Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume

  Рет қаралды 240,237

Chris Mauki

Chris Mauki

2 жыл бұрын

Je uko kwenye mahusiano au ndoa? Una yafahamu mambo ambayo huwaudhi sana wanaume na yamkini huyo wa kwako anakereka sana ila haja kwambia tu. Labda haya mambo ndio chanzo cha mikwaruzano yenu ila hujajua chimbuko lake. Nifuatilie nikudadavulie haya mambo 5 ya wanawake yanayo wakera sana wanaume. Jifunze uokoe mahusiano na ndoa
Mambo 5 ya wanaume yanayo waudhi sana wanawake, • Dr. Chris Mauki: Mamb...
yako.#DrChris#Wanawake#Wanaume

Пікірлер: 351
@maygasper-uw5bo
@maygasper-uw5bo Жыл бұрын
Asantee sana kaka nimejifunz sana yaaan umeniongelea mimi kabisa hizo mambo 5 zote za kwangu MUNGU AKUBARIKI NA AKUTUNZE SANA
@salomeezekiel734
@salomeezekiel734 2 жыл бұрын
Kiukweli umenifunza kituu asante baba kwasababu umeniokolea ndoa yangu pia kwanzia Leo nabadilika mungu akutangulie katika Kila ufanyalo
@user-ld2qh8qo4o
@user-ld2qh8qo4o 5 ай бұрын
We ndio kama me nimeacha naongeaga usiku kucha mpaka anamka anatoka njeee
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂Nime semwa hapa tobaaa hahha asante san
@angelamos8545
@angelamos8545 2 жыл бұрын
wanaume mmezid sana unaeudia swala hlohlo kila mwaka mnatia hasira sana tamaa za mwili nimewachoka
@mwanaishamkazi7870
@mwanaishamkazi7870 2 жыл бұрын
Ww ni mm 😂😂😂
@khuzaimahassan6265
@khuzaimahassan6265 2 жыл бұрын
😁😁😁
@OmmyNaaly
@OmmyNaaly 6 ай бұрын
na kweliiii
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 6 ай бұрын
Malaya sana mbwaa hawa
@aishahassan4142
@aishahassan4142 2 жыл бұрын
Shukran sana Dr...🙏
@furahadickson4056
@furahadickson4056 2 жыл бұрын
Nimeanza kujifunza kitu kutoka kwako asante kaka Chris kwa mafunzo yako.
@doricedavid5551
@doricedavid5551 2 жыл бұрын
1.kulalamika Au kulaumu 2.kukumbushia makosa ya nyuma 3.kushuku Kila kitu (doubts ) 4.kulinganisha (comparison) 5.usimuhadhibu mume wako kwa kumyima tendo la ndoa
@luciasoko9354
@luciasoko9354 2 жыл бұрын
Na sidhani kama kuna MTU ambaye hajawaj kulalamika utakuta naudhi kwelikweli ukimuuliza nakwambia unalalamika sana wakati yeye ndo chanzo aisee asikwambie mtu
@mwanaishamkazi7870
@mwanaishamkazi7870 2 жыл бұрын
Mm hapa nmefeli 😂😂
@faithandati3229
@faithandati3229 2 жыл бұрын
😂😂😂hapa mm nimeangukako
@birusidesmond3245
@birusidesmond3245 2 жыл бұрын
Mimi hapa💯
@bethjohn928
@bethjohn928 2 жыл бұрын
Vyote hivi ninavyo na siwez kuacha mana Kila mala uwa analudi ludi makosa kusaliti dharau uchoyo ubibafsi majibu mabaya ila akibanwa akitaka unyumba ndio anajishusha tena tendo likiisha analudia kuachana hataki vitisho vingi basi inabidi iwe ivyo ivyo ingawa moyo umechoka
@hekimacharles1048
@hekimacharles1048 2 жыл бұрын
Asante doctor umenisaidia sana, naweza sema kila siku nabadilika kupita clip zako🙏
@ramlati7646
@ramlati7646 2 жыл бұрын
Daa,hapo kwa kukumbuka yalopita ,na kucomplain mungu anisamehe
@roswitaegogo5098
@roswitaegogo5098 2 жыл бұрын
Ongera mauki you touch it,Ni kweli kabisa Ni Kama unajua exactly maisha ya watu....
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante unatufungia macho,barikiwa Sana,
@dorcusmlinga862
@dorcusmlinga862 2 жыл бұрын
Dr Mwenyezi Mungu akubari sana sana
@magrethmwambu3637
@magrethmwambu3637 11 ай бұрын
Dr,wanaume ni stress sanaaa anaweza kukufanya ukakimbia kichaa,wana dharau balaaa tena wenye ndoa ndiyo tatizo kubwa sijui hawa viumbe wanataka nini hawaeleweki.
@mtafyahelena2288
@mtafyahelena2288 7 ай бұрын
Kabisa Wala hujakosea
@user-ep3ph4ig8d
@user-ep3ph4ig8d 3 ай бұрын
Hujakosea kabisa
@twaybachellah914
@twaybachellah914 2 жыл бұрын
Shukran....
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 2 жыл бұрын
Shukran Dr mngu akubariki amiin
@rehemarusunzu804
@rehemarusunzu804 2 жыл бұрын
Asantee sana
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 2 жыл бұрын
Shukran sn
@swalhazira8533
@swalhazira8533 Жыл бұрын
Asante nitabadilika na mambo 3 hayo ya mwanzo umenifunza sanaaaa dr mambo yako safiiii👌
@solomonmassangya8187
@solomonmassangya8187 2 жыл бұрын
Hongera Sana kiongoz nashukuru sana mafundisho mazuri Mungu akubariki.
@user-pm1oo2ot4y
@user-pm1oo2ot4y 11 ай бұрын
Asante kwa mafundisho,God bless you
@roseamukhono9150
@roseamukhono9150 2 жыл бұрын
Asante Dr hua nasoma kitu kwa mafunzo yako
@blamotz2000
@blamotz2000 2 жыл бұрын
ahsante kwa somo zuri ambalo limegusa miongoni mwa jambo mambo matatu ambayo dhahiri yatanisaidia kuelewana.
@kulwakipuga5487
@kulwakipuga5487 10 күн бұрын
Ahsante kwa ushauri,ila kaka unakuta mwanaume mwenyewe akikosea ataki kabisaa kuombaa msamahà kabisaa na wala ukikaa kuzungumzaa nae anabadilishaa makosaa yake yanakuwaa ya kwako,ni Mungu tu anayebadishia MTU sidhani ata ukifanyaa vyote atakuonaa wa maana.
@stanslausbereghe3819
@stanslausbereghe3819 2 жыл бұрын
Yes, this is the best Media Online TV
@jfr2444
@jfr2444 2 жыл бұрын
asante na jifunza kutuko kwako Mungu akubariki
@domitilarwakunda807
@domitilarwakunda807 2 жыл бұрын
Asante sana baba
@kissajohn8676
@kissajohn8676 2 жыл бұрын
Asante kwa SoMo zuri
@besthatchincubators2786
@besthatchincubators2786 Жыл бұрын
Asante,,be blessed 🙌
@paqchatygaga7276
@paqchatygaga7276 2 жыл бұрын
Asant dokta mm izo ndio tabia zangu na ndio mana mpnz wangu amechoshwa na ameniacha ..ntabadilika kuanzia sasa.
@rehemampangala5544
@rehemampangala5544 Жыл бұрын
Asante Dr ubarikiwe sana
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 Жыл бұрын
Asante sanaaaàa doctor umeniponya mungu akulinde sana
@khadijaramadhan1796
@khadijaramadhan1796 2 жыл бұрын
Asante kwasomozuri asantesana
@mconedimple5364
@mconedimple5364 10 ай бұрын
Asante dr Chris Mauki👍🏽👏👏🙏🙏
@ZiadaRashidi
@ZiadaRashidi Жыл бұрын
Ahsante Dr Chris endelea kutufundisha
@frankthomas2867
@frankthomas2867 Жыл бұрын
Asante, Dr.chris ,nimejifunza kitu. Naimani nitakuwa mke bora
@gloriachao9735
@gloriachao9735 2 жыл бұрын
Nakuelewa Sana doctor Asante Sana
@annehwandia4879
@annehwandia4879 2 жыл бұрын
Asante kwa kuninjulia
@munikomarwa2025
@munikomarwa2025 2 жыл бұрын
Hapa umeniokoa kabisa thanks pastor kwa mafunzo yko
@mynameisname8805
@mynameisname8805 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Dr
@sammgnnko4379
@sammgnnko4379 2 жыл бұрын
Be blessed brother hili somo Ni la ♨️♨️ San linafundish saba
@sacg9783
@sacg9783 Жыл бұрын
Be blessed Dr 🙏🙏🙏🙏
@mohammedalshahwani1542
@mohammedalshahwani1542 2 жыл бұрын
Amina Ubarikiwe 🙏🙏😘😘napenda mafundisho yako
@dianandabirorere6365
@dianandabirorere6365 2 жыл бұрын
Shukran kwa mawaidha
@biumbemohamed7945
@biumbemohamed7945 2 жыл бұрын
Thanks ubarikiwe
@mercylinekerubo6425
@mercylinekerubo6425 Жыл бұрын
Kweli kabisaaa be blessed alot 🙏
@luciayohana3035
@luciayohana3035 2 жыл бұрын
asante sana kaka kwa mafundsho yako bora
@user-pp3rp5ss8u
@user-pp3rp5ss8u 8 ай бұрын
Mungu akubariki sana,umenichanua sana
@florencehaluwa2191
@florencehaluwa2191 Жыл бұрын
waaah asante hyo n mimi kbsa nitarekebisha
@pendorensam9680
@pendorensam9680 2 жыл бұрын
Asante kwa somo
@rispermuli3292
@rispermuli3292 Жыл бұрын
Waoh thanks pastor hakika kupitia kwako nabadilika and saving ndoa yangu
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 Жыл бұрын
Mungu akutunze sana❤
@kuruthumually3786
@kuruthumually3786 Жыл бұрын
Thanks alots.unanbadlsha kila wakat.
@user-un1ew4cg9q
@user-un1ew4cg9q 5 ай бұрын
Asante kaka yng nimejifunza meng kutoka kwako mungu akuongezee miaka buku uzid kutuelimisha
@rebeccqhnyqngoso3772
@rebeccqhnyqngoso3772 Ай бұрын
Thanks for good advice God bless you 🙏
@user-rq2ev4qr6b
@user-rq2ev4qr6b 11 ай бұрын
Shukran sana kwa mafundisho yako Sasa ndo nimeelewa alhadhulillah
@NoelMmbando-sg2ev
@NoelMmbando-sg2ev Жыл бұрын
Very facts bro.darasa zaidi kwa somo hili.
@beera.g5302
@beera.g5302 5 ай бұрын
Thqs very much 🙏, nimejifunza sana😬
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 2 жыл бұрын
Ncee piece of a dvice boss thxz
@leinashabani1386
@leinashabani1386 2 жыл бұрын
Daaaa dockta Asante kwa kunielimisha
@KhadijaKarani-ji6nc
@KhadijaKarani-ji6nc Ай бұрын
Asante nimejifuza sana
@elzdeus2365
@elzdeus2365 Жыл бұрын
Asante Dr.nimejifunza k2
@dorisbosibori8126
@dorisbosibori8126 Жыл бұрын
Thanks my brother had Vai's
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 4 ай бұрын
Shukran Doctor Kweli ulio sema Kwnye kulaumu Nitaachaa shukran sn
@user-nb6nh2is4n
@user-nb6nh2is4n Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@deborahapolnary1433
@deborahapolnary1433 2 жыл бұрын
God bless you ever brother, you teach us the important thing to have in our relationship 💞
@RoswintaLovenus-wp4dv
@RoswintaLovenus-wp4dv 11 ай бұрын
Mhh docta yaan haya Mambo wasio penda wanaume Mambo matati huwana mm nayafanya lakin kwaelimu uliyotoa nimejifunza na nitajirekebisha Asante docta mungu akurinde
@rehemaibrahim8758
@rehemaibrahim8758 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie kwakwel🙏
@racheljoseph5192
@racheljoseph5192 2 жыл бұрын
Yaani Mbona Hizi Dalili Anafanya Mwanaume Wangu Na Sio Mimi Sasa Inakuaje hapo 😟😟😟
@upendomgallah2169
@upendomgallah2169 Жыл бұрын
Dah n balaa
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Sisi watu wa tanga tuna muita kihiri😅😅😅yani kashindikana
@lilianleonard8106
@lilianleonard8106 2 жыл бұрын
Asante sana Barikiwa Dr. Mauki 🙏
@mislilyn.9181
@mislilyn.9181 2 жыл бұрын
Lilian 🤗😍
@salamasalum6956
@salamasalum6956 6 ай бұрын
Asante sana kaka umenielimisha
@teddylameck21
@teddylameck21 2 жыл бұрын
Asantee mnoo
@kwamefidel736
@kwamefidel736 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri barikiwa
@hellengakii5560
@hellengakii5560 Жыл бұрын
Wao God bless u bro
@user-lo6wd9fj6k
@user-lo6wd9fj6k 9 күн бұрын
Huyo nimimi kabisa nakumbukaga sana mambo ambayo aliniahidi naakufanya lkn sasa nabadilika Mungu anisaidie
@skorahmgala8736
@skorahmgala8736 11 ай бұрын
Asante kwa somo zuri nimebadilika kiukweli kuanzia Leo nimepona
@neemamsanga253
@neemamsanga253 4 ай бұрын
ubarikiwe sana 🙏 daah Mungu anisamehe sana
@rehemalugenge7718
@rehemalugenge7718 Жыл бұрын
Asanteee kwasomolako kaka hakikaa umeongea nitakuwaaa mwanafunzii wakooo kwa sasa
@elizabethelisaria6730
@elizabethelisaria6730 2 жыл бұрын
Good Dr.
@happyazizi6044
@happyazizi6044 Жыл бұрын
Duuh!! Tabia yangu kabsa ....ahsante nmepona
@Gellefaroolle
@Gellefaroolle 3 ай бұрын
Thanks kwa kunifundisha
@gracesamwely8178
@gracesamwely8178 2 жыл бұрын
Asante kwa nondo za kutosha
@lydiabosibori4116
@lydiabosibori4116 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako mazuri kabisa 🙏
@millymatere
@millymatere 2 жыл бұрын
kzfaq.info/love/gOAVSGHfZVwKvYugy52iMQ
@banguha
@banguha Жыл бұрын
Ngoja nijaribu hili la kushuku kwa kweli ninalo Mungu anisaidie
@ayshaaisha7630
@ayshaaisha7630 2 жыл бұрын
Shukrani
@ramazanihakizimana9291
@ramazanihakizimana9291 2 ай бұрын
Nimekufwatiliya sana Salut uko sahihi
@alwaladorcus3809
@alwaladorcus3809 2 жыл бұрын
Be blessed
@mukembanyikalinda8908
@mukembanyikalinda8908 2 жыл бұрын
I like. You my brother
@ElizabethMutuku-qt2vj
@ElizabethMutuku-qt2vj 5 ай бұрын
So nice ilove this channel
@christinasiikon4708
@christinasiikon4708 2 жыл бұрын
Mawaidha mazuri sana.God bless
@user-hk6nc7zp9j
@user-hk6nc7zp9j 8 ай бұрын
Mungu akuzidishiye kibali
@mutulilawrence727
@mutulilawrence727 Жыл бұрын
Asante Sana kwa mafundisho yako, unafanya poa pia kukosoa wanawake, maana tulikua tuna wafanya Hao ndio wanao stahili Bali c wanaume, nakutizama nikiwa qatar
@EstaMwakasala
@EstaMwakasala 25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 nimekamatwa
@abcmnbb2610
@abcmnbb2610 2 жыл бұрын
Asante kaka
@salamabakari8384
@salamabakari8384 2 жыл бұрын
Ahsante
@glorycheyo1081
@glorycheyo1081 Жыл бұрын
Asante dockt
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 2 жыл бұрын
Asante chirss
@OZANAJOSEPH
@OZANAJOSEPH 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana hapa kulalamika daah
@violethswai8061
@violethswai8061 2 жыл бұрын
Kama wakiwa responsible na kujitambua hayo mambo yanaepukika.
@noraskamyamba3508
@noraskamyamba3508 2 жыл бұрын
Asantee
@mwanaidabeid8720
@mwanaidabeid8720 2 жыл бұрын
Asanti sana kaka angu jamani duh♥️
@erenestinalupenza8459
@erenestinalupenza8459 2 жыл бұрын
Thanks
@RedentaMichaelmfilinge
@RedentaMichaelmfilinge 3 ай бұрын
Asnte nmepata somo🙏🙏
Dr. Chris Mauki:  Mambo 5 ya wanaume yanayo waudhi sana wanawake
10:20
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 6 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН
Dr. Chris Mauki: Dalili 4 Kwamba Mpenzi Wako Amekuchoka
9:45
Chris Mauki
Рет қаралды 217 М.
Dr.Chris Mauki: Maneno haya 6 yatakufanya upendwe Zaidi.
8:11
Chris Mauki
Рет қаралды 402 М.
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 12 М.
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.
9:44
How To Make Them MISS YOU Badly By Adopting These
30:06
Powerful Stoic Habits
Рет қаралды 152 М.
Nini Ufanye Unapokosa Support? - Joel Nanauka
9:42
Joel Nanauka
Рет қаралды 121 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН