Nilipotezana na mama yangu miaka 23 iliyopita | Bhoke Nimeolewa nina watoto watatu

  Рет қаралды 35,749

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

Mama Boke alikuwa akimtafuta mwanaye kwa takribani miaka 20 na Mtoto pia alikuwa akimtafuta Mama yake na leo wamekutana kwa mara ya kwanza na ni kwa zaidi ya miaka 20 Mama amekutana na mtoto wake.
Sasa mtoto yule wa miaka miwili sasa ameolewa na ana watoto watatu na Mama amekuwa Bibi wa jukuu watatu.
#LeoTena
#MamaNiMama
#Tumekuverify

Пікірлер: 160
@hellenlimo3208
@hellenlimo3208 29 күн бұрын
Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
@joycekalago532
@joycekalago532 28 күн бұрын
Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 29 күн бұрын
Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖
@Sonia_abass
@Sonia_abass 25 күн бұрын
Amen
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 29 күн бұрын
Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏
@anorldmarandu4725
@anorldmarandu4725 Ай бұрын
Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 Ай бұрын
Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru
@mrfashion1687
@mrfashion1687 29 күн бұрын
Ila Geah anazeeka na uzuri wake
@user-tb8zb4rv6h
@user-tb8zb4rv6h 19 күн бұрын
Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Ай бұрын
Wame fanana sana na mama yake❤😢
@missmoona4497
@missmoona4497 Ай бұрын
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Ай бұрын
No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 29 күн бұрын
Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni
@faridabilly379
@faridabilly379 26 күн бұрын
Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 Ай бұрын
Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 25 күн бұрын
Nshalia sana
@janetmushi4689
@janetmushi4689 Ай бұрын
Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.
@VemaMtati-kb4ho
@VemaMtati-kb4ho Ай бұрын
Nimelia kama mm ndo bhoke
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 29 күн бұрын
Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa
@nancyg8664
@nancyg8664 29 күн бұрын
​@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga
@user-en1uq1eg6h
@user-en1uq1eg6h 28 күн бұрын
Hata mimi❤
@OmarySamata
@OmarySamata 22 күн бұрын
Daaah sana aisee
@user-gy7zq6lw1o
@user-gy7zq6lw1o 29 күн бұрын
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 Ай бұрын
Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 27 күн бұрын
Mimi nipo kenya🇰🇪 heko sana tena sana cloud fm kwa kazi mnayoifanya tz 🇹🇿kiukweli mko mbele e mola awabaliki👍👆👆
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 29 күн бұрын
Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu
@caritaskabyemela1530
@caritaskabyemela1530 Ай бұрын
Kafanana na mwanae jamani
@djcashwanakidiry9158
@djcashwanakidiry9158 28 күн бұрын
Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿
@chachawambura4030
@chachawambura4030 29 күн бұрын
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
@user-rg9ii7dj6w
@user-rg9ii7dj6w 26 күн бұрын
MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
imeshindwa kuzuia machozi wallah
@HappyAsajile
@HappyAsajile Ай бұрын
Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 28 күн бұрын
😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama
@pamelafidelis6102
@pamelafidelis6102 29 күн бұрын
Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 25 күн бұрын
Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 29 күн бұрын
Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 29 күн бұрын
Baba mdogo hongera sana.
@abasiabdulabi5430
@abasiabdulabi5430 Ай бұрын
Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 29 күн бұрын
Wamefanana sana Mashallah ❤
@marygregory7566
@marygregory7566 Ай бұрын
Mungu awajalie na victor wampate
@user-kd7ey2mu7p
@user-kd7ey2mu7p 29 күн бұрын
Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 25 күн бұрын
Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk 27 күн бұрын
Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani
@salimngajoga3407
@salimngajoga3407 25 күн бұрын
Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 29 күн бұрын
Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi
@Denatha50
@Denatha50 28 күн бұрын
Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu
@sengendotwaha9333
@sengendotwaha9333 29 күн бұрын
Asante sana
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 28 күн бұрын
Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 28 күн бұрын
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
@edvinaselestine712
@edvinaselestine712 2 күн бұрын
Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 29 күн бұрын
Yani we acha atuu😢
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 28 күн бұрын
Yaaani basi tu
@omanoman2044
@omanoman2044 Ай бұрын
Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu
@OmarySamata
@OmarySamata 22 күн бұрын
Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu
@user-im5kc6ey7j
@user-im5kc6ey7j Ай бұрын
Mungu awabariki sana
@AngeKazege-sy1ok
@AngeKazege-sy1ok 28 күн бұрын
Baba Mudogo Katuliya Sana❤
@IgnasiaNdunguru-hr5ep
@IgnasiaNdunguru-hr5ep Ай бұрын
Asante
@jolyPoly-qm9fb
@jolyPoly-qm9fb 24 күн бұрын
Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢
@ABDULShq-wv6st
@ABDULShq-wv6st 14 күн бұрын
Good job clous
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 28 күн бұрын
Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 28 күн бұрын
😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 Ай бұрын
Jaman
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 29 күн бұрын
Pumnzika kwa Amani Mama yngu
@norakaima1644
@norakaima1644 29 күн бұрын
Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 28 күн бұрын
Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki
@Gloriousministriesforallnation
@Gloriousministriesforallnation 23 күн бұрын
Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.
@felistafundi4559
@felistafundi4559 Ай бұрын
Mungu awabariki jamani
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Ай бұрын
Da mungu ni mwema,
@azeezaya8510
@azeezaya8510 Ай бұрын
Mungu watu nimwema siku zote
@user-lz4oj8cg6q
@user-lz4oj8cg6q 26 күн бұрын
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
@salmangwila8062
@salmangwila8062 26 күн бұрын
alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 27 күн бұрын
Malia jamani! Mungu awabariku
@user-wh4gs8wj1z
@user-wh4gs8wj1z 19 күн бұрын
Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna
@wilddogztz3101
@wilddogztz3101 Ай бұрын
mungu awabariki mnoooooo mnooooo
@JumaDea
@JumaDea 29 күн бұрын
Daah hii redio ni zaidi ya redio.
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Ай бұрын
Mashallah❤
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 29 күн бұрын
Nimelia ad bs daa😢😢
@zenasalum2231
@zenasalum2231 Ай бұрын
Dah inauma sana
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Ай бұрын
Ba mdogo pia aheshimike sana
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 26 күн бұрын
Wamefanana sana jaman
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu 29 күн бұрын
😭Machozi yame nitoka wallah
@mamuumamuu7743
@mamuumamuu7743 29 күн бұрын
😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 26 күн бұрын
Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
Sauti zinaingiliana na za efm
@ibraoman2745
@ibraoman2745 25 күн бұрын
Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i Ай бұрын
Wamefanana kinomaa
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 Ай бұрын
Sauti za wapiga story
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Ай бұрын
Jamani Damu ya mtu haipoteagi milele
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 29 күн бұрын
Mama Bado kijanaa mwenyewe
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 28 күн бұрын
Dah nimejisikia huzuni sana
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Ай бұрын
Jamani nimelia maskini wamefanana
@careenlouis8563
@careenlouis8563 23 күн бұрын
Wamefanana mno❤😢
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Bhoke amaefanana na mama yake
@RebecaMackenzi
@RebecaMackenzi 29 күн бұрын
Hawa askari police mbona kama wana shida sana?
@jamilamsafiri2501
@jamilamsafiri2501 23 күн бұрын
Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e 29 күн бұрын
Nimelia sana
@user-fz2de4qn2r
@user-fz2de4qn2r Ай бұрын
Hiki kipindi kinasikitisha sana
@SibomanaSaida
@SibomanaSaida Ай бұрын
Very sad 😢😢haki
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 29 күн бұрын
Jamani cloud mnajua kuniliza
@EvaMalijo-wb2vs
@EvaMalijo-wb2vs 29 күн бұрын
Wapenda nawapataje na mimi namtafuta baba yangu mzazi sijawah kumuona tangu nizaliwe na mama alifariki naishi na maumivu kwa muda sasa nisaidieni nipate
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 28 күн бұрын
Ulitakiwa ujieleze
@TonyJonas-mk9ik
@TonyJonas-mk9ik 29 күн бұрын
Daah inauzunisha
@nashnene6326
@nashnene6326 29 күн бұрын
Wakurya, wachaga na wahaya huleta maumivu sana haswa ndoa/mahusiano zinapivunjika, kwa sababu ya mila na itikadi za kipumbavu
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 28 күн бұрын
Mama sisi hatuachi Mali yetu nje acha kutulaumu
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 28 күн бұрын
😂😂😂​@@wamburasungura6812
@EMANUELMgaya
@EMANUELMgaya 28 күн бұрын
mambo ya muhimu lakini bado back stage sauti ipo juu
@eggysulle7988
@eggysulle7988 28 күн бұрын
Clouds 🔥🔥
@angelphilip6263
@angelphilip6263 29 күн бұрын
Numelia jaman😢
@wilfredlukowo9476
@wilfredlukowo9476 29 күн бұрын
Hiki ni kipindi bora kuliko vyote
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 23 күн бұрын
Baba mdogo ana hekima
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 29 күн бұрын
Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi
@mshambaused3840
@mshambaused3840 29 күн бұрын
Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena
@user-hm1pe7bm2o
@user-hm1pe7bm2o 29 күн бұрын
Kwakweli vitunguu vinawasha machoni machozi yanatoka tuuu
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Ай бұрын
😢😢
@salmamumba8507
@salmamumba8507 Ай бұрын
Dah aisee inauma lakin
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Miaka 15 Hajamuona Mama Yake | Naomba Unisamehe Mwanangu
7:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 30 М.
MAIDS PAMBE USIKU WA ZUU #WeCaptureYourMemory #KitchenPartyOnline
2:54
Kitchen Party Online
Рет қаралды 27
Mrembo Vumilia Massawe Anamtafuta Mama Yake
8:46
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 4,6 М.
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 4,5 МЛН