#CLOUDS360 #CLOUDSMEDIAGROUP #DCSABAYA DC SABAYA NATUMIA UBABE KUPATA SULUHU | HAI INAHITAJI UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO HII NI KAZI YANGU MIMI KAMA MKUU WA WILAYA YA HAI
Пікірлер: 687
@mrfashion16873 жыл бұрын
Aliekuja kuangalia hii interview baada ya sabaya kutumbuliwa, gonga like hapa
@frankjacob66533 жыл бұрын
Hatari😂
@gaspermkonyi51373 жыл бұрын
Hallo ndio naichek hapa
@bonatasha1763 жыл бұрын
Nipo
@masanjamkinga35663 жыл бұрын
Amesema anatumia ubabe nasiyo akiri
@ramak.95873 жыл бұрын
Huyu jamaa hafai ata kidogo
@jovinmancomedytz3 ай бұрын
Mungu atakwinua tena kaangu tunatambua kuwa watu matajiri watu wahovu watu wasiyopenda kuona masikini nawosikumoja waishi maisha kama yao nauwaga hawapendi viongozi wapenda haki kama huyu sabaya nakuhaidi sabaya Mungu atakurudishia cheo kikubwa sana katika utawala najuwa yote yaliyokukuta nivita ya wafanyabihasha wakubwa tu nawatu matajiri Mungu akupemaisha melefu😥😥🙏🙏🙏
@mpinno21803 жыл бұрын
Nimejifunza watu wanaomtajataja sana mungu huwa Ni watu wabaya sana
@samwelsengati13693 жыл бұрын
Kabisa yani
@clausemsemwa2973 жыл бұрын
WE JAMAA UNA AKILI SANA.....UMENIPA FUNZO ZITO SAAAAANA........
@ChangchunRealstateDragon3 жыл бұрын
So kweli hizo ni fikra zako tu
@benosilwani52083 жыл бұрын
Wewe ni genius, unaakili sana. Ogopa sana watu ambao katika maongezi yao wanamtaja taja sana Mungu.
@fredrickmathias64783 жыл бұрын
Tena sana yaan
@awadhrajabu14033 жыл бұрын
Watu Mnaosema Eti Uyu Mubaya Mbona Amsemi Ubaya Wake Nanyi Jiepusheni Na Usemaji Wa Uongo Hoo Alimtesa Mbowe Ivi Mbowe Mwana Siasa Au Mfanya Biashala Uyu Alikua Anafanya Kazi Yenye Kuonekana Live Sema Wenye Chuki Nae Wakubwa Ivo Raisi Awe Na Jicho La Tatu Kwa Uyu Alikua Kiongozi Makini Sana Uyu
@joshuasabasi31182 жыл бұрын
Mungu fundi kweli amekuacha yatima
@apostleadamgige46623 жыл бұрын
Kwa sabaya kutumbuliwa nimeshukuru Sana, Mungu amejibu maombi yetu
@mayele_jr30963 жыл бұрын
Hebu nidokeze sababu nimerudia hap nione kosa
@kilimanjaromegaexpeditions85273 жыл бұрын
@@mayele_jr3096 huo walaka wa yy kusimamishwa umeusoma?????? Ina maana rais kamuonea??????
@amirysaimon94883 жыл бұрын
Nimefurai mweee. Keisha habari yako sabayaaaaaa
@angelavayinga9143 жыл бұрын
Mungu ni mwema mtegemee yeye,kutumbuliwa sio mwisho wa maisha yako pambana. Mimi wewe ni kiongozi wangu siku zote hata km umetumbuliwa.
@petermangowi3 жыл бұрын
Mpuuzi sana.
@aizaamsuya99663 жыл бұрын
mungu ndo anajua ukweli sabaya sisi hatukuhukumu ila kama wewe ni mkweli mungu ndo anajua na kama wewe ni muongo mungu ndo anajua.pambana ndugu I pray for ukweli ujulikane ukweli au uongo.we need you
@janethsadock45592 жыл бұрын
Pole sana na mungu wako,Ila Mungu wetu sisi tunaemuamini amefanya kazi yake
@majaliwamsigwa62063 жыл бұрын
Endeleeni kujificha kwa maneno,Mungu ataendelea kuanika uovu wote nje
@simontamba12853 жыл бұрын
Waambie
@happydunstan96313 жыл бұрын
Na kweli umejibiwa na m mungu... Upandacho ndicho utakacho vuna... Ulipanda ubaya umeuvuna ubaya... Huyu mungu mnaependa kumtaja mjue kabsa ni mungu wa principal.. sasa tulia dawa iwaingie
@danielombela12372 жыл бұрын
Dada ukovizuri maswaliyako yanamlenga vizuri sana
@augustinokingazi83013 жыл бұрын
Yaan sabaya ni muongo anajificha kwenye mwamvuli wa Mungu kumbe mbaya sana. Tunashukuru bado heri james
@davidmwita1393 жыл бұрын
Kafanya nn
@frankjohn87063 жыл бұрын
Kusema mungu haimaanishi ndiye Mungu muumbaji bali matando ya mtu hudhihirisha ni Mungu gani anamtumikia maana wale wa Mungu wa haki hutenda haki, YESU kasema kila mtu humtii babaye, akawaambia Mimi namuheshimu baba yangu ,ninyi mnazitenda kazi za baba yenu ibilisi,
@yahayasalum29433 жыл бұрын
Jitahidi sana na muombe Mungu sana binadamu mwingine asikunung'unikie kwa haki wala kumwaga chozi kwa wewe kumnyima haki yake.
@victoriajulius50723 жыл бұрын
Kabisaa
@danielpaul89693 жыл бұрын
Uko sahihi brother unafaa sana kwa ushauri 👍👍
@daressalaampost57853 жыл бұрын
Mheshimiwa Sabaya ulikuwa kiongozi bora sana, natamani mimi ningekuwa na mamlaka ya uteuzi ningelikufanya kuwa waziri kabisa
@ukhutymamuu74703 жыл бұрын
😅🥱
@janethsadock45592 жыл бұрын
Subutuuu
@judyngowi3912 жыл бұрын
Waziri wa matako yako
@musason16803 жыл бұрын
Daahh uyu jamaa mm kama namwelewa halafu anakataaa. Tena Namwachia mungu sasa
@officialjimmy02673 жыл бұрын
Mm mwenyew namuon kma yuko poa af inakataa
@musason16803 жыл бұрын
@@officialjimmy0267 shida jamaa ana show on anataka kila anachofanya aonekane
@happymushi81973 жыл бұрын
Mungu halali wala hasinzii. Sabaya kapambane na hali yako.
@margaretwambete12283 жыл бұрын
Ukweli you made the bed you must lay on it.
@subiramichael38403 жыл бұрын
Wanamzulia kwa kazi yke nzuri wapinzani walipambana kumtoa ira atakumbukwa kama magu
@ibratati36363 жыл бұрын
Km upo huru naomba tujadili hili swala apa
@janethsadock45592 жыл бұрын
Mazuri yapi?Mungu achen aitwe Mungu,kweli Mungu ni fundi,ana sababu kubwa ya kumtoa Magu
@kilianfravian75592 жыл бұрын
Mjinga unakili
@dianammari84313 жыл бұрын
Hivi hamjui Mungu YUPO
@dominickjohn11283 жыл бұрын
Umesema mboe kakomeshwa na watu wa hai,wew umekomeshwa na mama samia,100/100.
@amirysaimon94883 жыл бұрын
Kikomooo komoooo
@erastobartalome27092 жыл бұрын
Hahaha
@johnzacharia23082 жыл бұрын
Kweli mwenyezi Mungu amekujibu kwa kazi uliyofanya kama ulivyosema
@danielkidenya70092 жыл бұрын
Ha ha ha
@mohammedkimanga89603 жыл бұрын
Sabaya kzi umeifnya umeiyona kutoka Kenya,,,,,,,uyu mma toka ashike uongozi ni kufuta wtu kila kukcha naona amejisahau anaona atakaa milele hpo uongozini
@ibratati36363 жыл бұрын
Huyu mama n mxhenzi watu wa magufuli wote wanadondoshwa mara wafe mara wazushiwe kesi....huyu mama n mshenzi sanaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ibrahimkasongo3 жыл бұрын
Sema jamani mti wenye matunda hupigwa mawe ushauri wangu ni uchunguzi ufanywe kwa kina huyu mtu anastahili cheo kikubwa kuliko hata DC
@marymanoni55363 жыл бұрын
Kweli
@hellenmollel66793 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu mama naye hajapuuzia taarifa zako, nenda mwana kwenda
@nurukauzen17213 жыл бұрын
Mshenzi kabisa huyu jamaa
@zenaabdallah37972 жыл бұрын
MTAMKUMBUKA TU CKU 1 KAMA NYIE NI WANAHAI.C WANAHAI TUNAMKUMBUKA KWA KUTUTETEA VEMA.HIZI NI FITINA ZA KISIASA TUMETAWALIWA NA MBUNGE MIAKA MINGI LAKINI HATUNA LOLOTE TUKIMPA KURA ANAKIMBILIA DAR IKIFIKA WAKATI WA UCHAGUZI ANARUDI TENA MAENDELEO HATUNA WALA HAULIZI SHIDA ZETU.DC NDIO ANACKILIZA SHIDA ZETU MUNGU ATAMSAIDIA ATATOKA TU
@hitlerpardon93083 жыл бұрын
hiii intavyu imekustopisshhhaaAa kaziiii
@mushimushi8013 жыл бұрын
Nahona mungu wakutaniya Aminaa
@mutajawhakaiza27523 жыл бұрын
Balaa san hıı ıshu ya sabaya nı noma sana wetu wamecharuka sana duu Mungu ndo anaejuan ukwelı wote tuıshı kama tulıvotumwa na mwenyrzı MUNGU
@duoxmasisa65293 жыл бұрын
Kweli M/Mungu ni fundi umekwenda na maji2,kija huwa nakupenda mno ila ckuelewi ckuhz
@Chrisblaze-beats3 жыл бұрын
Kija me nilishaona yupo kimaslahi zaid alafu anategemea sana teuzi kuliko kazi yake
@krizofrancisco12872 жыл бұрын
Kijana amefanya mazuri mengi ila mabaya machache ndo yamekuzwa ni sawa na mwalimu kufelisha wanafunzi wawili kati ya mia then unamfukuza kazi
@francismlembwa27333 жыл бұрын
Mungu ametenda makubwa Sana Hawa viongozi vijana Ni. Wajeuri Sana, tuwe tunaangalia Sana tunapiwatua
@hildaurassa41743 жыл бұрын
Dharau zake zimemfikisha hapo. Alikuwa kwenye Kijiji chetu akakuta watu kadhaa. Alichokisema ni kusema hawezi kuongea na watu kama hawa ni wachache. Akaondoka this guy hafai.
@emmanuelntalima1717 Жыл бұрын
Zama zetu zinakuja usihuzunike, tutarudi kazini kwa nguvu mpya
@andrewyona25523 жыл бұрын
Jamaa kamnyanyasa Sana Mbowe , alijifanya yeye ndie Mungu wa HAI
@shankamtv42403 жыл бұрын
Duuuhh kweli
@mwinyimwanakatwe46242 жыл бұрын
Una uhakika mbowe yupo salama..?
@isunga19642 жыл бұрын
Baada ya kufungwa miaka 30 jimekuja kuangalia interview
@preciousjohn94052 жыл бұрын
Mm pia tafuta ukwel alikuwa anaendeshaje uongozi wake, nichuki au alikosea kwel
@allanothuman29412 жыл бұрын
@@preciousjohn9405 n kwel mpuuz huyu
@machachehardware5975 Жыл бұрын
Alishinda rufaa ya miaka 30
@emmanuelmarklugole66373 жыл бұрын
Tunaelewa uongoz wako makini,unaweza! Kiongoz kijana shupavu mti wny matundo ndo unachezewa bado una future y uongozi nchi ucjali comrade!
@ibrahimsheha2153 жыл бұрын
Limtu awajamaa wapowengi sana chuki ilizidi sana ccm haikuwa sawa kabisa nichuki2 ilizidi
@joycemndeme13953 жыл бұрын
Uko sahihi kuna sehem lzm uwe mbogo ndo mambo yanaenda mfano Wa yesu nimeuelewa na mzee Magu alikutuma hai kwasababu inshaallah utakuwa huru
@mnganuraistunae59422 жыл бұрын
Huyumtu kunasiku atatoka Mungu atakutetea
@leaherasto9292 жыл бұрын
Nipo apa baada yahukumu yaSabaya
@mpinno21803 жыл бұрын
Mmmmh kumbe we we ndo uliyemkata masikio maana unasema wananchi wamemkomesha
@florangido2023 жыл бұрын
Ulimnyanyasa sana Mbowe Malipo ni hapa hapa Duniani!! Mungu ndiyo kashakujibu hivyoooo!!
@gracemsalila77353 жыл бұрын
Kimeita nyasi sasa akalime
@margaretwambete12283 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani. Unajisikiaje sasa bwana DC
@allansamwel29483 жыл бұрын
Ila sam hii interview dah Kama mlijua nn kitafwata mbele
@darposttv26473 жыл бұрын
Dadekiiii amtegemeae mwanadam haya ndio matokeo yake mungu ibariki tanzania
@Zaburi-3 жыл бұрын
Mungu
@brightluvanda27952 жыл бұрын
Kama unavyowategemea waliopo madarakani sasahivi,,,,,ukifikiri wao ndio wamefika!
@gastordominic4103 жыл бұрын
Mdada nimekupenda buree kwa maswali yako keep it up....jambo lile kwa mfanano ule jambo ni moja
@bennmagaya45033 жыл бұрын
Duniani Ishi Na Binadamu Wenzako Vizuri Maisha Mafupi Sana..
@usajiliusajili65113 жыл бұрын
Pole sana Sabaya huna jipya
@happymushi81973 жыл бұрын
Halaf clouds Mungu anawaona hayo maswali yenu kama mlijua anatumbuliwa. Mungu fundi kweli kweli aseeee
@stewarttesha80853 жыл бұрын
Mnafeli sana clouds tunaomba mumuite Mbowe aje ajibu
@mdedsm55223 жыл бұрын
Mbowe alipi Kodi na mhujumu uchumi
@mdedsm55223 жыл бұрын
Mbowe alipi Kodi na mhujumu uchumi
@lukaseliasobwolo74983 жыл бұрын
Mama safiiii
@asteriambwei33493 жыл бұрын
Ubabe Una mwisho wee kijana
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Ninshukuru Allah kwaajili ya Sabaya
@frankmwinuka82643 жыл бұрын
Dah nimekuelewa bro ila inchi hii cjui tupoje tukipata mtetezi ndio tunampiga mawe
@hashymharun93372 жыл бұрын
Dah maisha haya
@judyngowi3912 жыл бұрын
Alikuwa anatetea nini
@danielombela12372 жыл бұрын
Ohopa watuwanao mtajataja mungu wanayasana
@sophiekivuyo60283 жыл бұрын
maaasai wa kwanza kuwa na roho mbaya mwwnyezi mungu unamjua Mungu ww kanyee debe uko
@anordgerison86392 жыл бұрын
Baada ya kufungwa ndio nimekuja kuitazama hi interview
@mokhimji2 жыл бұрын
Sanaa au Siasa hahaha mara nyingi na changanyikiwa
@keffajacob89522 жыл бұрын
huyu mama samia...kapitia maelezo haya ya sabaya...nini maoni yake baada ya hukumu hii🤦♂️
@Hamy11093 жыл бұрын
Tunamshukuru mama kwa kututolea huyu kiumbe.
@yohanamtunduruyohanamtundu65853 жыл бұрын
Hongera Rais kwa hekima
@fadhilibrahim88783 жыл бұрын
yuko wapi vile huyu jamaa 🤣🤣🤣
@marceljohnkimaty49863 жыл бұрын
Jela
@salomemahenge67583 жыл бұрын
Kwisha abari yako hakika mungu fundi
@begukulemosobe96853 жыл бұрын
Tena si fundi nguo wala kinyozi jamani
@amirysaimon94883 жыл бұрын
Wewe ndo ulijifanya mungu. Keisha habari yakooooo.tamaaaa imekuponza
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Yep, yote siku uachanane na hayo yote hakika sabaya ndugu wangu utakuwa umejifunza mengi nzuri,,, naamini hutarudia...
@engzuberir.akilenza17643 жыл бұрын
Hivi kuna baadhi ya watu wakisema Mungu huwa wanamaanisha wanachokiongea au wanalichukilia kama neno jingine.
@qonquererqanquerer17813 жыл бұрын
Kama Huyu Anamkejeli Mungu Mnafki na Muovu Mkubwa
@johnnnko58142 жыл бұрын
Duuhh Mungu ni fundi kweliiii
@bonfacekanangiramungure8323 жыл бұрын
Peleka ujinga uko unajificha kwa maneno ahsante mama kulitoa ili jambazi mama ni mama,atakama ana maumbile ya kike kwa mungu wakina mama ni taifa kubwa la Israel
@ismaelmeliter26322 жыл бұрын
Kweli ndugu lakini tuxishangile sana axe maana nimtu mdogo
@deejeydaev3 жыл бұрын
Asee safi sana
@irenemkwizu20413 жыл бұрын
Siku zote mtu anayesaidia wanyonge na kusimama ktk mstari huwa hapendwi siku zote lazima abambikiwe mabaya... Kaka yangu mtegemee Mungu tu kila kitu kitakuwa sawa. Nilitamani sana kupata Mkuu wa Wilaya kama wewe lakini sijui haya yote yanatoka wapi???
@mot.tvmsamvu67702 жыл бұрын
Acha ujinga huyo muhud tu ndio maana kafungwa
@AlAl-sd9pl3 жыл бұрын
Mimi mwenyewe pia nimehuzunika kifo cha jembe magufuli
@ombeniluka1702 жыл бұрын
Umefika nchi ya ahadi
@williamgeorge1503 жыл бұрын
Me nimekuja apa baada ya uyu jamaa kutumbuliwa,ila clouds siwapendiiii vibaraka tu
@sharonchristian37113 жыл бұрын
At mie
@constantinochalle8563 жыл бұрын
At mm
@gracemsalila77353 жыл бұрын
Haaa haaaaa
@judyngowi3912 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilichukia sana, siku wamemleta huyu choko kumhoji
@teddygabriel56623 жыл бұрын
No 1 is perfect
@samwelipima37953 жыл бұрын
Chapa kazi kazi iendelee hata maswali unayoulizwa Niya kejeli Kama hukutenda baya mungu ni shaidi utafika mbali viongozi wenye maamuzi magum nchi hii wanauhitaji sana
@livingstonemichael423 жыл бұрын
Kweli mungu yupo had mm kaona hufai
@kihirirajabu49293 жыл бұрын
Sabaya tulia kama kweli siasa ni hatima yako badae mambo hayo yatakuwa mema yatakupa ukuu mda utasolve kila kitu
@godblessmushi40932 жыл бұрын
Niko hapa baada ya Hukumu kutoka. Ntakuja tena kuweka Comment baada ya Miaka 30 ya kutoka jela
Nakulilia sabaya kama ulivyomlilia Maghufuli mwanangu mimi ni mpaka hii sina msaada wowote naweza kukusaidia
@michaelobunde7533 жыл бұрын
Mnamlia jambazi
@thomaskaungo113 жыл бұрын
Sabaya utalipwa sawa sawa na Kazi yako
@stevennkini72133 жыл бұрын
Daa bahati mbaya Sana,,,ogopa Mungu na tekinolojia
@yohanamteleke23243 жыл бұрын
Mdogowangu SABAYA acha kutumia Maneno ya Mungu kama Sehemu ya Kificho,,,ULILEWA MADARAKA ukamsahau MUNGU.
@sniperbogo62103 жыл бұрын
Huyu jamaa na makonda walikua hawana tofaut kuyatumia madaraka yao vibaya sana kunyanyasa watu
@evansokemwa65872 жыл бұрын
Uko na wakika wewe
@abdallahlyimomrwana91343 жыл бұрын
Idd mubaraka mama etu umetutendea haki acha kaz iendelee
@emmanuelmeshuko14163 жыл бұрын
Kweli hii interview ilipikwa kwa makusudi maalum
@azizalivingston19543 жыл бұрын
Kwer sabay
@majaladubai96983 жыл бұрын
HUYU JAMAA HAFAI ANAROHO MBAYA SSANA WAPO WENGINE WALIJIFANYA KUGOMBEA UBUNGE NAKUACHA UKUU WA MKOA NAWAJUWA HAWAPATI UBUNGE NIA NIKUCHOMOKA ILI WIZI NA NA MAIVU YAO YAFUTWE HAPANA WAFUATILIWE. WAMEKUSANYA MAPESA MENGI SANA
@majaladubai96983 жыл бұрын
FAGIO LIPITE WAKUU WA MIKOA NA WILAYA WENGI WALIWEKWA KIMAKOSA. SAMIA CHOMOA WAKO WENGI WILAYANI MIKOANI
@elizabethkimbi33363 жыл бұрын
Kwa hiyo angekwenda kujieleza wapi asinine na hao wanaomsulubu sasa
@muemedealuco29872 жыл бұрын
Mimi nilifurahi sana
@amirysaimon94883 жыл бұрын
Mbowe umeiona hiyooo .chariiii sabaya
@davallamchambe52753 жыл бұрын
Basi nimeelewa kwanini umeachishwa kazi kuna kikundi cha majambazi wanaikontroo ile familia iliyofiwa na baba yao