Asante Mungu kwa hii zawadi ya mtumishi wako ,jina lako lihimidiwe hata ulipo mwiita,rest in peace Pastor Peter
@rachelidaya93135 жыл бұрын
Mimi na mfata pasteur MITIMINGI kutoka D.R CONGO🇨🇩, mafundisho yake ni ya muzuri saaaaaaaaana, Mungu azidi kumbariki. Maisha marefu kwa watumishi wa Mungu mahali popote mulipo.
@gervaskisonga81624 жыл бұрын
Tushapotelewa na mtumishi mitimingi
@trophywilson72113 жыл бұрын
Rest in Peace Pastor
@hawaabubakar26196 жыл бұрын
Hongera xana kwa mafunzo mazuri GOD BLESS YOU
@abdulsimbarakiye41452 жыл бұрын
Uchungaji unayvo Sema ni kweli kabisa mke wangu nikimuhuliza mbona ujatandika kitanda jibu na wewe tandika juu na wewe unalaliaga kitanda tandika
@irenekambi47054 жыл бұрын
Jamani twabembeleza lakini haviwi mungu atuhurumie wamama tuna shida
@subirajosepha26534 жыл бұрын
Saana mungu atutie nguvu
@salmakiyabosiriyamachoziha87564 жыл бұрын
Dar jamani naumia san masomo mazur san tupate wapi mungu muweke mahali pema pepon.
@fremwamedia19764 жыл бұрын
Basi ww unashida
@danfordmilagiro18363 жыл бұрын
Kila ninapo isikiliza ninaiona mpya Mungu akuweke mahali salama mpendwa bado tunakukumbuka
@jumamachano73295 жыл бұрын
Ukiachia saikolojia ulonayo pia una kipaji Cha kuongea Mimi Ni muislamu ila napenda kukufatilia napata kitu kutoka kwako
@kizakizapetro62055 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@sarehengome28203 жыл бұрын
Nimekuerewa sana uko vizuri sana
@henocknorberty99303 жыл бұрын
@@kizakizapetro6205 AqAAAaAAAAAAqaAQAAa
@trophywilson72113 жыл бұрын
Alikuwa nacho
@janethjaneth33695 жыл бұрын
Nimejikuta natoa machozi kwa mafundisho haya maana yamenigusa zaidi na nimejifunza sana na kuanzia Leo ntamurshim Mme wangu sana.....Mme wangu analala mpaka nje ila naisi nami ni chanzo kwa sababu ya ukalii wanguu
@yoramtango24703 жыл бұрын
Badilika Sasa dada
@ndwatanchullah40134 жыл бұрын
Ndivyo ilivyo Mungu anawapenda wanyenyekevu na hiyo ndio maana halisi ya neno Uislam asante pastor kwa hubiri uislamu.
@husnamichael91734 жыл бұрын
Masudi porisidwata Nchullah
@husnamichael91734 жыл бұрын
Masudi poris
@jeanettegloria62444 жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu hatakama umeondoka mafundisho yako ulio yaacha ya tadumu RIP baba
@francinekabwe12115 жыл бұрын
Amen baba mafundisho yako yana jenga kitu ,ndani yaroho yangu ,marakwamara 🙏🏽
@neemagabriel76943 жыл бұрын
Kifo chako kimeniumiza sana Dady R.I.P pastor umeacha mbegu njema naamini hata ulichofundisha kitanisaidia katika ndoa yangu ijayo,
@nickdr_tv3 жыл бұрын
nice
@samuelramadhani15212 жыл бұрын
Amen Mtumishi Mungu akuweke sehemu Salama asante sana kwa adhina hii uliotuachia
@canisiamahay72654 жыл бұрын
Nice somo,,,,,, siku nyingine andaa somo kwa wanavyuo wanaotarajia kuingia kwenye ndoa waishije!??? Karibu sana Udom
@sabelakapesa22054 жыл бұрын
CANISIA AHAY Kuthaminianiana na kusamehana tu Dada jwangu
@tamimuabdul58435 жыл бұрын
Axnte baba nmejifunza me shida yang ilikuwa kujibizana. 🙏
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Uache sasa maana Sisi wanaume huwa tuna mapenzi ya thati kwa MKE wenye utulivu na mpole(humble)
@zaudatmakula34544 жыл бұрын
@@jacksonmathayo6510 sawa sawa
@frankstanslaus35884 жыл бұрын
We muongo.
@linuskajange8762 жыл бұрын
Hongera kwa mahubiri yako .ongeraaaa wambiie hao niwabishi sana wengne.kaz kubishana tuuuu
@elizabethnkonyoka54726 жыл бұрын
Hongera saana baba kwa mafundisho mazuri ,Mungu akubariki sana
@denisykutemile84496 жыл бұрын
Hongera Sana Sana mafundisho mazuri sana
@geoffreykiiru84794 жыл бұрын
Ukweli ndio huo nyamaza tu
@vincentjoseph47454 жыл бұрын
Uko vizur sana baba mafundisho mazuri sana mungu akutangulie kwa kila kitu tatika maisha yako
@suzannjokinjoki46733 жыл бұрын
Amen. Thanks so much pastor, have learn more and more from you the way to be with your spouse in the house and how to treate him. Even tho you're not there but you will always be remembered for your great work you did. R.I.p
@tedytitus72053 жыл бұрын
God over everything 😭😭..siezi kulala bila kupitia uku aisee😞pumzika baba
@rosallyfideline7974 жыл бұрын
Kwakweli unakipaji ya kufundisha. Unayoyaongea ni kweli kbsa 100% be blessed.
@gloryrajabu55644 жыл бұрын
Daaah nenda baba umemaaliza kazi
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Kitchenpart hiyo sasa watoto wetu wanayaweza hayo katika ndoa wala hazidumu kila mtu mie msomi
@gervasvitus1925 Жыл бұрын
Tulipoteza mtu muhimu Sana kwenye saikolojia yote ya yote kazi ya Mungu haina makosa rest in peace
@lilsome63314 жыл бұрын
Mungu amuingize peponi , dah nimechelewa kujiunga anamafunzo mazuri sana
@godiasjohn29155 жыл бұрын
kiukweli mafundisho yako yamebadili mtazamo wangu kwa kiasi kikubwa
@mitimingionlinetv98965 жыл бұрын
Amina Ubarikiwr sana Godias. Sifa na utukufu kwa Mungu. Unapatikana wapi
@magrethjulius15024 жыл бұрын
Penda saana ww Barikiwa
@roseraphael55324 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mchungaji mitimingi.
@saidlwambo19954 жыл бұрын
Mwanaume pia anapaswa kuwa mstarabu mbele ya mke na sio kufoka foka tu,wanawake nao uchoshwa na vitendo vya namna hiyo.
@jacklinemunis18814 жыл бұрын
Nikwel
@allytweve72184 жыл бұрын
Sikia neno au na wew niwale wale
@alinenabintu48824 жыл бұрын
uuySaid Luambo bbbtbbt
@lyneddy15573 жыл бұрын
@@allytweve7218 😂😂😂😂😂😂😂
@yovithaobed55743 жыл бұрын
Kweli kabisa mana kunawanaume wakianza kuongea hawachoki mpaka umjibu kitu ndo anatulia na kila binadamu anahasira yake
@fabricekangitsi30252 жыл бұрын
Very important message. We thang you so much. Thx from DRC
@anjawestanley45023 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu ametuacha Ila maneno yake yanaish mwenyez mung apunguzie adhabu ya kabur
@annwanjala1616 жыл бұрын
Asante sana Mjungaji kwa mafunzo yako yamenitoa mahali nilikua na kuniweka mahali pazuri mungu akubariki sana
@atupelealladin9195 жыл бұрын
Aise mchungaji mafundisho yako ni kweli. tunapaswa kuyajua haya kwa hasiye sikia yatasaidia katika maisha yao , maisha yetu UBARIKIWE.
@stewartmillanzi71986 жыл бұрын
You are a great teacher. Your teachings are full of life and anointing. May the Lord God Almighty keep blessing you in a mighty way.
@mitimingionlinetv98966 жыл бұрын
Amen, Glory be to God. Blessed
@tumimasiku34363 жыл бұрын
Amina baba mungu akubaliki una2fundisha mengi mm bado sijaolewa ila unanitia moyo baba
@faidaruzamuka69974 жыл бұрын
You are a good teacher . Thank you
@fednandwanda25593 жыл бұрын
Uliacha ulimwengu. Uliacha ujumbe mwalimu wa neno la mungu. Mola akulinde huko uliko
@dorothdorothwanjala82225 жыл бұрын
Mafunzo mema kabisa. Mimi hunyamaza hata kazini mpaka wenzangu wananiona ni mjinga ila najua ninachokifanya
@dorothyxavery61784 жыл бұрын
Jmn una jina kama langu
@prettynesspastory31114 жыл бұрын
Rest in peace dady!!! Siamini macho yangu !!! Mungu tuhurumie tunakuomba
@seurikasaro4 жыл бұрын
The fact you said,me too i do not believe
@jeanettegloria62444 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu nimejifunza mengi kutoka kwako na nimeamua kuyafanyiya kazi
@natujwamchome19556 жыл бұрын
somo lako halijawahi kunipita bure nikisikiza lazima nijifunze kitu,asante mwalimu
@mitimingionlinetv98966 жыл бұрын
Barikiwa sana Natujwa.
@yustasanga63274 жыл бұрын
Umevipiga vita vilivyo vyema mwendo umeumaliza pumzika kwa aman sijaamin jamana Mungu awatie nguvu ndugu jamaa na marafik
@gloriatoo223 жыл бұрын
Nini ilimuua wooiye
@josephkaranja81665 ай бұрын
Mungu amuweke pema peponi he was a good teacher
@jacquesabungulu80204 жыл бұрын
Mafundisho mazuri zaidi ikiwa waume na wake tunayazingatiya
@divineglorywithmamabeatric26674 жыл бұрын
Amen amen. Nabarikiwa sana na mafunfisho haya kweli.
@millicentondeng60184 жыл бұрын
Waaa nimepigwa na butua, i never heard of his death.I was watching this video without even knowing.
@josinamarcel14674 жыл бұрын
Mwanaume mwingine bila kimfokea ka mtoto habadiliki kwenye usafi, kipato nk. Tunaaongea kwa upole lakini aisee vitu vingine inafika mahali hata kupiga tunapiga. Pole Pastor
@kesageroandrew69124 жыл бұрын
Daaaah.... Niliyapenda sana mafundisho yako na Yemen fuza mengi japo umetutoka tutayaishi mafundisho yako. Upumzike kwa Amani.
@georginnathornhill40524 жыл бұрын
Dahh kweli hili ni Gala ya chakula cha uzima .mafundisho kama haya ni adimu sana kuyapata.nakufuatilia kutoka st Louis 🇺🇸.barikiwe sana mtumishi
@neemaswai83846 жыл бұрын
Nimepata hapo kitu,safi sana,usigande Dar tembea mikoa yote Tz,asante.
@janethjaneth33695 жыл бұрын
Neema Swai haswaa nasi kanda ya ziwa tunatamani kukuonaa
@noreenrowland60634 жыл бұрын
Mungu azidi kukueka
@mitimingionlinetv98964 жыл бұрын
Noreen Rowland Amina
@blandinamyinga94893 жыл бұрын
Maneno haya yana ukweli kwa asilimia 60 lkn ngoja niseme kuna wanawake wanajua kubembeleza,wanajua kunyenyekea lkn hao waume zao ni SHIDA ni Mungu nihurumie kwa hiyo kwenye ndoa tuishi kwa makubaliano,kujadiliana,kupanga,kuongea,kushirikiana,nyenyekea upendavyo Ila hiyo nyumba isipokuwa na upendo ni kazi bure
@johnmasanja29387 ай бұрын
Mmmmmmmh
@annastaziadickson46473 жыл бұрын
aminaaa pastor sema baba tuponeee
@farajachengula96995 жыл бұрын
Umenifanya nibadilike asante mtumish kwa neno
@khalifanlyeme87104 жыл бұрын
nimeyapenda mafundisho mtumishi
@hamidakassim44 жыл бұрын
kipao mbele mtimishii wa Mungu! umenena jimbe sahihi👏👏
@kdv6959 Жыл бұрын
Rest n prece pastar mafuzomazuri sana umenisaidia sana mm ckua n jielewa n sikiliza nkwa kenya napenda kufuwatilia mfuzo
@neemachalamila5905 жыл бұрын
umenifungua sana na nimepata kujifunza na kuelewa,nitaanza upya na sitafanya makosa tena
@saraphinarichard15256 жыл бұрын
your Heroo...may God guide you for his wisdom and power forever..don't give up you teach great things that help someone to live his/her dream
@mitimingionlinetv98966 жыл бұрын
Amen, Glory be to God. Thank you Saraphina Richard
@azizamusa97263 жыл бұрын
X Isix
@agnesmunguakubarkisananaup12775 жыл бұрын
Safi sana baba mungu akuzidishie uongeze vtu vzur zaidi usaidie watu nmefurahi
@deborabalama26566 жыл бұрын
sema baba tupone mungu akubariki
@hedwigjohn62763 жыл бұрын
Uendelee kupumzika kwa amani 🙏 umetufunza mengi sana
@bahatimnanka17782 жыл бұрын
Ahsante sana kwa ushauli wako kamanda tutakukumbuka kwa somo lako
@mwajumahamisi67386 жыл бұрын
It is very true kwamba mwanaume hapendi kujibishwa.... Thanks man of God
@mitimingionlinetv98966 жыл бұрын
Mwajuma Hamisi Amen, Blessed Always Mwajuma.
@vegasdenby93424 жыл бұрын
Asante baba ututumiye piya maukurasa ya mafundisho hayo baba
@andrewchebukati17964 жыл бұрын
Hongera Sana kwa mafunzo Yako Mungu akulaze mahali pema.umetenda mema duniani.
@tatushebe58473 жыл бұрын
Asante mungu kwa maisha ya mtumishi peter mitimingi
@salummpala41764 жыл бұрын
Rest in peace mm muislam Ila mchungaji nakukubali Sana Kwan mafundisho yako kunakitu najifunza kupitia Wewe
Daa mwacheni mungu aitwe mungu umetuachia machungu🙏🙏🙏😭😭😭
@nicolemichael76265 жыл бұрын
ubarikiwe hakika mwanamke mpumbavu huibomoa ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe,na mpumbavu huidhihirisha hasira yake Bali mwerevu ataizuia,
@jeskarugakingira93354 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele mchungaji
@chrispinokoppa66326 жыл бұрын
Ubarikiwe mafundisho mazuri sana kwa akina dada na wamama
@maggyirene1104 жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji.. Kupitia mafunzo haya, nimepona
@user-xl2tt3qy9d Жыл бұрын
Daima Nitakukumbuka Mch Mwalimu wangu
@godfreyosalechuwa17344 жыл бұрын
Asante mungu akubariki👏👏👏
@winniekisindo1634 жыл бұрын
Thumbs up for this message
@joshuamtae4404 жыл бұрын
nimemuerewa sana Jamaaa Amina kubwa
@habibamashaka31725 жыл бұрын
mungu akubariki Mt wa bwana kwa mafundisho unayotupa yanatusaidia sana
@boazmathew96066 жыл бұрын
mwenyenz Mungu akupe kuish kwing pastor Mitimingi
@balasisiterezia16095 жыл бұрын
Blessed mnooooooooo,, an daah though am single buh najfunza ktu kkubwa Sana hope ktansaidia kwa ndoa yangu ijayooooo
@RitaAsha6 жыл бұрын
Being single m learnin alot of thìngs mungu akubariki sana
@mitimingionlinetv98966 жыл бұрын
Amen, Glory be 2 God, Blessed
@mosesjuma87404 жыл бұрын
Kweli
@nashahaji41684 жыл бұрын
Asante jamani maana tunajisahau wajibu wetu
@samwelisena8909 Жыл бұрын
You will remain in our hearts pastor mitimingi rest in eternal peace
@ramazanilingomo67685 жыл бұрын
Mzee wangu kuna kitu sikuwa najuwa maishani mwangu hata mke wangu kila kipindi yako yooote mwezi tatu anafwataka ku KZfaq na mpaka leo mke wangu niliishaka kumpenda kupita kipimo kwani aliishaka badirisha tabiya kufwata na maubiri yako nime kushukuru saaaana mungu azidi kukuo ngezeya akili ya kuweza kutupa mashauri mimi ni drive RAMS apa Canada Vancouver
@miriamasubwa15524 жыл бұрын
Woie pole pastor kutuaja mafunzo mazuri hayo,tutapata wapi,mungu akuweke Mahali pema
@gaudensiajoseph93644 жыл бұрын
Mafundisho mazurii,,,ubarikiwe mtumishi😇
@ruttajames12634 жыл бұрын
Amen mtumishi nabarikiwa sana
@gaston5357 Жыл бұрын
R I p
@christopherontuga48704 жыл бұрын
Great teaching good lessons
@rishmamlacha16256 жыл бұрын
Mungu akupemaisha marefu doctor
@candybenardy31104 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Baba nimeelewa sana hili somo
@josephsimon11736 жыл бұрын
God bless u so much bro
@lucylucas96582 жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor kwamafunsho yko, keep rest in peace
@jonathanloveness67286 жыл бұрын
Barikiwa baba
@happynescostat74202 жыл бұрын
Mungu akukumbuke kwa ilo,cheka akiishi,
@esaumakele74764 жыл бұрын
Nabarikiwa sanaa, kwa mafundisho yako
@hamisymatagi83503 жыл бұрын
R.I.P mungu na akulaze mahal pema.maneno yako hayapoteii kabsa kwangu
I can say 50% some of the time even you woman you humble yourself he will still do what he wants, he won't stop cheating because you humble yourself to him.