No video

BABA MWITA AKIRI MBELE YA MZAZI MWENZAKE NA KUMLETA MTOTO KWA MAMA YAKE MZAZI | TOKA 2005 MPAKA 2022

  Рет қаралды 95,128

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Zaidi ya miaka 17 Mama na mtoto wakutana tena toka Mama alipopotezana na mtoto wake mwaka 2005 ambapo mtoto alichukuliwa na Baba yake.
Vilio vya furaha vimetawala kwenye familia hii.
Isikilize #CloudsFM 88.1 MHZ Mwanza, 92.9 Mhz Iringa, 89.3 MHZ Kigoma #Mcloudsnia #HakunaKuLeft
#MchongoGrup

Пікірлер: 448
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Uzuri baba Mwita amewasomesha watoto na kuwalea👏👏
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Kafanya jambo lamaana🤗
@mamafaty6190
@mamafaty6190 2 жыл бұрын
hii familia ya mwita iko pow yaan haina kinyongo baba mwita mungu azid kukubariki
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Baba kalea watoto vizuri sana. Kawasomesha pia. Hongreh sana Baba Mwita.
@timanyere9052
@timanyere9052 2 жыл бұрын
Mwita ni bonga la handsome 😘
@ezekielmwasenga4640
@ezekielmwasenga4640 2 жыл бұрын
Big up Cloud kazi yenu ni njema mnoo ,,nawapenda buuuuree watangazaji wote
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Jaman bab mwita kaniua sana yaan mcheshi sana ila mambo' ya maisha tu jaman., mana sometime unakuta kama mambo' uelewi.., hakika baba mwita big up sana tena sana, wakurya ni watu ila ukiwachokoza tu ndio wanakua wanyama..baba mwita asante sana
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana mpaka machozi yakanitoka kwa furaha lkn ni kwa neema tumshuru Mungu kila wakati miaka mingi nami ipo siku tutaonana na baba yangu japo mama yangu hataki kusema ukweli
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 жыл бұрын
Jitahidi kipindi hichi akiwa hai
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 Жыл бұрын
Daah inaumiza sn miaka 20.bila kuwa0na watoto Mungu ni mwema kwa kweli.baba.mwita.mungu.amtunze.maana.kalea.watoto.vzr.mpaka.rahaa✍️💃
@rodgerskapingo4618
@rodgerskapingo4618 2 жыл бұрын
Sasa naona umuhimu wa social Media,,hongera sana Clouds na kipindi hiki,,Kweli Mungu awabariki na kuwaongezea uthamani weni...
@officialteeh1213
@officialteeh1213 2 жыл бұрын
I like this project keep it up clouds
@saraphinakabubi3725
@saraphinakabubi3725 2 жыл бұрын
Kurya people jaman 🤣🤣🤣🤣🤣
@azizahmwimbe8548
@azizahmwimbe8548 2 жыл бұрын
Hongera sana clouds kwa kuwakutanisha watu waliopoteza family zao keep it up the good work👌👏
@mwajumamakunga1665
@mwajumamakunga1665 2 жыл бұрын
Hii picha nikiiona nimemiss sana my mom, ni mwaka wa 9 tangu anitoke.
@hadijamshimbula7616
@hadijamshimbula7616 2 жыл бұрын
Daaah nimemkumbuka my mom RIP 🙏🏻 MOM
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Pole Saana Kipenzi
@lilianzachary8318
@lilianzachary8318 2 жыл бұрын
Pole dyaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
Pole dear
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 2 жыл бұрын
Poleee Ndgu
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Sio wewe Tu! Hata Mimi RIP my Mama
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
Hongereni sana clouds mashallah😭😭😭 bibi kanifanya nimetabasam alhamdulillah
@mamakekhubeiby4206
@mamakekhubeiby4206 2 жыл бұрын
Wallahi mpaka nimelia Allah atawalipa herry inshallah 😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@rajah9328
@rajah9328 2 жыл бұрын
Haki kazi nzuri sana Mungu Insha'AllAH Mungu awabariki
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 2 ай бұрын
Clouds nawapenda saaaana, hii y mwita nimecheka kwa kwrli cjalia!!
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah dah mama ww umejua kuniliza 😭😭😭
@preciousmrema5907
@preciousmrema5907 2 жыл бұрын
So emotional jaman😭😭😭😢 lakin ba mwita kituko
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Ай бұрын
Allah awanynganye vizaz baazi ya wabongo mnatesa watoto mnazini na kutesa watoto
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Du kuna haja ya sisi wanaume kubadilika sana kuna baadhi yetu tabia zetu zina watesa sana wanawake
@tamarimoto6
@tamarimoto6 2 жыл бұрын
Ni kweli
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 жыл бұрын
Bora wewe umesema.
@taturamadhan9217
@taturamadhan9217 2 жыл бұрын
Baba Mwita is so crazy 😅🤣🤣🤣
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 жыл бұрын
Wallah imenigusa sn hi inshu yakupoteza nawatoto kwamda mrefu kiasi hiko pia nimshukuru bbaake mwita kwamalezi mazuri aliyowalea wanae kwamapenzi ya dhati nahadi ss kijanaanaonekana ktk muonekano mzuri pia niwasihii wanawake wenzangu baadhi yao msipende kuishi nawanamme bilakujua wanakotokea au mwanamke anakoishi maana mwisho mnaishia kupotezana nakuamin. Pengine washakufa kumbe wko hai
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 жыл бұрын
Hongera zako baba mwita nimekupenda unapenda wanao
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 2 жыл бұрын
Mashaa Allah huyu mtoto mwita nimemuona ni mpole na upole unaendana na usikivu na usikivu unaendana na ustaarabu halafu jina lake silielew la kiislam kweli? Mama mwita fanya bidii mwanao umfundishe dini ushauri wa bule mpeleke madrasa katoto ka kiume ni kamoja kafundishe dini mama yangu
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Baba mwita mwanaume anayependa watoto
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 жыл бұрын
Sana sana
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 2 жыл бұрын
Ila baba mwita jamani nimempenda bure hana kukataa alichokifanya yaan yeye anafurahia pia kumuona mzazi mwenzie japo km una hasira unaweza kunasa kibao yaan ana masihara hatar mwenzio analia yeyw ndio kwanza anamfanyia komedi mwenzie jamani😂😂😂😂😂
@lilianzachary8318
@lilianzachary8318 2 жыл бұрын
Baba mwitaa yanii
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Uyu Mama Mwita kaniliza, sikia tu kwa mwenzio, uyu Mamaangu kabisa, Mama saumu.
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 2 жыл бұрын
hakika hiki ni kipindi bora kabisa hapa Tanzania daah ukiskia kipindi cha radio hiki ni zaidi ya kipindi walahi mpaka nimelia 😭😭😭
@annastangonyani5320
@annastangonyani5320 2 жыл бұрын
Nimempenda sana nwita ni kijana mwenye kujielewa na hekimu mungu amemjalia,Iwe kwake heri
@kulthumbashiru864
@kulthumbashiru864 2 жыл бұрын
Wallah nimelia pia nimefurahi
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Dah so sad imekuwa siku ya kilio yenye furaha pia kwa familia husika. Yaani wazazi kutengana kunaumiza Sana watoto.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Ni kweli dear lkn ndo hivo inaposhindikana lazima tutengane
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
@@jescajulius8023 Saana Kipenzi 😭😭😭Naumizwa Saana Na Maswala Kama Haya Jamani
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
@@yassintaibrahim24 ndy yanaumiza nami ni mhanga
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
@@jescajulius8023 Pole Yetu Saana Kipenzi Mimi Pia Cjamlea Mwanangu Tangu Yuko Katikati Ya La Kwanza Ingawa Nilikua Napata Fursa Ya Kuonananae Mara Moja Kwa Mwaka, Baada Ya Hapo Ckuonananae Alipofika La Tano Nikaja Kumuona Akiwa Kidato Cha Pili 😭😭😭
@swaumuramathani9
@swaumuramathani9 2 жыл бұрын
Niwapenda clause
@happinesskatandula6447
@happinesskatandula6447 2 жыл бұрын
Nimempenda baba mwita jmn clouds km mna no yake mnipatie ila mimi ninaposhangaa mama mwita alikuwa anawasaliana na mkwewe ambae ni bibi yake mwita kwann asiende kuona watoto wake
@maryamtan682
@maryamtan682 2 жыл бұрын
Amekuambia, bb naye alifaliki bl yy kujua, ina maana mawasiliano yalikata.
@silyadamian5708
@silyadamian5708 2 жыл бұрын
Na pia alisema alikuwa hapajui ni sehem gan na alkuwa na hali ngumu ya maisha
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 жыл бұрын
Nauli ya Musoma unaijua au unaisikia?
@griffinschire9695
@griffinschire9695 2 жыл бұрын
Mm pia nimechukuwa watoto wangu..... Kutoka kwa mama yao... Ni mwaka WA tano Sasa....niliona mamake Ana mwelekeo wa kulea watoto
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Mashallah mungu awabariki nyote mulio simamiya huyu mama mpaka akapata watoto wake
@emmysfitnessandforex9403
@emmysfitnessandforex9403 2 жыл бұрын
Msizae na wakrya jmn...ni watu wa hovyo niulizeni mimi🙌🙌🙌
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 жыл бұрын
😂😂
@allyabdallahally9637
@allyabdallahally9637 2 жыл бұрын
😂😂😂
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 2 жыл бұрын
Hahahahaaaa Uuuwiiihhhhh
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 2 ай бұрын
Ila kweli
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 2 жыл бұрын
Nmecheka na kulia at the same time, Baba mwita Comedy
@emanuelkamangu6500
@emanuelkamangu6500 2 жыл бұрын
Alisha jua anamakosa katumia akili kumaliza kesi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Mama mwita nampenda sana anavyomlilia mwanaye jamani safi sana ,halafu mrembo mwenyewe na mwita mzuri.
@sophiamasawe6852
@sophiamasawe6852 5 ай бұрын
😂😂😂ushaanza umalaya
@sofiagao6396
@sofiagao6396 Жыл бұрын
Hongera.sana.baba.mwita
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭mama mwita umeniliza na mie pole sana
@roytv8276
@roytv8276 2 жыл бұрын
Mashaallah baba mwita kaupiga mwingi sana
@priscamakendi2239
@priscamakendi2239 2 жыл бұрын
Hongea sana clouds MUNGU awabariki sana
@verenabenjamin7893
@verenabenjamin7893 2 жыл бұрын
Ma mwita umeniliza daah...hongereni clouds kwa project nzuri sana
@charlessilwimba4770
@charlessilwimba4770 2 жыл бұрын
Mimi pia dea
@maryamashatone469
@maryamashatone469 2 жыл бұрын
Salute kwa bibi na mammkubwa kwa upendo
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Wakurya ndio zao hizo za kutorosha watoto mkurya mchaga hizo ngoma nzito ila kwa upande mmoja nawapenda hawatupi Damu zao ila wengine heeeee ni mtihani mpaka mburuzane mahakamani ustawi wa jamii ndio update matumizi.
@khadijamohamedy4492
@khadijamohamedy4492 2 жыл бұрын
Kabisa
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 2 жыл бұрын
Kwani baba ngaya ni comedian 😂 🤣 maana nimecheka mimi jamani vituko vyake
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Kwa ajili..Baba mwita alivyokuja tu..mie nimemsamehe kabisa tena mcheshi sana ila saa ingine maisha tu jaman kwa kipindi kile..alichoondoka dar es salaam..tumsamehe wandugu jaman
@Estherbongo
@Estherbongo 2 жыл бұрын
Baba mwita unaroho mbaya na baba mwita anajua kujiani anajiongelesha ongelesha ili auwe kesi anaakili san huyu mzee kajanja sana huyu mzee ni MTU mbaya sana na mjanj sana , mama mwita kuwa makin sana na hyu x mume Wangu
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 5 ай бұрын
Baba mwitaa mimi namsifu baba mwitaa aliwapenda wanae na aliona asiache damu yake mbalii hongeraa umeleeea baba
@husnanandonde2657
@husnanandonde2657 2 жыл бұрын
So emotional... ila baba mwita jmn 😂😂
@elizabethsakina2306
@elizabethsakina2306 2 жыл бұрын
Baba mwita ni comedian🤣😂🤣🤣
@ameenamohammed4413
@ameenamohammed4413 2 жыл бұрын
Mtu mbandi sn 😂😂😂☝️
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@ameenamohammed4413 Nmecheka kwa saut 🤣🤣💃🏿💃🏿
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 2 жыл бұрын
Nimempenda mama mkwe
@julianamaganga4803
@julianamaganga4803 2 жыл бұрын
Yaani nimelia Sana hongereni clouds
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Hongera za baba bora baba mwita
@fatumakingi9753
@fatumakingi9753 Жыл бұрын
Pole dada uwa ni mithina sana kuolewa na mkiwa kabila tofauti nakumbuka mimi pia dadangu alipokonywa watoto ivyoivyo mpk leo tulimshukuru mungu inauma sana😭😭😭
@isackahmed2563
@isackahmed2563 2 жыл бұрын
BABA MWITA NDO MAN OF THE MECH
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Nimempenda baba mwita jmn mtu WA masihara htr ila Dada shukuru kawalea wtt vizur
@matobholwamanonu5919
@matobholwamanonu5919 2 жыл бұрын
Ila namshukuru baharia kapeleka watoto shule..
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Miaka ya nyuma wanawake wengi sanaa sana waliozaa na wakuliya watoto wao walichukuliwa bila taarifa na kupelekwa musoma
@rehemajuma2202
@rehemajuma2202 2 жыл бұрын
Na waliojifungulia musoma wanaume wa kikurya waliwakataa watoto wao kuwa mila hairuhusu na waliwatelekeza watoto na mama zao na hasa kama wewe utakuwa sio mkurya....inauma....!
@qwqw1665
@qwqw1665 2 жыл бұрын
Pole dada mungu bora kakujalia utakuja kuwaona kwahio iposiku utafuta furahi🙏🙏🙏🙏❤️❤️👍👍👍
@mussazuberi5773
@mussazuberi5773 2 жыл бұрын
Nawaombeni washirika wenzangu mwenye number ya clouds namtafuta Baba yangu mdogo tulipotezana toka mwaka 1978 Songea mkoa wa ruvuma
@mankambise2000
@mankambise2000 2 жыл бұрын
Mungu awabariki Clouds nimelia sana
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 2 жыл бұрын
He is tooo funny this man🤣but mama lazima awe na huzuni
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
mwanzo nimelia, ila baadae baba mwita kaja kunipoza, baba mwita hana hata stress, halafu anaonekana msumbufu tangu akiwa kijana
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 2 жыл бұрын
Mama mwita kaniliza 😢😰😭😭😭😭😭
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@salimsamadanga6722
@salimsamadanga6722 2 жыл бұрын
Clouds muishi milele kazi zenu nzuri
@joycentongani388
@joycentongani388 2 жыл бұрын
Ahahaha baba mwita mshenzi kweli yaani nimecheka mpaka basi haki inabidi usamehe tu .
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Daah! Mwita kweli mkurya original
@nurumassawe6740
@nurumassawe6740 2 жыл бұрын
mungu wape miaka mingi mama zetu
@user-le9lb8oc8d
@user-le9lb8oc8d 2 жыл бұрын
Mama mwita kanifanya nmelia kweli uchungu wa watoto ajuae mama ,😭😭😭😭
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 жыл бұрын
Big up clouds .🥰❤
@issachibangu6075
@issachibangu6075 2 жыл бұрын
😢😢sikunitakutana na babayangu yani sijuwi nitasemaje toka ningaliki mdogo namyaka mmoja na nusu mpaka ivi sijawaikumuona 😢😢ningekuwa daa kingeeleweka ila sipo ila inshaallah
@karibunyumbani3824
@karibunyumbani3824 2 жыл бұрын
Nenda kamtafute baba ni kitu Cha thamani Sana maishani
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Utampata tu kama utaweka bidii all the best bro. Cha msingi ujue ndugu upande wake ukimpata mmoja tu basi utajua yupo au lah🙏🏾
@user-fg2nw4ff2z
@user-fg2nw4ff2z Жыл бұрын
poleni saaaana kwa kazi munayo ifanya
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 2 жыл бұрын
Hongereni sana Clouds
@singleparent7483
@singleparent7483 2 жыл бұрын
Baba mwita anastahili hongera kumleta mtt
@happymwinyi6194
@happymwinyi6194 2 жыл бұрын
Ongeleni leo tena 👏👏👏
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 2 жыл бұрын
Masha'Allah kijana wake yuko vizuri
@kabulakmusa3131
@kabulakmusa3131 2 жыл бұрын
Nimempenda baba mwita 😃😃😃
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Ай бұрын
Mnakera sana
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Baba mwita ujue kanifurahisha wallah nimecheka sanaaaa,,,mama mwita kauchuna Wallah unnaweza pasuka mnoo
@winifridamushi3388
@winifridamushi3388 2 жыл бұрын
Baba mwehu kweli huyu
@stelabrent6056
@stelabrent6056 2 жыл бұрын
mungu ni mwema
@jennytugara9470
@jennytugara9470 2 жыл бұрын
Baba Mwita jamani kwa kweli wameteseka
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Ila gea Mungu anakuona sio kwa cheko hilo maana nami umenifanya nicheke wallah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣japo inaliza😭😭😭😭😭
@hadijaabbas2192
@hadijaabbas2192 2 жыл бұрын
Nimecheka hatariiiiiii
@aishamohamed1210
@aishamohamed1210 2 жыл бұрын
Baba mwita jaman akiwa anaongea mama mwita unalia akiwa anaongea baba mwita nikucheka tuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂
@mwantumubakari5904
@mwantumubakari5904 2 жыл бұрын
Pole sana mama mwita
@nyamisimbaonlinetv9757
@nyamisimbaonlinetv9757 2 жыл бұрын
clouds kweli mbarikiwe sana
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 жыл бұрын
Nimekirudia rudiakipande cha bibi mwita na baba mwita Safi sana upendo wahali ya juu
@fabianchitojo7406
@fabianchitojo7406 2 жыл бұрын
Dah kweli clouds kazi mnaifanya vyema mnatatupa hamasa nasisi ambao wazaz wetu wamefariki😢😢😢
@istumaimilandu8739
@istumaimilandu8739 2 жыл бұрын
Gea nakupendaga Sana kwa upambanaji wako nakumbuka ulinisaidia yule mtoto tuliambiwa kafa wamezika iringa kumbe sio kweli
@JovinaIvan-xd5fo
@JovinaIvan-xd5fo Жыл бұрын
Nacheka huku nalia kiukwel mungu awabarikii
@halimarashid2095
@halimarashid2095 2 жыл бұрын
Dah!😭😭😭😭😭hongereni Clouds 😇😍😍😍
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
Basi tena ndio mtuliege mie ndio mzazi mwenzako basi ukisifiwa nje na wanaume wengine mie unaniona takataka unafikiri kinachofuata ni nini zaidi ya kusepa na damu yngu bibi yake mwita kasema yaliyopita yamepita lkn kwa maono yngu kuna kitu kimejificha ambacho baba mwita akukukipenda ndio maana alifanya action hiyo...ila yote ya yote kiungo mchezeshaji ni timu nzima ya clouds fm yaani pale kati kati mmekichafua kama sure boy na feisal aucho 🤣🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪hongereni sana sana m/mungu azidi kuwapa maarifa ya kubuni kitu cha faida ktk jamii Amiin 🤲😘
@fadhilajamal217
@fadhilajamal217 2 жыл бұрын
Raha sana Allah awalipe kher
@fatumaibrahim8973
@fatumaibrahim8973 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa kweli
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
Yaani nimelia sana yaani du
@ifadatalizam8607
@ifadatalizam8607 Жыл бұрын
Miaka 18 hajamuona mama ake leo hjajaa kumuona anasema ana mtihani 😢😢😢 imani haipo Wallah
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 2 ай бұрын
Hii picha ya mama Mwita na baba Mwita kila nikiiona huwa naifungua huyu baba Mwita kiboko😂😂
@zainabmaux5798
@zainabmaux5798 2 жыл бұрын
Baba mwita anavimba sana
@adelaidemwanyika8720
@adelaidemwanyika8720 2 жыл бұрын
Wakurya kumbe ndo walivyo ctamuacha ghaty na babake acje mkwiba
@happsamwita7381
@happsamwita7381 2 жыл бұрын
Yaani wakurya tunapenda watt kua makini
@maxmillianimaxson5813
@maxmillianimaxson5813 2 жыл бұрын
shoga yangu ata mimi naitwa Ghati inaandikwa ivyo
@mwanjinzara8009
@mwanjinzara8009 2 жыл бұрын
Mama wajina haina jinsi wataenda mpiran hawayarudi wanajivurugaga hao
@getrudalufega9770
@getrudalufega9770 2 жыл бұрын
😭😭😭hii family imenitoa machoz
@wardw3022
@wardw3022 2 жыл бұрын
wakurya noma duh
@olphamoraa6683
@olphamoraa6683 2 жыл бұрын
Jamani ni raha ya machozi hiyo Ongera sana baba mwita akawalea watoto vizuri na kuwapeleka shule
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Baba Mwita,umenichekesha,.
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 ай бұрын
Inafurahisha sana sana. Ni amani teleee
@sarafinabutashilaga6990
@sarafinabutashilaga6990 2 жыл бұрын
jmn ww baba Mwita original😂😂😂
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
MZUNGU KANIZALISHA KISHA KAKIMBIA KISA DAWA ZA KULEVYA NAJUTA SANA
35:17
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН