INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
@LovelyFishingRod-ij7mk21 күн бұрын
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
@chikujuma1821 күн бұрын
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
@HusnaMtitiko-yt4ru21 күн бұрын
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
@husnasalim961421 сағат бұрын
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
@shakilamasoud298321 күн бұрын
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
@knowledgetv559414 күн бұрын
Millard Ayo,
@sir_ENOCKMACHA21 күн бұрын
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
@seneu.212821 күн бұрын
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@Kabwela77621 күн бұрын
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
@fidesbernard483521 күн бұрын
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
@faudhiasalum727921 күн бұрын
Karanga zina lipa sana
@gracekunambi743821 күн бұрын
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@ukhutfatumah115414 күн бұрын
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
@fatmamansour2764Күн бұрын
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
@candyismail125621 күн бұрын
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
@WilliamIbrahim-dt5nb21 күн бұрын
Hongera sana
@daudimichael733821 күн бұрын
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
@yusramichael58521 күн бұрын
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn