Ni taarifa kutoka Kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ambapo wananchi wamewaweka "mtu kati" watuhumiwa wawili kuhusu kujihusisha na vitendo vya ushirikina.
Пікірлер: 164
@RehemaKasanga-vu5njАй бұрын
Mganga na mchawi lao mmoja MUNGU pekeyeke Ndo Anaweza kutamka Kwa unabii
@EmmanuelNdahya-ud5njАй бұрын
Mliosali iombeeni hii jamiiib😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 naombeni like
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Wagonjwa wote wapone warudi kwenye hali yao ya kawaida tunaomba na kuamini wote tuseme Amina 🙏🙏
@geitandelwa299Ай бұрын
Tubuni dhambi zote na kumufuata YESU TU. BILA HIVYO NI SHIDA
@dianajohnson7268Ай бұрын
Ukibisha uchawi haupo ujazulika na Hao bado usibishe,
@johnsimba8 сағат бұрын
Mch. Nae ovyo badala ya kuomba Mungu anaita Mtu heri mwenye kiti anaongea vizuri alafu peleka watu hosp.
@klaudymbilinyiАй бұрын
😂😂hawoo ni panga tyu mchawi analudisha mambo nyum
@valenakomba7686Ай бұрын
WANAWAKE WA KITANZANIA NI WACHAWI SANAA.
@RamlaKimaro-f2y29 күн бұрын
😂😂😂
@yohanacharzmsela9921Ай бұрын
Siyo kukosa elimu watu wamechoka ndugu zao kufa ,,,kama mbaya naiwe mbaya ,,wanyongweeee..
@noahchepe8036Ай бұрын
Uchawi upo mazee... Hao watu sio kua wamekurupuka tu
@ManceJ-yc4ddАй бұрын
Mmmh hatar sana
@nicebatare2737Ай бұрын
Yani ulifanywa bubu uache kuongea na Leo umeongea mtakutana jioni 🤣🤣🤣
@godlovemrosso597314 сағат бұрын
Elimu + umaskini Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@samsonhamery3809Күн бұрын
Watu wakichoka huondoa hofu huamua kupambana bila kujali lolote; serikali inapinga eti hakuna uchawi ujue Viongozi kama hao huenda nao wanatoka katika familia za uchawi
@nestasanga84339 күн бұрын
Mnatuaibisha waache uchawi wamrudie Mungu
@dizelakituleKitule-qx6ssАй бұрын
Mungu yupo atafanya
@nikodemmwahangila3334Ай бұрын
Ataua mmoja mmoja hapo
@barakamanga5502Ай бұрын
Sasa wamejuaje kuwa mchawi, presha mnapima? Maana wengi wanakufa kisa plesha, ila uchawi upo pia
@infodigtechforcommunityemp410326 күн бұрын
Nashangaa presha unalogwa????
@geofreykamwelaАй бұрын
Jamanii watumishi pelekeni mikutano ya injili huko 🙏🙏🙏
@barakamanga5502Ай бұрын
@@geofreykamwela Wana Loga spika
@user-qq6mv6vh3e29 күн бұрын
😂😂
@kakanicodemus363226 күн бұрын
Good solution
@user-cb2ck6yw8iАй бұрын
Okokeni mwaminini Yesu
@user-kx4wd5vb4jАй бұрын
Apo wanatafutwa watu wenye umri mkubwa wauwawe bila hatia.
