DOKTA MO ADAI BHAKERSA NI MWANACHAMA WA SIMBA,ISHU YA FEI KWISHA,ATAMBA SIMBA MPYA USILETE TIMU

  Рет қаралды 11,398

Kaje Tv

Kaje Tv

4 күн бұрын

#ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam

Пікірлер: 59
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 2 күн бұрын
Kweli wamekosea sna sio poa dah manji
@MashakaSabato
@MashakaSabato 2 күн бұрын
Kweli umenikumbusha Yanga walikuwa wanafurahi kuja kwa chama ama walikuwa wanafurahi kifo cha yusuphu manji ebu mnisaidie hapo ndugu mtangazaji
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge Күн бұрын
Kweli doct mo umesema kweli
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge Күн бұрын
yanga umeuzi kweli paka msiba mmesusa
@ramadhanichaurembokahunge
@ramadhanichaurembokahunge Күн бұрын
Sakosi ya wazee yanga
@JohnKavula-xw7xl
@JohnKavula-xw7xl 2 күн бұрын
You make me laugh 🤣😂😂😂😂😂😁😁😁😁
@user-so1iu4vd2v
@user-so1iu4vd2v 2 күн бұрын
acha kututoa kwenye leri
@user-ko5it5hz6b
@user-ko5it5hz6b 7 сағат бұрын
Hili ni tahira unabadilishaje awe hai ukipiga hema ndo sifa hakuna sifa ya msiba wew jielewe
@AmeMahmoud
@AmeMahmoud 2 күн бұрын
Wewe mbona mpumbavu sana
@Dastanikasanda
@Dastanikasanda 2 күн бұрын
Ajaabu. Hata marehem wanamsusia khaa. Sio watu hawa 😂😂😂😂😂😂😂
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 2 күн бұрын
Apo yanga wamechamka japo uyu Simba lakin uo ndio ukweli bila manji yanga isingekuwa apa ilipo
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 күн бұрын
Uto ni kunguru wa mizoga Dampo la Simba
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 2 күн бұрын
YAANI KATIKA WATU WA HOVYO KWENYE TATHINIA YA MICHEZO NI HUYU DR, HUWEZI KUIPANGIA YANGA CHA KUFANYA WEWE MJINGA.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 2 күн бұрын
Kweli unacho ongea wanao kupinga hawamjui manji vizuli niwatoto wamwaka 2000 hawajui umuhimu wa manji katika michezo
@peterpain5594
@peterpain5594 2 күн бұрын
Tatizo halipo kwa hawa makolo tatizo lipo kwa hizi chanel zakisenge kwenda kuwahoji madunduka
@peterpain5594
@peterpain5594 2 күн бұрын
Yani kocha anaweza akawa huyu kweli sema ww shabiki simba aka dunduka tupo apa. Hao wachezaji mnao wasifia mnakumbuka kina jobe babakar saa mliwasifia ivyo ivyo sasa hawamu hii mtakufa na presha
@bianahemedi
@bianahemedi 2 күн бұрын
Sawa Dr mo umesema sana chama ye nani Kwa Simba uliondoka wengi zaidi ya chama na simba bado ipo
@drallan6879
@drallan6879 2 күн бұрын
Madeni yanga yanawasumbu wapate wapi kumkubuka manji?
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 2 күн бұрын
Bila kumsahau KRAMO
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 2 күн бұрын
Yaani yanga wamenishangaza... Kweli mmnyonge mnyongeni haki yake mpeni... Msiba wa manji yanga uliwahusu mnooo... Ama kweli tenda wema nenda zako usingoje shukrani.. Mungu atujaalie mwisho mwema 🙏
@amanifadhi
@amanifadhi 2 күн бұрын
Hawayanga niwatu wajabu sana
@user-up4kd4di7h
@user-up4kd4di7h 2 күн бұрын
Kweri manji wameshindwa
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 күн бұрын
walikuwa wanamfurahia Chama😂😂😂
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 2 күн бұрын
Chama alikua anawagawa wachezaji pamoja na coacher
@innocentnyiliwa1907
@innocentnyiliwa1907 2 күн бұрын
Zedz and njoromen, feytoso sio kwa michapio hii😂😂
@daudichoghoghwe5035
@daudichoghoghwe5035 2 күн бұрын
Supu za vibudu
@SmilingDolphin-xg2kd
@SmilingDolphin-xg2kd 2 күн бұрын
Anasema kweli
@RASHIDIKAWINA
@RASHIDIKAWINA 2 күн бұрын
Walichokuwa wanakisema kibovu kwao shangwe hawana hakili hawajitambuwi
@BashiluOmary
@BashiluOmary 2 күн бұрын
Kati ya pakome na clamo nani alikua mvp wa kule
@Virimogolo
@Virimogolo 2 күн бұрын
Hiyo nikweli bro
@graceabdalla
@graceabdalla 2 күн бұрын
Kweli.hao.yanga.ni.nyanya.chungu 😮😮😮😮
@amanimbawala8889
@amanimbawala8889 2 күн бұрын
Nyinyi midia tafuten watu wa kuwaoji puplichupli
