DR SULLE AFICHUA SIRI NZITO YA UTAJIRI ASIMULIA KISA CHA TAJIRI ANAYETOKA FUNZA

  Рет қаралды 27,300

Bongo Touch

Bongo Touch

2 ай бұрын

Пікірлер: 85
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 2 ай бұрын
Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
@Robbywedt
@Robbywedt 2 ай бұрын
Safi sana doctar Sule
@LuluByams
@LuluByams 2 ай бұрын
Doctor sule Nakuku Bali sana
@user-rb4qc2in6l
@user-rb4qc2in6l 2 ай бұрын
Namba ya Dr. Sulle tafadhali
@Sabakimotors001
@Sabakimotors001 2 ай бұрын
Safi sana Dr.
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 2 ай бұрын
Sule umepoteza muelekeo Allah akugeuze Umeingia kwenye uchawi
@opportunities2767
@opportunities2767 2 ай бұрын
Du sikio lako na ww litakua na funza, wapi kasema ameingia kwenye uchawi
@user-fu3cg3gv9g
@user-fu3cg3gv9g Ай бұрын
Ujue huyu hata wakimbishia ninacho penda anatoa aya kwahio ukipinga unapingana na mtume na ana hoja nzito huyu mwamba
@serahmohamed6513
@serahmohamed6513 2 ай бұрын
MaashAllah tabarakaAllah, mtu akikuhitaji waeza patikana Dr. Sule?
@rezikomer9552
@rezikomer9552 2 ай бұрын
Je hawa wachawi wanawo ibiya watu nyota zawo kwa kutaka kuitumiya wenyewe simhusika akafukarika huwa ni jini piya
@hakizimanaselemani1995
@hakizimanaselemani1995 2 ай бұрын
Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 2 ай бұрын
Nabii Selemani aliwatumia majini kujenga Msikiti wa Aqswa na aliwatumia majini ktk kazi zake mbali mbali vip je nae alikuwa mshirikina ??
@jumachaduma5434
@jumachaduma5434 2 ай бұрын
Anaongea kwa mihemiko,Hana elimu hiyo
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 2 ай бұрын
Nabii suleimani alikua mchawi maana alifanya kazi na majini na aliwatawala
@bakarhassan
@bakarhassan 2 ай бұрын
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 ай бұрын
@@MuuYascohy-oc7os imeaandikwa wapi?
@KhamisiKarisa-vl9nz
@KhamisiKarisa-vl9nz 2 ай бұрын
Kazi safi sana kaka
@QASSIMWAIGO-py3kq
@QASSIMWAIGO-py3kq 2 ай бұрын
Habari kaka naoma no Dr sule
@maryanomar119
@maryanomar119 2 ай бұрын
Mashallah shekh sule umeongea maneno mazito sana mungu akubariki akupe afya na umri mrefu inshallah
@aliaden5512
@aliaden5512 2 ай бұрын
unamuamini huyu mchawi
@qhatramohamed7006
@qhatramohamed7006 2 ай бұрын
Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh sule tunakupenda kwa ajili ya Allah (Nairobi) kenya
@faizG254
@faizG254 2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina. Ogopa Allah
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 2 ай бұрын
Mashekhee wakubwa sie tusio nauwezo tunaogopa ata kuwaona anaejua gharama za kuonana nae anijuze
@kassimabdillah5998
@kassimabdillah5998 2 ай бұрын
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
@HaniferMwiru-wn9wq
@HaniferMwiru-wn9wq 2 ай бұрын
Khusnul khatwima yaarabb 😢😢
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 2 ай бұрын
Mtangazaji et zipo hizo pini dah unatuwakilisha vizuri muhuni wetu😂
@hassanibrahim7870
@hassanibrahim7870 2 ай бұрын
Kavuka mipaka sana,Allah atulinde na majahil kama hawa
@hemedbamja3197
@hemedbamja3197 2 ай бұрын
Eti "hata komandoo"😂😂😂hilo swali
@kimsamir965
@kimsamir965 2 ай бұрын
Safi sana, SAFI KABISA. Hapaaaandio patamu kwel Duhhhh
@mahamudaideed6922
@mahamudaideed6922 2 ай бұрын
Insha'Allah nitakutafuta nimekuelewa sana
@officialcandleboy6923
@officialcandleboy6923 2 ай бұрын
Huo ni ukweli kabisa Uganda wapo wengi ni Tajiri ila huki kutana nae huta fikiria ni mwizi, na hao wa watoto ma punguani ni wengi sana
@sophdenis3471
@sophdenis3471 2 ай бұрын
Dk sulle yuko sawa ipo sku mtamuelewa
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 2 ай бұрын
Nilikua nikidhani huyu mtu nisheikh kumbe jichawi.shenzi kabisa
@aliaden5512
@aliaden5512 2 ай бұрын
Kweli kabisa mchawi ataliwa na hilo jin
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 2 ай бұрын
Umetuelimusha sana
@aweisali1723
@aweisali1723 2 ай бұрын
Pini ju y pini
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Uchawi upo umetajwa kwenye vitabu vya mungu vyote
@user-cy7vw3ni3w
@user-cy7vw3ni3w 2 ай бұрын
Acha izo
@romainehabamungu8547
@romainehabamungu8547 2 ай бұрын
Docta , unasema kweli sana , basi nakuomba sana , mimi niko CANADA nitakupata je ?
@joventjohansenmushwaimi1988
@joventjohansenmushwaimi1988 2 ай бұрын
Ana namba zake za simu anapatikana
@abubakarchande8602
@abubakarchande8602 2 ай бұрын
Nahitaji mawasiliano na sheikh au nielekezwe ofisi kwake tafadhali, ikiwezekana nipewe na gharama za kumuona
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 2 ай бұрын
Tunaomba namba ya dk sure ndgu mwana habari tafadhar🙏🏿
@starah2525
@starah2525 2 ай бұрын
Kwahio shule tuache tujifunze uchawi na kutumikia majini wazuri
@AbdusidMohammed-hi5ib
@AbdusidMohammed-hi5ib 2 ай бұрын
Mim namuona doct sule yuko sahihi mbona nabii Suleiman alikuwa anamiliki majini na wanyama
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 2 ай бұрын
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
@salimyanga9216
@salimyanga9216 2 ай бұрын
Tunaomba nambayako shekh
@TheogeneNzabonimpa
@TheogeneNzabonimpa 2 ай бұрын
Haudjambo Dr sule niko rwanda jinarangu theogene nafataga maongezi yako samhani unaweza kunipa namber ya whatsap nakuwandikiya
@Jcg-js5xu
@Jcg-js5xu 2 ай бұрын
Kaka mm naomba namba za shehe sulle
@chamushippingcsl7540
@chamushippingcsl7540 2 ай бұрын
Doctor uko vizuri naomba kukuona
@IsaaPauleta
@IsaaPauleta 2 ай бұрын
Doctor asie kuelewa na kuku fahamu huyo ni mwehu na taahira tu.
@mohamedkipara1315
@mohamedkipara1315 2 ай бұрын
Sheikh uko vizuri
@FatmaRashid-sj8jw
@FatmaRashid-sj8jw 2 ай бұрын
Baada ya mazungumzo ataje namba ya simu
@jumaothman4411
@jumaothman4411 2 ай бұрын
dr sule watanhaza shirki sasa baada ya imani unapotea sasa tena wafunganisha ushirikina na allah .
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 2 ай бұрын
Acha upuuz wew kutibu kwan dhambi?
@didawaso4165
@didawaso4165 2 ай бұрын
Uwogo
@ndayikezaoscar3467
@ndayikezaoscar3467 2 ай бұрын
UJINGA TUPU
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Nyinyi ndio wachawi tunawasaka
@zainababdurlham18
@zainababdurlham18 2 ай бұрын
Sheik kama unahitaji matibabu je garama yake nigp
@surusuru1994
@surusuru1994 2 ай бұрын
Tena mover zip
@Soge-jb4rb
@Soge-jb4rb 2 ай бұрын
Wapo wengi to
@asiyajuma3135
@asiyajuma3135 2 ай бұрын
MashaAlla Doctor sule umesema kweli wallah ila sijui ni ta kupataje nipo dubai
@faizG254
@faizG254 2 ай бұрын
Huyu ni mshirikina.
@sherfineatieno
@sherfineatieno 2 ай бұрын
Yani ww na hamonize kumbe gora moja
@JamesAmani-xz6hu
@JamesAmani-xz6hu 2 ай бұрын
dhaa dkit tunaomba namb zako make fifa zaku tunatak kushudia jamn
@pedropedroagira3980
@pedropedroagira3980 2 ай бұрын
Da doctor Mimi nassumbuliwa sana na ato mambo
@MahmoudMbarouk
@MahmoudMbarouk 2 ай бұрын
❤dr.sule tunaomb namb yako tuna meng tunatak kukuuliza
@aliaden5512
@aliaden5512 2 ай бұрын
unataka kuuliza nini kama unataka pete utakufa kama mbwa
@KhamisHassan-jh6go
@KhamisHassan-jh6go 2 ай бұрын
Namba yako au nakupataje Dr Sule
@ummulhussein
@ummulhussein 2 ай бұрын
🤣🤣🤣
@igurusitv6553
@igurusitv6553 2 ай бұрын
Huyu ni mwanga tu
@aliaden5512
@aliaden5512 2 ай бұрын
kabisa mchawi eti pete inaleta baraka
@hassanally446
@hassanally446 2 ай бұрын
Mwanga wewe usiokua na elimu, kwa sababu elimu ya mjinga ni majungu
@presidentofafrica.5038
@presidentofafrica.5038 2 ай бұрын
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 2 ай бұрын
Nikwambie kitu my ndugu, kama huelewi kitu uliza kwqnza
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 2 ай бұрын
Kwa.upande wetu sisi ipo mpaka kwenye maandiko,labda nyie ndio mnayaona mageni
@latifamuhunzi4061
@latifamuhunzi4061 2 ай бұрын
Maji na mafuta hayo mnayo ambiwa ninyi ya upako,ni maji ya kawaida.na mafuta ya mzaituni,kama huelewi ndipo mnapoona ni mapya ndiponapo pigiwa hapo
@amirimbago8325
@amirimbago8325 22 күн бұрын
Nawewe uambie mti ukauke kama una hiyo imani.
@user-qr2ww4nl7f
@user-qr2ww4nl7f 2 ай бұрын
Hawo wooote wenye kumuunga mkono sule niwapenda shiriki kbsa😢
@faizG254
@faizG254 2 ай бұрын
Huyu mshirikina anapotosha Waislamu
@KhamisHassan-jh6go
@KhamisHassan-jh6go 2 ай бұрын
Dr Sule nikihitaji namba yako naipataje au kukuona je
DR.SULLE HATAKI MASIHARA TENA//ELIMU YANGU ITADUMU NITAKUMBUKWA NA........
38:03
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 105 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE
24:53
HII NDIO HATARI YA KUWASHIRIKISHA WATU WA NJE KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
21:24
DR. SULLE | HII NDIO HEKMA YA ALLAH KUMPELEKA NABII MUSSA KULELEWA NA FIRAUNI |
28:07
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
KASI YA UTANDAWAZI YAZIDI KUIATHIRI ZANZIBAR
14:35
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
DR SULE - MAAJABU YA NABII MUSSA KWA FIRAUN- MUENDELEZO HUU
28:39
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 15 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 105 МЛН