@EstherJulius-cv9tkАй бұрын
Acheni ujinga niwapi ukuu c muombee mungu awabadilishe dawa ni ndogo tuu yesu atosha kubalisha anga ilo
@zulekhasaud48319 күн бұрын
Ndio upate mchungaji alie na nguvu ya mungu kuja kuishi kijijini .wachungaji wote wanakimbilia mjini wamesahau vijijini kama kuna watu😂😂😂😂
@MalamboSelijusiАй бұрын
Acha imendikwa wap atubu kwa wanadamu wambie watoe, ushahidi nahakuna mganga watakuja wezi wachonganishi mwenyekiti acha acha ujinga usimtwishe mama wawatu mzigo wakijinga utawala sio wawenye akili ndogo kama ww
@user-nb7qr5br8sАй бұрын
Miteni mtumishi jembe kutoka iringa kiboko ya wachawi aje awasaidie
@rashidmaulid7312Ай бұрын
Uchawi ni sehemu ya ushirikina
@aderanderwa762315 күн бұрын
Ndugu zangu wakinga mvoleke uvohavi YESU KIRISTI avaganile mwokoke
@pastadandan3569Ай бұрын
Mtendaji nae ameingia kwenye mtego wa kuamini huyo mama ni mchawi
@YustaMfugale27 күн бұрын
Hvi unapajua vizuri njombe iringa au unaskia,,,tena hizo tabia za kujigeuza Simba ndo michezo yao
@FredrickChristonsiaАй бұрын
Duh vyuma vime umana !! Iyela""
@joycemuhoja4729Ай бұрын
Imani Haba
@user-pi7gk7nj4sАй бұрын
Mungu awape nguvu wagonjwa
@joshuanyaulingo4109Ай бұрын
mchungaji yoooooo 😂😂😂
@user-hk6ls3yw9qАй бұрын
Ni tz au?
@aderanderwa762315 күн бұрын
WAKINGA WENZANGU ACHENI UCHAWI UCHAWI NI MZIGO YESU KRISTO NI JIBU TOSHA YESU KRISTO ANAWAPENDA ALIKUFA KWA AJILI YETU WOTE
Huyu mama huenda siyo ila Hawa wenye kujua vifungo ndie wachawi
@kakanicodemus363226 күн бұрын
Kijiji gan hicho
@KeyjopАй бұрын
Sasa mbona woote ni akina sanga😂😂😂
@kagombaEnokАй бұрын
Hapa ni wapi??
@EligiaMligoАй бұрын
Njombe
@khalifanoti6974Ай бұрын
Pelekeni dini huko kwani bado kuna shida
@byuledmwaipopo935323 күн бұрын
Uyo anavo onekana kweli mchawi
@KeyjopАй бұрын
Mala nyingi wanao tuhumiwaga hivi sio wahusika wenyewe ndio viherehere kuchafua wengine 😢😢
@user-cv7vm1mx9dАй бұрын
Kabisa yule mwenye anasema kua biblia imesema anaonekana mchawi kabisa
@ngamugamahonzelosanga3316Ай бұрын
Mwee vakinga mtengue ndeti uvuhavi? Binafsi nashauri waliomtuhumu huyo mama kuwa mchawi na wao ni wachawi kama sio wachawi wamemjuaje mchawi huku wao sio wachawi? Haiwezekani ulipo gizani kuona aliyepo gizani bila Nyale tochi
@geitandelwa299Ай бұрын
Mmmmh pope ASHA SANGA AAA TUBU DHAMBI XAKO ZOTE UOMBE SANA
@valenakomba7686Ай бұрын
ATAWEZA KUACHA HUYO, MPAKA ATOLEWE HUO UCHAWI. LAKINI ETI AACHE TUU HAWEZI. ETI ANANE KWA NENO.
@erickmpelembwa3090Ай бұрын
Njombe hiyo sio mchezo,
@mathewm7115Ай бұрын
Hakuna cha kusaini dawa yake inajulikana ipo wazi wanapoteza mda
@yukundapeter8200Ай бұрын
Wachawi hawaitikagi.
@barakakingsАй бұрын
Mapembelo ndugu zangu. Mbona hii ni aibu?
@user-cv7vm1mx9dАй бұрын
Huyu Asha sio mchawi amevikwa kivuli tu na wachawi
@michaelkilango9300Ай бұрын
Waache uchawi
@DatiusppАй бұрын
Hacha ujinga huyo mama et aje muganga muganga ni nani? Murudie Bwana Yesu Kristo