Kutawala Hisia Zako - Joel Nanauka

  Рет қаралды 58,857

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 253
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Watu wanapokukata sio kwasababu hauna thaman. Bali bado hawajajua thaman yako👌👌👌 ni maneno yamenigusa sana kikubwa sante Mr.Nanauka kwa kushare nasi mungu akulinde🙏🙏
@cymone6159
@cymone6159 5 жыл бұрын
Kaka Joel Ubarikiwe najua umewekwa na Mungu hapo kwa kusudi fulan hata kama hauhubiri kuna namna unasema kwa msaada wa Mungu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Simon Kidamui Ameen nashukuru sanaa
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
Namshukuru Mungu hisia zngu zte huwa nazimaliza kwa kuongea peke angu..inafurahisha lakn ndy njia pekee ambyo huw inanizuia kufnya k2 chchte chenye kuleta negative impact..kuptia hli somo ntazidi kuongea peke angu tyuuu ili maisha yaendee😁
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ha!ha!ha,unaongeaga vitu gani na kwa namna gani?
@anthonelias4291
@anthonelias4291 3 жыл бұрын
Asante sana
@leticiamgimwa5383
@leticiamgimwa5383 5 жыл бұрын
Kukataliwa kulinifanya nipoteze furaha na amani takriban miaka minne. kupitia somo hili nmekua mpya kabisa. Barikiwa sana Kaka Joel.
@marianachristophory4916
@marianachristophory4916 4 жыл бұрын
Pole mwaya hyo ypo san, tena mtu anakuchuki bila sbabu.
@mauamohamedy3796
@mauamohamedy3796 3 жыл бұрын
kbx
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Woow somo makini sana yaani mimi nilikua na hasira sana nashukuru nimejua kuithibiti now nipo simple hata mtu akinisingizia jambo ambalo sijafanya yaani siwazii hata kidogo ndio kwanza sina habari nashukuru sana brother somo lipo makini yaani nimekua na ujasili wa ajabu nazidi kumuomba m mungu azidi kunipa nguvu💪💪 ya mafanikio kweli ambae hakuijua Thamani yako leo hii anakuona wa Thamani nae akikuona wa Thamani haitakiwi kurudi tena nyuma fanya kama zile zilikua ni changamoto za mafanikio hivyo ni vizuri kukaa mbali nao shukraan brother ubarikiwe sana 🙏🙏
@aminaramadhani9388
@aminaramadhani9388 5 жыл бұрын
Ulifanyaje mpaka ukaidhibiti hasira??yani mim Nina mahasira mpaka bas
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
@@aminaramadhani9388 muombe sana m mungu akuepushe na hasira yaani ni Mbaya sana hata mtu anapokuudhi ww usijibu chochote fanya hivyo kwa cku Tatu harafu uone matokeo baadae utaona ni kawaida tuu japo kua utaambiwa unadharau lakini sio dharau ila ni jinsi utakavyo idhibiti hasira
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ukhty Najrat Girl hongera sana na Ahsante kushare nasi stori yako inasaidia sana wengine kujifunza pia
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Ahsante brother@@joelnanauka ubarikiwe sana 🙏🙏
@hamzalibingai3227
@hamzalibingai3227 4 жыл бұрын
Nimeijua akaunti yako tarehe 3 mwezi wa saba mwaka 2019 nimepata manufaa mengi sana naamini ningeijua toka mwanzo ningekuwa mbali sana. Sasa nafurahiya kwa kiwango cha juu kumiliki smartphone sababu mwanzo nilijilaumu kununua simu hii.mungu akujaalie afya na nguvu ya kuendeza hili.
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 4 ай бұрын
Balikiwa sana kaka Joel🙏🏽ni vitu vingi najifunza, na bado nitaendelea kujifunza. Mola akutumze daima kaka🙏🏽. Nimejifunza kitu hapa. Thanks kaka
@sifaisack7470
@sifaisack7470 Жыл бұрын
Yakwanza na msho ( hasira na huzuni) jamaniii duh. Najtaid sana lkn inakua ngumu sana kushnda ilaa kwahil somo kaka Nanauka naiman nitavuka & u can see me at the top. Mungu akupe maisha marefu kwaajil yetu 🥰🥰🥰
@ramaabuu1958
@ramaabuu1958 5 жыл бұрын
Me namshukuru Mungu kukufahamu ndugu.... You're the big teacher kwetu....Mungu akuzidishie"
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Rama Abuu nashukuru sana Abuu,pamoja sana
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 5 жыл бұрын
Hisia unapokataliwa,si kwasabb hauna thaman bali bado hawajaijua thaman yako......broh.....ubarikiwe...
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Tatu yussuf kabisa tatu,ndio ukweli wenyewe
@mimomodestus9453
@mimomodestus9453 5 жыл бұрын
Hisia ya kukataliwa imenitesa sana nimepata moyo sana wa kusonga mbele nilikataliw kwa mda mrefu na mtu niliyempenda kwa dhat iliniumiz sana na ilenitesa sana mpk Leo nikikumbuka bas uwa natokw na machozi naiman ipo siku mambo yatakuw mazuri nashukur sana kak joel
@Glorydavid248
@Glorydavid248 5 жыл бұрын
Mimi ninaasira sana pia na kunamtu nampenda alafu yeye hanitaki alafu nashindwa kukubali Kama sitakiwi so nabaki Kulia tu maisha yangu yote , ila kutokana na video hii nimejifunza kitu
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Pole sana,utapata mwingine,Mungu yupo
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 5 жыл бұрын
Ukiacha hisia zikuendeshe utaishia kufeli #fid_Q quote
@dianamalingumu4516
@dianamalingumu4516 5 жыл бұрын
kiukweli natamani haya masomo yko wengi wangejoin hii account yko wajifunze nadhan wengi wangebadilika dah Mie nashukuru kuijua hii account ninayomengi yakusimulia na faida nyingi nilizozipata kwa kujifunza masomo yko.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Diana Malingumu thanks Diana,naamini Kadiri Muda unavyoendelea wataifahamu
@betterjoshua7203
@betterjoshua7203 5 жыл бұрын
Habari kaka Joel ukweli nafurahi sana napo sikiliza masomo yako kwani hayaniachi bila kitu mungu akubaliki sana
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 5 жыл бұрын
Asante
@fortunatakinemelandunguru2653
@fortunatakinemelandunguru2653 5 жыл бұрын
Asantee mwalimu
@asyaasya3766
@asyaasya3766 3 жыл бұрын
Tupo wengi mpendwa hata mi pia nimefaidika mnoo kwenye maisha yangu
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
Somo nzuri sana, hisia ipo, tena kila siku huja na maovu yake, bila kutawala hisia hizo, you will get disappointed day by day but siri yangu moja ya kutawala hisia zangu ni kuishi katika neno la Mungu And you too can do the same, meditate on the word, keep it in your heart it will always refresh you😊
@irenemassawe1257
@irenemassawe1257 5 жыл бұрын
WORK OF GRACE amen
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
WORK OF GRACE thanks.Powerful 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
@@joelnanauka most welcome🙏
@beatricethomas4061
@beatricethomas4061 5 жыл бұрын
Yan kaka angu nimeitwa hodari kuptia ww kuna wakat nlianguka ckuchoka nliloinuka hakuna alieelewa weng walnfata nwashaur njia gan nlitumia nkawajibu nlikubali kuanguka kwangu then nkaama nkajfuta nkaendelea Mungu azd kukupgania libarkiwe tumbo liloruhusu ukawa zawad kwetu
@kadrikhalfan3860
@kadrikhalfan3860 5 жыл бұрын
Dah bro sina la zaidi ktk hisia ya hasira umenigusa kwa kiwango kikubwa sana nashukuru nitajihidi kutozingatia maneno ya wanaonikera naamin 100% nitafanikiwa.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
kadri khalfan kabisa utafanikiwa 👏👏👏
@theroyalfamilies3924
@theroyalfamilies3924 5 жыл бұрын
asante sana mwalim..... mimi hisia za hasira..... nadhani ni muda wangu wa kubadilika na kucontrol
@maubarak9831
@maubarak9831 5 жыл бұрын
kiukweli hiliumia sana kwakusinguziwa maana nilichukiwa nakila mtu ila nilimuachia mungu
@user-vi5tg5ts8j
@user-vi5tg5ts8j 2 ай бұрын
Watu wanapokukataa sio kwamba hauna thaman bado ila bado hawajajua thaman yako. Respect broo
@NuuratyOmbella
@NuuratyOmbella Жыл бұрын
Hisia ya tatu,ilinitesa Sana , namshukr Mungu hapa nilipo Sasa
@giftsam8458
@giftsam8458 5 жыл бұрын
Minashukuru mungu nimeweza kuzikabil hisia zote. Nashukur kwakuendelea kutujuza mungu azidi kukubariki kaka
@seifzongo320
@seifzongo320 5 жыл бұрын
UnAweza kukataliwa Leo harafu kesho wale waliokukataa wakakuimbia nyimb0 💪💪💪💪💪💪
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Seif Zongo kabisa ndio ukweli wenyewe
@geniuskalokola533
@geniuskalokola533 2 жыл бұрын
Nimejfunza mengi Sana uinuliwe Sana kk yetu kwa kutupatia upeo na kutuonesha njia
@lydiaseventy5509
@lydiaseventy5509 Жыл бұрын
Hatua zote ni nzuri ya kunyamaza ukiwa na Hasira nimeipenda sana Asante sana Ubarikiwe
@asyaasya3766
@asyaasya3766 3 жыл бұрын
Asante Sana mpendwa wetu nimebadilika Sana toka nilipoanza kukuangalia na nimefaidika mnooo kwenye maisha yangu, Mungu akupe maisha marefu kka ww nimtu muhimu Sana kwenye jamii
@ablysonco8850
@ablysonco8850 5 жыл бұрын
Nice points kaka thanx very much hakka ww ulistahili kuwa Tanzania One...Congratulations ming ming ziwe juu yako Ubarikiwe sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ably Sonco Ameeen Ahsante sana Namshukuru Mungu
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana. Nahii nitazingatia sana sababu ukiwa na hasira kali hatakama unazo Biashara unaweza kuzifunga kwa Hasira sikuzote usiamue jambo kwa haraka sana. Inatakiwa kwanza ushushe pumzi Peace Bro
@piusnjechele3815
@piusnjechele3815 5 жыл бұрын
Bro unagusa uharisia kabisa wa maisha na hakika tunajifunza Sana kutokana na Shule Unayo itoa humu.
@neemajerrymwaihojo2813
@neemajerrymwaihojo2813 4 жыл бұрын
uzun tu kaka angu sababu daaah najiona kushindwa sanaa ktk maisha yangu
@zahramunir8596
@zahramunir8596 5 жыл бұрын
Thanx sana sana may God bless you bro..!! nimeyapitia mengi ktk hayo kweli najifunza mengi..
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 3 жыл бұрын
Amekerwa na BOSS anaamua kuacha Kaz,,anaenda kusota hovyo
@kelvinihashe2400
@kelvinihashe2400 5 жыл бұрын
Thanks my brother umenibadilsha Sana mpaka Leo nmeacha kaz nafungua medical clinic yangu ,mungu akubarki sana naomba sku moja nikutembelee ofsn kwako japo spajui ,kwangu ni hisia ya kkataliwa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
kelvin ihashe hongera sana kwa hatua,karibu sana ofisini,tuwasiliane 0756-094875
@kelvinihashe2400
@kelvinihashe2400 5 жыл бұрын
@@joelnanauka ntakuja kka make nakuja hapo dar es Salam kuagza ultrasound China ni kwaajr yako uliwahi kutoka speech zako moja ukasema mkubwa Wa mshahara syo maendeleo nashkru mungu namasave naenda kununua
@rahemahrahemah2719
@rahemahrahemah2719 5 жыл бұрын
Hatua zote ni muhimu kwakweli, thank u so much teacher Joel.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
rahemah Rahemah karibu sana
@heavenlypatric4822
@heavenlypatric4822 5 жыл бұрын
Nashindwa niseme ni hipi ndo issue sana kwangu ila kwa ayo yote nimejifunza kitu kipya.. Maisha Mema Brother
@jenipherwenslaus9596
@jenipherwenslaus9596 5 жыл бұрын
Yani tangu niijue hii account jamani kiukweli najiona nazidii kujifunza mengi ....am proud of you bro......kuanzia Leo nitaweza kuzicontrol hasira zangu. Ubarikiwe.
@giftsam8458
@giftsam8458 5 жыл бұрын
Anaye kukataa ajajua thamani yako katika maisha,mafanikio yake
@daniellepari4525
@daniellepari4525 2 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka Leo umenifundisha sana mimi nimepotesa kazi kwa sababu ya hasira ahsante sana kwa elimu yako ya bure mungu Akubariki sana
@thepointofculture5392
@thepointofculture5392 5 жыл бұрын
Nanuku kutoka kwa moja ya clp yako.Ukichukua kipande cha dhahabu ukakiweka kwenye banda la ngombe kitenyewa na ng'ombe kwa sababu ng'ombe hawajui thamani ya kile kipande cha dhahabu, Nakukubali sana bro Mwenyezi mungu azizidi kukuwezesha.
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Asante Sana hapo kwenye kukotroo hasira ndio shida niliyokupa nayo
@irenempogole35
@irenempogole35 5 жыл бұрын
Exactly ,,,I learn something Broo, Big up
@Kawishe
@Kawishe 5 жыл бұрын
Hisia za Huzuni na Hasira..kuanzia Leo ninasamehe.nimeamua kuwa na Furaha
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Gervas Robert safi sana,hongera sanaaa
@abdlhaleem8380
@abdlhaleem8380 Жыл бұрын
Goat 🐐 🙌 Mr. Nanauka
@bahatiaamani9320
@bahatiaamani9320 5 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel kwafunzo lako Nzuri Thanks so much Brother
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
bahatia amani karibu sana,Nafurahi kusikia hivyo
@sikukuuabdalla9853
@sikukuuabdalla9853 5 жыл бұрын
Thanks nimejifunza kitu muhimu ubarikiwe sana🤝🤝👍
@placidiagerald8585
@placidiagerald8585 Жыл бұрын
Safi sana,napata findisho kubwa Mwalimu.
@jumajuma9856
@jumajuma9856 2 жыл бұрын
Joel umetufundisha vitu vya point sana hongera
@thepointofculture5392
@thepointofculture5392 5 жыл бұрын
Natamani nipate njia nzuri ya kukuuliza badhi ya maswali muhimu sana yanayonisumbua kwa mda mrefu ila hongera nmekuelewa vzuri sana na umenionyesha kitu kipya leo,Mungu akibariki sana
@pendosalehe8941
@pendosalehe8941 Жыл бұрын
Asante kaka, Mungu akubariki
@danielsighis9953
@danielsighis9953 4 жыл бұрын
Hisaia za kusingiziwa, na kuweka watu walinizingizi moyoni. THANKS NIMEPATA VITU VYA MAANASANA, NILIKUWA NAONGOPA TO STAR SMALL AND TO DO FOR BIG WEL VISION.
@edsonlaurencemwagamasasi9074
@edsonlaurencemwagamasasi9074 5 жыл бұрын
Kesho nitainuka Tena...wow so nice Brother.... I like the way unavyofikisha ujumbe wako... you talk with all emotions..#..see you at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Edson Laurence Mwagamasasi thanks much 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@adelinejosephati2950
@adelinejosephati2950 5 жыл бұрын
Hatua zote ni muhimu Sana Asante kwa kutuelimisha,Tumejifunza mambo mengi kupitia wewe na yana msingi sana Mungu akubariki sana,
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 4 жыл бұрын
Allah sw akuzidishie hki.nafatilia
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 Жыл бұрын
Yote ambayo umesema joel nayaishi yaani nikikosa ga tenda au nikagundua watu ambao waliniahidi watanisapot nikagundua walikua wananuda ganya moyo wangu hua nahisi Kama unavujia damu kiukweli hua naumia sana
@habauagway7251
@habauagway7251 5 жыл бұрын
Asante kaka angu kwa somo lako vizuri ila mm katika namba 2 hiyo nashukuru mungu nimeweza kuitawala
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Habau Agway Ameen ahsante sana
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo safi,keep it up bro
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 4 жыл бұрын
kaka umesema neno zuri,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ni kweli ni vema kutawala hisia,be blessed JOEL
@khalidsalum1740
@khalidsalum1740 4 жыл бұрын
kuna msemo unanitesaga Sana na kunirudisha nyuma "Ng'ombe wa masikini hazaiii"ukweli natoka ktk familia ya kimasikini ingawa najishughurisha kwa biashara ndogo ndogo Ila kuna wakati huondoka hamu ya kufanya kaziii kwa kujiambia siwezi kukuwa kibiashara kwa kuwa mie uzao wa kimasikini
@msengisimoni2087
@msengisimoni2087 5 жыл бұрын
nilihangaika sana katka kuumia kihisia nilipokua nakataliwa katka uhusiano lakin kuanzia Leo nimejifunza kutokuumia kihisia
@komboomar8275
@komboomar8275 5 жыл бұрын
Thanks my brother always unaelekeza njia kwa maelezo na somo lako
@shideashidea5570
@shideashidea5570 5 жыл бұрын
Umenibariki sana kwa somo hili niko viwango vingine vyakufika mbali Mungu akupe hekima zaidi
@rajabukulala6669
@rajabukulala6669 5 жыл бұрын
I hisia ya hasira inanisumbua Sana , naitaji msaada wako kaka
@nancyjepchumba711
@nancyjepchumba711 Жыл бұрын
Thanks so much you are my life coach am improving my life and learning every day through your KZfaq channel I went through rejection na hasira but now I control them Amen 🙏🙏
@phanuelpaul3785
@phanuelpaul3785 5 жыл бұрын
hisia ya kuwa chini hii inanitesa sana nshashindwa namna ya kuitawala kabsa (feeling of being poor) inatesa namna gani ntainuka, #SeeYouAtTheTopToo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Phanuel Paul pole sana naamini unaishinda
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 5 жыл бұрын
brother Joel mi sina mengi ila Mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
STEPHEN JONAS Ameen nashukuru sana
@wilfreddanielmollel6308
@wilfreddanielmollel6308 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri
@patrickmwazyunga8708
@patrickmwazyunga8708 5 жыл бұрын
Motivated to write a book,thank you brother Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Patrick Mwazyunga safi keep it up
@hemedhajikiumba
@hemedhajikiumba Жыл бұрын
Asante
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Hello kaka Joel asante tena kwa elimu nzuri zaidi ya kutujenga, nataka kuwa public speaker, nahitaji mwongozo zaidi kutoka kwako!
@alphonceernest4940
@alphonceernest4940 2 жыл бұрын
Hisia za mapenzi either kuachika na kujiona huna thamani sehemu yoyote
@dymakadickie703
@dymakadickie703 5 жыл бұрын
Somo zuri tukutane kipindi kijacho 🙏🙏🙏🙏 ila hisia za huzuni apo umenena braza inabidi tuzingatie sana hii hisia
@michaeldonasian5450
@michaeldonasian5450 5 жыл бұрын
thks bro Joel nimejifunza kityu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Michael Donasian karibu sana
@hamadsaid9021
@hamadsaid9021 4 жыл бұрын
Shukuran sana kaka Joel, we na kaka Eziden mnatupa motivation sana Mungu awatilie wepesi katika kazi zenu
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema uzidi kutuelimisha Yani vyote vimenigusa 👏👏👏👏👏
@maubarak9831
@maubarak9831 5 жыл бұрын
nimeomia sana kuhusu kutawala hisia zangu nilishakosa kazi kwahasira chrngine kusingiziwa yaani mpaka leo siongei nahuyo mtu nanimemuacha kwenye kazi aendelee
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
hisia za kusingiziwa dah hua cwez kuzivumilia kabisa. thank you kwa somo ntalifanyia kazi
@AdelaKauki
@AdelaKauki 10 ай бұрын
Kaka Joel nimekuwa na hisia ninapokataliwa,na ninaposingiziwa Huwa najisikia vibaya sana.ila nawasamehe wote wanaonisingizia.
@nasryjuma4713
@nasryjuma4713 5 жыл бұрын
nakufuatilia vzur bro
@michaelshayo187
@michaelshayo187 5 жыл бұрын
Hisia ya hasira huwa inanitesa ila nikiwa na hasira binafsi nafanya kazi sana kuliko kawaida
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 5 жыл бұрын
Ha!ha!ha kwahiyo kwa upande wako hasira ni mbaya au nzuri?
