Jinsi ya kupata faida kwa kuku wa kienyeji. Faida HADI Mil. 2 kwa kuku wachache tu 44 na kwa miezi 6 tu #tibaasili #chakulachakuku #magonjwayakuku Jifunze jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku kupitia • Chakula cha kuku
Пікірлер: 175
@aminamselem566919 күн бұрын
Habari zenu, hongeren kazi nzuri ya ufugaji na darasa lenu la ufugaji, nauliza tetea wanataga mara ngapi na kujua hapo amemaliza
@AGALUSTV19 күн бұрын
Ataanza kukaa muda mrefu ktk kiota....... Na mlio utabadilika mlio wake.
@josephmwasaga37106 ай бұрын
Shukrani kwa elimu bure na muhimu hususani kwa sisi baadhi tunaofuga umetuongezea maarifa zaidi maana nafuga kuku wa asili bila kutumia dawa yoyote ya viwanfani (chanjo) nawakinga kwa mimea ya asili na lishe bora.
@AGALUSTV6 ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@SalumNyiga-vj9ut8 ай бұрын
Asante sana kwa post yako
@AGALUSTV7 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@matukimerchant51709 ай бұрын
Asanteni Sana.
@AGALUSTV9 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AnnaMkenga-iu9db6 ай бұрын
Asanteni sanaa barikiweni
@AGALUSTV6 ай бұрын
Amina
@ebelyrugema4349 ай бұрын
Asante sana.
@AGALUSTV9 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@hildeblantimtitu-wq4ho Жыл бұрын
Asanteni sana kwa maelekezo mazuri
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu 🙏🏿
@JosephHaule-ik1ty Жыл бұрын
Safi sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@luckysimbeye8997 Жыл бұрын
Nimeelew kaka asnt sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AronShaban13 сағат бұрын
Samaani kaka je unaweza kuwafungia kwenyeband tu
@anatoryjames3484 Жыл бұрын
Nimewapata
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@NijimbereJeconie-d6x9 күн бұрын
Jaman nataka muniungekwenye group lenu raufugaji
@AGALUSTV9 күн бұрын
Kwa sasa hatuna group
@elizabethmatilia9527 Жыл бұрын
Asante sana mnisaidie mimi kilimo cha kisasa cha mchicha
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa ndugu tutazidi Kuomba Uzima
@AdamSkabenga5 ай бұрын
Nimepata elimubya kutosha sana
@AGALUSTV5 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@fredrickowino3 Жыл бұрын
Nawafuatilia nikiwa kenya hivi naomba nijue jinsi ambavyo mtu anaeza jitengenezea chakula cha kuku wa kienyeji,yani namaanisha unachanganya vipi chakula asanteni kwa kazi nzuri munayo ifanya pia
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa ndugu Kuhusu chakula fuatilia masomo yetu. Jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku #chakulachakuku
@user-ow3xf8fc8dАй бұрын
Unitumie vedios
@AGALUSTVАй бұрын
Video ipi ndugu
@user-go9js9wm2d10 ай бұрын
Vip naweza para hiyo mbengu Kwa wa fugaji wako kaka
@AGALUSTV10 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@user-oy3mo5if5pАй бұрын
samahn naweza pata mawasiliano yenu
@AGALUSTVАй бұрын
Sawa ndugu tutakutumia
@Iasah8 ай бұрын
Nimeipenda sana darasa yenu nikitaka Kununua kenu nawesa pata
@AGALUSTV7 ай бұрын
Kununua nini ndugu
@Iasah7 ай бұрын
@@AGALUSTV kuku au vifarana
@Iasah7 ай бұрын
@@AGALUSTV vifaranga
@AGALUSTV7 ай бұрын
Hatuuzi kwa sasa
@AGALUSTV7 ай бұрын
Hatuuzi kwa sasa
@RashidSeleman-og8guАй бұрын
Hujatoa mchanganuo wagalama yachakul
@AGALUSTVАй бұрын
Sawa ndugu waweza iongeza iyo ni picha tu ya mladi
@FulgensNerey14 күн бұрын
Naomba no yenu Ili nipate mbegu ya majogoo
@AGALUSTV14 күн бұрын
Sawa ndugu
@elbaricktv16324 ай бұрын
Ingekua hawaf na magonjwa hapo sawa
@AGALUSTV4 ай бұрын
Ok
@shuweyaabdulkarim32616 ай бұрын
Bei ni nzuri kuliko ukienda kununua kuku sokono ni sh 25 000
@AGALUSTV6 ай бұрын
Ni kweli ndugu
@bonitagowele62819 ай бұрын
Changamoto kubwa naipata vifaranga wafikapo miezi 3 na kuendelea ninitatizo ?
@AGALUSTV9 ай бұрын
Chanjo vp? Unazingatia
@elimbotoraphael39402 ай бұрын
Siyo rahisi hivyo kama unavyoeleza.njia rahisi ni kununua vifaranga na uvitunze vikue kwa pamoja.changamoto ya kupishanisha kuku katika malezi ni kubwa.kuanzia vyakula,dawa na mabanda tofauti.
@AGALUSTV2 ай бұрын
Noted
@user-sc2vf8tx3v10 ай бұрын
nimeona masomo yakiwa mazuri na je mtu hujitengenesea chakula Cha kuku aje ama nini atachanganya ??
@AGALUSTV10 ай бұрын
Yapo masomo yetu Kuhusu chakula cha kuku
@jumaomaridule-qi1wy10 ай бұрын
Ninakuku wana umwa wanasinzia na kulegea na mwishowake anakufa je itakua niugonjwa gani nanitumie dawa gani?
@AGALUSTV10 ай бұрын
Pole Sana ndugu apo Muone muuza dawa za mifugo aliye karibu nawe. Kwani walianza na Dalili zipi
@mahirsleiman-ey5vr11 ай бұрын
Mm naomba kuelew jinsi ya kutunza kuvafaranga bila ya mama Yao
@AGALUSTV11 ай бұрын
Jifunze kulea vifaranga bila mama yao waweza fuatilia video hii 👇 kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
@is_haqally882210 ай бұрын
Mimi naomba contact zenu
@AGALUSTV10 ай бұрын
OK
@victormalelemba43249 ай бұрын
Yaani hesabu haijawahi kumtupa mtu nenda kwenye uhalisia sasa nilijaribu nikaweka miundo mbinu na nilifelu
@AGALUSTV9 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@godfreyalbetus61646 ай бұрын
Pole
@user-go9js9wm2d10 ай бұрын
Mimi naomba kujifunza napenda sana kufuga kuku tafadhari nisaidie
@AGALUSTV10 ай бұрын
Karibu Sana ndugu uendelee kufuatilia video zetu Mara kwa mara
@matukimerchant51709 ай бұрын
Ninawezankupata maelekezo ya namna ya kuandaa chakula Cha kuku mwenyewe!
