Tanzanians kwa nyimbo mlieka record Kenyans we just try barikiweni sana ndungu zetu we love you for real
@user-oj9pd3dw2q9 ай бұрын
Nimejikuta natoa chozi ni very nice song
@lukakivamba72459 ай бұрын
Moto sana ,mbarikiwe
@user-kf9vz9eq4u7 ай бұрын
Hongereni sana kwa Nyimbo nzuri
@butungo19 ай бұрын
Bonge la wimbo...wimbo umechezwa vizuri, umeimbwa vizuri, umerekodiw vizuri.
@felisterligwa9 ай бұрын
Ni kwa neema zake kwa bwana.Amina,asanteni kwa tafakari
@mtkanisakuudodoma8 ай бұрын
Nawapendaa....umetutendea haki wimbo kwenye video🙏🙏❤️
@kamiliusjackson14609 ай бұрын
Kwaya yangu Mt Josephine Bakhita hongereni sana wimbo mzuriiiii mmeutendea haki... Nawamisi sana roho inaniuma kukosekana kwenye hii video😢..NAWAPENDA SANA❤
@JacklineSirili-qt6ol9 ай бұрын
Tunakupenda pia ndugu yetu
@christianjohn7409 ай бұрын
Siyo kwa juhudi zetu sisi bali kwa neema za Bwana tupo hapa🎉🎉🎉Amina na hongereni sanaaaa
@user-tq7mg2st9h9 ай бұрын
Mmetisha kama njaaa
@mbilango89059 ай бұрын
Safi sana Wana Bakhita❤❤🎉
@josephinechepkemoi.9 ай бұрын
Hongera sana Kwaya ya Mt.somo wangu! Mnaimba vizuri,Mungu awazidishie neema kwani kuimba ni kusifu mara mbili.
@user-ho5dv1kz6x9 ай бұрын
Wimbo mzuri sana na waimbaji wameutendea haki, ila upande wa shooter video haijatulia
@user-fl2lz9tk3u9 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mtkanisakuudodoma9 ай бұрын
Kazi nzuri...sana Wana Bhakita
@user-tq7mg2st9h8 ай бұрын
Mbarikiwe sana hakika nikwaneema yako bwana tumefika hapa tulipoo sasa kongole kwenu
@Aqwilachuwa9 ай бұрын
Ee Mungu tunakushukuru kwasababu umetutendea mambo makuu🎶🙌🙏
@rithamboya96799 ай бұрын
🔥🔥Tumebarikiwa
@nkatharoseline6 ай бұрын
The songs is very nice Tanzania catholic songs are the best ever sang with alot of passion
@user-ez5yx1ld1x9 ай бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri sana
@jakithakalinga8959 ай бұрын
Nmewapenda bureee
@user-gb8er5nd3n4 ай бұрын
Moto moto uvumilivu unajenga furaha.
@juhaveprostudio9 ай бұрын
Mungu awabariki sana wanaBakhita
@user-fj9kp8fv3u9 ай бұрын
Ee Mungu tunakushukuru kwasababu umetutendea mambo makuu🔥🔥🔥
@gettymo129 ай бұрын
Asante Mungu kwa umbali huu❤️🙏
@egidiasalvatory67369 ай бұрын
Hakika Mungu katenda
@ndante_production.9 ай бұрын
Godian bila kuanguka uwe super!!!!!!🎉
@JuvenaryMushumbusi9 ай бұрын
Hii Ni hatua yenye matumaini
@colman_official13889 ай бұрын
Standard nzuri kabisaa, congratulations to all who made it 👏👏👏
@salomemlingano66049 ай бұрын
Hongeren Sana kwa wimbo mzur
@didassalvius98829 ай бұрын
Nasikiliza huu wimbo kila mara mpaka machozi yananitoka aisee nilikuwa sijautafakari vzr lkn nimekaa nakutafakari yaani si kawaida wimbo unachoma Moyo.
@bonaventuretesha10399 ай бұрын
👍
@baltasartemu21539 ай бұрын
The organist anaweza kuchambua sauti zote vizuri kabisa.