@isayasway8633
@isayasway8633 4 жыл бұрын
Dah hisia za hasira zimenijaa kwel
@piddyadolph4062
@piddyadolph4062 5 жыл бұрын
Thanx bro, somo zuri sana asa kwa sisi vijana maana mambo yote matano yanatutawala kwa wingi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
piddy adolph karibu sana tuendleee kushare na wengine pia
@noelmwikeve6255
@noelmwikeve6255 5 жыл бұрын
Somo zur sanaa
@neemaonesmo7642
@neemaonesmo7642 5 жыл бұрын
Ni kweli,wakati mwingine vita nikumuachia mungu apigane nao,hiyo,ya tano,kweli,nichangamoto
@lovenessfrancis9579
@lovenessfrancis9579 5 жыл бұрын
Hisiaaaa y kukataliwa na huzuniii nisaider joel
@therealashlove
@therealashlove 4 жыл бұрын
kaka nimekuelewa sana na ilo funzo la leo limegusa kabisa maisha yng ngoja nianze kulifanyia kazi
@emmysway5355
@emmysway5355 4 жыл бұрын
Nakupenda bure
@sabatomjungu9727
@sabatomjungu9727 5 жыл бұрын
Ahsante bro kwa somo zuri
@kusinidigital2000
@kusinidigital2000 5 жыл бұрын
Thanks.. Hasa hapo kwenye kusingiziwa
@mwanaharusialifakifaki8716
@mwanaharusialifakifaki8716 4 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri docta🤝
@archmsafi37
@archmsafi37 4 жыл бұрын
Hiyo hisia ya kusingiziwa iliwahi kunikuta kipindi nipo A level
@matabikasuccessline2068
@matabikasuccessline2068 5 жыл бұрын
Hivi kalibun nimekutana na changamoto ya kusingiziwa asante kwa somo kaka nanauka
@markmwakatobe3137
@markmwakatobe3137 5 жыл бұрын
Barikiwa
@justinapaul3880
@justinapaul3880 3 жыл бұрын
Kweli kabisa hisia za huzuni zimenisumbua sana nimepoza mtaji sijui cha kufanya
@annaedmund1182
@annaedmund1182 5 жыл бұрын
Asee Barikiwa Sana kaka umenisaidia kwenye hisia ya kusingiziwa Mungu nisaidie.
@melichokisinin3737
@melichokisinin3737 5 жыл бұрын
Mungu amekutumia kuniponya ktk haya.asante kaka Nanauka
@philipoulaya1966
@philipoulaya1966 5 жыл бұрын
I like what ur doing for societies
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Philipo Ulaya thanks so much nashukuru sana
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
Mimi hisia zakukataliwa na baba mzaz kuto kunishuhulikia mpaka kutokunilipia ada ya chuo ndio naona nihisia inayonikwamisha kimaisha.nikiwaona wenzangu wameajiriwa mm bado roho inaniuma.
@tuziamanyanya9399
@tuziamanyanya9399 3 жыл бұрын
mimi ni mwepesi wa kukata tamaa kwa kila jambo linalo nitokea
@roselynerwiza9383
@roselynerwiza9383 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kutawala hisia ya hasira kwa kukaa kimya ukisingiziwa wasamehe ukiwa chini usikate tamaa kukataliwa ni kutojua thamani yako sio kwamba huna thamani na huzuni husababisha kutokufanikiwa ondoa huzuni
@zuleikhaomar4272
@zuleikhaomar4272 3 жыл бұрын
😊najikuta nina enjoy tu
@edsonaminga8572
@edsonaminga8572 2 жыл бұрын
Zingine zimezidhibiti zote...ya HASIRA NAHITAJI MSAADA.
@fidelismukandara932
@fidelismukandara932 5 жыл бұрын
Nashukuru sana,,bro Let's keep on nakuelewa sanaa
Chuja Maneno Kabla Ya Kuongea (Tripple Filter Test) - Joel Nanauka
8:56
Je Unapitia Wakati Mgumu Katika Maisha Yako?
9:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 51 М.
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 50 МЛН
BAADA YA KUFELI - JOEL NANAUKA
7:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 20 М.
Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani
12:13
UKIZIONA DALILI HIZI 4 NI TATIZO LA AFYA YA AKILI - JOEL NANAUKA
9:40
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 68 М.
Ishinde “Victim Mentality” - Joel Nanauka
9:02
Joel Nanauka
Рет қаралды 17 М.
MITIMINGI # 239 UKIONA DALILI HII - USIKURUPUKE KUINGIA KWENYE NDOA (FOCUS)
14:15
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН