Duu hawa wakenya wana kila sababu za kujengewa sanamu kwa kazi nzuri
@abdallahiddy63332 күн бұрын
hawa jamaa big up sana wanapambana sana
@godfreypaul251Күн бұрын
Kwa kuharibu vitu vya watu?
@martineopapa7383Күн бұрын
Siku ukiharibiwa kitu ndo utajua uzuri zaidi
@Chrisblaze-beatsКүн бұрын
Sisi udaku udaku tu
@shabanikitula645Күн бұрын
Hao ndiyo wanaume na wakenya ndiyo taifa ambalo wananchi wake wanajitambua
@dadamuebrania15392 күн бұрын
Wabunge wanaishi maisha ya anasa wenzangu na mie tunaopanga foleni kuwapigia kura mlo mmoja kwa siku😢tena sio mlo kamili Ee Yesu tusamehe tu😢
@RutinikiGosbert2 күн бұрын
Asante ndugu na wahapa kwetu wala hawana muda nasisi sasa wakati umefika wa kujakuomba kura
@josephelisha84132 күн бұрын
Bro ni hustler if story ni kweli kuku 10000wa mayai mshahara wa mbunge haufikii
@samwa94962 күн бұрын
Sasa kama kapata wivu wa Nini jamani hata vidole haviko sawa mmekosea sana wacha wawauwe kwani nilazima apate kwa hiyo ubunge mmelaaniwa hadi vitukuuna vilembwe@@josephelisha8413
@celinamachundoInspires2 күн бұрын
Iwe fundisho kwa wabunge na wenye mamlaka bongo
@asinahussein2176Күн бұрын
Kwani matajiri wote ni wabunge angetegemea mshahara asingefika hapo alipo ila laana ya wanyama haitawaacha salama .@celinamachundoInspires
@user133752 күн бұрын
Machawa wa kusema ndiyooooooo kwa kila kitu ndo funzo😮😮😮
@eliariro55142 күн бұрын
😂😂😂 amekoma
@majaliwamsigwa62062 күн бұрын
Hayo ndo malipo ya punda afe mzigo ufiko,hiyo sasa imekuwa mzigo ufe punda afike
@mshanibeatrice74492 күн бұрын
Ahahaa daa nimecheka km maxur
@karibunyumbani38242 күн бұрын
@@majaliwamsigwa6206😅😅😅😅😅
@smartonlinetv51442 күн бұрын
😅@@majaliwamsigwa6206
@AfricaQueen2 күн бұрын
✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾Safiii ndio wajue sasa Watu wamechoka Na kunyanyaswa wanaishi maisha mazuri Na kusahau wananchi ndio wamewapatia kura 😏hii ndio fundisho kwa African viongozi watu wamechoka kuliwa pesa zenu za kodi wanatuweka kwenye maisha ya tabu wao wanaishi maisha mazuri Tumechoka wananchi safi sanaaaaaa Kenya People 🥁🥁🥁🥁✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾🎷🥁🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️hiii itakwenda Africa nzimaaa Tuamkeeeee🗣️🗣️🗣️🗣️
@terashangwe255Күн бұрын
Ila na nyinyi ndio mnaendelea kufa
@andrewkaswagula33672 күн бұрын
I love kenyans.. wapo serious sana wakiamua jambo lao. Sio sisi huku Tanzania. Viva kenyans 💪💪
@birianination70972 күн бұрын
Ujinga huo
@zainajirani52962 күн бұрын
Usiombe Bubu akiongea patakuwa hapatoshi... Si unawajuwa Panya road 😂
@andrewkaswagula33672 күн бұрын
@@birianination7097 hyo ndio dawa ya viongozi wa Kiafrika.. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa Nchi za kiafrika toka tawala za kale enzi za kupigania uhuru utakuwa unaelewa. Viongozi wengi wa kiafrika hawajawai kuamini mpaka wafanyiwe machafuko na hata kupinduliwa. Kama wakenya wangelemaa huo mswada ungepita kiwepesi tu. Lakini hapo serikali itarejea tena kuuweka sawa. Acha sisi wenye uwoga tuendelee kusemea chooni. Ila wakenya nawapenda, wakichoka hawahitaji muda zaidi, wanaongesha vitendo.
@andrewkaswagula33672 күн бұрын
@@zainajirani5296 safi tu.
@hajihassan54332 күн бұрын
Si wamepata Katiba Mpya juzi tu au ndio hii.
@mosule92622 күн бұрын
Kilichoniuma ni hao viumbe wa mungu kufa bila sababu !!! Daaah!!!
@mundhirsalum212 күн бұрын
Usile kuku au usinywe maji maana kuna viumbe pia 😂😂
@mercynina62882 күн бұрын
Yaan. Hawajui chochote 😢😢
@ManyoriModernFarmMMFКүн бұрын
laana huwa inatafuna kila kitu huwa haibagui
@landmadvdmbeyacity9561Күн бұрын
Huelewek hata unaongea Nn kuku ww
@ManyoriModernFarmMMFКүн бұрын
@@landmadvdmbeyacity9561 🙏 ubarikiwe sana ewe binadamu.
@deusisindwa6162 күн бұрын
Safi sn,, Iwe fundisho Kwa viongoz wa Africa,,wakichanguliwa wanajiona Miungu watu,, Wanatunga Shelia zakuwalinda wao,
@nyokaapaschal5734Күн бұрын
Hii Iko poa Sanaa kazi nzurii
@somoeomar48612 күн бұрын
Washenzi hawa viongozi wanajitajirisha wao maskini wawaumiza
@yordanyona12342 күн бұрын
Kaka huyo anafanya Biashara kuku 10000 unajua ni sh ngapi ...sio kila anayeingia serikali huiba.. MFANO tuna shabibi Msukuma Wana pesa sana ... Kishimba wao hutoa fedha nyingi kuliko za serikali
@allahisone63862 күн бұрын
EEWEEEEEH_🤔
@IbniAbbas-yz3kt2 күн бұрын
@@yordanyona1234kwaiyo jumba lote hilo kalipata kwa kuuza kuku sio!?hiyo mifugo anafuga kwa kujifurahisha tuu sio kwa biashara!fuga nawewe utajirike kama unaona utajiri rahisi kiasi hicho
@birianination70972 күн бұрын
@@IbniAbbas-yz3kt sasa mtu mwenye kuku 10000 atakua na miradi mingapi, pia kuku 10000 thamani yake ni 100,000,000 kwa mwenzi.
@hajihassan54332 күн бұрын
@@yordanyona1234 Acha tu ndio akili za masikini.
@batashqiraa99362 күн бұрын
Tanzania tushukuru sana kwa amani aliyotujaalia Mwenyezi Mungu, ila hii ni tahadhari kwa ccm inapenda sana kuifanyia mzaha amani hii, ccm mjiangalie sana
@fettiemaganza14842 күн бұрын
Tanzania hatuna amani ndugu tunavumilia tu
@josephwilliammnyune54642 күн бұрын
Wajiangalie kwa vipi? Mambo kama hayo hawawezi kutokea Tz.
@magorymara55152 күн бұрын
Muombe mungu sana hata Sudan hawakufikiria hivyo walizani itakuwa Sudan kusin tu lakin mambo yaligeuka kwahiyo ndugu mtangulize mungu tu @@josephwilliammnyune5464
@mkanjimamkanjimamkanjima20432 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@josephwilliammnyune5464
@makatym61512 күн бұрын
Amani ama Uoga
@RwechungulaBegumisa2 күн бұрын
Wakenya mungu awabariki Kwa kuitafuta haki❤❤❤❤❤
@wilbertaerasto75842 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@asinahussein2176Күн бұрын
Haki ujinga tuu njoo uone maisha yao ndio utajua ata atawale malaika shida haxitaisha
@piussangu79632 күн бұрын
Hiyo ni nyumba ya shamba je ya mjini!!! Aisee wakenya fanyeni kazi
@BMboss1082 күн бұрын
Katika wabunge wote duniani wabunge waKenya ndio wenyewe mishahara minono...sahii maisha huku yamepanda sana..sio stima,sio mayai,sio sukari,sio uto,sio maziwa sio mkate..kitamba na 50Ksh wapata maziwa 500ML (nusu lita)sahii hakuna kuanzia 60 sh ukiwa na bahati..ndogo ilikuwa 20ksh sahii maziwa rahisi Kenya ni ya 35ksh 200ML!labda ununue kutoka kwa mkuliwa anaefuga ndio labda utapata nafuu kwa bei
@gboystoner2 күн бұрын
Fanyeni kazi mnachofanya hicho sio solutions la kutatua matatizo yenu. Mnaonekana ni wavivu na hampendi kujishughulisha na michakato.
@PaulMsemaКүн бұрын
Wangekuwa na kazi wasiandamana,Hali ngumu ya maisha inamfanya mtu Bora afe maana garama ya maisha juu
@nabii-zc1hmКүн бұрын
@@PaulMsemasahihi
@asinahussein2176Күн бұрын
@@gboystoneryani umeongea ukweli kiukweli kenya asilimia kubwa choka mbaya angalia wamepata nini sasa jana nilienda Town nimeona mafundi wamemwaga wanajenga tena.
@samtechtanzania32522 күн бұрын
Wabunge was Tz chukuen darasa la Bure
@allahisone63862 күн бұрын
SUBUTU
@annafredinandmatandiko84382 күн бұрын
2025
@kellyngogo33192 күн бұрын
@@allahisone6386siyo subutu unajua saa yoyote tunavamiwa ba si watanzania
@BMboss1082 күн бұрын
@allahisone6386 😂😂😂 ukiona cha mwenzako cha nyolewa na chako kitie maji..labdaa wa Tanzania ni waoga
@haidhabushiri95582 күн бұрын
@@allahisone6386usiseme ivo dunia sasa inabadilika
@handenitakuru66962 күн бұрын
Safi saaana nimefurahi mnakula kodi zetu tena za Zulma wacha yaungue
@nancyg86642 күн бұрын
kwahyo na mifugo imewafanyaje
@aidanmbilinyi81842 күн бұрын
@@nancyg8664 mifugo imejileta hapo s rasiliamali hizo
@sylvestercameo62632 күн бұрын
Huu ni uharibifu na uharifu Wala hakuna sababu yoyote ya kuhalalisha ujinga huu!
@SeeMe-uh3sy2 күн бұрын
@@nancyg8664wewe nawe mifugo yakuhusu au ni pesa yakununua hio mifugo imepatikana vp
@SeeMe-uh3sy2 күн бұрын
@@nancyg8664 wanakuhusu ww hao kuku pesa ndio imenunua kuku na sio kuku wamekuja kukaa bure
@christaoman88902 күн бұрын
Kazi imefanyika km ni mbwai naiwe mbwai safi sana wa Kenya mmeonyesha mfano bora😂😂😂
@AfricaQueen2 күн бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
@vero572 күн бұрын
Wanaichi wanaenda nchi za kiarabu kufanya kazi wanateswa, wana firwa, wanauliwa , alafu nyie viongozi ndiyo muna kula pesa za nchi , safi sana hii!! Oneni mfano huo
@thobiasanthony-ep6lb2 күн бұрын
Wanafirwa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 inaumiza sana. binadamu wawe na utu jamani dah! Inaumiza sana. Mungu atunusuru jamani
@samwa94962 күн бұрын
@@thobiasanthony-ep6lbhaya matusi si amelegeza Yako mwenyewe
@lawrencegwerino16562 күн бұрын
Wabunge wa tanzania hii inatakiwa iwe somo Kwenu..
@awadhally10522 күн бұрын
Kwel kabisa
@deogratiusyudatadei56582 күн бұрын
Hii inatakiwa imfikiee mwigulu tuchome kila kitu chake moto
Safi sana hongera wananchi wa Kenya na hayo mliyoyafanya inabidi na Tanzania tufanye duu raisi Ruto kasikia wakenya wamevamia bunge napia wakatangaza kwenye ikulu Nairobi alhamisi ya juzi kabla hawajafanya Hilo Ruto akasalimu amri akasema atasaini mswada wa ongezeko la ushuru hongera sana wakenya bado Tanzania.
@user-dn8ok2io4l2 күн бұрын
Yan Tz tungekua kama wakenya tusingekuwa tunachezewa na hawa wala rushwa wa pumbafuuuu safi sana kenya
@annamussa1852 күн бұрын
Kabisa
@LugyPlan2 күн бұрын
Haujitambui
@uwembatvonline2 күн бұрын
Si ujitambue ungejitambua na nani,, wewe ndo hujitambui
@salomewandya72572 күн бұрын
Kabisaa aisee
@alainnduwimana5442 күн бұрын
Jiombeeni
@jonasamos5552 күн бұрын
Safi sana, na wengine zikachomwe mpaka washike akili huyu atajutia siasa maisha yake yote
@user-ii6gs2jg4g2 күн бұрын
Nchi za kiafrika zina madini gesi misitu. Na kila aina ya rasilimali lakini maisha kwa wananchi wao ni ngumu kama chuma cha pua. Daaaaaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@nsiamasawe45782 күн бұрын
Chuki zitawaua mtazidi kuwa maskini. Mwenzenu atalipwa na bima atazidi kutajirika.
@user-mf6yx1cy5u2 күн бұрын
Bora amepoteza mengine hayatuhusu
@SalamSaleh-vu6cl2 күн бұрын
Wana roho mbaya hawana adabu majobless
@faithstephen36902 күн бұрын
@@SalamSaleh-vu6cl wee mbwa unabwekea nani shoga mkubwa majobless wakati ombaomba huku ni watanzania
@NardhisMhagama-sy3eq2 күн бұрын
Huna akili tena inatakiwa nayeye wange mchoma harafu alipwe na bima
@damagesinger89712 күн бұрын
Learn how to mind your own business what do you know about Kenya nonsense
@jumamabu36502 күн бұрын
Wamekosea sana kuwachoma kuku Bora wangewafungulia tu watawanyike
@user-jx5ze9wz8e2 күн бұрын
Wandamanaji wamefanya vizur san lakin kuku hawana hatia jamani
@mwinyimatopa22832 күн бұрын
Hata wale vijana walio uwawa na Askari hawana hatia kama sio huyo mbunge kupitisha huwo mswada Kwa hiyo kuku muhimu Sana kuliko watu sio
@wilbertaerasto75842 күн бұрын
Hasira hizo, wangemkuta huyo Mbunge ndio angekuwa halali yao😂😂
@user-fd5nk7fr2p2 күн бұрын
@@user-jx5ze9wz8ewalah. Mm nimeumizwa na kuku 😢
@florencezawadi3784Күн бұрын
@@wilbertaerasto7584alikua hayuko tena ana bahati
@estakapufi75822 күн бұрын
Yeye mbunge anaunga mkono hiyo bajeti angalia maisha anayo ishi ajuwi kama kuna watu wanaumia, iyo ndio nyumba yake ya shamba je zingine wache achomewe tu huwa wanapitisha bajeti bila kujuwa ninani itamuhasili wao wanapokea kola mwezi hawana shida ila wanachi wanapoongea wanawadhalau mungu halali hii dunia wanajilimbikizia mali kama watakufa nazo.
@salehesalehe29672 күн бұрын
I love tz my mother country idont have other nation
@gililwise2 күн бұрын
Duh wabunge WA Tz mnajilimbikizia marupurupu na.kutetea ukandamizaji WA kodi Kwa wananchi.na kikokotoo kwa wafanyakazi U kiona mwenzako ananyolewa jitafakari.maana Kama wabunge wakenya wangesimamia serikali hayo yanayofanyika yasingekuwepo.
@PaulJelais2 күн бұрын
Pesa ya dhuluma itakugharimu tuu maana Mungu yupo
@haggaikinyau13952 күн бұрын
Umejuaje kuwa ni fedha ya dhuluma? Kenya ni nchi ya kibepari watu wanafanya biashara zao na kupata pesa wewe unasema fedha ya dhuluma, hii sio sawa na kwenyu huko Tanzania
@batashqiraa99362 күн бұрын
Hao wanyama hawana hatia wamewadhulumu bure, bora wangechukua wakawachinja na kupata kitoweo
@salehesalehe29672 күн бұрын
Sasa mtakufa vifo vibaya kama mlivo uua kuku ishallah
@meshackthomas13412 күн бұрын
Nimazara ya kuwaendekeza wavivu na wavuta bangi. Ndo haya haki gani inadaiwa Kwa kuingilia maisha binafisi ya mtu mkikatazwa kuandamana et tunanyimwa Haki ipi kama haki yenyewe ndo hi basi Africa tuondoe Sheria hi au tuboreshe Sheria za kihalifu. ziwe Kali sana bila kuangalia nani kafanya uhalibifu Hakuna haki ya uhalibifu 🙏💪
@user-it7ih1it3m2 күн бұрын
Mkundu wako ww
@Zuu6732 күн бұрын
Kweli kabisa
@SalamSaleh-vu6cl2 күн бұрын
Kweli kaka
@user-io5dh6px5q2 күн бұрын
Wewe Kuma nn unawatetea nn Kuma mbuzi
@RaymondZindah-ow7wr2 күн бұрын
Bado skins mwiguru, msukuma na majariwa na chawa wote wanao unga sera kandamizi Kwa wananchi
@wilbertaerasto75842 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Tanzania hatuthubutu, wake ya Wana umoja wakiamua kufanya Jambo lao hawana masihara🔥🔥🔥🔥🔥
@StanyOfficiol2 күн бұрын
Safi kabisa tena hill jumba lingeanguka kabisa
@florashauri92282 күн бұрын
Mungu awarehemu,hii siyo sawa hata kidogo viumbe wamekosa Nini na kuharibu Mali za mtu
@awadhally10522 күн бұрын
Kwel kuchoma viumbe vision na hatia sio sawa.
@salimomari1502 күн бұрын
Kila alokufa kwenye maandamano Kenya,,nasema hivi tuwajenge sanamu,,sio pow,,hawa ndo wazalemdo halisi
@stevenngota64002 күн бұрын
Safi sana ila kwenye mifugo mngebeba msingechoma
@dariandeogratius2 күн бұрын
Kabisa kuchoma wamekosea wangebeba tu
@stevenngota64002 күн бұрын
@@dariandeogratius sana tu
@abuutasniym26752 күн бұрын
Mwendawazimu sio rahisi kujua chenye thamani kwake bali hupiga mateke tuu nakusepa zake
@ndessawandessageorge88952 күн бұрын
Au wangepumzika hapo siku kadhaa wakila nakutafakari pakwenda kupumzika tena
@abdullahkazungu402523 сағат бұрын
Time yakubeba ilikua hakuna
@imanimussa62562 күн бұрын
Kuua viumbe tena kwa moto mutajutia laana hii
@peternyingi55452 күн бұрын
Magufuri arichoma vifaranga eti zimetoka kenya
@georgeichinge85992 күн бұрын
tz mnakata mazao ya wakimbizi ili wafe njaa
@user-jx5ze9wz8e2 күн бұрын
Safi san wakenya sisi watanzania tunatesouwa tu huku kwetu watawala hawataki kutusikiliza sisi wana tuona kama hatuna akili wanatuwambia kam maisha magumuu tuwamia burundi daaa nimateso tupu
@terashangwe2552 күн бұрын
Acha kusifia ujinga haya mamuzi yanasababisha kupoteza watoto na ndugu kwaujumla siwezi kubariana na haya mamuzi mpaka nakufa MUNGU akitaka kukupa haki atakupa tu hata kwakuchelewa Acha tuendelee kuwa wajinga
@alicejumaa892 күн бұрын
@@terashangwe255uongo
@Hamisi84652 күн бұрын
@@terashangwe255ujinga ni huu unaoufikiria wewe sasa Mungu yuko na yule anaeipambania haki yake
@abuutasniym26752 күн бұрын
Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yale yalio kwawatu mpaka watu wenyewe wabadilike Hivyo tukitaka mambo yetu yaende vizuri basi kwanza sisi wenyewe tuanze kubadilika tuache husda chuki choyo rohombaya baina yetu. Unamkutia mtu anamlaumu mwenzake wakati yeye mwenyewe ndie mwalimu wachoyo naroho mbaya naye akipewa kinafasi anamega anakua mbinafsi sasa vipi tutafanikiwa wakati imani zimekua dhaifu? Yote hayo nikutokana nakutokua nakhofu ya Mungu ndio maana mtu anahisi ataishi milele kwakuchukua mali za umma nakudhulumu
@asinahussein2176Күн бұрын
@@terashangwe255ndio utawaona tuu wakaa vibarazani nikulaumu tuu serikali embu angalia waliokufa kenya yani ni familia duni bona hawajafa matajiri majitu yanajiendea km manyumbu
@josephlorri4312 күн бұрын
Mimi ni mfugaji mdogo... ninaweza kuhisi maumivu ya huyo mbunge na hata mifugo waliokufa kwa mateso.. maskini hapendi mwenye mali..
@BMboss1082 күн бұрын
Mali ya wizi !sahii kuku mmoja Kenya kwa butcher ni 600ksh!kilo moja ya nyama ni hio 600ksh!kutoka 400ksh hadi 600ksh!alafu watuongezee.kodi!hakuna mahali Kenya utapata mkate kwa 50ksh wala maziwa..ni 65ksh kwendaa juu..wao wajingezea mishahara na kuwapa jamaa zao kazi..watu wamesoma na hakuna kazi
@mariamboki28682 күн бұрын
😅😅😅😅😅 wakenya bwiiii
@samwa94962 күн бұрын
Ni kweli huyo ni riziki yake ulitegemea wote muwe juu yaani mna wivu sana na roho za kwanini ishieni huko huko hatuwataki wasomali na Sudan ndio mmekaa fujo tuu mkenya sipendi kabisa kwa tabia zao hizo hata kiumbe anaumwa ni haki yao kupigwa
@vincentcharles43852 күн бұрын
Ila maumivu anayopata mkenya kawaida
@castomwakipesile93802 күн бұрын
Wakenya mkuje na mahali flani hivi tunaonewa sana ila bas tu.🇰🇪 👐
@claudbusumilo39792 күн бұрын
MUNGU awape nguvu wakenya na ikimupendeza MUNGU wote waingie MBINGUNI Bado tanzania siku sio nyingi
@greenwellnsyukwe4729Күн бұрын
Hiyo mifugo Bora mngebeba mkale na siyo kuchoma moto.
@greenwellnsyukwe4729Күн бұрын
Siyo wabunge tuu, Viongozi wote mnaojinufaisha Kwa Mali zetu harafu mnatudharau fundisho hilo hapo.
@r14kgroup68Күн бұрын
Hongereni kwa kuwapiga mafisadi
@bwittozmjomba7019Күн бұрын
Kwa upande wangu Mmi nimeona ni sawa Ndio Mafisadi wenyewe wabunge
@ndessawandessageorge88952 күн бұрын
Niwaombe wakenya wasiharibu mali bali waondoke nazo ata zikawe faida kwao Amani irudi Jamani , serikali nayo ikubaliane na wanacho kitaka 🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢🙏🙏🙏
@ngotamohamedi17932 күн бұрын
Safi sana😊
@user-wq8kw7wb1n2 күн бұрын
wanajilimbikizia mali kana kwamba duniani hatutaondoka tz kinacho niumiza niwafanyakazi kusitafu uzeeni ile hali vijana weng sana hawana pakwenda sheria zibadilishwe tupeane shift tugawane icho kidogo nchi ni yetu sote hakuna aliye inunua mungu alituumba sote tuifaid
@malickabbas82712 күн бұрын
Hawa viongozi wanajitajirisha kwa kodi zetu ,Safi Sana
@wemaMichael-fr4th2 күн бұрын
safiii sanaa wangemtafuta na huyo mbunge wammalize kabisa
@florenciamassawe49252 күн бұрын
😱😱Eee Mwenyezi Mungu naomba urudishe amani ndani ya nchi hii ya Kenya 😢😢
@najmathiney652 күн бұрын
Aiseee Kenya ni mbayaaa uuuwiiiii ni mbayaaaa Kenya ni mbayaa mazee😂😂😂
@riavlogstz2 күн бұрын
Tanzania nchi yangu nakupenda❤❤❤
@ahmedalfan80752 күн бұрын
Na utaendelea kuteseka Kila siku mpaka chai ukamulia maji ya miwa
@@aminata3702 projecting? U're suffering and then u're comforting ur self. U talking nonsense. Au ndio wale watoto wa baba kanituma ? Tz sugar how much per kilogram ? cornflower how much? A u out of u're mind ?
@BoazDillu2 күн бұрын
B@@ahmedalfan8075 Bro hayakuhusu ya huku pambaneni na hali zenu TZ hatuna njaa kali kama nyie
@laurfredyadoniar56532 күн бұрын
Wanakoelekea nikutengeneza nchi masikini
@kingmsanya35242 күн бұрын
Naungana na wew
@HanifaOman-oo4pl2 күн бұрын
Njqq itqzidi
@riavlogstz2 күн бұрын
Yes maana hata watalii waliokua umo wameondoka fasta jkia airport ilikua imefurika
@user-sv6zy3hc8o2 күн бұрын
@@HanifaOman-oo4pl😂😂😂😂😂 haya na wew hanifa umetuandikia lugha gani au ndo woman wamekuchanganya
@edwardkasubi51352 күн бұрын
Pengine wewe hukusoma historia ya Dunia hii ,anza SA , USA , rudi kwenye mataifa mengine ya Africa wakati wa ukoloni kama HAKI iliombwa
@atupelejohnmwakangale32262 күн бұрын
Kuharibu mali ni chuki ya kimasikini,na hata wanaofanya HIVYO huendelea kuwa masikini katika vizazi na vizazi VYAO. MTU mmoja ANAWEZA tengeneza laana kwa ukoo kwa kizazi na kizazi pasipo kujua. Mungu hawezi kuwapa Watu wanaofanya Mambo kama hayo. Ukijaribu kujenga anakuta hufiki Hadi hatua ya mwisho na ukifuga hawafugiki.
@paulmushi24282 күн бұрын
Utajuaje? Yawezekana na yeye ana Laana hiyo hiyo unayoisema!!
@Maxpaul-oi8pw2 күн бұрын
Si kodi zao ndo zmenunua?
@marymanoni55362 күн бұрын
Huyu mbunge ni Tajikistan toka zamani tabla ya ubunge😊
@IbrahDeDonny-lv2lo2 күн бұрын
Tulichoma kodi zetu shida ipo wap?, sheenzi ww
@user-pi9ds7oe9s2 күн бұрын
We tahila na vinenovyako jitu kama mwigulu yanakera hongera sana Kenya
@JonesMwita-lb3wmКүн бұрын
Lakini gen z msichome mifugo watoto wetu deal na magari na majengo plz msijiletee laana
@daudymlauletv84892 күн бұрын
Saf sana Tena wangechoma na nyumba
@samuelemmanuel34002 күн бұрын
Hii mbaya sasa
@rosesilio9008Күн бұрын
Kama mimi tu Nina kiglosary kwa mwaka nalipa laki moja bora hata ingekuwa elfu 20 halafu usipolipa wanakufungia usifanye biashara,, na vitishio juu,, halafu unakuja kulipa kodi serikalini ukienda hospitalin dawa hakuna na hawa wabunge sijui kinanani hawatujali pesa zote wanakula wao ndo matokeo yake hivi
@abiudkarume9382 күн бұрын
Tufanye ivyoooooo apa Tz
@Skomi-0nedayyes2 күн бұрын
Wenye nchi wakiamua jambo Lao akuna jeshi litakalo wazuia ukiona kiongozi asie na busara anatuma jeshi kudhuru wananchi kwa ajiri ya kurinda maslai yake pamoja na familia yake uyo siyo kiongozi wa halal na afai ata jeshi linapaswa kumgeuka kwasababu uwezi kulinda mtu mmoja kwa kudhuru maelfu ya watu wakiwemo ndugu zako, changamoto za nchi na mafanikio ya nchi lazima yajadiliwe kwa pamoja na wananchi na sio viongozi peke yao wasio jua shida za wananchi kwavile wao . mishahara minono na wanaishi ktk nyumba za bure, Tanzania inapaswa kujifunza kutoka kwa jirani zetu wa Kenya.
