PART 2: "IBRAHIM CLASS ni BABA LEVO ALIYECHANGAMKA, NAMPA SIKU 5 TU, OLE WAKE" - SAID MKOLLA HII ni sehemu ya pili ya mahojiano ya Bongo Boxing Safari na bondia Said Mkola kuhusiana na masuala mbalimbali ya kazi yake.
Пікірлер: 14
@emmanuelmayunga15185 ай бұрын
Hapo kwa mwakinyo uko sawa
@ahmedcornel2705 ай бұрын
Saidi bakiza akiba ya maneno ww bondia mdogo sana hy anaekushawish utauponza jishikilie Ibra ni kaka yk uctumie jina lk ili uje mjini
@user-lk8ws3fz9x5 ай бұрын
Safi
@mdosephayta80755 ай бұрын
Daaah maisha ya boxing shida Au Ibrahim class kachukua demu wa Mkola nin
@user-ze8hp1ls6tАй бұрын
Classes mnyamwezi wakishoboka anawatia nyama tyu
@fikirimgonanze67565 ай бұрын
Dah! Umemua kujipendeza ubebwe jifikilie upya
@mohamediabdalah76505 ай бұрын
Humiwezi class
@user-rn1en4tq5z5 ай бұрын
Ongea VIZURI bwege wwe konde mpo wengi
@binmussahaji49325 ай бұрын
Vigugumizi vingi ,ongea vzr bhn
@AminJuma-fb2pn5 ай бұрын
Huna maajab choko ww
@AminJuma-fb2pn5 ай бұрын
Acha usenge ww kwa mashabiki gan ulio nao😅😅
@user-ze8hp1ls6tАй бұрын
Ngoja tarehe siku sio chache tumemtuma bwanga akupige mpaka ushindwe kuongea kabisa
@barakayamo69965 ай бұрын
Kwaupeo wangu mdogo ningekushauri mkola uwe na akili nyingi sana kama nyoka Yani kipaji bila nidhamu utaishia kuimba izoo nyimbo mpaka mwisho utapotea kwenye game shauri yako