Haki na kazi wapi na wapi , hakuna kutereza ulimi kwa hivyo ...... Wewe dada zinaingia na kutoka aisee.....
@hemedjackson22614 жыл бұрын
Kuwa mzalendo we dada na nchi yak usitumik na midude ya nchi nyengn
@bonifasbonara93234 жыл бұрын
Karibu kwenye siasa kurayangu yako njoo chadema
@mimifineliving20224 жыл бұрын
Sasa Leo hii anataka kufanya kazi wakati alikua akipaza sauti ya lockdown. Sasa akae ndani hii ndio lockdown yenyewe ili asipate corona
@hemedjackson22614 жыл бұрын
Hujuielew
@tusajigwekanemela47844 жыл бұрын
Ona kisura kigumuuu mnafiki wewe
@bibletv98184 жыл бұрын
Ni lock down tu dada. Subiri iishe.
@jayemily38214 жыл бұрын
Nina mashaka na sauti yake ahahaaaa
@kopiscojacobisaya4094 жыл бұрын
Utabaki kwenye kumbukumbu za mawakili wasio jitambua.unaluga chafu
@samwellwiza53394 жыл бұрын
Nilikuwa nakuangalia tu!
@josephkizuri40774 жыл бұрын
Huwezi jua sababu kamwe coz ww mwenyewe hujitambui...
@talibsaid80814 жыл бұрын
Kwenye siasa utazungumza nini wewe na Kiswahili hujui
@zakiazakia45524 жыл бұрын
Kakae nyumbani ufanye kazi za kupika na kupakuwa
@shadymbuki874 жыл бұрын
Tatizo hana hata wa kumpikia na kumpakulia.
@kibuzosengamshairi42144 жыл бұрын
We siyo mzalendo ni kibaraka tu
@godwinmasoud71804 жыл бұрын
Rudisha kiwanja cha Kanisa Anglikana Zanzibar kile cha Mfuuni-Mbweni
@isayaublikiwefeliciansan15144 жыл бұрын
Mmmmm labda ule nguruwe ndio nitakuelewa nautujulishe umekula
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Pumbavu sana huyu
@zachmaselle66354 жыл бұрын
Tatizo ni dharau. Siyo Feleshi. Ni jaji Feleshi mpe heshima yake haikupunguzii kitu .
@shadymbuki874 жыл бұрын
Wakati wa JK alimzaba vibao na kumtukana matusi ya nguoni hakimu akalindwa, zama zile hazipo sasa acha anyooshwe.
@zachmaselle66354 жыл бұрын
Huyu binti bahati mbaya anatumia jina la babu na baba yake vibaya. Nafikiri amelitumia kwa muda mrefu na kiasi cha kujisikia kwamba sheria za nchi hazimgusi.
@shadymbuki874 жыл бұрын
@@zachmaselle6635 huyo sio binti aisee, kama mwaka 2000 wakati baba yake anakuwa R Rais wa Zanzibar yeye alikuwa na miaka 32 leo hii ukiongeza 19 bado unaona ni binti tu? au sababu hakajaolewa!?
@zachmaselle66354 жыл бұрын
Umenivunja mbavu. Njua wanamwita shangazi lazima kuna sababu lakini ukweli ni kwamba sijajua malalamishi yake ni nini! Labda ndio nchi yetu ilipokuwa imefikia kitabaka sasa watu bado wamelala usingizi hawataki kuamumka kwamba kuna mkuu mpya. Kitu kingine kinachonisumbua kichwa ni wenzetu wa BBC. Ukweli sijui wana mchango gani katika jamii yetu. naona kama imekuwa kama ushabiki!
@christophermalongo15774 жыл бұрын
Haka kamalaya kanautovu wa nidhamu
@christophermalongo15774 жыл бұрын
Sababu huna adabu
@michaelndilima62104 жыл бұрын
Were mchochezi
@johannesmaloda82094 жыл бұрын
unaelm nenda kafanye kaz uingereza wewe n mzungu huku waachie wa Tz...
@tahiraabdul17014 жыл бұрын
TZ jamaa bado mwazaba kina mama
@zainabkhatib65094 жыл бұрын
Usijali sister nijambo dogo sana
@emanuelishayo34314 жыл бұрын
Usiogope kaz but√>>>
@hamzaathuman97034 жыл бұрын
Emanueli Shayo dharau Na kiburi ndio shida
@muammarsoud18544 жыл бұрын
Unaleta muangaza kwenye kiza hii africa hamna atakae kuelewavifaru watupu
@hamzaathuman97034 жыл бұрын
Muammar Soud alipompiga judge mkuu akati babaake yupo madarakan akalindwa anadhan ndo wakati huuu?!?? Km hujui kaa kimya tatizo LA Fatima dharau Na kiburi