CARRY MASTORY ATOA SIRI WEMA KURUDIANA NA X WAKE INDRIS SULTANI/KUACHANA NA WHOZU/HARMONIZE/POSHI QUEEN #diamond #WEMA #carrymastory ##comasava #carrymastorytv #wemasepetu #INDRISSULTANI #MASHA #auntezekiel
Пікірлер: 137
@Mohaa43097 күн бұрын
Carry, na umbea wako wote ila ww itoshe kusema ww nmcute saana Wallah, Maa Shaa Allah ❤❤❤❤
@SharifaOman-bf1bn8 күн бұрын
Mashaallah. Nimelupenda. Umependexa. Maziwa hivi sasa yannaonekana. Umekuwa. Mama. Umebadilika. Hongera. Kari mastori
@michelinemapendo66529 күн бұрын
Zari kakutukana umekonda sasa umenenepaaaaa😂😂😂🥳🥳🥳
@navokisembo5 күн бұрын
Haswaaa maana alizi na chuki kwa Zari wa watu
@SalamaNauthar8 күн бұрын
Nakupendaga sana cary mastory❤❤❤
@osmundmtavangu21 сағат бұрын
SEMA carrymastory hajawahi kuwa serious, ndio maana wanaume wanampotezea
@ukhutfatumah11547 күн бұрын
Mashaallah hongera sana umekuwa mrembo aswaaaaaa
@esterdoriye83778 күн бұрын
Mwanake kaa bana miguu bwana 😊😊😊
@shikoshania9538 күн бұрын
Asante kwa kumpenda wema carry❤❤❤❤❤mmetoka mbali sana
@Jassmin-media-official9 күн бұрын
Eti mastaa wanakaa ndani kwani wewe ni star 😂😂😂😂duh tz hata wakifungua duka inaitwa mall 😅😅
@ashuraomar49359 күн бұрын
Muulize hasa maana anaijiita star huyu nae,kwenye mastar wakiambiwa watoke hichi kituko nacho kitatoka kwelii looo😂😂😂
@Brunn-mh2bq8 күн бұрын
Carry sio staa kwa vipi ndugu yangu? Huyu ni star kwa sababu ana mtandao huu wenye subscribers karibu 500,000 na anajulikana mjini tofauti na wewe 😊
@simbawateranga70208 күн бұрын
ANAJIKUTAGA SANA HUYU SHOMVI
@user-vq6iy4rf9m7 күн бұрын
Mbona mall kwani unaugomvi na niffer 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@Chrisscherry7 күн бұрын
Sindio mwenye carry mastory media
@MohamediKalanje5 күн бұрын
Roja umekuwa kibonge aisee
@maryamtanzania97439 күн бұрын
Najua kukupenda tu
@michilita29598 күн бұрын
Kuzaaa kuzuri amependeza kweli
@sofiajumaa45386 күн бұрын
Umezaa bwanaa Muongo weweeee toka zako hapaaa
@user-xy8kl9wd2i8 күн бұрын
Kwani ukisema tu umejifungua utakufa🤔
@AfricaQueen9 күн бұрын
😏😏😏😏Huna haya wewe mbeya mkubwa Sema Ukweli Mtoto Tunamuona jirani yako unamjua Na mtoto wa kike kwendraaaaaa ndio umeumiza watu roho zao shenzi wewe peleka jiziwa hilo mtoto akanyonye Na sasa ndio utaona uchungu wa mwana wacha uchawa unaharibu maisha ya watu Na wewe umekaa kama jike dume nyoko wewe🫵🏾
@teddygabriel56628 күн бұрын
Heew
@hellendaniel38097 күн бұрын
Stresss ni mbaya. 😂😂😂sasa makasiriko ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhawaziri16687 күн бұрын
Khaaaa ni gongo umekunywa au ni roho mbaya unayo ,,kwanza walevyi wanaupendo..wew utakua mjukuu wa nyetanyahu
@AfricaQueen7 күн бұрын
@@salhawaziri1668 😏😏😏heri ya gongo kuliko wewe msago wa kutoana cheche kiboko yenu mange njambavu wewe mlevi wa kungu Na mirungi katafute mwenzio akutoe cheche mnamfurahi jibrilli mtoa roho za watu mwanamke wa kislamu shuahin kelp wewe muarabu koko😏🫵🏾
@AfricaQueen7 күн бұрын
@@salhawaziri1668 unaleta mambo ya kijijini hapa 🫵🏾😏haya karibu mjini mjiniii sura yako mbaya kama huyo mbeya wako wa mjini 😏😏😏😏🤪🤪🤪🫵🏾
@zeyounhabibty85876 күн бұрын
Interview nzima swali la ujauzito basiii aghhh !
@alsam48819 күн бұрын
Yaani kuna baadhi ya wabongo ni hvyo kabisa hawawezi kufanya kazi nyengine yenye maana na faida zaidi ya UMBEYA, UCHAWA NA KIKI na yote hiyo inatokana na kwasababu hawana maarifa na Uvivu umewatawala.
Ila kamwili kamekuja Maa'shaallah na ziwa limetoka bwana mtoto tunae hapo😂😂😂
@Catherine-mh8sw7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Zeanbo1234-pn8tg8 күн бұрын
ww kunamtoto jaman. Mbona. Unakataa. Mtoto Tena wakike. Angalia. Hta ziwa. Lako jaman. Duh. Furaha umeitwa. Mama
@user-uf8lk9tv3r9 күн бұрын
Hata mtu anaenyonyesha anaonekana
@simbawateranga70208 күн бұрын
HAYO MANYONYO UNASEMA HAUNA MTOTO 😢
@zamzanimakundi25469 күн бұрын
Hujawahi kusema una mahusiano.pili una mtt nadhani mtt ana miezi 5
@zeyounhabibty85876 күн бұрын
Wallahi sijategemea hata wewe ungedanganya Jamii dah kweli ulimwengu wa mtandao usimuamini mtu 😢
@alhamdullilla51087 күн бұрын
Kweli kawa mama mashaallah amependezaaa
@uwimana65339 күн бұрын
Tulikumiss sana carry mastor 😂😂 mambo yakapo 😂😂😂
@tungarazalaurent26025 күн бұрын
ILO ZIWA SIO LAKO ULIKUA NA VICHUCHU
@mayungakisinza60909 күн бұрын
Nilikutana na we tegeta uko na mimba hata maziwa yanaonyesha acha kutuona watoto
@hejmabohejhej95 күн бұрын
Ndio ukaaji gani wakujichanua
@WendoJuma9 күн бұрын
Tutamuuliza Dada Wa Mangekimambi..subiri tu
@user-gb5vz6wm2q3 күн бұрын
Huyu dada Carry mastory ana akili sana.
@SalmaMasoud-ry4pg9 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪 Mashaalha Menenepa wow ❤
@shukurukitamuka68295 күн бұрын
Amejifunguwa ona ziwa bonge au katowamimba😂
@user-fy9pw2zr8l9 күн бұрын
acha kuduchanganya lokole hajawahi danganya umezaaa ebu tukia
@aminaomary55677 күн бұрын
❤❤ Hongera mama 🎉🎉🎉🎉
@user-bx6so4de3n6 күн бұрын
Umezaaa nawe unatupanga
@beatricejohn16598 күн бұрын
Nyonyo tuu linatosha kuelezea kama umezaa😂😂😂 hongera sana
@Legends_Interviews9 күн бұрын
Anaonesha amezaa
@user-fs7xc2bb5d5 күн бұрын
Ni kweli hata maziwa yanaonyesha labda wasiojuwa
@ferezaisaack98366 күн бұрын
Maziwa yamekuwq makubwa hivyo kweli duh
@zahrababygarl15689 күн бұрын
Mzuri jamani
@RamadhaniSaidi-wq8ym7 күн бұрын
Hapo kwa Wema umesema ukweli kwa hadhi yake pale mwanaume hamna mm naumiaga Diamond na Wema ndiyo walikuwa wanaendana sana Sasa wamejikuta wako na mausiano Bora liende kipindi hicho mji ulikuwa wa moto
Paula anajielewa amekua sio yule wa raivanny yuko na marioo wanakaribia na miaka 2 na mtt wameshapata mwacheni jmn
@user-oq8vp6ie7n7 күн бұрын
We nae
@saumsaid19663 күн бұрын
maziwa yamejaaa hivyo
@nishgold41608 күн бұрын
Nilikua nimemiss storry za carry
@zuwenaabdallah77487 күн бұрын
Halafu kanoga sana❤
@adelinabaitu32918 күн бұрын
Wewe no sta??? Kwaheri
@allymdoka86349 күн бұрын
Mtindi sasa
@kidawajuma95976 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@eestermos99339 күн бұрын
Kapendeza mno kanoga
@user-zu6pc1hu7dКүн бұрын
Naubaya zaidi hunasidiriya yaukweli
@EmilyAlph8 күн бұрын
Eti star😂😂😂
@gwennipah90725 күн бұрын
Carry wazungu hawana mpango wowote
@starlily072 сағат бұрын
Carry bana sie tuliopitia uzazi tukikuangalia tu tunajua wewe ni mzazi, nikiangalia kifua chako tu kinaonyesha wewe ni mzazi kabisa 😀, ila mi nakupendaga mwaya
@esterMahenge4 күн бұрын
Kweli cary mmbea alafu sasa mkavu
@michelinemapendo66529 күн бұрын
Kariamstory kanenepa kapendezaaa😂😂😂😂🥳🥰🥰🥰🥰
@Carrymastory9 күн бұрын
😍😍
@tanzcanmediatv44737 күн бұрын
Mbona maziwa yanaonesha
@sofitanzanian9558 күн бұрын
Kidumedume
@user-qq6mv6vh3e8 күн бұрын
Carry umenenepa
@beatricejohn16598 күн бұрын
Mungu akiandika hakuna malaya wa kupinga..Zuchu na diamond platnums forever..Tuondolee wivu kanyonyeshe huko.utakuwa umezalishwa ukaachwa ndio maana unaficha 😂😂😂😂😂nyambafu mbea yamekukuta eeh
@Mgema0019 күн бұрын
Kesho tegeta asubui sana😂😂
@Carrymastory9 күн бұрын
🤣😂😂
@khadijachacha31568 күн бұрын
Amekua kama masha manyonyo baada ya kuzaa ziwa limekuja kwa kasi 😂😂😂😂
@user-pr4hb2yc9j6 күн бұрын
Kila mfano unamtolea paula ndio Roll model wako?
@lilianestephanie78817 күн бұрын
Kanenepa
@user-he2pk6io4d9 күн бұрын
Wacha kudanganya huma wewe ni mzazi tulie zaa tunajua
@Zeanbo1234-pn8tg8 күн бұрын
3:42
@husnaaaa7039 күн бұрын
Kapendeza sana
@lucyjohn35377 күн бұрын
Alipewa ajira na mange sasa mambo yameyumba Kwa mange ndo anataka kurudi
@twiseghekisilu88459 күн бұрын
Nyonyo hiyo carry
@user-fy9pw2zr8l9 күн бұрын
hibi sasa njo kuonekana mzazi maana ulikua kama mwanaume😅😅😅😅
@habibaraphael65837 күн бұрын
Kanenepa maziwa tuu
@MwacheoHanzada9 күн бұрын
Ila wakuzaa hajifichi maziwa yako full fat
@lyidiajuakaly33359 күн бұрын
Umejifungua bhana ziwa linajionyesha hilo
@vivianlucas63899 күн бұрын
❤
@EstaDaffi-wg5cr8 күн бұрын
Kabisa
@fatmasayid88957 күн бұрын
umesema kweli ziwa dodo
@Catherine-mh8sw7 күн бұрын
@@fatmasayid8895😂😂😂😂
@channyanjen90479 күн бұрын
Zuchu na diamond wanawasumbuwa sana umbwa wewe
@user-ur8cq1ye3b7 күн бұрын
We ndo unasumbuka mbwa mwitu mwambie aoleww asichezewe kenge wewe
Mungu anawalipa kwa kuwadhalilisha binaadam wengine. Mungu atawahukumu tu na bado kama hamna mashamba ya kulima mutakoma. Sasa tangazeni yenu wajinga nyie
@annajoseph99559 күн бұрын
Kanoga balaaa
@michelinemapendo66529 күн бұрын
Munooooo😂😂😂😂😊😊
@jamilaathumani54818 күн бұрын
Yani for fan alafu unamchafua mtu kwer?? Yan bongo bwana...Yan upate wewe kwakumchafua mtu mwingine kwer
@Brunn-mh2bq8 күн бұрын
Mhh. Wewe na hizo "kwer" zako unatuudhi
@jamilaathumani54818 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq kwer enhe🙆🤷🤣
@Catherine-mh8sw7 күн бұрын
@@Brunn-mh2bq😂😂😂😂😂😂😂😂
@Catherine-mh8sw7 күн бұрын
@@jamilaathumani5481jitahidi basi
@user-el7ut2qk4e3 күн бұрын
Wa2 bwana sasa paulla kakukuta kwenye game gani😂😂😂