Fatma Karume azungumzia yaliyofanya kufutiwa haki ya kufanya kazi

  Рет қаралды 15,421

BBC News Swahili

BBC News Swahili

4 жыл бұрын

Eagan Salla

Пікірлер: 35
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Haki na kazi wapi na wapi , hakuna kutereza ulimi kwa hivyo ...... Wewe dada zinaingia na kutoka aisee.....
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 жыл бұрын
Kuwa mzalendo we dada na nchi yak usitumik na midude ya nchi nyengn
@bonifasbonara9323
@bonifasbonara9323 4 жыл бұрын
Karibu kwenye siasa kurayangu yako njoo chadema
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 4 жыл бұрын
Sasa Leo hii anataka kufanya kazi wakati alikua akipaza sauti ya lockdown. Sasa akae ndani hii ndio lockdown yenyewe ili asipate corona
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 жыл бұрын
Hujuielew
@tusajigwekanemela4784
@tusajigwekanemela4784 4 жыл бұрын
Ona kisura kigumuuu mnafiki wewe
@bibletv9818
@bibletv9818 4 жыл бұрын
Ni lock down tu dada. Subiri iishe.
@jayemily3821
@jayemily3821 4 жыл бұрын
Nina mashaka na sauti yake ahahaaaa
@kopiscojacobisaya409
@kopiscojacobisaya409 4 жыл бұрын
Utabaki kwenye kumbukumbu za mawakili wasio jitambua.unaluga chafu
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 жыл бұрын
Nilikuwa nakuangalia tu!
@josephkizuri4077
@josephkizuri4077 4 жыл бұрын
Huwezi jua sababu kamwe coz ww mwenyewe hujitambui...
@talibsaid8081
@talibsaid8081 4 жыл бұрын
Kwenye siasa utazungumza nini wewe na Kiswahili hujui
@zakiazakia4552
@zakiazakia4552 4 жыл бұрын
Kakae nyumbani ufanye kazi za kupika na kupakuwa
@shadymbuki87
@shadymbuki87 4 жыл бұрын
Tatizo hana hata wa kumpikia na kumpakulia.
@kibuzosengamshairi4214
@kibuzosengamshairi4214 4 жыл бұрын
We siyo mzalendo ni kibaraka tu
@godwinmasoud7180
@godwinmasoud7180 4 жыл бұрын
Rudisha kiwanja cha Kanisa Anglikana Zanzibar kile cha Mfuuni-Mbweni
@isayaublikiwefeliciansan1514
@isayaublikiwefeliciansan1514 4 жыл бұрын
Mmmmm labda ule nguruwe ndio nitakuelewa nautujulishe umekula
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 жыл бұрын
Pumbavu sana huyu
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 4 жыл бұрын
Tatizo ni dharau. Siyo Feleshi. Ni jaji Feleshi mpe heshima yake haikupunguzii kitu .
@shadymbuki87
@shadymbuki87 4 жыл бұрын
Wakati wa JK alimzaba vibao na kumtukana matusi ya nguoni hakimu akalindwa, zama zile hazipo sasa acha anyooshwe.
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 4 жыл бұрын
Huyu binti bahati mbaya anatumia jina la babu na baba yake vibaya. Nafikiri amelitumia kwa muda mrefu na kiasi cha kujisikia kwamba sheria za nchi hazimgusi.
@shadymbuki87
@shadymbuki87 4 жыл бұрын
@@zachmaselle6635 huyo sio binti aisee, kama mwaka 2000 wakati baba yake anakuwa R Rais wa Zanzibar yeye alikuwa na miaka 32 leo hii ukiongeza 19 bado unaona ni binti tu? au sababu hakajaolewa!?
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 4 жыл бұрын
Umenivunja mbavu. Njua wanamwita shangazi lazima kuna sababu lakini ukweli ni kwamba sijajua malalamishi yake ni nini! Labda ndio nchi yetu ilipokuwa imefikia kitabaka sasa watu bado wamelala usingizi hawataki kuamumka kwamba kuna mkuu mpya. Kitu kingine kinachonisumbua kichwa ni wenzetu wa BBC. Ukweli sijui wana mchango gani katika jamii yetu. naona kama imekuwa kama ushabiki!
@christophermalongo1577
@christophermalongo1577 4 жыл бұрын
Haka kamalaya kanautovu wa nidhamu
@christophermalongo1577
@christophermalongo1577 4 жыл бұрын
Sababu huna adabu
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Were mchochezi
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 4 жыл бұрын
unaelm nenda kafanye kaz uingereza wewe n mzungu huku waachie wa Tz...
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 4 жыл бұрын
TZ jamaa bado mwazaba kina mama
@zainabkhatib6509
@zainabkhatib6509 4 жыл бұрын
Usijali sister nijambo dogo sana
@emanuelishayo3431
@emanuelishayo3431 4 жыл бұрын
Usiogope kaz but√>>>
@hamzaathuman9703
@hamzaathuman9703 4 жыл бұрын
Emanueli Shayo dharau Na kiburi ndio shida
@muammarsoud1854
@muammarsoud1854 4 жыл бұрын
Unaleta muangaza kwenye kiza hii africa hamna atakae kuelewavifaru watupu
@hamzaathuman9703
@hamzaathuman9703 4 жыл бұрын
Muammar Soud alipompiga judge mkuu akati babaake yupo madarakan akalindwa anadhan ndo wakati huuu?!?? Km hujui kaa kimya tatizo LA Fatima dharau Na kiburi
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 43 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
MAZITO ! FATMA KARUME : SITOACHA UOGA UNITAWALE
14:47
Global TV Online
Рет қаралды 69 М.
SIJARUDISHIWA LESENI | FATMA KARUME | KUHUSU FAMILIA
11:47
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 33 М.
KAULI YA  FATMA KARUME BAADA YA KUVULIWA UWAKILI
6:02
Millard Ayo
Рет қаралды 98 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 414 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН