Ndoa nyingi leo zinapata tabu kwasabau watu walichemka vitu muhimu wakati wa uchumba, je unavijua vitu hivyo? Fuatana nami nikusaidie kuvijua kimoja baada ya kingine #DrChrisMauki#Mchumba#Kuoana
Пікірлер: 47
@jennytugara94702 жыл бұрын
Am so glad someone has to speak to this young People. Honestly Parenting in Africa is a sin to discuss such issues with your kids. Big ups brother keep doing what you’re doing🙏🏾
@user-cx2us8wu8l5 ай бұрын
Ubarikiwe Sana dr Chris .mimi ni Badesirwe Mudebe Théophile kutoka Uvira Sud Kivu RDC
@hadijakonyaki55803 жыл бұрын
Una mke mwerevu mno,MUNGU nibariki nami nipate Mume sahihi
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Mungu akubariki, hakika Mungu ahusike ktk mahusiano yangu.💒
@user-if9iq5sg5c11 ай бұрын
Dr. Chris Mungu wa mbingu na nchi akurehem you with your family nawapenda na naimarika kimahusiano kupitia wewe ingawa bado nina changamoto 🙏
Aseee apo kwenye maswala ya pesa wanawake wako vzr kwenye budget
@kijanamwepesi69972 жыл бұрын
Upo vzri ndugu
@swalhinajuma41493 жыл бұрын
Mrs mauki,i salute u dada
@jacklinejoseph40603 жыл бұрын
Hongera san mrs. Chris
@user-lt4oq4ez2d Жыл бұрын
Asante Dr Hakika nimejifunza mengi
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Hahaaaa da nimecheka Sana yani Wanawake umetyweza ni vyakwerivyote
@beckykipepe77423 жыл бұрын
Wow,watching this From UAE..!Nabarikiwa mno na mafundisho yako Mwl.Mauki.Stay Blessed.
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante sana sana. Wasalimuhuko
@lewinacute76872 жыл бұрын
Nimeipenda
@angydavy89063 жыл бұрын
Je!!!kuna mtu anaweza akawa na hizi lv language zaidi ya moja??
@oliverjoseph552 жыл бұрын
Nawapenda sn
@edithstellambezi67683 жыл бұрын
Ahsante sana Dr Chris
@user-cx2us8wu8l5 ай бұрын
Tunashukuru sana.
@catherinendunguru8859 Жыл бұрын
God bless you Man of God!🙏🏾
@jessydaktari52093 жыл бұрын
This is powerful sir...
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante sana
@cliffkingi3 жыл бұрын
Chris thanks may God give more and more.....utufunze...
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Amen asante sana
@kiloabdallah9367 Жыл бұрын
Aisee, mafundisho ni mazur binafsi nafrai maana nikija jiunga na mahusiano mpaka ndoa, ntakuwa nimekua kiakili zaidi.
@jacklinechabruma31233 жыл бұрын
Kunamtu hata ukimwambia ukweli kwamba napenda mwanaume ambae tutakua tunaeaidiana katika maisha lakini bado anakua Hana msaada lakini anasema anakupenda
Njoo karibu mke wangu nan kasikia hapo Ha ha haaaaaaaaaaaa!!!
@fortunepaul39923 жыл бұрын
👏👏👏
@esterlaizer72373 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mwalm nawapenda sana Mr and Mrs mauck
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Asante sana
@lucyhusein40433 жыл бұрын
Kad yakura nanaul nachumba apewe yaku jaribu nguo ha ha haaaaaaa umejua kunifurahisha dkt
@edgarlema83092 жыл бұрын
Hapo kwnye kubagan mh namashaka
@hildajoshua29063 жыл бұрын
Blessed Pastor
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Amen
@user-iv8kh8vd5r7 ай бұрын
Ha 😂 haaa haaa haaa good point
@mamycoco18282 жыл бұрын
Mimi nataka kuuliza hizo love language huwezi kua nazo zote kwasababu mimi ninajiona niko nazo zote pia naumia pale nafanya yeye hanifanyie
@mamycoco18282 жыл бұрын
Kwasabubu mimi napenda kumufanyia suprese napenda sana kumwambia kapendeza napenda sana nikiona tuko pamoja napenda muzigo wake uwe wangu ila napenda anipe muda anifanyie vile Ninavyo mufanyia sasa hapa nimechanganyikia yeye lazima kitu chote nimwambie ndie atanifania munisaidie from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@catherinebright2204 Жыл бұрын
@@mamycoco1828 ii nimeipenda mungu atukunze
@philemonmagesa55483 жыл бұрын
Ila kiukweli hamna msaada wa mtu pasipokuwa na sababu ya kumpenda