Рет қаралды 4,206
Wengi tunatamani sana kufanya mambo fulani au kuwa namna fulani lakini kila tunachotamani hakitokei, sababu ni kwamba hatuna nidhamu kwenye hayo tunayo yatamani au tunayo yafanya. Unafanyaje kuijenga nidhamu hiyo? Nifuatilie nikusaidie