Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 112
@ukhutfatumah11543 ай бұрын
M/mungu azid kuwapa masikilizano katika safali yenu allah mluzuku mume wangu ridhik
@afyabora32073 ай бұрын
Vijana msikie kauli yake ninkubwa sana ’’SAVING MONEY ’ anapiga kazi kwa bidii na saving Hiko kipengele ndio wengi kinawashinda
@LeylaHamisi-qh3kb3 ай бұрын
Salehe na ww tunataka tupaone kwako💯
@ramakinjoi40633 ай бұрын
Mganga hajigangi😂😂kinyozi hajinyoi
@benardmsafiri46483 ай бұрын
😂
@ramakinjoi40633 ай бұрын
@@benardmsafiri4648 eeeenh habari ndio hio ndugu..na tutasubiri Sana 🤣🤣🤣
@salehcllassic23253 ай бұрын
Mtapoona msibalii😊😊😊
@user-fx7ig1uy6t3 ай бұрын
😅😅😅😅ata anapo basi
@user-bq7rh3wm3f3 ай бұрын
Ally B. Big Up. Mungu akuzidishie
@djhajiztz3 ай бұрын
Unatufundisha ma dj kwa bei poa sana Asante Kaka
@queenmilan20243 ай бұрын
Msiamini mambo ya mitandaoni. Shauri yenu.
@infiniteabundance20243 ай бұрын
we umekuja kufata nini..... queen mavi mavi na wivu
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Saleh ebu mtembelee joti jamanii❤❤❤❤
@jacklinechuga25693 ай бұрын
Camera man kazingua achukuhi mambo vizuri 😢
@PrinceBonnyTz83 ай бұрын
😅😅
@deega12343 ай бұрын
kweli
@JohariLila22 күн бұрын
😂😂😂
@Juke9953 ай бұрын
Kwan camera man halipwi au ni mwanafunzi 😮athuman oyeeeee.
@kingalyeko75763 ай бұрын
Camera man wa kufukuzwa 😂
@Tariq_Tryagain3 ай бұрын
Athumani kumbe yuko serious kinoma hiv🙌🙌 yani ni real father house
@sabrinasabrina83953 ай бұрын
Ukichukua machungu ukayatransform Kwenye kupambana ni LAZIMA UFANIKIWE HII NI KWELI MTUPU
@adinasii3 ай бұрын
Huyu jamaa mwqmba sana malundo anayo ming hyo nyumb ni ya thaman Sema kabl ya interview watu walikuwa wanamuona anafake matiktok
@user-mw5xs2wx8n3 ай бұрын
Mashineee sijui kwanini wanawake tunafeli ktk hiki kipengele cha huduma za kiroho
@AllyMawazo-ve9qc3 ай бұрын
Kwenye swala la kuoa kaongea point sana bahat mby sana sound inazingua
@emmanuelmwasha24303 ай бұрын
nice interview🔥🔥
@dayana5513story3 ай бұрын
You're blessed DJ🔥🔥🔥🥰
@StanMrema2 күн бұрын
Range la kujifunzia😅😅 Dj kwa sifa tu
@israeluronu99583 ай бұрын
At nikaona kuliko niishi na mtu mwingine bora niishi na hili jini langu😂😂😂
@user-ts9fe9xm9k3 ай бұрын
InshaAllah🤲🙏
@RayyanRayyan-rt9cg3 ай бұрын
😁😁nimekosa maneno yakuandik ila mungu nipe mume kam Ally B😂😂😂
@omanhh28753 ай бұрын
Kwel
@rosemaryrwabibi59082 ай бұрын
Kila kitu ni subila🙏🙏
@gloriamwanjali93713 ай бұрын
Big up bro, pia ukimwita decor daisy akufanyiw decor patapandisha thamani zaidì
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Nyie hapa tz kunawatu wanaishi na wana misha 😮😮😮😮😮😮 allyb salout brooo
@rewardnjau72203 ай бұрын
camera man haijui kazi yake
@mfaumejames73443 ай бұрын
Never given up for everything
@Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын
Dj kama dj
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Ilavijana kunasiri kubwa sna kwenye upande wa kuoa nimiongoni mwariski kuongezeka hay ni barka kubwa san hvo mjiongeze
@zenasalum22313 ай бұрын
Aiseee
@erickmbilinyi20563 ай бұрын
Mwishon haisikiki vzr
@jenifermakundi82303 ай бұрын
Toka kipindi kianze hii ndio interview bora kwangu,ally b kafunguka,kapoa kanihamasisha.
@KautharRamadhan-xv3gf3 ай бұрын
Nyumba yake na hajui taa ya ballcone inawashiwa wapi jamani
@HoneyBeel53 ай бұрын
Ashakuambia kanunua hajajenga, na kasema huko wanatumia watoto
@missp18143 ай бұрын
kwa wanaume hata sishangai angekuwa mama simba ningeshangaa wanaume huwa wavivu kujuaga vitu vidogo dogo kwenye nyumba,na pia hiyo nyumba hajakaa muda mrefu na watoto ndo wanatumia.
@salmamsakuzi30703 ай бұрын
Mume wangu nyumba nmemkuta nayo ila mpaka Leo anauliza hii taa inazimiwa wapi hajui mataa utamuona anahangaika na maswitch
@onekisstv84123 ай бұрын
Ally b kapoa sana leo
@namdigumagwenge1933 ай бұрын
Mama Simba kwanini ulituchanulia miguuu mwanzoni 😂
@RuthHelenesangoАй бұрын
Nilicho gunduwa kwa matajiri Awa gawe chakula sio vizuri
@asnathcharles98423 ай бұрын
Asumaniiiiiii💝
@user-mp4lf4ji8k2 ай бұрын
Uyo jamaa anajua maisha vijana jifunzeni leo
@djhajiztz3 ай бұрын
Mke wa djallyb Sauti yako nzuri❤
@naah8843 ай бұрын
Kama cameraman anaona comments we hujui kazi panya ww
@NaomiMsafiri3 ай бұрын
Kabisaaaa
@gracepatric43713 ай бұрын
😅😅😅
@aminammbaga77363 ай бұрын
Mie nilijua ni m nigeria jmn before nimfaham
@missp18143 ай бұрын
Bora umehide namba za magari maana kila nikiangalia ikifika hapo najisemeaga ila hawa hawaoni wanawakosea hao mastar😂😂
@AnnoyedAlbatross-mx9le3 ай бұрын
Shomi me najuwa kutengeneza wa ya vidonda vyatumbo nitampata atabule
@ReginaErnest-cf6ji3 ай бұрын
Mwamba unaishi bhana duuu
@SafiyaJ-yw2vt3 ай бұрын
U DJ tu nyumba hiyo i can't understand
@user-ts9fe9xm9k3 ай бұрын
@@SafiyaJ-yw2vt mi mwenyewe nashindwa kuelewa kwakwel
@SafiyaJ-yw2vt3 ай бұрын
@@user-ts9fe9xm9k Umeona eeeee
@mariachifupa46543 ай бұрын
Ukimsikiliza vizuri utajua siyo udj tu uliomlipa, amefanya uchinga ameweza kusave money na anajua kujichanganya na Wana na ndiyo maana amefika hapo halipo
Mwanamkee mzuri naturel kbsa Aguirre ana mashauziiii
@mohamedmkape6983 ай бұрын
Why violating privacy policy utachkuaje picha mtu amelala Bila idhini yake. Sio saw
@swaumuabdallah68863 ай бұрын
Hata km mm ndio mama simba siondok 😂
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
Jamaniii umeona eee aan sichmoki mpak kifo
@faridaabdallah74243 ай бұрын
Jmn hata kumpa mgeni soda😂
@gracepatric43713 ай бұрын
cameraman hovyo kabisaaaaa cjui video shooter madudu kabisaa shenzii anaambiwa kabisa onyesha linabazubaa seee
@dianamashala4263 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-gw8wv2zf2g2 ай бұрын
Camera man mzito
@veronicamlelwa-zh9vy3 ай бұрын
Saleh anaogop mbwa jmn😅
@khalfannyanje89703 ай бұрын
Nikinya😂😂😂😂
@Gamba813 ай бұрын
Kumbe ela ya bongo aina samani sofa set milioni 40 daaaa
@kitomondo3 ай бұрын
It's easy to get 40m kuliko kupata 20,000$.
@KautharRamadhan-xv3gf3 ай бұрын
Mwenzetu unasofa za kias gani au ndo useme tu ujiridhishe na chuki zako
@Gamba813 ай бұрын
@@KautharRamadhan-xv3gf sina chuki na wara siishi tanzania nime toka toka mtoto ndiyo mana nime uliza milioni 40 ni pesa nyingi sana kwa tanzania kumbe milioni 40 ni pesa ndogo sana ndiyo mana nime shanga milioni 40 kununua sofa
@Gamba813 ай бұрын
@@kitomondo sasa wewe ume nijibu vizuli sana god bless you
@user-cw7xw9cu6m3 ай бұрын
mwamba kavu anameza2 mwenyewe😂
@nantaembanusurupia56743 ай бұрын
Mwezi mtukufu atakuwa amefunga😊
@user-cw7xw9cu6m3 ай бұрын
@@nantaembanusurupia5674 ok labda
@MaryGurtt3 ай бұрын
Uyu kamera man kila kitu kaambiwa, ila kwa tako la mama simba kawa makini
@KhalidNa-bn4gp2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wabongoooooo
@hildahmushi75243 ай бұрын
Vijana acheni umama Wa kutegemea MTU chezeni michezo ya kina mama utajifunza kuwa na disprine ya hela kama alivosema DJ Aliy b Kweli Michezo inasadia Sana Mimi mwenyewe Niko kwenye iyo Michezo nayaona mafanikio
@joharifarahani27393 ай бұрын
Kweli kabisa mm natengeza nyumba kwakutumia michezo
@abhaijar40783 ай бұрын
Kila hatua
@NjuuJera-gg9ec2 ай бұрын
Tokomea hukohuko 😂
@aminanamoyo833 ай бұрын
Sauti haiko clear
@ForodhaniZanzibar3 ай бұрын
Hamna nyumba humo nenda kwa mbunge wa Zanzibar TAUFIQ hi yan hajafikia ata ile gharama ya gari ya TAUFIQ
@JimmyMgalama3 ай бұрын
Uwage na Akili ww bana!!!!! Utamlinganishaje bilionea TAUFIQ n zaidi kw Dj Ally b, Lakini Dj Ally b pesa anayo kw nafasi yke tena katuzidi sana tena kundi kubw la watu kimafanikio kw hiyo yatubidi Tumuombe sana Mwenyz Mungu atusaidie tupambane kiutafutj tuwe kama yy na cyo kumlinganisha n mtu mwngine 😮
@marymanoni55363 ай бұрын
Mimi Namuomba Mungu ata nusu anipe au zaidi❤❤
@leaherasto9293 ай бұрын
Kwani umeambiwa anafanya mashindano? Huwezi kumlinganisha dj na mbunge never
@JimmyMgalama3 ай бұрын
Uko Sahihi n kwel kabisa Reah! Uwez kumlinganisha Dj na Mbunge TAUFIQ n tapir mkubw sana Ana makampun mengi na mabasi mengi y mikoani
@ForodhaniZanzibar3 ай бұрын
@@JimmyMgalama kwanjia ipi shekhe na ss tufikie ubilionea