Faida za mmea MCHAICHAI kwa kuku ni nyingi sana #tibaasilizakuku 👉Kuongeza hamu ya kula, Kuongeza utagaji, tiba ya ugonjwa wa Gumboro, ✍️Jifunze zaidi tiba asili za kuku kupitia • Tiba asili/Kienyeji za...
Пікірлер: 124
@user-de9xj6yr9l26 күн бұрын
Asante kwa somo zuri. Mungu akubariki
@AGALUSTV26 күн бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk mwaka huu ktk Kaz yako
@KaumbaKayumbacalvinАй бұрын
Shukrani Kayumba toka RDC
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@JosephineSilaАй бұрын
Asante kwa Somo hili la ufugaji kuku.
@AGALUSTVАй бұрын
Karibu Sana ndugu
@user-ju5fp3lb6r3 ай бұрын
Shuklani mi Nemesis desire so nice brother kwa elimu nime sifuunza mengi Sana
@AGALUSTV3 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@GraceVwiravwameso5 күн бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV5 күн бұрын
Tupo PAMOJA
@user-js9nv3zw4d20 күн бұрын
Nashukuru sana
@AGALUSTV19 күн бұрын
Barikiwa pia
@RABIAMANENOАй бұрын
Shukran
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo pamoja
@virginiatambwe80610 ай бұрын
Jamani elimu yenu imenisaidia kupita maelezo. Mungu awabariki sana
@AGALUSTV10 ай бұрын
Amina ndugu 🙏🏿 Barikiwa pia kwa kutufuatilia
@edgarmlimba67502 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua na kuwabariki kwa mafundisho ya ufugaji kuku.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
AMINA KUBWA NDUGU 🙏🏿✍️
@ngunochugga87612 жыл бұрын
Wonderful. Asante sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa
@hemedihatibu43622 жыл бұрын
Shukran sana kwa maelezo mazuri ubarikiwe sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina KUBWA 🙏🏿
@elibarikishukya-lf3skАй бұрын
Shukrani sana nimependa sana mchaichai
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@PiusThadeo-li9oe5 ай бұрын
Asante kwa somo lako
@AGALUSTV5 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@shelternimzihirwa35832 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa somo zuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina🙏🏿
@violetmwanjesa36792 жыл бұрын
Asante Kwa maelezo, ubarikiwe
@AGALUSTV2 жыл бұрын
AMINA 🙏🏿✍️
@elishamwita22762 жыл бұрын
Asante kwasomo zuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa pia🙏🏿
@user-td2wi3sn9b4 ай бұрын
Asante elimu Yako ❤
@AGALUSTV4 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@josephnjella49192 жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
PA 1
@Fatumamsumule2 жыл бұрын
Nashukuru nimeelewa somo..
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🏿
@jolemerci21552 жыл бұрын
Asante kwa mafasilio bora yanaeleweka sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🏿
@adelimarsialphonce818 Жыл бұрын
Asante kwa ushauri mzuri je unaweza kuwapa kuanzia umri gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mwezi 1 na kuendelea
@kawelesiakisanga66703 ай бұрын
Nimeelewa faida ya lemongrass kwa kuku Asante sana
@AGALUSTV3 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@DianaSebastian-kq6us9 ай бұрын
Shukurani sana.
@AGALUSTV9 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@fadhilamunisi27552 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa somo zuri.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
AMINA KUBWA 🙏🏿✍️
@elibarikishukya-lf3skАй бұрын
Good
@AGALUSTVАй бұрын
Be blessed
@asna-lg8pe Жыл бұрын
Mungu akulipe
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ndugu 🙏🏿 nawe pia✍️🙏🏿🤝
@ludobudege16622 жыл бұрын
Nakushukuru sana kiongozi kwa kunipa dawa ya kuku ambayo Nilikuwa siijui
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@agustaimaculata9005 ай бұрын
❤
@AGALUSTV5 ай бұрын
🙌💓💓👏🤝
@franksilayo9842 жыл бұрын
Shukrani Sana imestawi kwangu kama yote
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@janemburu15512 жыл бұрын
Asante sana sikujua naweza patia kuku maji ya lemon grass .mimi naitumia sana vile nimepanda nyingi.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu
@praygod6838 Жыл бұрын
Mko vizuri sana 🤝🏽
@AGALUSTV Жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe pia
@praygod6838 Жыл бұрын
Amen🙌
@AGALUSTV Жыл бұрын
Poa
@khaldn74092 жыл бұрын
Shukurani
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pamoja ndugu 🤝🤝🙏🏿
@mswakisaid23202 жыл бұрын
Mimi naomba unifahamishe dawa nzuri kwa kuua/ kukimbiza kabisa utitiri. Hasa ningependa sana ile ambayo wew huwa waitumia kwa banda lako.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
, sisi tu natumia tiba za asili somo ni hilikzfaq.info/get/bejne/hKuHiKZ0z9XGc6s.html
@abdulmajidiibrahimu33382 жыл бұрын
Asant san
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa ndugu🙏🏿
@gracelyoba16572 жыл бұрын
Tunakushukiru kwa masomo haya mbarikiwe sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina ndugu nawe pia
@SimonKefa-lz1kdАй бұрын
Kuna majani ulisema kumi wanapenda sana kwa saabu yana chumvi yanapandwa kama ukoka nyumbani naomba uniuzie mbegu ya majani mimi siyajui wala sijawahi kuyaona ulipo nitakuja
@AGALUSTVАй бұрын
OK good upo wapi tuone Jinsi ya kukutumia
@bimbyalupande10 ай бұрын
Mimi ninatatizo la viroboto ,njian zip za kuzuia Hawa wadudu ,maana vifaranga wanakufa sanaa
@AGALUSTV10 ай бұрын
Pole Sana ndugu apo kanunue dawa ya wadudu tu
@reginamsoka84392 жыл бұрын
Asante kwa somo. Nina swali.. Nina vifaranga wa miezi miwili wa kienyeji, wanatoka manyoya maeneo ya mgongoni, kwenye mabawa, tumboni.. naomba kujua shida nini hasa? na niwapatie dawa gani?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pole sana ndugu fuatilia somo hili sababu na tiba ya vifaranga kutoka manyoya kzfaq.info/get/bejne/abeEg8l2uJublKc.html
@nyamwendamassamba4885 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Mimi napata shida ya kuku kuwa na vidonda mdomoni Kwenye upanga pia Nifanyeje? Pia niliwahi kuwa na Kuku akawa kama ana ugonjwa wa manjano Je mlishawahi Ona hiyo?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pole ndugu ivyo vidonda ni shida ya Ugonjwa unaitwa Ndui au fowl pox. Hauna Tiba ila una chanjo. Kama ikitokea kuku amepata uwa tunamsaidia kwa Alovera na limao na dawa, za dukani. Hili ni somo lefu KDOGO. Kwa ufupi fuatilia video hii 👇utapata kitu kzfaq.info/get/bejne/qdRpoN2Uzt-qZmg.html Na kuhusu unjano ni kweli uwa inatokea hasa kwa miguuni na midomoni. Ni matatzo y urithi japo hayana madhala sana. Punguza kiasi cha nafaka ktk chakula hasa mahindi.
@Fatumamsumule2 жыл бұрын
Ninaswali km kuku anakuwa anasinzia hachangamki na anakosa nguvu .huo ni ugonjwa gani?. na tiba yake ?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Kinyesi vp
@mamykwizera2802 жыл бұрын
Asante kw somo vipi yafaa kuwapa na vifaranga hayo maji ya mchai chai?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sawa tu wape
@aminamselem566910 күн бұрын
Shukuran sana kwa mafunzo ya dawa za magonjwa ya kuku, unaweza kuwapa dawa hizi kwa kubadilisha? Km. Wiki umewapa mchaichai, wiki nyingine ukawapa maji mwembe, wiki nyingine ukawapa majano ya mpapai??
@AGALUSTV10 күн бұрын
Sawa tu na si lazima uwape ZOTE...ni kungalia tu KIPI unaweza kupata kiulahisi maana karibu mimea mingi apo inafanya kazi zinazofanana
@lucynkonyi7658Ай бұрын
Hii nyumba inajengwaje
@AGALUSTVАй бұрын
Apo mwone she fundi hii video atakusaidia
@khadijaally67503 ай бұрын
Nikichemsha maji usku hkn shida
@AGALUSTV3 ай бұрын
Sawa tu
@hajiame77842 жыл бұрын
Jee kuhusu ufugaji wa bata majani haya hayawezi kuwasaidia.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni mazuri pia kwao
@mkufunzimbaraka55252 жыл бұрын
Hivi kuku wa kienyeji na chotara nani ni dhaifu,Bora na anataga sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Dhaifu w chotara, bora wa chotara na kutaga anataga zaidi chotara. Japo udhaifu cjajua kwenye upande upi tumekujibu udhaifu kwenye magonjwa 🙏🏿
@kawelesiakisanga66703 ай бұрын
Kuku wangu anakakamaa shingo nifanyeje
@AGALUSTV3 ай бұрын
Vitamin wape
@faustinemasenda8059 Жыл бұрын
Ile video ya magonjwa ya macho imenipita kabla sijaona tafadhali irushe Tena.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Oooh pole ila video yake ni hii ya Macho kwa kuku kzfaq.info/get/bejne/jMV_pqqTtNTOl3U.html
@LilianKayokaАй бұрын
Jinsi ya kujenga banda la kuku la kidasa kuanzia kuku 300
@AGALUSTVАй бұрын
Jifunze mambo ya msingi kuhusu ujenzi wa Banda la KUKU kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
@AllyMakame-n3y10 күн бұрын
Jee.bata.unaweza.kuwapa.hii?
@AGALUSTV9 күн бұрын
Ndio ni nzur Sana
@AllyMakame-n3y9 күн бұрын
@@AGALUSTV asante.nitawapatia. hizi dawa
@AGALUSTV8 күн бұрын
@AllyMakame-n3y Barikiwa sana
@fatmaabdulrahman98832 жыл бұрын
Agalus hi una group la ufugaji?
@fatmaabdulrahman98832 жыл бұрын
Agalus una group la ufugaji @agalus nahitaji plz
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hapana hatuna ila linakuja
@AGALUSTV2 жыл бұрын
No hapana kwa sasa hatuna 🤝
@magdalenajoseph99102 жыл бұрын
Fungua group tuzidi kujifunza kwa ukaribu. Mambo ni mengi🙏
@christinajoseph1920 Жыл бұрын
Ugoro unatibu Nini kwenye kuku
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ngoja tutalifanyia kazi 🙏🏿 ✍️ ndugu
@fundifundi28302 жыл бұрын
kamakuku anakakama mgu tatizo nini na dawayake niipi
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ngoja tuzid kufutilia zaidi tutakujuza ndugu✍️🙏🏿
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ngoja tuzid kufutilia zaidi tutakujuza ndugu✍️🙏🏿
@user-rq6ok5ru9p2 ай бұрын
Asante
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@fundifundi28302 жыл бұрын
kamakuku anakakama mgu tatizo nini na dawayake niipi
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ngoja tufutilie zaidi ✍️🙏🏿
@nsiaelieza95682 жыл бұрын
Madini
@AGALUSTV2 жыл бұрын
👏👏👏🤝🤝🤝Barikiwa sana
@mamanahumu86372 жыл бұрын
Asantemimi napenda ufugaji wanguruwe pia
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu channel hii pia Kuna masomo ya ufugaji wa nguruwe na mengi yanakuja🙏🏿