Рет қаралды 912
Mwanamuziki #Davido amekubali yaishe kwa kumuachia Baby Mama wake #SophiaMomodu ambaye walibahatika kupata mtoto mmoja wa kike
Davido ambaye alifungua kesi ya kutaka kupata nafasi ya kushiriki kumlea mtoto ameamua kumuachia mama huyo amlee mtoto mwenyewe baada ya kuona kuwa kila anapojaribu kutafuta haki ya kumlea mtoto huyo mwanamke huyo huzua mada za marehemu mtoto wake #Ifeanyi ambaye alifariki dunia kwa kuzama kwenye swimming Pool.
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZfaq channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp