GOROFA ANALOISHI DJ ALLYB/ GHARAMA ZA FUNITURE NI NOMA/SEBULE YA WATOTO /MAGARI YA KIFAHARI

  Рет қаралды 46,148

ZamaradiTV

ZamaradiTV

3 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 112
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 ай бұрын
M/mungu azid kuwapa masikilizano katika safali yenu allah mluzuku mume wangu ridhik
@afyabora3207
@afyabora3207 3 ай бұрын
Vijana msikie kauli yake ninkubwa sana ’’SAVING MONEY ’ anapiga kazi kwa bidii na saving Hiko kipengele ndio wengi kinawashinda
@LeylaHamisi-qh3kb
@LeylaHamisi-qh3kb 3 ай бұрын
Salehe na ww tunataka tupaone kwako💯
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 3 ай бұрын
Mganga hajigangi😂😂kinyozi hajinyoi
@benardmsafiri4648
@benardmsafiri4648 3 ай бұрын
😂
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 3 ай бұрын
@@benardmsafiri4648 eeeenh habari ndio hio ndugu..na tutasubiri Sana 🤣🤣🤣
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 3 ай бұрын
Mtapoona msibalii😊😊😊
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 ай бұрын
😅😅😅😅ata anapo basi
@user-bq7rh3wm3f
@user-bq7rh3wm3f 3 ай бұрын
Ally B. Big Up. Mungu akuzidishie
@djhajiztz
@djhajiztz 3 ай бұрын
Unatufundisha ma dj kwa bei poa sana Asante Kaka
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 ай бұрын
Msiamini mambo ya mitandaoni. Shauri yenu.
@infiniteabundance2024
@infiniteabundance2024 3 ай бұрын
we umekuja kufata nini..... queen mavi mavi na wivu
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Saleh ebu mtembelee joti jamanii❤❤❤❤
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 3 ай бұрын
Camera man kazingua achukuhi mambo vizuri 😢
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 ай бұрын
😅😅
@deega1234
@deega1234 3 ай бұрын
kweli
@JohariLila
@JohariLila 22 күн бұрын
😂😂😂
@Juke995
@Juke995 3 ай бұрын
Kwan camera man halipwi au ni mwanafunzi 😮athuman oyeeeee.
@kingalyeko7576
@kingalyeko7576 3 ай бұрын
Camera man wa kufukuzwa 😂
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 3 ай бұрын
Athumani kumbe yuko serious kinoma hiv🙌🙌 yani ni real father house
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 3 ай бұрын
Ukichukua machungu ukayatransform Kwenye kupambana ni LAZIMA UFANIKIWE HII NI KWELI MTUPU
@adinasii
@adinasii 3 ай бұрын
Huyu jamaa mwqmba sana malundo anayo ming hyo nyumb ni ya thaman Sema kabl ya interview watu walikuwa wanamuona anafake matiktok
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 ай бұрын
Mashineee sijui kwanini wanawake tunafeli ktk hiki kipengele cha huduma za kiroho
@AllyMawazo-ve9qc
@AllyMawazo-ve9qc 3 ай бұрын
Kwenye swala la kuoa kaongea point sana bahat mby sana sound inazingua
@emmanuelmwasha2430
@emmanuelmwasha2430 3 ай бұрын
nice interview🔥🔥
@dayana5513story
@dayana5513story 3 ай бұрын
You're blessed DJ🔥🔥🔥🥰
@StanMrema
@StanMrema 2 күн бұрын
Range la kujifunzia😅😅 Dj kwa sifa tu
@israeluronu9958
@israeluronu9958 3 ай бұрын
At nikaona kuliko niishi na mtu mwingine bora niishi na hili jini langu😂😂😂
@user-ts9fe9xm9k
@user-ts9fe9xm9k 3 ай бұрын
InshaAllah🤲🙏
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 3 ай бұрын
😁😁nimekosa maneno yakuandik ila mungu nipe mume kam Ally B😂😂😂
@omanhh2875
@omanhh2875 3 ай бұрын
Kwel
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 2 ай бұрын
Kila kitu ni subila🙏🙏
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 3 ай бұрын
Big up bro, pia ukimwita decor daisy akufanyiw decor patapandisha thamani zaidì
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Nyie hapa tz kunawatu wanaishi na wana misha 😮😮😮😮😮😮 allyb salout brooo
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 3 ай бұрын
camera man haijui kazi yake
@mfaumejames7344
@mfaumejames7344 3 ай бұрын
Never given up for everything
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 3 ай бұрын
Dj kama dj
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Ilavijana kunasiri kubwa sna kwenye upande wa kuoa nimiongoni mwariski kuongezeka hay ni barka kubwa san hvo mjiongeze
@zenasalum2231
@zenasalum2231 3 ай бұрын
Aiseee
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 3 ай бұрын
Mwishon haisikiki vzr
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 3 ай бұрын
Toka kipindi kianze hii ndio interview bora kwangu,ally b kafunguka,kapoa kanihamasisha.
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 3 ай бұрын
Nyumba yake na hajui taa ya ballcone inawashiwa wapi jamani
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 3 ай бұрын
Ashakuambia kanunua hajajenga, na kasema huko wanatumia watoto
@missp1814
@missp1814 3 ай бұрын
kwa wanaume hata sishangai angekuwa mama simba ningeshangaa wanaume huwa wavivu kujuaga vitu vidogo dogo kwenye nyumba,na pia hiyo nyumba hajakaa muda mrefu na watoto ndo wanatumia.
@salmamsakuzi3070
@salmamsakuzi3070 3 ай бұрын
Mume wangu nyumba nmemkuta nayo ila mpaka Leo anauliza hii taa inazimiwa wapi hajui mataa utamuona anahangaika na maswitch
@onekisstv8412
@onekisstv8412 3 ай бұрын
Ally b kapoa sana leo
@namdigumagwenge193
@namdigumagwenge193 3 ай бұрын
Mama Simba kwanini ulituchanulia miguuu mwanzoni 😂
@RuthHelenesango
@RuthHelenesango Ай бұрын
Nilicho gunduwa kwa matajiri Awa gawe chakula sio vizuri
@asnathcharles9842
@asnathcharles9842 3 ай бұрын
Asumaniiiiiii💝
@user-mp4lf4ji8k
@user-mp4lf4ji8k 2 ай бұрын
Uyo jamaa anajua maisha vijana jifunzeni leo
@djhajiztz
@djhajiztz 3 ай бұрын
Mke wa djallyb Sauti yako nzuri❤
@naah884
@naah884 3 ай бұрын
Kama cameraman anaona comments we hujui kazi panya ww
@NaomiMsafiri
@NaomiMsafiri 3 ай бұрын
Kabisaaaa
@gracepatric4371
@gracepatric4371 3 ай бұрын
😅😅😅
@aminammbaga7736
@aminammbaga7736 3 ай бұрын
Mie nilijua ni m nigeria jmn before nimfaham
@missp1814
@missp1814 3 ай бұрын
Bora umehide namba za magari maana kila nikiangalia ikifika hapo najisemeaga ila hawa hawaoni wanawakosea hao mastar😂😂
@AnnoyedAlbatross-mx9le
@AnnoyedAlbatross-mx9le 3 ай бұрын
Shomi me najuwa kutengeneza wa ya vidonda vyatumbo nitampata atabule
@ReginaErnest-cf6ji
@ReginaErnest-cf6ji 3 ай бұрын
Mwamba unaishi bhana duuu
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 3 ай бұрын
U DJ tu nyumba hiyo i can't understand
@user-ts9fe9xm9k
@user-ts9fe9xm9k 3 ай бұрын
​@@SafiyaJ-yw2vt mi mwenyewe nashindwa kuelewa kwakwel
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 3 ай бұрын
@@user-ts9fe9xm9k Umeona eeeee
@mariachifupa4654
@mariachifupa4654 3 ай бұрын
Ukimsikiliza vizuri utajua siyo udj tu uliomlipa, amefanya uchinga ameweza kusave money na anajua kujichanganya na Wana na ndiyo maana amefika hapo halipo
@halimamweri4020
@halimamweri4020 3 ай бұрын
Hyo nyumba si kapanga kwan yake?
@FatmaHamady
@FatmaHamady 3 ай бұрын
Cameraman kazoom traaaakoo😅 nilitaka nishangaee asimgeukiee
@leaherasto929
@leaherasto929 3 ай бұрын
Anaishi pazuri
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 3 ай бұрын
Mwanamkee mzuri naturel kbsa Aguirre ana mashauziiii
@mohamedmkape698
@mohamedmkape698 3 ай бұрын
Why violating privacy policy utachkuaje picha mtu amelala Bila idhini yake. Sio saw
@swaumuabdallah6886
@swaumuabdallah6886 3 ай бұрын
Hata km mm ndio mama simba siondok 😂
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Jamaniii umeona eee aan sichmoki mpak kifo
@faridaabdallah7424
@faridaabdallah7424 3 ай бұрын
Jmn hata kumpa mgeni soda😂
@gracepatric4371
@gracepatric4371 3 ай бұрын
cameraman hovyo kabisaaaaa cjui video shooter madudu kabisaa shenzii anaambiwa kabisa onyesha linabazubaa seee
@dianamashala426
@dianamashala426 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-gw8wv2zf2g
@user-gw8wv2zf2g 2 ай бұрын
Camera man mzito
@veronicamlelwa-zh9vy
@veronicamlelwa-zh9vy 3 ай бұрын
Saleh anaogop mbwa jmn😅
@khalfannyanje8970
@khalfannyanje8970 3 ай бұрын
Nikinya😂😂😂😂
@Gamba81
@Gamba81 3 ай бұрын
Kumbe ela ya bongo aina samani sofa set milioni 40 daaaa
@kitomondo
@kitomondo 3 ай бұрын
It's easy to get 40m kuliko kupata 20,000$.
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 3 ай бұрын
Mwenzetu unasofa za kias gani au ndo useme tu ujiridhishe na chuki zako
@Gamba81
@Gamba81 3 ай бұрын
@@KautharRamadhan-xv3gf sina chuki na wara siishi tanzania nime toka toka mtoto ndiyo mana nime uliza milioni 40 ni pesa nyingi sana kwa tanzania kumbe milioni 40 ni pesa ndogo sana ndiyo mana nime shanga milioni 40 kununua sofa
@Gamba81
@Gamba81 3 ай бұрын
@@kitomondo sasa wewe ume nijibu vizuli sana god bless you
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 3 ай бұрын
mwamba kavu anameza2 mwenyewe😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 3 ай бұрын
Mwezi mtukufu atakuwa amefunga😊
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 3 ай бұрын
@@nantaembanusurupia5674 ok labda
@MaryGurtt
@MaryGurtt 3 ай бұрын
Uyu kamera man kila kitu kaambiwa, ila kwa tako la mama simba kawa makini
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wabongoooooo
@hildahmushi7524
@hildahmushi7524 3 ай бұрын
Vijana acheni umama Wa kutegemea MTU chezeni michezo ya kina mama utajifunza kuwa na disprine ya hela kama alivosema DJ Aliy b Kweli Michezo inasadia Sana Mimi mwenyewe Niko kwenye iyo Michezo nayaona mafanikio
@joharifarahani2739
@joharifarahani2739 3 ай бұрын
Kweli kabisa mm natengeza nyumba kwakutumia michezo
@abhaijar4078
@abhaijar4078 3 ай бұрын
Kila hatua
@NjuuJera-gg9ec
@NjuuJera-gg9ec 2 ай бұрын
Tokomea hukohuko 😂
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 ай бұрын
Sauti haiko clear
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 3 ай бұрын
Hamna nyumba humo nenda kwa mbunge wa Zanzibar TAUFIQ hi yan hajafikia ata ile gharama ya gari ya TAUFIQ
@JimmyMgalama
@JimmyMgalama 3 ай бұрын
Uwage na Akili ww bana!!!!! Utamlinganishaje bilionea TAUFIQ n zaidi kw Dj Ally b, Lakini Dj Ally b pesa anayo kw nafasi yke tena katuzidi sana tena kundi kubw la watu kimafanikio kw hiyo yatubidi Tumuombe sana Mwenyz Mungu atusaidie tupambane kiutafutj tuwe kama yy na cyo kumlinganisha n mtu mwngine 😮
@marymanoni5536
@marymanoni5536 3 ай бұрын
Mimi Namuomba Mungu ata nusu anipe au zaidi❤❤
@leaherasto929
@leaherasto929 3 ай бұрын
Kwani umeambiwa anafanya mashindano? Huwezi kumlinganisha dj na mbunge never
@JimmyMgalama
@JimmyMgalama 3 ай бұрын
Uko Sahihi n kwel kabisa Reah! Uwez kumlinganisha Dj na Mbunge TAUFIQ n tapir mkubw sana Ana makampun mengi na mabasi mengi y mikoani
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 3 ай бұрын
@@JimmyMgalama kwanjia ipi shekhe na ss tufikie ubilionea
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 3 ай бұрын
Mama Simba alikua anaamhbusti baaria 😅
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 99 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
KAULI YA WAZIRI BASHE MBELE YA RAIS SAMIA AKIWA KATAVI
6:29
ABUU JADAWI ONLINE TV
Рет қаралды 119
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
Джеки Чан лишил наследства всех своих детей! Что акажете?
0:41
Симуляция: МАТРИЦА МИРА
Рет қаралды 6 МЛН
УНИТАЗ В ЛЕСУ?? #shorts
0:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,1 МЛН
One Two Buckle My Shoes 2 ! #spongebobexe #shorts
0:20
ANA Craft
Рет қаралды 22 МЛН