#EXCLUSIVE: IBRAHIM CLASS Amjibu SAID MKOLA - "MWIZI Yule, KUNA Shoga YAKE Yupo TANGA ANAMTUMA" KARIBU utazame mahojiano ya Bongo Boxing Safari na bondia Ibrahim Class kuhusiana na maisha yake ndani na nje ya ngumi kwa ujumla.
Пікірлер: 19
@user-hi8le2vb7z5 ай бұрын
BONGO BOXIN MTACHELEWA,,,MNASHINDWA KUPIGANA MPAKA MASHABIKI WANAAMUA WAO NDO WAKAPIGANE😊😊
@user-gm6yk5vy6x5 ай бұрын
Ibrahim naomba namba yako
@richhaule92645 ай бұрын
Ibra Class wewe ni noma piga kazi
@wazirisaid83265 ай бұрын
Tanga sehemu gani yueleze!! Heti mzaliwa wa sehemu nyingi Kwani umezaliwa Mara ngapi? Unadhani ukijipa Utanga ndio unaweza kuchukua nafasi ya Mwakinyo huko Tanga? Ufalme wa Mwakinyo hautapotea Ktk boxing hapa TZ na Ulaya jifunzeni kupitia yeyw mwenzenu amewaacha mnalingana Sana acheni wivu. Mlishamuo a Mwakinyo akapiga mizinga ya pesa Kama nyinyi mnavyofanya? Yule Sasa ndio bondia wa kimataifa.
@KijukuuMtemi5 ай бұрын
Kwani huwez kufanya ngumi mpaka umtaje mtanga Kama kwel unaweza nenda kwa mtanga ukakanyagwe
@mdosephayta80755 ай бұрын
Mim naona BOXING inazid kukua na kuleta ushindani sio kila siku twaha kiduku na mwakinyo safar hiiii ngoma imenoga
@user-ek9hc5fo3z5 ай бұрын
Kuweni mashabiki wazuri wa ngumi acheni matusi akuna bondia anae lazimisha mashabiki kuweni na nidham...
@ManMadini-jm9ki5 ай бұрын
Wewe mm ni Shabiki wko ila kwa ili unafeli bwana mdogo acha maneno fanya kazi
@mkanulamajid5005 ай бұрын
Tzd boxing Ni Za mwakinyo mpaka astaafu
@AbbasMwakichui-db9tn5 ай бұрын
Wewe muandishi mchonganishi sana
@rahimhemed33705 ай бұрын
iki kijamaa nakionaga km asma
@user-zp5tm3wd8b5 ай бұрын
Ibra we shoga umuwezi mwakinyo
@tebelehondo82685 ай бұрын
Uyo bondia ni chawa wa mafia twamjua kumsema mwakinyo ni kupalilia ajira yak
@richardimagine84605 ай бұрын
Tanzania kuna mabondiya wana mapambano mengi njeanchi nawa nawana record kubwatu mwakinyo simbaya sema kilamtu nanyota yaketu, sindokama bondiya wakuoogopewa hana wako mabondia tanzaniya akicheza nao watamkalisha vilevile
@karimually42365 ай бұрын
Kak bas2 ushaongea lakini tunampa bland huyo dogo wew kaka sasa
@ayubutwalbu65945 ай бұрын
Unacheza na watu hawana uwezo
@saddammasige14815 ай бұрын
Nyie washamba tu kaz kumsemama mwakinyo mbona ye anamambo yake mnakaa ku.msema watufudenke wakubwa wote unamaisha gani we mtufudenke
@jonathantito35285 ай бұрын
KWELI MWAKINYO BONDIA MKUBWA SANA, KILA MTU ANAMTUMIA KUPATA KIKI... Halafu haya maneno ya kumwita mtu mwingine shoga angeyasema Mwakinyo, angeambiwa anaongea sana! Kwa akili ya kawaida tu Mwakinyo aache kufanya mambo yake amtume kwako kwa kipi? 😂😂😂