@florencemeza65402 күн бұрын
Safi kabisaaa maana wanajiona Mungu mtu hawa wabunge wanaamua kujipatia pesa kwa njia ya kuzurumu wananchi
@asinahussein2176Күн бұрын
Mbona mnamawazo finyu mtu kazaliwa kakuta Mali kwa wazazi wake yeye amejitambua nyumba ipo kabla hajawa mbunge roho mbaya mtakuwa maskini aisha yote
@ramadhanimtetu36562 күн бұрын
Sasa hao kuku na wao walipitisha huo Mswada daah kwa kweli mumekosea sana Kuua hao Viumbe
@daudysanga84922 күн бұрын
Ila wakenya hongereni sasa mmewasulubu mpaka kuku nao wanakula kodi zenu😂😂😂😂😂
@BIGBOSS-hl3bu2 күн бұрын
Hao kuku Bora mngechukua mnadhulumu viumbe wasiohusika daa
@user-nb6yh2bn9y2 күн бұрын
Kweli ndugu yangu 😢😮
@brianndege53312 күн бұрын
Hatukuwa na mda lakini tulichukua zingine za kupika usiku
@allahisone63862 күн бұрын
HHHH HHHHH
@BoazDillu2 күн бұрын
Kuku wamepitisha mswaada wa Kodi😂😂😂😂
@dallasmusic64652 күн бұрын
Mafisadi Wa Tanzania 🇹🇿 jifunzeni hapo kuwa zulma ya Mali ya uma hailipi na malipo ni hapa hapa duniani 🇰🇪🇰🇪
@kennedylubanga10022 күн бұрын
Waaaa.mngaacha kuku....
@user-ii6gs2jg4g2 күн бұрын
Wakome na akome. Wao wanapitisha tu hata uwe unamkandamiza mwananchi wa hali ya chini kwa sbb wao wanajua hautowabana wana pesa
@lilianmlowe9154Күн бұрын
Wananchi wa kenya nawapongeza haiwezekani mbuge unamwakilisha mwanachi we unamaisha mazuri kuliko yeye inamana kodi ya wananchi unatafuta vizuri
@mariecruz921Күн бұрын
Duh wasingehusisha hao kuku na ng'ombe jaman!!
@DevidMwakajila2 күн бұрын
Bado bongooo soon mtaniambia hakuna jeshi baya kama la wananchi wakijizila huwawezi
@cristinajeremiah24502 күн бұрын
Mungu turehemu baba was mbinguni wenzetu watu was Kenya Amani Yako Bwana Yesu
@alanusrespicius17962 күн бұрын
Hii nimeipenda sana
@user-my7fj6wn7y2 күн бұрын
Alafu wanajadili bungeni,eti wananchi masikini kwelli Tanganyika one day wabunge watalia
@user-tu2ne7so3b2 күн бұрын
Kenya Kenya Kenya ,Amanita ndio kila kitu Kenya niyenu
@vincentcharles43852 күн бұрын
Amani kwenye njaa 🤔
@emmanuellupiga2 күн бұрын
Tanzania haya mambo yanatia hasira viongozi chukueni somo twaenda huku huku
@Mwigaa95Күн бұрын
Kenya wako nyuma sana kwenye maswala ya intelijensia haiwezekani watu mpaka wana fanya uharibifu mkubwa kiasi hicho bila vyombo vya ulinzi na usalama kujua
@user-nb2jw4km6f2 күн бұрын
Jamani wa kenya msifanye hivyo hata Mungu hapendi😮😮😮
@shadrackkassale2968Күн бұрын
Pamoja na yote lakini kuku waliochomwa wakiwa hai Mungu awarehemu😥😥😥
@dulasaid25812 күн бұрын
Millard Ayo. Na vile vile msiogope kutoa tarifa za wabunge wa Tanzania na Mali zao. Msiwe machawa. Toweni habari za kwenu.
@eliariro55142 күн бұрын
Hawa ndio wanahujumu uchumi wa Kenya, good job 😂
@charletsada87792 күн бұрын
Km hakufaint uyo,wallahi nifukuzwe mbio ni kuku gredi
@samuelemmanuel34002 күн бұрын
Huu ni wivu sasa😢
@user-rf9mx7cu5r2 күн бұрын
Wivu gani unaongelea
@damagesinger89712 күн бұрын
Do you really know how Kenyans are going through a lot b cause of this silly mps
@samuelemmanuel34002 күн бұрын
@@damagesinger8971 does burning there houses and destroying properties solve issues?
@dubabaxakatv2993Күн бұрын
Hii ni Mali ya umah.....tuliwatuma bungeni kuhongwa ama kutuwakilisha??mambo bado
@binseif22162 күн бұрын
Makosa sana kuuwa wanyama hao wanyana wanakosa gani mpka kuwachoma moto majitu yakiwa hayana iman ndo hivo
@mariyamsalalah8204Күн бұрын
Kenya sio Africa tena weeeee
@someaafrika.33792 күн бұрын
Safi sana waKenya ❤
@honestvictory75962 күн бұрын
Hapo kwny ng'ombe alokutwa keshachinjwa😂😅😅😅😅 kunawatu hawacheleweshag fursa😅 hawarembi
@Bashitetako2 күн бұрын
Maskini huwa ana roho mbaya sn
@Carolina-sm5zt2 күн бұрын
Poleni sana wabunge Mungu aingilie kati
@rehemah58432 күн бұрын
Wee nawe Kafie bele hivi wanavo fanyia watu nihaki
@adammjomba58142 күн бұрын
Usihangaike na wabunge Wa TZ haitatokea chochote kwa TZ ,lazima unapongea MAMBO ya maana usiongelee wa TZ .Wa Kenya ni mashujaa toka enzi na enzi usifananishe na uchafu wa Wa tz
@BoazDillu2 күн бұрын
Hata hvyo yenu hayatuhusu😅 Kwani nanikakwambia tunajifananidha na nyie kila mtu yuko inchin kwake
@joeldickson53222 күн бұрын
Hii ingetokea bongo wakaenda kwa waziri wa fedha wakamfira mke wake ingependeza sana
@user-jo5ig8ww1b2 күн бұрын
Kuku imeniuma wangechoma tuh moto nyumba
@AsungaSteven2 күн бұрын
Kweli kuku hapo wanakosa gani
@husseinmassawa71862 күн бұрын
Bora wangewachukua wangeenda kula lakini sio kuwapiga kibiriti aisee
@tulinavemgeni2102 күн бұрын
B@@husseinmassawa7186 Hata wangewafungulia waende popote
@faridhamad36782 күн бұрын
Hata mimi kiukweli Kuku wameniuma sana😢 viumbe wa Allah hawakua na kosa Bora wangekula tu kuliko kuwatesa hivo.
@asinahussein2176Күн бұрын
Hata hy nyumba wanauhakika ni pesa ya serikali
@OmarMohamed-bs2hf2 күн бұрын
Hii imekuwa ni uwasi wa mtu mmoja mmoja sasa naamini Kenya mta pigana kwa makabila na hili sasa mtakuja kuwa kama watuwa gadafi mtakumbuka nn nimekisema
@eddechriss26642 күн бұрын
Yani kitu mmeudhi ni kuteketeza hivo viumbe hai visivyo na hatia
@AjiaMohamed-rt5pb2 күн бұрын
Ukivila ww unasemaje
@wkjshsxbbsbs63922 күн бұрын
Their insults na huge salaries pesa ya wakenya na pia kuhongwa two million each ku vote yes
@stevebaluwa71322 күн бұрын
Ata kwenye biblia Kuna wakati Mungu aliruhusu taifa lilipige taifa na kisibaki kiumbe hai chochote wala kisichukuliwe chochote vyote viuwawe
@masalakulwa76012 күн бұрын
kufa basi msenge wewe
@azizymachadeson35772 күн бұрын
@@stevebaluwa7132ushasema kwenye biblia kwani apo ni kwenye biblia Kuweni na utu mnachopambania ni sawa but isiwatoe roho ya utu hao viumbe wanaroho kama alivyobinadamu
@cristinajeremiah24502 күн бұрын
Mungu awarehemu mmefikia hatua mbaya
@paulinakiria79182 күн бұрын
Wakenya hao ndo wanaume Sasa sio hawa wanaofunga maduka wanapenda kulala ndani
@MussaNsekelaКүн бұрын
Wanasiasa wa Africa wajifunze kusikiliza wananchi
@bockerNyarusahi2 күн бұрын
Viongozi mna kula jasho la walipa kodi maskini tena kwa uhuru ila,hao Wananchi wakikugeukia ndiyo utajua Watu wanalia
@hamissomary68692 күн бұрын
Bdo tanzania "mana viongzi wa serikali ya CCM wanajali matumbo yeo tuu"wanatunga sheria kandmizi"sku itawafika hyoo
@dubabaxakatv2993Күн бұрын
Tuliwatuma bungeni kutuwakilisha sio kutusaliti halafu watuonyeshe kiburi ...hao jamaa waliopiga yes kwa bunge ni wakimbizi hawalali makwao
@BigZhumbe2 күн бұрын
Wakenya wanaharibu economy yao kwa hasira zao wenyewe...... Mama Samia awaalike matajiri walioathiriwa na uharibifu huu waje wawekeze Tanzania nchi yenye amani. Nchi ambayo watu wanagoma kwa kufunga maduka na sio kuvunja vitu na kutiana hasara.
@vanjay8685Күн бұрын
Huyo mama yenu mnayemuabudu Hana tofauti na ruto by the time anamalizana na nyinyi hamtakua na nchi ngojeeni tu