@AGALUSTV9 ай бұрын
Jifunze zaidi kupitia Channel hii
@marinentaruba-is5ox Жыл бұрын
Namna ya kulinda kuku au vifaranga wasishambuliwe na magonjwa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Chanjo tu, na tiba za asili. Video zote za maelekezo zipo kwenye channel hii
@irenebahati5458 Жыл бұрын
Habar kaka nakufwatiloa vzr sn unanipa nondo naomba kujua ni chakula gani natakiwa kumpa mbwa anaempanda jike au jike mwenyewe wakat anapandwa ili apate mimba maana amepandwa mara mbili ila habebi mimba
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kuna sindano wanachomwa ya joto apate kwa haraka. Uwa pia wanachomwa na nguruwe na wanyama wengine Apo HADI umpate mtaalam w mifugo aliye karibu nawe
@user-ej1ln6kn2u11 ай бұрын
Vp mbona ujatupigia isabu ya chakula
@AGALUSTV11 ай бұрын
Ipo ndugu fuatilia vzur
@mwakautimilifu7378 Жыл бұрын
Napataje masomo yaliotangulia,napenda niwe na maarifa ya ufugaji.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo kwanza kwa kusubscribe. Pia kwa kuandika Jina La AGALUS TV, video zote zitakuja
@user-xx4eh5po7v7 ай бұрын
Naomba contacts ya kuweza kununua kuku kama hao wakienyeji kwaajili ya kufuga
@AGALUSTV7 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@deniskutemile68109 ай бұрын
Swali langu ni kwamba kuku wangu hawatagi ili hali nawapa chakula na maji ya kutosha
@AGALUSTV9 ай бұрын
Aina gani ya kuku
@matukimerchant51709 ай бұрын
Agalus mnapatikana wapi?
@AGALUSTV9 ай бұрын
Sisi team ndugu tunashirikishana na watu mbali mbali. Tupo Dar, mbeya, kagera, moro. N. K
@user-og3fl9ne8m Жыл бұрын
Soko la kuku wa kienyeji mbona limekua gumu sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Upo wapi ndugu
@anatoryjames3484 Жыл бұрын
Nimewaoata
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja sana
@naadhirshuaib2954 Жыл бұрын
Je katika chakula unaweza kutumia chakula ya kiwandani kuwalisha kuku wa kyenyeji au.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa tu japo ni hasara kwako. Ni vizur ukatengeneza mwenyewe
@sinaniswaibu1965 Жыл бұрын
Naomba kuelekezwa namna ya kuchanganya chakula Cha kuku wa kienyeji
@AGALUSTV Жыл бұрын
Masomo kuhusu CHAKULA CHA KUKU FUATILIA APA Chakula cha kuku: kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0Ettq9rfYN2okbgi0ionZdU
@aminamgaya4551 Жыл бұрын
Nataka kuanza biashara ya kilimo ,mtaji wangu ni milioni Moja ,msaada nianze na Nini?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Wekeza kwenye kununua nafaka hasa maharage, viaz mviringo n. K
@user-bz4ci3pp8p Жыл бұрын
Chanjo ya kuku asilia inapatikana wapi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Maduka ya mifugo
@laurentzacharia1563 Жыл бұрын
Hivi pilipili ya unga unaweza wa changanyia kwenye chakula kuku wakubwa na wadogo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa unaweza ila ni vizuri uwape kwa kuku wakubwa.
@filbertnolasco22774 ай бұрын
Mm naomba mnisaidie hatua kwa hatua za kutotoresha vifaranga kwa njia rahisi na bila mama yao
@AGALUSTV4 ай бұрын
Kwa kutumia kifaa gani
@filbertnolasco22774 ай бұрын
Kwa kutumia taa na box
@AGALUSTV4 ай бұрын
Sawa ndugu ngoja tuandae video yake
@AGALUSTV4 ай бұрын
Sawa ndugu ngoja tuandae video yake
@EfraziaBoniphace3 ай бұрын
Naomba kuuliza nina matetea 15 na jogoo watatu ila hawatagi shida ni nn
@AGALUSTV2 ай бұрын
KUKU wa aina gani
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Chakula,ukiwabania kuku wa kienyeji,hawatagi.
@AGALUSTV2 ай бұрын
Hakika ndugu
@zaharamohamed8132Ай бұрын
Mimi naomba mawasiliano yenu kwa maana ya simu
@AGALUSTVАй бұрын
Sawa ndugu tutakutumia
@shammhagama2527Ай бұрын
Nahitaji kuku kadhaa ntawapataje, nataka nianze kufuga nipeni mawasiliano ya sim
@AGALUSTVАй бұрын
Upo wapi ndugu
@rolfstamoses3790 Жыл бұрын
Mayai yanaharibika yakikaa sana wiki nasiku nipeni ushauli nifanyeje?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Yana haribika kvpi
@rolfstamoses37903 ай бұрын
Ukanda wa joto mayai yakikaa wiki yanaleta kiini chekundu.