@user-nu3ne8ul5d
@user-nu3ne8ul5d 2 күн бұрын
Kwe
@hamisikapute598
@hamisikapute598 2 күн бұрын
Hivi nyie Wachambuzi hamna Cha kuongea au kiwewe Cha Chama. Ndio maana umefukuzwa na Mangungu
@gustaphshehumu2458
@gustaphshehumu2458 2 күн бұрын
Tulia wew chula dawaingie
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 2 күн бұрын
Huyu jamaa kachanganyikiwa.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 2 күн бұрын
Wewe ndiyo umechanganyikiwa au haumjui manji wewe nimtoto wa mwaka 2000
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 күн бұрын
Nanini kweri mmekosa ubinaadamu
@omanbarka1588
@omanbarka1588 2 күн бұрын
Yanga wamechanganyikiwa na chama Kwa sababu washamba boss wao manji kafa wamemuachia atupwe tu marekani huko wao wako na chama manyau kwale hawa
@JulianaMunubi
@JulianaMunubi 2 күн бұрын
Pambana na Simba yako bro yanga bado snààa itawakera tuuiu
@user-vd3ce2zv5p
@user-vd3ce2zv5p 2 күн бұрын
Kumkera nani nawewe makosa utu na timu yenu
@jaribunimangoma4322
@jaribunimangoma4322 2 күн бұрын
Inakukela?😂
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 2 күн бұрын
Dogo jiiangalie usitukane watu ongelea mpira utapotea unapowatukana yanga kuna watu wakubwa utapotea msenge kelele nyingi haujui chochote kuma ww watu wanakuangalia watakupoteza ongelea timu yako
@JuliusMollel-jz4xl
@JuliusMollel-jz4xl 2 күн бұрын
Mpoteze sasa nyie nani huwa anawapotezaga na unavyotukana kama kichaa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 күн бұрын
Mbona unatukana na wewe timu yenu inalawama sana halafu matusi ndio mmeweka mbele hamuendi mbinguni nyie timu imejaa lawama kubebwa kadi nyekundu za uongo zinafutwa
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc 2 күн бұрын
Eeeeh hivi na nyie mmeanza kujipambanua kuwa clubuni kwenu kuna watu wakubwa wa kuweza kupoteza. watu. Jamani tusifike huko kuweni na lugha za kimpira acheni kutisha watu
@user-tm7nt8wm1x
@user-tm7nt8wm1x 2 күн бұрын
Weee fara tuu jamaa anaongea kweli hakuna wakupotea hatupo ktk ukomonist tuko ktk demorsia
@user-tm7nt8wm1x
@user-tm7nt8wm1x 2 күн бұрын
Weee fara tuu jamaa anaongea kweli hakuna wakupotea hatupo ktk ukomonist tuko ktk demorsia
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 2 күн бұрын
Sijawezaga kumuelewa,anaubiri tuu.
@omanbarka1588
@omanbarka1588 2 күн бұрын
Na hutoelewa kama hukumuelewa boss wako manji utamueleea mo kwenda zako na ushamba wenu huko jangwani
@januarysungura8119
@januarysungura8119 2 күн бұрын
Sijawahi kuona timu ya washamba kama yanga duniani kote mambo yao ni ya shamashamba hivi
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 2 күн бұрын
HAJUI UCHAMBUZI ,KAZI NI USHABIKI NA UCOMMIDIAN.
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 күн бұрын
Wew ndo unajua??
@adsonadrian6472
@adsonadrian6472 2 күн бұрын
Chambua wewe kama yeye hajui
@kihilenahimana8821
@kihilenahimana8821 2 күн бұрын
Pambana na hali yako na Simba yako kwanza,huyu jamaa anaubiri au ?
@azizaj776
@azizaj776 2 күн бұрын
Kasema UKWELI
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 2 күн бұрын
Mmekosa utukweri mbona mnajifanya hamumjui kengenyie
@januarysungura8119
@januarysungura8119 2 күн бұрын
Kwani nyie hamjawahi kuona hata kama nyumbani kwenu mlipanga sherehe alafu ghafla anakufa ndugu wa karibu ,huwa lazima muanze na msiba kisha sherehe baadae sasa ninyi watu wa aina gani?
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 44 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 14 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 32 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story ❤️
40:44
1❤️
0:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 20 МЛН
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
My cat mastered black magic #cat #cats
0:23
Princess Nika cat
Рет қаралды 11 МЛН
Me: Don't cross there's cars coming
0:16
LOL
Рет қаралды 12 МЛН