siyo ukubwa wewe
@sheilademama6104
@sheilademama6104 2 жыл бұрын
Nikija huko duka hilo mi mujeni walo
@anjelanyaulingo7314
@anjelanyaulingo7314 3 жыл бұрын
We ndy maraya una mme ukaenda kutembea na Ray uku uko ndan ya nyumba yake unaingiza mwanaume kwenye nyumba ya mmeo kisa yupo nje ya nchi
@estersosthenes8413
@estersosthenes8413 3 жыл бұрын
Acha zako ww au inakuuma nn,,,,,Kwan hyo ndie alkua wakwanza kwake unajua n sabab gan ilyopelekea hayooo wabongo bwana
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@fadhilaongezaongeza226 Apana Alikuwa Mlinzi Wa Ray Ka Amekatwa Mshahara 🤣🤣🤣🤣🤣
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
@@estersosthenes8413 kabis
@joharhamis855
@joharhamis855 3 жыл бұрын
Asiwe Frank vunja Bei 2 maana wanawake sisi
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Haha Johar bana fred😂
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ya, chuchu Hans nilisikia kusa Kwa ana watoto wengine kama wawil Sijui vile kabla hajazaa na Rey kipind kile nilikuwa nasikia alikuwa anakaa kalibu na uwanja wa ndege
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Napendaga hiyo biashara ya duka wasanii wengi wanaipenda. Yupo kama mimi napendaga tembea kwenye ndoto zangu na napangaga hivyo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ya wanasemaga pesa haikai
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ya, kumbe nimepatia ndio nilisema nilisikia hivyo alikuwa Ana, watoto wawil
@marryriwa2435
@marryriwa2435 3 жыл бұрын
Dada chuchu Naja uniuzie suti ya mwanangu ya ubarikio
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
Tanga Kwetu Nikija Ntakutafuta.
@devothamasaki5513
@devothamasaki5513 3 жыл бұрын
Unaujingasana unakuamrahisi kuelezamaishayakoivo
@hafidhali3020
@hafidhali3020 3 жыл бұрын
Kwani una uzuri gani? Unajidanganya
@irenepaul3110
@irenepaul3110 3 жыл бұрын
Nashagaa pia
@mariamibrahim3976
@mariamibrahim3976 3 жыл бұрын
Ndohapo wazur wanasemaga
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 3 жыл бұрын
Ww nae kila mtoto na baba yake
@iddylemu4654
@iddylemu4654 3 жыл бұрын
Tema mate chin hakuna anaependa itokee hvyo na akuna anaejua mbere jmn kuzaa kila mtoto na babake sio kwamba mwanamke maraya hpana ila tu ni changamoto zinatokea ikasema labda hyu kumbe mtu analake moyon
@benithaissa5582
@benithaissa5582 2 жыл бұрын
Kila mtoto anababa ake kumbe ndio msumbufu
@estherpeter2173
@estherpeter2173 2 жыл бұрын
Ssss
@fatimachafimchafim141
@fatimachafimchafim141 3 жыл бұрын
Hongera
@cosmasolilo9064
@cosmasolilo9064 3 жыл бұрын
Hongera
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 3 жыл бұрын
Masha allaah kumbe unawatoto wengine hongera😍😍
@mashakasayi4137
@mashakasayi4137 3 жыл бұрын
Hongera
@paulchacha1129
@paulchacha1129 3 жыл бұрын
Hongera sn mdda n mekupenda bule
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
And how are they not embarrassed?
0:19
Rinuella
Рет қаралды 27 МЛН
ПОХОДУ ОН БУДЕТ СИДЕТЬ ДОМА ДО СТАРОСТИ
0:18