@AGALUSTV3 ай бұрын
Kwa iyo unahisi ni joto ndio tatzo?
@annesmatemu4264Ай бұрын
Wapi sasa jomoni
@AGALUSTVАй бұрын
Nini ndugu
@matukimerchant51709 ай бұрын
Nina swali, vipi haya kuhusu kinga kwa hawa kuku ambao nitawanunua randomly! Namna gani nitazuia magonjwa ambayo yanaweza kuja nao hao kuku!
@AGALUSTV9 ай бұрын
Si nzur Sana kununua ivyo jitaidi ununue toka kwa mfugaji chanzo 1
@malavasu60395 ай бұрын
Nataka jogoo1 na 3 naweza kupata
@AGALUSTV5 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@upendogodlove7168 Жыл бұрын
Tunashukuru kwa somo nzuri mm kuku wangu wametaga mayai 60 nmewapangia ila hawaatamii sijui shida ni nini
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ni wa kienyeji AU chotara
@upendogodlove7168 Жыл бұрын
@@AGALUSTV kienyeji
@AGALUSTV Жыл бұрын
Bado wanaendelea kutaga, wawekee mayai 3 tu kw kila kiota, ukimwota kuku Anataka kuhatamia uwa anakaa kw kiota muda wote hivyo utaanza kumwekea mayai. Pia angalia vzur VIOTA vyako, pawe na giza, pasiwe na wadudu kama utitiri
@upendogodlove7168 Жыл бұрын
@@AGALUSTV nashukuru kwa somo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa pia
@massawegospelmassawe54307 ай бұрын
Dono ni Zuri ila naomba kuuliza hawa jogoo wadogo 40 wa elfu 5000 wanapatikana wapi mi niko arusha monduli
@AGALUSTV7 ай бұрын
Apo sasa ndugu tumekupa Mwanga tu. Hesabu ya kuanza nayo fanya uchunguzi eneo lililo karibu nawe wapi utapata kuku kwa bei kulingana na eneo lako
@shariftwahirabdullqadir96457 ай бұрын
@@AGALUSTVnice
@AGALUSTV7 ай бұрын
Amen
@jamesjoseph-cm6gt2 ай бұрын
Nitafute mimi pia niko Monduli.
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha MI natakakujua ujenzi wabanda una galim kias gani ambalo lakufuga idadi yaao kuku ulo tuambia
@AGALUSTV Жыл бұрын
Shida ni mazingira ndugu yaani materials bei Yanatofautiana eneo na eneo kwani upo wapi ndugu
@johnjulius253111 ай бұрын
Mchanganuo huo n mzuri na una vutia 😂,ila sasa hivyo vi jogoo vita pigana mpaka utauza tu kabla havija kuwa majogoo makubwa
@AGALUSTV11 ай бұрын
Hapna ndugu kuku wakiwa wadogo hawapigani, na kuku wanaokua pamoja hawapigani. Shida I nakuja ukichanganya na tetea kw iyo hakikisha hakuna tetea hata 1
@AlumbwageTumwidike Жыл бұрын
Bado hapo hujaelezea gharama za madawa umeelezea chakula tu
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ipo kwenye hii video ila haitazidi laki 2 na 50
@esthernzilu3379 Жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya sim tuzungumze vizuri
@esthernzilu3379 Жыл бұрын
Naitaji maelekezo yakina
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa ndugu wasap +255765467484
@jumaomaridule-qi1wy10 ай бұрын
Nauliza jinsi ya kutengeneza banda nifanyaje maana sielewi
@AGALUSTV10 ай бұрын
Kuhusu ujenzi w Banda zingatia mambo muhimu katika ujenzi w Banda. Fuatilila video hizi kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
@RejinaKalinga-fq2to8 ай бұрын
Vifaranga wanatoa machozi tatizo nn
@AGALUSTV8 ай бұрын
Mafua makali
@alnasway18837 ай бұрын
No
@AGALUSTV7 ай бұрын
👌
@samakija-hh7lm Жыл бұрын
Kuku chotara anataka kwa mda gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Miezi 5/6
@rolfstamoses37903 ай бұрын
Fomula za vyakula vya viwandani wanazotumia
@AGALUSTV3 ай бұрын
Unataka au
@rolfstamoses37903 ай бұрын
MBONA AMTOI VIDEO HIZO@@AGALUSTV
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
Hii ni theory nenda practically uone.
@AGALUSTV7 ай бұрын
Ni mipango na malengo tu
@rosemarysulle92882 ай бұрын
Kwakweli muwe mnasema ukweli,practically ni ngumu,lzm upate hasara za kutosha,usipokata tamaa ndiyo unatoboa.mm nina mwaka wa3 sasa,badogo tu napambana,somo ndo linañikaa sasa.
@AGALUSTV2 ай бұрын
Tuzidi kifuata kanuni za ufugaji Bora na MBINU mbali mbali
@jabirisaid5934 Жыл бұрын
Mi Nina kuku WA kienyeji kwa wiki kg 40 na sion faida Bali hasara naomba link ya kutengeneza chakula cha kuku
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pole Sana ndugu #chakulachakuku
@jabirisaid5934 Жыл бұрын
Poa
@AGALUSTV Жыл бұрын
🤝🙏🏿
@jabirisaid5934 Жыл бұрын
Poa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo PA 1
@kissomundende3696 Жыл бұрын
Changamoto ipo kwenye uchanganyaji wa chakula na namna ya kukipata… mfano mimi mfugaji mwenye kuku 200 wanakula kilo 130 kwa week1 tu, gharama inakua kubwa faida haionekani sijui unatusaidiaje ili tujue wapi tununue chakula tuchanganye wenyewe labda gharama zitapungua
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kwani unapatikana wapi
@zayyedsuleiman643210 ай бұрын
Mimi hapo nimefahamu ila ninacho omba munifahamishe namna ya dawa wanapo anza kutotolewa mpaka wanapofika miezi 6 pili namna ya kuchanganya pumba unachanganya pumba na vitu vingapi
@AGALUSTV10 ай бұрын
Ratiba ya chanjo kwa kuku ni hiii kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0Fddy6ANglB_HUAHuO0nkMi
@ArnoldJudaKing Жыл бұрын
Naomba link inayoonesha gharama za chakula, chanjo na dawa kwa hawa kuku 214 miezi 6.
@AGALUSTV Жыл бұрын
OK ivi punde itakua tayari ✍️🤝👏
@peterbomba7293 Жыл бұрын
Gàra,ma inakuaje 200000 kwa mda wa miezi 6 itazidi kwani chakula mda huu ni garama sana wandugu
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ooooh ni kweli japo zipo njia za kupunguza gharama za chakula 1 wapo ni kuandaa Chakula mwenyewe
@juvenalkimario7254 Жыл бұрын
Jamani mimi naitaji kuku wa kienyeji wakubwa kwajili ya mbegu ninani anae
@AGALUSTV Жыл бұрын
Upo wapi
@juvenalkimario7254 Жыл бұрын
@@AGALUSTV mimi nipo po moshi wilayani rombo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Uko ni tungekutumia maaana toka mbeya HADI uko😒
@ayoubmasenza15987 ай бұрын
Hamkuksmilisha bajeti
@AGALUSTV7 ай бұрын
Oooh apo ndugu tukupa Mwanga tu. Vingine unaweza ongeza AU punguza kulingana na mazingira yako