Mbinu Bora za Kutatua Migogoro ya Kwenye Mahusiano na Ndoa - Dkt Chris Mauki
Пікірлер: 4
@levinavenance120025 күн бұрын
Jinsi ya kusolve matatizo kwenye mahusiano1.Kubali kwamba mnatofautiana (mtazamo,haiba 2.jifunze kuwasiliana vzr sikiliza vzr, zungumza vile unataka mambo yawe be a confident speaker 3.jielewe ,jifahamu,jiulize maswali ability to understand ur self 4.huwezi kua perfect wakt wote 5.jifunze na ukubali kurekebishwa 6.be humble accept