Dr, sule nakupenda Bure njoo kwa ukristo ueedele kutuhubiria na biblia maana mahojiano yako yote mfano yote yote ni ya biblia.njoo kwa Jesu kristo yeye ndie njia tu kumfikia Mungu kama Mungu.biblia tamu inaogoza moto moto .bwana Yesu asifiwe naaedelee kusifiwa nayeye niyule yule Jana Leo na milele
@Robbywedt2 ай бұрын
Safi sana doctar Sule
@LuluByams2 ай бұрын
Doctor sule Nakuku Bali sana
@user-rb4qc2in6l2 ай бұрын
Namba ya Dr. Sulle tafadhali
@Sabakimotors0012 ай бұрын
Safi sana Dr.
@muhammedwakif62162 ай бұрын
Sule umepoteza muelekeo Allah akugeuze Umeingia kwenye uchawi
@opportunities27672 ай бұрын
Du sikio lako na ww litakua na funza, wapi kasema ameingia kwenye uchawi
@user-fu3cg3gv9gАй бұрын
Ujue huyu hata wakimbishia ninacho penda anatoa aya kwahio ukipinga unapingana na mtume na ana hoja nzito huyu mwamba
@serahmohamed65132 ай бұрын
MaashAllah tabarakaAllah, mtu akikuhitaji waeza patikana Dr. Sule?
@rezikomer95522 ай бұрын
Je hawa wachawi wanawo ibiya watu nyota zawo kwa kutaka kuitumiya wenyewe simhusika akafukarika huwa ni jini piya
@hakizimanaselemani19952 ай бұрын
Jini Jema kamwe aliwezi kuja mka dili nalo kazi lolote liko bize na ibada , jinni la aina yoyot uki dili nalo tayari Ume toka katoka uislam , tuache kuji ficha nyuma y paziya ya dini , sheikh akiwa awek wazi utajiri wa majin wowot ni shirki si majin machafu au mazuri
@MuuYascohy-oc7os2 ай бұрын
Nabii Selemani aliwatumia majini kujenga Msikiti wa Aqswa na aliwatumia majini ktk kazi zake mbali mbali vip je nae alikuwa mshirikina ??
@jumachaduma54342 ай бұрын
Anaongea kwa mihemiko,Hana elimu hiyo
@mbenamdudu78562 ай бұрын
Nabii suleimani alikua mchawi maana alifanya kazi na majini na aliwatawala
@bakarhassan2 ай бұрын
usi andikeusivyo vijua mungu katu hamrissha baada ya swala tuka tafute rizki kwaiyo hao makini wao hawana rizki Wana msujudia mungu tu acha ku kurupuka
@odilomwemeziernest6462 ай бұрын
@@MuuYascohy-oc7os imeaandikwa wapi?
@KhamisiKarisa-vl9nz2 ай бұрын
Kazi safi sana kaka
@QASSIMWAIGO-py3kq2 ай бұрын
Habari kaka naoma no Dr sule
@maryanomar1192 ай бұрын
Mashallah shekh sule umeongea maneno mazito sana mungu akubariki akupe afya na umri mrefu inshallah
@aliaden55122 ай бұрын
unamuamini huyu mchawi
@qhatramohamed70062 ай бұрын
Mashaa-Allah Allah akuhifadhi sheikh sule tunakupenda kwa ajili ya Allah (Nairobi) kenya
@faizG2542 ай бұрын
Huyu ni mshirikina. Ogopa Allah
@ZubedaHussein-it7nf2 ай бұрын
Mashekhee wakubwa sie tusio nauwezo tunaogopa ata kuwaona anaejua gharama za kuonana nae anijuze
@kassimabdillah59982 ай бұрын
Haya anayozungumza Dr ni yakwake yeye sio uislam, Uislam uko mbali kabisa na haya sikiliza mazungumzo yake vizur utaelewa tuu kikubwa kumuombea Dua Allah amuongoe maana anavuka mipaka nawausia Ndugu zangu katika Imani ushirikina ni DHAMBI KUBWA yakwanza mtu akifa na DHAMBI hii hajatubia anaingia motoni milele , tusighurika Kwa maneno yampotoshaji ukaingia katika maangamivu soma dini yako na Umuabudu Allah pekeyake bila ya kumshirikisha utafaulu duniani na Akhera ila ukitaka maisha ya Dunia fateni masheikh kama Hawa Ili mukaangamie Akhera
@HaniferMwiru-wn9wq2 ай бұрын
Khusnul khatwima yaarabb 😢😢
@hamismohamed35412 ай бұрын
Mtangazaji et zipo hizo pini dah unatuwakilisha vizuri muhuni wetu😂
@hassanibrahim78702 ай бұрын
Kavuka mipaka sana,Allah atulinde na majahil kama hawa
Huo ni ukweli kabisa Uganda wapo wengi ni Tajiri ila huki kutana nae huta fikiria ni mwizi, na hao wa watoto ma punguani ni wengi sana
@sophdenis34712 ай бұрын
Dk sulle yuko sawa ipo sku mtamuelewa
@lordenoughforme44172 ай бұрын
Nilikua nikidhani huyu mtu nisheikh kumbe jichawi.shenzi kabisa
@aliaden55122 ай бұрын
Kweli kabisa mchawi ataliwa na hilo jin
@bonifacewanyonyi35552 ай бұрын
Umetuelimusha sana
@aweisali17232 ай бұрын
Pini ju y pini
@chusseboywcb28082 ай бұрын
Uchawi upo umetajwa kwenye vitabu vya mungu vyote
@user-cy7vw3ni3w2 ай бұрын
Acha izo
@romainehabamungu85472 ай бұрын
Docta , unasema kweli sana , basi nakuomba sana , mimi niko CANADA nitakupata je ?
@joventjohansenmushwaimi19882 ай бұрын
Ana namba zake za simu anapatikana
@abubakarchande86022 ай бұрын
Nahitaji mawasiliano na sheikh au nielekezwe ofisi kwake tafadhali, ikiwezekana nipewe na gharama za kumuona
@Skomi-0nedayyes2 ай бұрын
Tunaomba namba ya dk sure ndgu mwana habari tafadhar🙏🏿
@starah25252 ай бұрын
Kwahio shule tuache tujifunze uchawi na kutumikia majini wazuri
@AbdusidMohammed-hi5ib2 ай бұрын
Mim namuona doct sule yuko sahihi mbona nabii Suleiman alikuwa anamiliki majini na wanyama
@ahmedsdk67362 ай бұрын
Hata huku kigoma huku unamuona mtu anamiliki sheli 3 ana magorofa Watoto wanasoma shule za Gharama ana magali Makali alafu ukioneshwa anavaa yebo yebo sasa ya nn yote hayo?? S bora nipate 20 nikanunue jeans yang nipendeze
@salimyanga92162 ай бұрын
Tunaomba nambayako shekh
@TheogeneNzabonimpa2 ай бұрын
Haudjambo Dr sule niko rwanda jinarangu theogene nafataga maongezi yako samhani unaweza kunipa namber ya whatsap nakuwandikiya
@Jcg-js5xu2 ай бұрын
Kaka mm naomba namba za shehe sulle
@chamushippingcsl75402 ай бұрын
Doctor uko vizuri naomba kukuona
@IsaaPauleta2 ай бұрын
Doctor asie kuelewa na kuku fahamu huyo ni mwehu na taahira tu.
@mohamedkipara13152 ай бұрын
Sheikh uko vizuri
@FatmaRashid-sj8jw2 ай бұрын
Baada ya mazungumzo ataje namba ya simu
@jumaothman44112 ай бұрын
dr sule watanhaza shirki sasa baada ya imani unapotea sasa tena wafunganisha ushirikina na allah .
@MuuYascohy-oc7os2 ай бұрын
Acha upuuz wew kutibu kwan dhambi?
@didawaso41652 ай бұрын
Uwogo
@ndayikezaoscar34672 ай бұрын
UJINGA TUPU
@chusseboywcb28082 ай бұрын
Nyinyi ndio wachawi tunawasaka
@zainababdurlham182 ай бұрын
Sheik kama unahitaji matibabu je garama yake nigp
@surusuru19942 ай бұрын
Tena mover zip
@Soge-jb4rb2 ай бұрын
Wapo wengi to
@asiyajuma31352 ай бұрын
MashaAlla Doctor sule umesema kweli wallah ila sijui ni ta kupataje nipo dubai
@faizG2542 ай бұрын
Huyu ni mshirikina.
@sherfineatieno2 ай бұрын
Yani ww na hamonize kumbe gora moja
@JamesAmani-xz6hu2 ай бұрын
dhaa dkit tunaomba namb zako make fifa zaku tunatak kushudia jamn
unataka kuuliza nini kama unataka pete utakufa kama mbwa
@KhamisHassan-jh6go2 ай бұрын
Namba yako au nakupataje Dr Sule
@ummulhussein2 ай бұрын
🤣🤣🤣
@igurusitv65532 ай бұрын
Huyu ni mwanga tu
@aliaden55122 ай бұрын
kabisa mchawi eti pete inaleta baraka
@hassanally4462 ай бұрын
Mwanga wewe usiokua na elimu, kwa sababu elimu ya mjinga ni majungu
@presidentofafrica.50382 ай бұрын
KUMBE WAISLAM NAO WANA MAFUTA NA MAJI.., RIZIKI NGUMU KWELI.. MBONA MUNGU ANAOKOA KIRAHISI SANA, ILA HUKU MAMBO NI MENGI... YESU ALIUAMBIA MTI KAUKA UKAKAUAKA HAPO HAPO.. MUNGU ATUSAIDIE SANA.
@latifamuhunzi40612 ай бұрын
Nikwambie kitu my ndugu, kama huelewi kitu uliza kwqnza
@latifamuhunzi40612 ай бұрын
Kwa.upande wetu sisi ipo mpaka kwenye maandiko,labda nyie ndio mnayaona mageni
@latifamuhunzi40612 ай бұрын
Maji na mafuta hayo mnayo ambiwa ninyi ya upako,ni maji ya kawaida.na mafuta ya mzaituni,kama huelewi ndipo mnapoona ni mapya ndiponapo pigiwa hapo
@amirimbago832522 күн бұрын
Nawewe uambie mti ukauke kama una hiyo imani.
@user-qr2ww4nl7f2 ай бұрын
Hawo wooote wenye kumuunga mkono sule niwapenda shiriki kbsa😢
@faizG2542 ай бұрын
Huyu mshirikina anapotosha Waislamu
@KhamisHassan-jh6go2 ай бұрын
Dr Sule nikihitaji namba yako naipataje au kukuona je