Watu wanapokukata sio kwasababu hauna thaman. Bali bado hawajajua thaman yako👌👌👌 ni maneno yamenigusa sana kikubwa sante Mr.Nanauka kwa kushare nasi mungu akulinde🙏🙏
@cymone61595 жыл бұрын
Kaka Joel Ubarikiwe najua umewekwa na Mungu hapo kwa kusudi fulan hata kama hauhubiri kuna namna unasema kwa msaada wa Mungu
@joelnanauka5 жыл бұрын
Simon Kidamui Ameen nashukuru sanaa
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Namshukuru Mungu hisia zngu zte huwa nazimaliza kwa kuongea peke angu..inafurahisha lakn ndy njia pekee ambyo huw inanizuia kufnya k2 chchte chenye kuleta negative impact..kuptia hli somo ntazidi kuongea peke angu tyuuu ili maisha yaendee😁
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ha!ha!ha,unaongeaga vitu gani na kwa namna gani?
@anthonelias42913 жыл бұрын
Asante sana
@leticiamgimwa53835 жыл бұрын
Kukataliwa kulinifanya nipoteze furaha na amani takriban miaka minne. kupitia somo hili nmekua mpya kabisa. Barikiwa sana Kaka Joel.
@marianachristophory49164 жыл бұрын
Pole mwaya hyo ypo san, tena mtu anakuchuki bila sbabu.
@mauamohamedy37963 жыл бұрын
kbx
@thegirl14055 жыл бұрын
Woow somo makini sana yaani mimi nilikua na hasira sana nashukuru nimejua kuithibiti now nipo simple hata mtu akinisingizia jambo ambalo sijafanya yaani siwazii hata kidogo ndio kwanza sina habari nashukuru sana brother somo lipo makini yaani nimekua na ujasili wa ajabu nazidi kumuomba m mungu azidi kunipa nguvu💪💪 ya mafanikio kweli ambae hakuijua Thamani yako leo hii anakuona wa Thamani nae akikuona wa Thamani haitakiwi kurudi tena nyuma fanya kama zile zilikua ni changamoto za mafanikio hivyo ni vizuri kukaa mbali nao shukraan brother ubarikiwe sana 🙏🙏
@aminaramadhani93885 жыл бұрын
Ulifanyaje mpaka ukaidhibiti hasira??yani mim Nina mahasira mpaka bas
@thegirl14055 жыл бұрын
@@aminaramadhani9388 muombe sana m mungu akuepushe na hasira yaani ni Mbaya sana hata mtu anapokuudhi ww usijibu chochote fanya hivyo kwa cku Tatu harafu uone matokeo baadae utaona ni kawaida tuu japo kua utaambiwa unadharau lakini sio dharau ila ni jinsi utakavyo idhibiti hasira
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ukhty Najrat Girl hongera sana na Ahsante kushare nasi stori yako inasaidia sana wengine kujifunza pia
@thegirl14055 жыл бұрын
Ahsante brother@@joelnanauka ubarikiwe sana 🙏🙏
@hamzalibingai32274 жыл бұрын
Nimeijua akaunti yako tarehe 3 mwezi wa saba mwaka 2019 nimepata manufaa mengi sana naamini ningeijua toka mwanzo ningekuwa mbali sana. Sasa nafurahiya kwa kiwango cha juu kumiliki smartphone sababu mwanzo nilijilaumu kununua simu hii.mungu akujaalie afya na nguvu ya kuendeza hili.
@rollahngimbwa69784 ай бұрын
Balikiwa sana kaka Joel🙏🏽ni vitu vingi najifunza, na bado nitaendelea kujifunza. Mola akutumze daima kaka🙏🏽. Nimejifunza kitu hapa. Thanks kaka
@sifaisack7470 Жыл бұрын
Yakwanza na msho ( hasira na huzuni) jamaniii duh. Najtaid sana lkn inakua ngumu sana kushnda ilaa kwahil somo kaka Nanauka naiman nitavuka & u can see me at the top. Mungu akupe maisha marefu kwaajil yetu 🥰🥰🥰
@ramaabuu19585 жыл бұрын
Me namshukuru Mungu kukufahamu ndugu.... You're the big teacher kwetu....Mungu akuzidishie"
@joelnanauka5 жыл бұрын
Rama Abuu nashukuru sana Abuu,pamoja sana
@tatuyussuf75745 жыл бұрын
Hisia unapokataliwa,si kwasabb hauna thaman bali bado hawajaijua thaman yako......broh.....ubarikiwe...
@joelnanauka5 жыл бұрын
Tatu yussuf kabisa tatu,ndio ukweli wenyewe
@mimomodestus94535 жыл бұрын
Hisia ya kukataliwa imenitesa sana nimepata moyo sana wa kusonga mbele nilikataliw kwa mda mrefu na mtu niliyempenda kwa dhat iliniumiz sana na ilenitesa sana mpk Leo nikikumbuka bas uwa natokw na machozi naiman ipo siku mambo yatakuw mazuri nashukur sana kak joel
@Glorydavid2485 жыл бұрын
Mimi ninaasira sana pia na kunamtu nampenda alafu yeye hanitaki alafu nashindwa kukubali Kama sitakiwi so nabaki Kulia tu maisha yangu yote , ila kutokana na video hii nimejifunza kitu
kiukweli natamani haya masomo yko wengi wangejoin hii account yko wajifunze nadhan wengi wangebadilika dah Mie nashukuru kuijua hii account ninayomengi yakusimulia na faida nyingi nilizozipata kwa kujifunza masomo yko.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Diana Malingumu thanks Diana,naamini Kadiri Muda unavyoendelea wataifahamu
@betterjoshua72035 жыл бұрын
Habari kaka Joel ukweli nafurahi sana napo sikiliza masomo yako kwani hayaniachi bila kitu mungu akubaliki sana
@lameckmathias11885 жыл бұрын
Asante
@fortunatakinemelandunguru26535 жыл бұрын
Asantee mwalimu
@asyaasya37663 жыл бұрын
Tupo wengi mpendwa hata mi pia nimefaidika mnoo kwenye maisha yangu
@msleny67675 жыл бұрын
Somo nzuri sana, hisia ipo, tena kila siku huja na maovu yake, bila kutawala hisia hizo, you will get disappointed day by day but siri yangu moja ya kutawala hisia zangu ni kuishi katika neno la Mungu And you too can do the same, meditate on the word, keep it in your heart it will always refresh you😊
@irenemassawe12575 жыл бұрын
WORK OF GRACE amen
@joelnanauka5 жыл бұрын
WORK OF GRACE thanks.Powerful 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@msleny67675 жыл бұрын
@@joelnanauka most welcome🙏
@beatricethomas40615 жыл бұрын
Yan kaka angu nimeitwa hodari kuptia ww kuna wakat nlianguka ckuchoka nliloinuka hakuna alieelewa weng walnfata nwashaur njia gan nlitumia nkawajibu nlikubali kuanguka kwangu then nkaama nkajfuta nkaendelea Mungu azd kukupgania libarkiwe tumbo liloruhusu ukawa zawad kwetu
@kadrikhalfan38605 жыл бұрын
Dah bro sina la zaidi ktk hisia ya hasira umenigusa kwa kiwango kikubwa sana nashukuru nitajihidi kutozingatia maneno ya wanaonikera naamin 100% nitafanikiwa.
@joelnanauka5 жыл бұрын
kadri khalfan kabisa utafanikiwa 👏👏👏
@theroyalfamilies39245 жыл бұрын
asante sana mwalim..... mimi hisia za hasira..... nadhani ni muda wangu wa kubadilika na kucontrol
@maubarak98315 жыл бұрын
kiukweli hiliumia sana kwakusinguziwa maana nilichukiwa nakila mtu ila nilimuachia mungu
@user-vi5tg5ts8j2 ай бұрын
Watu wanapokukataa sio kwamba hauna thaman bado ila bado hawajajua thaman yako. Respect broo
@NuuratyOmbella Жыл бұрын
Hisia ya tatu,ilinitesa Sana , namshukr Mungu hapa nilipo Sasa
@giftsam84585 жыл бұрын
Minashukuru mungu nimeweza kuzikabil hisia zote. Nashukur kwakuendelea kutujuza mungu azidi kukubariki kaka
@seifzongo3205 жыл бұрын
UnAweza kukataliwa Leo harafu kesho wale waliokukataa wakakuimbia nyimb0 💪💪💪💪💪💪
@joelnanauka5 жыл бұрын
Seif Zongo kabisa ndio ukweli wenyewe
@geniuskalokola5332 жыл бұрын
Nimejfunza mengi Sana uinuliwe Sana kk yetu kwa kutupatia upeo na kutuonesha njia
@lydiaseventy5509 Жыл бұрын
Hatua zote ni nzuri ya kunyamaza ukiwa na Hasira nimeipenda sana Asante sana Ubarikiwe
@asyaasya37663 жыл бұрын
Asante Sana mpendwa wetu nimebadilika Sana toka nilipoanza kukuangalia na nimefaidika mnooo kwenye maisha yangu, Mungu akupe maisha marefu kka ww nimtu muhimu Sana kwenye jamii
@ablysonco88505 жыл бұрын
Nice points kaka thanx very much hakka ww ulistahili kuwa Tanzania One...Congratulations ming ming ziwe juu yako Ubarikiwe sana
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ably Sonco Ameeen Ahsante sana Namshukuru Mungu
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana. Nahii nitazingatia sana sababu ukiwa na hasira kali hatakama unazo Biashara unaweza kuzifunga kwa Hasira sikuzote usiamue jambo kwa haraka sana. Inatakiwa kwanza ushushe pumzi Peace Bro
@piusnjechele38155 жыл бұрын
Bro unagusa uharisia kabisa wa maisha na hakika tunajifunza Sana kutokana na Shule Unayo itoa humu.
@neemajerrymwaihojo28134 жыл бұрын
uzun tu kaka angu sababu daaah najiona kushindwa sanaa ktk maisha yangu
@zahramunir85965 жыл бұрын
Thanx sana sana may God bless you bro..!! nimeyapitia mengi ktk hayo kweli najifunza mengi..
@luhanyamipawantobi68883 жыл бұрын
Amekerwa na BOSS anaamua kuacha Kaz,,anaenda kusota hovyo
@kelvinihashe24005 жыл бұрын
Thanks my brother umenibadilsha Sana mpaka Leo nmeacha kaz nafungua medical clinic yangu ,mungu akubarki sana naomba sku moja nikutembelee ofsn kwako japo spajui ,kwangu ni hisia ya kkataliwa
@joelnanauka5 жыл бұрын
kelvin ihashe hongera sana kwa hatua,karibu sana ofisini,tuwasiliane 0756-094875
@kelvinihashe24005 жыл бұрын
@@joelnanauka ntakuja kka make nakuja hapo dar es Salam kuagza ultrasound China ni kwaajr yako uliwahi kutoka speech zako moja ukasema mkubwa Wa mshahara syo maendeleo nashkru mungu namasave naenda kununua
@rahemahrahemah27195 жыл бұрын
Hatua zote ni muhimu kwakweli, thank u so much teacher Joel.
@joelnanauka5 жыл бұрын
rahemah Rahemah karibu sana
@heavenlypatric48225 жыл бұрын
Nashindwa niseme ni hipi ndo issue sana kwangu ila kwa ayo yote nimejifunza kitu kipya.. Maisha Mema Brother
@jenipherwenslaus95965 жыл бұрын
Yani tangu niijue hii account jamani kiukweli najiona nazidii kujifunza mengi ....am proud of you bro......kuanzia Leo nitaweza kuzicontrol hasira zangu. Ubarikiwe.
@giftsam84585 жыл бұрын
Anaye kukataa ajajua thamani yako katika maisha,mafanikio yake
@daniellepari45252 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka Leo umenifundisha sana mimi nimepotesa kazi kwa sababu ya hasira ahsante sana kwa elimu yako ya bure mungu Akubariki sana
@thepointofculture53925 жыл бұрын
Nanuku kutoka kwa moja ya clp yako.Ukichukua kipande cha dhahabu ukakiweka kwenye banda la ngombe kitenyewa na ng'ombe kwa sababu ng'ombe hawajui thamani ya kile kipande cha dhahabu, Nakukubali sana bro Mwenyezi mungu azizidi kukuwezesha.
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Asante Sana hapo kwenye kukotroo hasira ndio shida niliyokupa nayo
@irenempogole355 жыл бұрын
Exactly ,,,I learn something Broo, Big up
@Kawishe5 жыл бұрын
Hisia za Huzuni na Hasira..kuanzia Leo ninasamehe.nimeamua kuwa na Furaha
@joelnanauka5 жыл бұрын
Gervas Robert safi sana,hongera sanaaa
@abdlhaleem8380 Жыл бұрын
Goat 🐐 🙌 Mr. Nanauka
@bahatiaamani93205 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwafunzo lako Nzuri Thanks so much Brother
@joelnanauka5 жыл бұрын
bahatia amani karibu sana,Nafurahi kusikia hivyo
@sikukuuabdalla98535 жыл бұрын
Thanks nimejifunza kitu muhimu ubarikiwe sana🤝🤝👍
@placidiagerald8585 Жыл бұрын
Safi sana,napata findisho kubwa Mwalimu.
@jumajuma98562 жыл бұрын
Joel umetufundisha vitu vya point sana hongera
@thepointofculture53925 жыл бұрын
Natamani nipate njia nzuri ya kukuuliza badhi ya maswali muhimu sana yanayonisumbua kwa mda mrefu ila hongera nmekuelewa vzuri sana na umenionyesha kitu kipya leo,Mungu akibariki sana
@pendosalehe8941 Жыл бұрын
Asante kaka, Mungu akubariki
@danielsighis99534 жыл бұрын
Hisaia za kusingiziwa, na kuweka watu walinizingizi moyoni. THANKS NIMEPATA VITU VYA MAANASANA, NILIKUWA NAONGOPA TO STAR SMALL AND TO DO FOR BIG WEL VISION.
@edsonlaurencemwagamasasi90745 жыл бұрын
Kesho nitainuka Tena...wow so nice Brother.... I like the way unavyofikisha ujumbe wako... you talk with all emotions..#..see you at the top
@joelnanauka5 жыл бұрын
Edson Laurence Mwagamasasi thanks much 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@adelinejosephati29505 жыл бұрын
Hatua zote ni muhimu Sana Asante kwa kutuelimisha,Tumejifunza mambo mengi kupitia wewe na yana msingi sana Mungu akubariki sana,
@firdausabdullah63154 жыл бұрын
Allah sw akuzidishie hki.nafatilia
@theresiachigali9482 Жыл бұрын
Yote ambayo umesema joel nayaishi yaani nikikosa ga tenda au nikagundua watu ambao waliniahidi watanisapot nikagundua walikua wananuda ganya moyo wangu hua nahisi Kama unavujia damu kiukweli hua naumia sana
@habauagway72515 жыл бұрын
Asante kaka angu kwa somo lako vizuri ila mm katika namba 2 hiyo nashukuru mungu nimeweza kuitawala
@joelnanauka5 жыл бұрын
Habau Agway Ameen ahsante sana
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo safi,keep it up bro
@judithnjunwa66684 жыл бұрын
kaka umesema neno zuri,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ni kweli ni vema kutawala hisia,be blessed JOEL
@khalidsalum17404 жыл бұрын
kuna msemo unanitesaga Sana na kunirudisha nyuma "Ng'ombe wa masikini hazaiii"ukweli natoka ktk familia ya kimasikini ingawa najishughurisha kwa biashara ndogo ndogo Ila kuna wakati huondoka hamu ya kufanya kaziii kwa kujiambia siwezi kukuwa kibiashara kwa kuwa mie uzao wa kimasikini
@msengisimoni20875 жыл бұрын
nilihangaika sana katka kuumia kihisia nilipokua nakataliwa katka uhusiano lakin kuanzia Leo nimejifunza kutokuumia kihisia
@komboomar82755 жыл бұрын
Thanks my brother always unaelekeza njia kwa maelezo na somo lako
@shideashidea55705 жыл бұрын
Umenibariki sana kwa somo hili niko viwango vingine vyakufika mbali Mungu akupe hekima zaidi
@rajabukulala66695 жыл бұрын
I hisia ya hasira inanisumbua Sana , naitaji msaada wako kaka
@nancyjepchumba711 Жыл бұрын
Thanks so much you are my life coach am improving my life and learning every day through your KZfaq channel I went through rejection na hasira but now I control them Amen 🙏🙏
@phanuelpaul37855 жыл бұрын
hisia ya kuwa chini hii inanitesa sana nshashindwa namna ya kuitawala kabsa (feeling of being poor) inatesa namna gani ntainuka, #SeeYouAtTheTopToo
@joelnanauka5 жыл бұрын
Phanuel Paul pole sana naamini unaishinda
@stephenjonas48665 жыл бұрын
brother Joel mi sina mengi ila Mungu akubariki
@joelnanauka5 жыл бұрын
STEPHEN JONAS Ameen nashukuru sana
@wilfreddanielmollel63082 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri
@patrickmwazyunga87085 жыл бұрын
Motivated to write a book,thank you brother Joel Nanauka
@joelnanauka5 жыл бұрын
Patrick Mwazyunga safi keep it up
@hemedhajikiumba Жыл бұрын
Asante
@claraprosper86425 жыл бұрын
Hello kaka Joel asante tena kwa elimu nzuri zaidi ya kutujenga, nataka kuwa public speaker, nahitaji mwongozo zaidi kutoka kwako!
@alphonceernest49402 жыл бұрын
Hisia za mapenzi either kuachika na kujiona huna thamani sehemu yoyote
@dymakadickie7035 жыл бұрын
Somo zuri tukutane kipindi kijacho 🙏🙏🙏🙏 ila hisia za huzuni apo umenena braza inabidi tuzingatie sana hii hisia
@michaeldonasian54505 жыл бұрын
thks bro Joel nimejifunza kityu
@joelnanauka5 жыл бұрын
Michael Donasian karibu sana
@hamadsaid90214 жыл бұрын
Shukuran sana kaka Joel, we na kaka Eziden mnatupa motivation sana Mungu awatilie wepesi katika kazi zenu
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema uzidi kutuelimisha Yani vyote vimenigusa 👏👏👏👏👏
@maubarak98315 жыл бұрын
nimeomia sana kuhusu kutawala hisia zangu nilishakosa kazi kwahasira chrngine kusingiziwa yaani mpaka leo siongei nahuyo mtu nanimemuacha kwenye kazi aendelee
@zuhuraabdillah69415 жыл бұрын
hisia za kusingiziwa dah hua cwez kuzivumilia kabisa. thank you kwa somo ntalifanyia kazi
@AdelaKauki10 ай бұрын
Kaka Joel nimekuwa na hisia ninapokataliwa,na ninaposingiziwa Huwa najisikia vibaya sana.ila nawasamehe wote wanaonisingizia.
@nasryjuma47135 жыл бұрын
nakufuatilia vzur bro
@michaelshayo1875 жыл бұрын
Hisia ya hasira huwa inanitesa ila nikiwa na hasira binafsi nafanya kazi sana kuliko kawaida
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ha!ha!ha kwahiyo kwa upande wako hasira ni mbaya au nzuri?
@isayasway86334 жыл бұрын
Dah hisia za hasira zimenijaa kwel
@piddyadolph40625 жыл бұрын
Thanx bro, somo zuri sana asa kwa sisi vijana maana mambo yote matano yanatutawala kwa wingi
@joelnanauka5 жыл бұрын
piddy adolph karibu sana tuendleee kushare na wengine pia
@noelmwikeve62555 жыл бұрын
Somo zur sanaa
@neemaonesmo76425 жыл бұрын
Ni kweli,wakati mwingine vita nikumuachia mungu apigane nao,hiyo,ya tano,kweli,nichangamoto
@lovenessfrancis95795 жыл бұрын
Hisiaaaa y kukataliwa na huzuniii nisaider joel
@therealashlove4 жыл бұрын
kaka nimekuelewa sana na ilo funzo la leo limegusa kabisa maisha yng ngoja nianze kulifanyia kazi
@emmysway53554 жыл бұрын
Nakupenda bure
@sabatomjungu97275 жыл бұрын
Ahsante bro kwa somo zuri
@kusinidigital20005 жыл бұрын
Thanks.. Hasa hapo kwenye kusingiziwa
@mwanaharusialifakifaki87164 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri docta🤝
@archmsafi374 жыл бұрын
Hiyo hisia ya kusingiziwa iliwahi kunikuta kipindi nipo A level
@matabikasuccessline20685 жыл бұрын
Hivi kalibun nimekutana na changamoto ya kusingiziwa asante kwa somo kaka nanauka
@markmwakatobe31375 жыл бұрын
Barikiwa
@justinapaul38803 жыл бұрын
Kweli kabisa hisia za huzuni zimenisumbua sana nimepoza mtaji sijui cha kufanya
@annaedmund11825 жыл бұрын
Asee Barikiwa Sana kaka umenisaidia kwenye hisia ya kusingiziwa Mungu nisaidie.
@melichokisinin37375 жыл бұрын
Mungu amekutumia kuniponya ktk haya.asante kaka Nanauka
@philipoulaya19665 жыл бұрын
I like what ur doing for societies
@joelnanauka5 жыл бұрын
Philipo Ulaya thanks so much nashukuru sana
@aishaomar43185 жыл бұрын
Mimi hisia zakukataliwa na baba mzaz kuto kunishuhulikia mpaka kutokunilipia ada ya chuo ndio naona nihisia inayonikwamisha kimaisha.nikiwaona wenzangu wameajiriwa mm bado roho inaniuma.
@tuziamanyanya93993 жыл бұрын
mimi ni mwepesi wa kukata tamaa kwa kila jambo linalo nitokea
@roselynerwiza93832 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kutawala hisia ya hasira kwa kukaa kimya ukisingiziwa wasamehe ukiwa chini usikate tamaa kukataliwa ni kutojua thamani yako sio kwamba huna thamani na huzuni husababisha kutokufanikiwa ondoa huzuni