Kwa mchujoo huu.. Ni kwamba kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kusema.
@irenemshiu54415 жыл бұрын
Nimependa sana somo kaka yangu...nitaitumia hiyo kanuni kuanzia Leo.barikiwa sana
@nelsonjonas73342 жыл бұрын
Point Man of God, maneno huwa nayaumiza Sanaa hasa mtu anaposema na kusambaa kwa Watu, You touch my heart.
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Watanzania wanapenda vitu vya onyo mfano walivyo sambaza skendo ya pastor gwagima
@rafaelmwanyila61343 жыл бұрын
Mwalimu joel,tafsiri ya vizuri na ubaya inategemea sana na mtu anavyolipokea jambo.hii unaweza kuilezeaje.
@hidayamotto72105 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka
@maseiafricano12502 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako mungu akubariki sana mwalimu. Unanipa elimu yahali ya juu sana... ata shuleni tulipo soma atukupata elimu unayo tufundisha Najifuza mingi kupitiya kwako asante sana tena sana 🙏mungu akubariki akupe maisha marefu ili uze kufundisha wengi.
@joemouly78775 жыл бұрын
Asante kaka
@lucymmole64353 жыл бұрын
Umekuza.msaada sana kwangu ubarikiwe sana joel
@naomyerasto13054 жыл бұрын
Mungu aendelee kukubaliki my kaka
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Shukrani kaka
@habibabora34044 жыл бұрын
Asante kaka umeeleweka
@thegirl14055 жыл бұрын
Masha Allah shukuraa sana brother somo zuri💕💕👌barikiwa sana 🙏🙏
@msleny67674 жыл бұрын
Wow, nilikosa the day you uploaded this but Nashukuru kuwa sehemu ya funzo zako kila siku♨️♨️
@funnyworldtz2 жыл бұрын
My life Teacher be blessed brother #SeeMeontheTop 🏔
@shabansalum60143 жыл бұрын
Thanks my Brother
@joshuakibona79125 жыл бұрын
Ahsante mwalimu
@zuhuraabdillah69415 жыл бұрын
tripple filter test i like hii bro. because it reduce wastage of time. biggest is protecting my mind forever with bad information
@danchibomnyama42953 жыл бұрын
Me nimeajiriwa nauza duka l nafaka ila silipwi kwa sas maan boss alinipa nafas yakusimamia duka lkn bahat mbaya likaingia hasara akaamua kunishusha niwe n simamiwa ila silipwi je ntafanyaj ili nitoke kwenye majanga hayo ili nitimize malengo yangu
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Mimi bado Niko huku though tuko 2022 but nawakaribia Tu polepole
@khadijajuma71425 жыл бұрын
Binadamu wengine wavivu wakufikiria aise,kuna ndugu yangu kulikua na kitu cha kweli ila si kizuri nilivyokisikia na kukiona nikajua nikimwambia itakua tatizo familia nzima nikaacha sikumwambia,Sasa yule aliesababisha hicho kitu akapinduka tena kwa ndugu yangu akampa habari ya uongo na si nzuri,na yeye hajafikiria akasambaza sumu familia zote 😁😁😁😁Sijui kama baadae alifikiria kama kabolonga au vip.Mpk sasa sijaongea nae. Ahsante kwa ujumbe mzuri,naendelea kujifunza kila siku.
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Pamoja sana Bro Ujumbe umefika vizuri nimeupokea hapa👍✌
@leticiampeka14885 жыл бұрын
Nice lesson...be blessed abundantly
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
think before you talk, ni heri kunyamaza wasomaji wenzangu, penda sana somo la huyu kaka NANAUKA,BE BLESSED
@bahatiaamani93205 жыл бұрын
Thanks Sir kwaushahuri wako mzuri may God bless you
@godrivercaaron815 жыл бұрын
Asante Sana brother,umenifungua fahamu Kwa upya,be blessed
@hafsahcletty59685 жыл бұрын
Shukran 🙏
@fidelismukandara9325 жыл бұрын
Thank u bro,, somo zurii sanaaa be blessed.
@elishazacharia67384 жыл бұрын
Yeah Kuna wakt nikizungumza Mambo baada ya muda najilahumu kwanamna moja au nyingine inaniasiri mim mwenyewe
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Hapo alikua amemkataliee!!wew Luna ubuyu mwingine kukaa nao unasumbua
@jerrywababawababa18163 жыл бұрын
Thank end god bless you for everything
@englengaipaul60005 жыл бұрын
Ahsante sana somo nzuri sana kiongoz
@zahramunir85965 жыл бұрын
True... God bless you.!
@richardvalson98685 жыл бұрын
Asante sana brother kwa somo zuri la maisha yetu ya kila siku
@jasminepeter75985 жыл бұрын
Kweli inaweza kuleta madhara makubwa sana
@cymone61595 жыл бұрын
Shukran mwl, Mungu akubarik Uwe na uzima ili tuendelee kuvuna mambo mazuri kwako
@egonkasiano78225 жыл бұрын
2 shukran
@jacksonkinange46055 жыл бұрын
Asante Kaka ni kweli Fikiri kabla ya kutenda
@sumiodilo11805 жыл бұрын
Great&powerful
@josephmagaluda52405 жыл бұрын
Asante sana joel somo zuri sana
@tatuyussuf75745 жыл бұрын
Ahsanteee...
@hamzalibingai32275 жыл бұрын
Ninakuelewa sana bro mungu akulinde na kila la shari na akuzidishie ulichopungukiwa asante kwa elimu nimejifunza mengi kutoka kwako ahsante
@mussadismass93063 жыл бұрын
Kwahapo itaniletea nizam nakusheshim fikr ubarikiw joel
@rahmahussein40195 жыл бұрын
Absolutely true .
@adelinaallex19413 жыл бұрын
Barikiwe kaka kwa elim nzuri
@abassjuma20522 жыл бұрын
Asante sana
@okokamfaume68885 жыл бұрын
Asante sana, Noted kaka Joel
@amanigeorge9886 Жыл бұрын
Hii Triple filter test.Nzuri sahii
@sleyoumkhamic92375 жыл бұрын
sure think twice♥
@noelmwikeve62555 жыл бұрын
Kwelii kabisaa coach
@abelbenedicto53925 жыл бұрын
Thanks Much Broo
@johnfubusa15985 жыл бұрын
Asante sana mwalimu kwa SoMo zuri pia umefunga kisikizo Cha juu Cha shati umependeza Sana
@ombenikisunga50595 жыл бұрын
Waoooo barikiwa kaka
@joshuakwelimoto64945 жыл бұрын
Ahsante Joeli nimekuelewa
@eddahhawa74714 жыл бұрын
Umepanda mbegu njema,,,,shukrani🙏🙏🙏🇹🇿
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Hii mada piaa imeshawah kusisitiziwa na spiritual speaker mmoja anaitwa Gaur Gopal Das yeye aliongelea tripple filter test ktk kuepuka umbea(gossip)kabla hujackiliza umbea unapaswa kumuuliza anaetaka kukuambia aya maswal kabla hujasikiliza..1:Is it true or false 2:Is it good or bad 3:Is it beneficial or not beneficial.. Kibongo bongo mtu kaja na ubuyu afu uanze kumuuliza ayo maswal kabla hajakuambia atakuona kama mtu flan hv unajifanya msomi na nini lakini kiuhalisia inaepusha sanaaaaa mambo yasiyo ya msingi na huzuia ubongo kutawaliwa na mambo yasiyo ya msingi..Asanteeee sn kaka Noel #seeyu@detop
@nathanmateow94555 жыл бұрын
asante rafiki n imepata picha kubwa na nimependa sana pale nilipoona kweli kuna watu wanaanzisha kitu ili tu wakupate na wakuharibie ulichonacho
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Safi kabisa
@godfreyjoseph59675 жыл бұрын
Mungu akubariki bro, I like
@alihassanhaiba69375 жыл бұрын
Ahsante hakika ww ni mwalimu kwetu
@mozasaid38695 жыл бұрын
Kweli kaka J
@keflentito80525 жыл бұрын
Asante kaka Joe
@immajuzo24405 жыл бұрын
Aaant kaka
@najmachami5475 жыл бұрын
Asante nimeipenda na nimejifunza pia
@winnyshayo88125 жыл бұрын
Barikiwa kaka Joel.
@mwajumamwishehe27435 жыл бұрын
Asante kaka👏👏👏👏👏🙏🙏
@simonpatilo75553 жыл бұрын
kabisa bro
@chachayohana16724 жыл бұрын
Nice
@neemamafie2875 жыл бұрын
barikiwa sana nimejifunza kitu
@muzdahomar6625 жыл бұрын
Asnt broo kwa mafunzo
@dnassehtz5 жыл бұрын
Kuna kitu nimejifunza hapa hakika siwezi rudia tena na lazina nitumie tripo filter test asante bro
@neemajacob26835 жыл бұрын
Good
@givensanga35245 жыл бұрын
Kaka ww unaakiri sana mungu akubariki
@omarimshamu2572 Жыл бұрын
Respect
@mkwizoxsafarisadventures97505 жыл бұрын
kina ukweli? kizuri? kinaumuhimu? See you at the top....
@josephmathew44185 жыл бұрын
Penda Sana joel
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Thanks Teacher God bless you
@mosesfrancis849511 ай бұрын
Hakika
@freedomwirelesssolutions13885 жыл бұрын
Timiza malengo yako...zingatia msamiati na herufi kaka Joel
@davidtvonline60205 жыл бұрын
IPO vizuri Sana Hii Triple filter Test
@malalezengo44055 жыл бұрын
Kweli kabisa usikurupuke tafakri kwanza ujembe mzuri Sana
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
ASante kwa elimu nzuri
@mariaevarist1418 Жыл бұрын
Uko vizuri hongera kwa kipaji
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Amen
@naamohamed99643 жыл бұрын
👏👏👏
@timonzurielsenior2635 жыл бұрын
safi kaka..nice knowledge and sensitive
@robertgordon27453 жыл бұрын
endelea kututengeneza kaka
@awamkhalid53614 жыл бұрын
Of coz hata kama utamkoso mtu bas toa solution isbakie kua swali
@matildaammo68685 жыл бұрын
Ndio cha muhimu Sanaa asanteeee
@barakanyamafu59375 жыл бұрын
Uko vizur Sana dogo
@eliasjuma45664 жыл бұрын
Bro nashukulu sanakwa masomo yako...
@nasibumasini70004 жыл бұрын
🙏🙏
@adelinakibejile4696 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@mesalimrashid63125 жыл бұрын
Niko mombasa nakufatilia sana kwa kina napenda masomo yako .
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
HI Joel
@rafaelmwanyila335 жыл бұрын
Ok
@DRICK-vn3oj5 жыл бұрын
Bro, mimi huwa ni mgumu kumkabali mtu. ila hapa shimamoo broo
@chrismassawe3265 жыл бұрын
NIMEJIFUNZA JAMBO JIPYA NWALIMU JOEL NANAUKA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UZIDI KUTUFUNGUA AKILI
@cosein5 жыл бұрын
Lakini hii idea ya triple filter idea ni nzr lkn wakati mwingine sio kwa sababu itawafanya watu wasizungumze kabisaa Mfano kitu ni kweli na muhimu kwa watu wa jamii fulan lkn c kizuri kwa baadhi ya watu ukifata hii ideas huwezi kuwaokoa walio wengi mfano ukiwataja wanaotumia unga na nikweli na muhimu lkn c vizuri kwao ukifata hii idea uwez kufanya hivo Nyongeza mama angu anapenda hizi video zako
@malupex62994 жыл бұрын
Fact
@dulanus72865 жыл бұрын
Khasw kaka ni bora kukaa kimya tu kuliko kuongea tu
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Sure 😥💦
@martinkajonjo33625 жыл бұрын
Bro masomo unayoyatoa mazuli nataka nipate na kitabu cha timiza malengoyako nipo mtwara nitakipataje