No video

GETO LA BAGA NI NOMA!! AMEISHI MIAKA KUMI/KITANDA CHAKE UTAPENDA - SHOWBIZZ

  Рет қаралды 159,221

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 285
@glorialubengo2829
@glorialubengo2829 11 ай бұрын
nampongeza sana huyu kaka, maana amejua kuonyesha uhalisia ambao wasanii wengi hawawezi. hogera sana Baga
@komboarts7110
@komboarts7110 10 ай бұрын
Speechless kabisa kwangu nina kitu kikubwa cha kujifunza kuhusu maisha kwa kweli. Mungu ana siri kubwa huyu jamaa hata hawa akina kitale wanaigiza style ambayo jamaa alipita nayo ndo alianzisha Enzi za jumba la zahabu miaka ya 2000 na kitu kule. Nikioona kwa Muda niliomjua kwenye sanaaa na Tv Aisee. Somo kwangu NIMEJIFUNZA MAISHA YANA SIRI YA MUNGU KUBWA Kama unanielewa usipite bila kuweka like yako. 🎉 . Huyu ndo Baba wa sanaa kwenye kipengere cha mtaani uhuni na ubabe mwingi, ni mahala pake
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Huyu jama noma Sana aisee🔥🔥🔥🔥🔥🌺🌺
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 ай бұрын
Mtangazaji ukimaliza kuonyesha manyumba na mageto ya wenzio mwisho utuonyeshe na kwako pia tukuone sio kwa wenzio tu kila siku
@pendombinga3584
@pendombinga3584 11 ай бұрын
😂Kbs
@crispinmsongole8875
@crispinmsongole8875 11 ай бұрын
Hilo nalo neno 😅😅😅😅
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 8 ай бұрын
Ten alivyo mshenz alataka mpk chumbn apaone
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 8 ай бұрын
Kabisa
@MkasyswallehsaidSwalleh
@MkasyswallehsaidSwalleh 8 ай бұрын
TRUE😂😂😂😂
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
Respect Sana baga uko real Ata ukiitaji kuchangiwa kwenye tatizo ,akuna mbambamba
@somiasomia2306
@somiasomia2306 8 ай бұрын
tutachanga natusio changanga kwasababu ya ukweli wamaisha yake
@user-os4ok4pz9j
@user-os4ok4pz9j 11 ай бұрын
Nimependa maisha yako baga mwenyezi mungu akuzidishie achana na ao wanaofake maisha
@faridadumasalhathoseni
@faridadumasalhathoseni 10 ай бұрын
Amina Dar nilimkubari kwa kazi zake lakini Leo namkubari zaidi kwa kuwa muwazi wa Maisha yake harisi ILa mungu atazidi kumuongezea inshallah 🙏 alipopungukiwa
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 11 ай бұрын
Maisha halisi, maisha rahisi 👊
@neemaiddy4396
@neemaiddy4396 11 ай бұрын
Big up Baga nimependa maisha yako na umekuwa wazi Sana ❤
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 ай бұрын
Salute hataukimwa nachangia baga wangu upo real❤❤
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
Baga nakupendaga sana kama hujaoa mi nipo tayari ila nina mtoto nitaishi na wewe kwa shida na raha kabisa nakuhakikishia sina uzuri ule ila tabia yangu itajieleza wala sijimwambafai ukweli ndo huo nakupenda sana baga wangu ❤❤❤❤❤
@salamarashidi3262
@salamarashidi3262 11 ай бұрын
Hahahaaaaa ungemjuaa
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
@@salamarashidi3262 yukoje jamani
@surajatul732
@surajatul732 11 ай бұрын
​@@salamarashidi3262😂😂😂😂😂
@MbarakaHaji
@MbarakaHaji 11 ай бұрын
wewe una mpenda banga ila na mm nakupenda ww
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
@@MbarakaHaji 😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme 8 ай бұрын
Mnapenda anavyoishi wasenge sana ninyi ni watu wanafiki wakubwa , kesho Mungu akimpamafanikio makubwa ni ninyi ninyi tena mnaibuka kumchukia nakumpachika majina kibao yakiwaki mara freemason mara choko , wabongo wanafiki sana ninyi uwaga mara nyingi mnapenda mtu anapoanza tu katika maisha ya chini lakini anapokwenda kuinuka tu mnaanza mkuchukia ovyo kabisa nyinyi
@naifathassan2607
@naifathassan2607 8 ай бұрын
Point
@user-pz8vz2tq2u
@user-pz8vz2tq2u 7 ай бұрын
Nibora Maisha ya uhalisia kuliko Maisha ya maigizo
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 11 ай бұрын
Maisha ya simple sina ndoo ukweli wa maisha ayo bags unaweza kweli real life
@user-dp6oj7dp9e
@user-dp6oj7dp9e 11 ай бұрын
Nimependa saana maisha ya Baga ongera kaka
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 9 ай бұрын
Tumpongeze tuu kwakua mkweli ila atafute pesa that not life kwa level yake😊😊 msimfariji msela angu
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 7 ай бұрын
Mbona yupo safi tu chumba kimekamilika kabisa kujenga majaariwa
@user-fi9ty6yi2n
@user-fi9ty6yi2n 3 ай бұрын
Utajuaje yawezekana akawa anajenga ila hataki show off usione mtu anaishi maisha ya kawaida ila anamalengo yake hataki fake life
@Rangoboytz2023
@Rangoboytz2023 11 ай бұрын
Ndo maisha yetu baga mteme unyama sana mwamba life style fln hivi amazing
@user-hp3bx8ih4y
@user-hp3bx8ih4y 7 ай бұрын
Baga hana tofauti na mr..blue wapo wazi xana kifupi nimembenda xana iyo show
@Rangoboytz2023
@Rangoboytz2023 7 ай бұрын
@@user-hp3bx8ih4y safi sana blood wapi hiyo ww
@safian.9518
@safian.9518 11 ай бұрын
Nani kamuona huyu Saleh amekaa kijuma lokole lokole?😅😅😅haeleweki vizuri na yeye😂😂😂😂
@user-pz7fy8xl4o
@user-pz7fy8xl4o 11 ай бұрын
Yani uyu kaka ata kama anaitaji kuchangiwa nachangia kaonyesha maisha halisi safi sana kaka
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 11 ай бұрын
Haya sasa ndio maisha yetu haliso , big op BAGA
@btylove1870
@btylove1870 Ай бұрын
Nimependa maisha yake yapo kihalisia hadi raha,hajaonesha maigizo na makorokoro ya ufeki ❤
@oniakussa3383
@oniakussa3383 11 ай бұрын
Sijakosea kumpendaga huyu kaka kumbe yupo real sana jmn🥰
@Omosak
@Omosak 11 ай бұрын
Me too
@kareemabdullah4395
@kareemabdullah4395 7 ай бұрын
@@Omosak😂
@pharleserasto3114
@pharleserasto3114 11 ай бұрын
Baga mwanangu San hajivung na maish kam wasanii wengn kufek so anaish na uhalisia wakwanz likes zanguuu
@consoponsiano97
@consoponsiano97 11 ай бұрын
Mwanangu mtangaji unachunguza sana duh adi kwenye hotpot
@khaledoman8266
@khaledoman8266 7 ай бұрын
Nimependa sana kbx kaka yangu 🇧🇮🇴🇲❤❤❤
@dayana5513story
@dayana5513story 11 ай бұрын
Nimependa hii he is true guy no fake
@iwambimpya1924
@iwambimpya1924 9 ай бұрын
haya maisha ukiwa na roho nzuri utakuwa maskini ,baga anaroho nzur sana anaonekana ndio maana yuko hvyo,
@user-or2xn4bp7o
@user-or2xn4bp7o 11 ай бұрын
Yea safi Sana..nmependa ajui kufake lyf🥰🥰
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Nampendaga sana bagga❤️
@GiftAbduly
@GiftAbduly 8 ай бұрын
Ni mwanaume smart ❤👊🏾
@NasraNasa-mp7mf
@NasraNasa-mp7mf 11 ай бұрын
Nimependa sana yuko real big up baga
@user-tg2rn2jl2l
@user-tg2rn2jl2l 10 ай бұрын
Hongera sana kaka kwa kutoa video ya maisha yako
@officialronaina7592
@officialronaina7592 11 ай бұрын
Eagleee❤❤❤❤nampenda he is real man
@sultansuleiman-940
@sultansuleiman-940 11 ай бұрын
goood presenter.namuona mbali sana...!
@MariamSalim-wd3nz
@MariamSalim-wd3nz 11 ай бұрын
Hongera Sana Kiukweli anaitaji tuzo
@user-qs4fb5fo5f
@user-qs4fb5fo5f 11 ай бұрын
Huyu jamaa anajielewa namkubali sana
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Ila Bagga umenenepa 'Mashaallah
@user-ho8lh9ke2d
@user-ho8lh9ke2d 11 ай бұрын
Nmeilewa maisha ya huyu guy yako poa sana
@matridasambali6432
@matridasambali6432 10 ай бұрын
Nimependa sana unavoishi uhalisia ila sema mshikaji kama anakuchora vile sjapenda interview yake hadi mahotpot anafunua kwani kwaambiwa we mama ntilie aache ivo
@joycechaz2840
@joycechaz2840 10 ай бұрын
Woow baga maisha simple uhalisia kbs
@ZainabuNahimana-qv8el
@ZainabuNahimana-qv8el 10 ай бұрын
Big up sn Bruuh👊nimepend uhalisia wako wa maisha yn👌
@Mimy_keys
@Mimy_keys 11 ай бұрын
Mwamba Nimempenda Yaani 😂😂😂😂😂😂 Sisi Wanawake Tunapenda Mwanaume Mkweli Sio Muongo Muongo 😜🙈😎❣️🙏
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 10 ай бұрын
Mmmhh ahhhh wapi
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 10 ай бұрын
njoo kwangu
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 9 ай бұрын
sio kweli wanawake wanapend a mwanaume muongo
@user-ps5yv4nr9l
@user-ps5yv4nr9l 3 ай бұрын
Nyie hamujawahi kueleweka mukiambiwa ukweli Inakua uongo mukiongopewa ndo ukweli so nyie bado hatuja jua munatakaje Hadi sasa
@faidhacute
@faidhacute 8 ай бұрын
😂😂et shoga angu halaf baga bhna but all in all i like it huyu anaishi uhalisia kabsa ni maisha ya kawaida maana kuna wengne wanafek kabsa ila huyu anaish mulemule haina haja ya kujikweza yaan saf kabsa
@AwamoPro-rt3sl
@AwamoPro-rt3sl 5 ай бұрын
Nimeipenda hii kbx Good life no kufeki life yan
@user-ll7np8td7x
@user-ll7np8td7x 3 күн бұрын
Napenda sana kipindi chenu
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 ай бұрын
We jamaa unaenda kwa watu Sana na kwako pia utuonyeshe
@emiguymnyama1996
@emiguymnyama1996 11 ай бұрын
Saleh classic nakuona mbali sana emiguy mnyama hapa
@teddyleonard9237
@teddyleonard9237 7 ай бұрын
Mungu atakusaidia utafika mbali utafanikiwa tu
@nasrybilal4451
@nasrybilal4451 11 ай бұрын
Huyu muhuni namkubaligi Sana anaishi live yani
@MatungwaZacharia-pl3ro
@MatungwaZacharia-pl3ro 11 ай бұрын
Nakukubali sana baga miaka kibao dah afu haunaga makuu home boy afu muhuni ile kinoma an ukitoa kitale kuigiza muhuni na katili hua ntakuweka wewe
@JemimaKijiu-xx7lg
@JemimaKijiu-xx7lg 7 ай бұрын
Ila hakunji kabisaa nguo duh!!!
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj 11 ай бұрын
Twakupenda burger. ❤❤Unaupigamwingi
@kennethedgar923
@kennethedgar923 11 ай бұрын
😂😂😂dah eti burger 🍔😂😂😂😅
@arya-star53
@arya-star53 11 ай бұрын
Nimempenda ghafla baga jmn hajasita kuonyesha uhalisia wa maisha anayoishi na tabia zake
@sudyally6886
@sudyally6886 11 ай бұрын
Daaa sema bagg umetisha sn mwanangu 😂
@mariamumsanzu8266
@mariamumsanzu8266 8 ай бұрын
Nimepnda sana maisha ya baga ❤❤❤
@agriparose3942
@agriparose3942 11 ай бұрын
Sijui nawaza nini ila Kuna kitu nawaza afu akielezeki ila mmmmh nawaza aina ya maisha haya
@OthmanJuma-zm3fq
@OthmanJuma-zm3fq 10 ай бұрын
Kitambo kwenye game Baga nakubal I huoo ndio uhalisia sio wengine wanaect dadekiii😮😮😮😮
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Huyu kaka noma anajuwa kuigiza kama mhuni na anakpaji pia
@OthmanJuma-zm3fq
@OthmanJuma-zm3fq 10 ай бұрын
Ww kwel eagle 🦅🦅 unawazoom washamba wengine
@fatmahrashidi1533
@fatmahrashidi1533 7 ай бұрын
❤nampenda sana huyu bro😊
@fatmamangallah8263
@fatmamangallah8263 7 ай бұрын
Home kwetu Maa Sha Allah
@zakypaul724
@zakypaul724 10 ай бұрын
Saleh vitonge kama wakike😂😂😂
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 10 ай бұрын
Hongera sana Baga Mungu akuongeze ufike mbali
@ZaynabMshihir-zp9hv
@ZaynabMshihir-zp9hv 11 ай бұрын
Baga umekuwa mkubwa sana Maashaallah
@rayahamisi118
@rayahamisi118 11 ай бұрын
Ivi mtoto wakiume ukivaa Helen nani kawaambi mnapendeza😢😢😢
@niahunique7604
@niahunique7604 9 ай бұрын
We nae tuliza komwe
@rayahamisi118
@rayahamisi118 9 ай бұрын
@@niahunique7604 ukweli unauma
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 9 ай бұрын
Sema ww kiazi nikisema Mimi muhogo nitabiwa namizizi
@Prudentmusic99
@Prudentmusic99 10 ай бұрын
I appreciate it bro ❤❤✊🏻💎
@mpendwamwendela1025
@mpendwamwendela1025 8 ай бұрын
Yan nmempenda sana huyo kaka jic alipo ajivungi
@Blackmar229
@Blackmar229 8 ай бұрын
Me kwangu sipendi watu wa hivo acha mwenye geto akuoneshe sio wapekenyua kila Kona kaa mwako kenge weeee😅😅😅
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Sauti ya mziki upo juu zaidi kuliko show
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 11 ай бұрын
Hongera sana
@TujuzeTv
@TujuzeTv 7 ай бұрын
Sound iko Poa ila kwenye lighting Yaani mataa yangekuwepo hiki kipindi kingependeza zaidi aiseiii hongereni sana ila ushauri wangu kwenu wekezeni kwenye lighting ili video iwe na quality nzuri
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Msera noma sana🔥🔥🔥
@StanMrema
@StanMrema Ай бұрын
Real life 🔥 🔥
@iwambimpya1924
@iwambimpya1924 9 ай бұрын
mpunguze hyo background sound mbwa nyie
@onekisstv8412
@onekisstv8412 11 ай бұрын
Oya sounds zenu jalibuni kuweka sawa
@godlistenorio5950
@godlistenorio5950 10 ай бұрын
Mbona kodi kubwa alafu jumba la ajabu wakati mbezi ya kimara anapata mjengo mzuri
@MadenaIphone
@MadenaIphone 8 ай бұрын
Magomeni kinondoni sehemu xamjini Palipochangamka kodi huwa nikubwa na vyumba vyao vyakawaida saana
@saumushabani8419
@saumushabani8419 11 ай бұрын
Mm nimependa san hyu boy yaan anaishi tuuh maisha yake walai nimependa san
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 8 ай бұрын
Mimi sipendi anavowakagua.Maisha ya mtu hayahusiani na umaarufu anaokuwanao. Minaona kama mtangazaji mshamba tu. From 🇨🇦
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 11 ай бұрын
Kuna aliyepita hko nmemuona, chukua namba uniletee we SALEHE 😁😁😁😁
@user-vf9dh9jp7s
@user-vf9dh9jp7s 7 ай бұрын
Kaoneshe na geto lako kaka
@JacobEckland-ug2dq
@JacobEckland-ug2dq 10 ай бұрын
Nampenda huy kaka yup vizur
@aysheraden7718
@aysheraden7718 8 ай бұрын
Mngeupunguza huo mziki kwenye kipindi maongezi mingine hatusikii vizuri
@user-jz7bn2kx9o
@user-jz7bn2kx9o 8 ай бұрын
Sasa ww mda wote movie ,,katafute mitikas mingine maisha yaende
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wanawake watz wanafki sana eti nampenda anioe tamaa tu zilizowajaa apo kwanini haujaolewa adi leo inamana barehe yenu hamujawai pata nwanaume wakukuta kukuoa tabia zenu mbaya mukiwekwa ndani mwezi 1 mushabadilika amuliziki mwanamke akikuambia usimwamini niwaongo tamaa mioyo yao aliziki pia aikawii kusahau
@naibusanga9416
@naibusanga9416 11 ай бұрын
Safi sana maisha mazur Sana hy
@user-du8of3fb5o
@user-du8of3fb5o 10 ай бұрын
Salute brother
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 9 ай бұрын
Mtangazaji unatamaa Sanaa
@hdhdhhfjfj3742
@hdhdhhfjfj3742 11 ай бұрын
Huuu jama namupenda kinoa sana gutoka 🇧🇮 sema nini dup namba yake❤❤
@ntakirutimanasidra1637
@ntakirutimanasidra1637 10 ай бұрын
Nampenda ni kutoka so dup tupe
@sharpaliofficial7455
@sharpaliofficial7455 11 ай бұрын
Mbona hmuedii kwa mastar wakubwa nyiyee 😊
@Boaz22
@Boaz22 8 ай бұрын
Mama anakuambia baga anafwata totozzz😂😂😂
@user-rh8wr4et1h
@user-rh8wr4et1h 11 ай бұрын
Unavokat Ivo vitoge mhh
@WinfridaZakayo-mj7co
@WinfridaZakayo-mj7co 11 ай бұрын
Amazing ❤❤❤ he life🎉🎉
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 11 ай бұрын
Nice one baga
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 11 ай бұрын
sio kwa vitonge hivyo mwaangalie mwenzio baga
@JAYLABELS
@JAYLABELS 22 күн бұрын
NIPENI LIKE ZA KUTOSHA KAMA MMEONA BAGA ANAFANANA NA HARMONIZE😂😂
@AskoNgatunga-ks9cw
@AskoNgatunga-ks9cw 10 ай бұрын
Umetisha San kak
@keyla3641
@keyla3641 5 ай бұрын
Huyu sasa ndo msani anaishi Manisha Yake na akipata awezo kusahau alikotoka sio hao wanafeki wakipa Tu kidogo inakuwa jazi
@user-jt8nk3kp6m
@user-jt8nk3kp6m 10 ай бұрын
Huyu kajenga kwao
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 11 ай бұрын
Haya maisha mazuru sana
@user-jh8jy7js9n
@user-jh8jy7js9n 5 ай бұрын
Fresh
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 8 ай бұрын
Mule mule mnyamwez ndo life letu 🙏
@user-ce6um4ty4i
@user-ce6um4ty4i 11 ай бұрын
Uku kwetu iyo redio ni laki 1tu southa Africa iyo tv laki 3
@MtuSafi
@MtuSafi 11 ай бұрын
vitu vya wizi hvyo mzee mm nilishaambiwa na jamaa yangu alisema nikutumie kwa ndege au basi nikamwambia hilo hapana.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
Vitu vingi vya South Africa Ni vya wizi nimeishi uko Mie miaka 2 na nusu mhh mwenyewe niamua kulud TZ MAISHA YAKO HAPANA MTU ANAPIGWA RISASI MCHANA KWEUPE MANINA AISE TUTAKUJA KUWAADITHIA WATOTO ZETU
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 11 ай бұрын
​@@ukhutfatumah1154naijua hiyo South Africa 🇿🇦mikono juu 😂😂😂mie nimekaa week 3 niakona miaka 3
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 33 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН
Revolutionary Uses for Leftover Styrofoam
00:19
Делай сам
Рет қаралды 6 МЛН
WALI NAZI
9:41
Joti TV
Рет қаралды 906 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 269 М.
OBINNA SHOW LIVE: CRAZY NOT CRAZY - 3MEN ARMY
2:13:56
Obinna TV Extra
Рет қаралды 329 М.
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 33 МЛН