No video

FURAHA + HUZUNI KWA MIAKA ZAIDI YA 20 KIJANA AKUTANA NA MAMA YAKE | SHANGAZI MTU AIBUA SAKATA

  Рет қаралды 67,950

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 288
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 2 жыл бұрын
Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
@EsterBernardoVumo
@EsterBernardoVumo Жыл бұрын
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
@sifangwira90
@sifangwira90 2 жыл бұрын
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
@gulfomanbb2119
@gulfomanbb2119 2 жыл бұрын
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 ай бұрын
​@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
@gracemgeni721
@gracemgeni721 2 ай бұрын
Huyu mama naye.....
@dorahmwambemba9032
@dorahmwambemba9032 2 жыл бұрын
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 жыл бұрын
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 2 жыл бұрын
😭😭😭 Mama ni mama tu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Pole sana
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@estherokombo1086
@estherokombo1086 2 жыл бұрын
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
@happymau2809
@happymau2809 Жыл бұрын
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
@latifakalunga
@latifakalunga Жыл бұрын
Umetuliza kwakweli
@susannesusie3217
@susannesusie3217 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
@justicedamaru3016
@justicedamaru3016 2 жыл бұрын
Nyie machozi yananitoka
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Saana Yani
@rwamboking.3253
@rwamboking.3253 2 жыл бұрын
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
@feykimaro4615
@feykimaro4615 2 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
@nicolauswandao8988
@nicolauswandao8988 2 жыл бұрын
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
@evainnocent9520
@evainnocent9520 2 жыл бұрын
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
@aminaam281
@aminaam281 2 жыл бұрын
Kabisa my
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Anamtetea udugu wake
@mdzainb3722
@mdzainb3722 2 жыл бұрын
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
@nadhifajuma6485
@nadhifajuma6485 2 жыл бұрын
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
@margrethrhobi3973
@margrethrhobi3973 2 ай бұрын
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
@swaiseif2989
@swaiseif2989 2 жыл бұрын
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
@rebeccarebeccachristine3182
@rebeccarebeccachristine3182 2 жыл бұрын
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 17 күн бұрын
SHANGAZI ACHA LAWAMA KAKA YAKO NDO ALISABABISA HAYO MADHIRA.
@hassansadiki217
@hassansadiki217 2 жыл бұрын
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
@wemakalama6458
@wemakalama6458 2 жыл бұрын
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
@zakiaferuz4561
@zakiaferuz4561 2 жыл бұрын
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
@legarecephas5935
@legarecephas5935 2 жыл бұрын
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
@khadijakhalfan2922
@khadijakhalfan2922 2 жыл бұрын
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
@agnesisimon3154
@agnesisimon3154 2 жыл бұрын
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 7 ай бұрын
Anuary Mungu akuongezeee
@hadijahadija6129
@hadijahadija6129 2 жыл бұрын
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
@roseshonyera9929
@roseshonyera9929 6 ай бұрын
Hongera Shangazi japo unadukuduku ila kaka yako ndo chanzo
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Jamani mungu hashindwi da geya na jopu lako lote mungu awabariki
@happyngonyani7065
@happyngonyani7065 2 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 2 ай бұрын
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 2 жыл бұрын
Ur right kk
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 жыл бұрын
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
@beathaeustace2638
@beathaeustace2638 2 жыл бұрын
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
@chellynpanja3970
@chellynpanja3970 2 жыл бұрын
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
@@chellynpanja3970 M/Mungu Aendelee Kukucmamia Ndugu Yangu 🙏🙏🙏
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Жыл бұрын
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 2 ай бұрын
Kbsaaaa
@robbyman6213
@robbyman6213 2 жыл бұрын
Mungu Awatie Nguvu
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 2 жыл бұрын
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Kweli kbs my
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 жыл бұрын
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
@keifatuke99
@keifatuke99 2 жыл бұрын
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
@janemsamati6700
@janemsamati6700 2 жыл бұрын
Kwa kweli clouds ni Radio ya watu Hongereni sana Leo tena kwa ubunifu wetu Mungu awabariki sana
@user-uk4ll3su3g
@user-uk4ll3su3g Ай бұрын
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
@ashurabihongo1498
@ashurabihongo1498 2 жыл бұрын
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
@nadinnmugisha5168
@nadinnmugisha5168 2 жыл бұрын
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
@Sensiahairgrowthsolution
@Sensiahairgrowthsolution 2 жыл бұрын
Bora kaongea hajawa mnafki
@user-uc1re1oo4e
@user-uc1re1oo4e Жыл бұрын
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 2 жыл бұрын
Mtihani sana nimelia na nimezinduka, kuna mtoto mama yake ameniambia ni wakwangu bado ni mchanga na sijawahi kutoa huduma ila kesho inshaallah nitamtafuta na kumpokea rasmi mwanangu, nimejifunza kupitia hili. Wala sitorudi nyuma tena.
@habbibtymonah6912
@habbibtymonah6912 2 жыл бұрын
😥😥😥😥
@zubedaiddy2325
@zubedaiddy2325 2 жыл бұрын
Hongera kwa kuzinduoa ALLAH akufanyie wepesi
@ciarmnyone738
@ciarmnyone738 2 жыл бұрын
Unafikii tu huna lolote
@ciarmnyone738
@ciarmnyone738 2 жыл бұрын
Ety ndo nimezindukaaa bangi hizoo
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 2 жыл бұрын
@@ciarmnyone738 sijui nengezaa na wewe ingekuaje? Ila niliezaa nae kanipokea wewe ata ukinita unga haisubui
@buddahmakucha6848
@buddahmakucha6848 2 жыл бұрын
Dah pole hata mm toka nna miaka 3 nmekuja kuonana na Mama nna miaka 19😥
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 ай бұрын
Pole sana
@kelvintembo734
@kelvintembo734 2 жыл бұрын
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
@lizelizabeth6467
@lizelizabeth6467 2 жыл бұрын
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Жыл бұрын
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Ай бұрын
Wacheni uzinifu nyie wabongo cc wapemba maisha yetu pia magumu tunaowa tunazaliana watoto wengi na hatutelekezwi hata tuwe na miaka 30 tunakuwa na familia zetu nynyi mtoto mmj mnamtupa mnapenda kuishi maisha ya kuiga mda wote starehe na kujipamba hamtaki majukumu bc mczae mnawatesa wanawake na watoto wanahangaika na biashara na watoto migongoni musiishi ka kuiga ishiini maisha halisi oweni mjenge familia kuna uzee
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Ай бұрын
Sharing zenu
@ashnaom2270
@ashnaom2270 2 жыл бұрын
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 жыл бұрын
Nyie ni kweli maisha ni magumu ila kuacha mtoto hapana. Nimepitia kulea mtoto pekeangu ni kiwa under18 sikuwa na ata pakuishi ila sikuwahi kumuacha mwanangu hadi leo hii. Huu ujinga mtupu shangazi yuko sahihii kabisaa.
@zulfajohnkilongozi4943
@zulfajohnkilongozi4943 2 жыл бұрын
Pole kwa Hilo lkn kila mtu na mapito yake
@mwanaishamkindi7763
@mwanaishamkindi7763 2 жыл бұрын
Kabisa jmn kila mtu na mapito yake tisihukumu Bora alimuacha salama kuliko kumtupaa
@catherinesule8505
@catherinesule8505 2 жыл бұрын
Miaka hiyo na Miaka ya sasa hivi kunautofauti
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 жыл бұрын
@@zulfajohnkilongozi4943 ahsante dear ila siyo kwa kumuacha mtoto wa miezi 2 pia ukisikiza maelezo yake unaona ujana bado ulikuwepo😅😅
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 жыл бұрын
@@mwanaishamkindi7763 ni sawa ila mtoto wa miezi 2 yuko na roho haki
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 2 ай бұрын
Ukikosa baba mama basi piga goti muombe Munguu tu
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 Жыл бұрын
Wallah nimelia 😭😭😭
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 жыл бұрын
Shangazi ni mnoko anangenga hatar roho mbaya yan inavyoonekana alimfukuza kweli huyu mama
@latifahamadi9054
@latifahamadi9054 2 жыл бұрын
Nimeshindwa kuvumiliya nimeliya sana roho imeniuma
@roseshayo9000
@roseshayo9000 2 жыл бұрын
Mshikien bas maic anatetemeka asikiki vzr
@Niabebewamor413
@Niabebewamor413 2 ай бұрын
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
@aishaally6602
@aishaally6602 2 жыл бұрын
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
@yascodesimple
@yascodesimple 2 жыл бұрын
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 2 жыл бұрын
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 2 ай бұрын
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
@omanoman2044
@omanoman2044 Жыл бұрын
Nikweli kabsa hakumuacha kwa ubaya alimuacha kufatan na changamota za maisha
@dkmhamilawa
@dkmhamilawa 2 ай бұрын
Clouds mbarikiwe
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
@CosmasMdede
@CosmasMdede 2 ай бұрын
Mhhmm kiukwel haya maisha yanachangamoto zake japo hazifanan kuhusu wazaz jaman inauma
@CosmasMdede
@CosmasMdede 2 ай бұрын
Duu inauma sana jaman
@hassinaalharthi5984
@hassinaalharthi5984 2 жыл бұрын
Pole saana mama mungu akusaidie
@zuenasaidy7916
@zuenasaidy7916 2 жыл бұрын
Hongereni kipindi kizuri
@hamidsoud2436
@hamidsoud2436 2 жыл бұрын
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
@AgnessAlly-tx2yx
@AgnessAlly-tx2yx 2 ай бұрын
Mm mwenyewe nilifukuzwa na Sina wazazi Wote wawili na nnawatoto naumia sana
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
@pettywilliam4492
@pettywilliam4492 2 жыл бұрын
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
@surusuru1994
@surusuru1994 2 жыл бұрын
Baba ndo chazo walla sio mam shangazi tulia
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 2 ай бұрын
Mungu awape maisha marefu Clouds, nimelia hadi kichwa kinauma.
@AgnessHabilo
@AgnessHabilo 2 ай бұрын
Huyu mama anauchungu mzito...wanaume msiwanyanyase hivyo wanawake
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 жыл бұрын
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 жыл бұрын
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
@khneesajumaa2052
@khneesajumaa2052 2 жыл бұрын
Da yani nimelia sana 😢😢😢
@mimahtv2974
@mimahtv2974 2 ай бұрын
Jamani nimelia sana😭😭😭
@khadijazayumba3857
@khadijazayumba3857 2 жыл бұрын
Nimaumivu makali sana ,wanaume wawe na huruma watu tunapitia magumu sana ,imenigusa sana nimelia sana
@bahatihthoya8028
@bahatihthoya8028 5 ай бұрын
So touching😭😭😭😭😭
@mariamkomba7286
@mariamkomba7286 2 жыл бұрын
😭😭😭 kwakweli maisha yanachangamoto Sana
@HappynessJose
@HappynessJose 2 жыл бұрын
Ukwel umeniliza jaman dada kijana nimekuped sana upo Makin
@mamertarweyemamu3438
@mamertarweyemamu3438 Жыл бұрын
Pole sana
@aishaomari944
@aishaomari944 2 жыл бұрын
Lailahailallah mohamad rasuli llah pole mom anuari
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Anuary kijana muelewa sana❤❤
@tunzakingdom801
@tunzakingdom801 2 жыл бұрын
Usipo pita huwezi jua uchungu wa yale wanayo pitia mwenzio.
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 2 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@angelankya5163
@angelankya5163 2 ай бұрын
Uyu shangaz ana mdomo sana
@halimakimis2731
@halimakimis2731 2 жыл бұрын
Jaman😭😭😭😭😭😭
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Shangazi ana gubu😢😢😢😢😢
@cauthargodbless3617
@cauthargodbless3617 Жыл бұрын
Daaah jmn yan naangalia t hiki kipindi ila machoz yananitoka jmn wanawake wanapitia mambo magumu xana daaah
@rehemanzemeri3068
@rehemanzemeri3068 2 жыл бұрын
Tuko na mtu wetu pia alitupotea,mama Yuko Tanzania watoto wapo Kenya ,tuko nao ila mama hatujui Yuko Tanzania sehemu gani
@memoryngambi3758
@memoryngambi3758 2 жыл бұрын
Nimelia jamani daa ,alafu yawezekana mtoto amepandikizwa mengi na shangazi ili amchukie mama yake
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 68 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Leo Tena: Mama Akutana na Mwanae Baada ya Kupotezana kwa Miaka 35
19:26
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 68 МЛН