Kutoka Guangzhou China AyoTV, millardayo.com inatuonesha soko maarufu la nguo ambalo huwakutanisha Waafrika kufanya mahemezi ya nguo na kupeleka Afrika ikiwemo Tanzania.
Пікірлер: 278
@sonymusa53335 жыл бұрын
Safi sana hongera kwa kazi nzur. Wengine huku wamebaki kutangaza umbea tu hawana hata vya kuhamashisha
@cleverboy38125 жыл бұрын
Millard upo juuuuuu!! Utabaki kileleni!!! Love u so much.... Nimependa saaaana... Big up Ayo TV
@masachihorticultureunitcol7115 жыл бұрын
Hizi ndio mambo watu wanahitaji. Sio masuala sijui ya akina hamisa, zari na uwoya. Mambo ya udaku
@amankileo89775 жыл бұрын
Wanao kubali
@mohammedmkomi90875 жыл бұрын
Kama umemuona mchina anamwambia huyo jamaa apunguze
@ramadhanmohamed76685 жыл бұрын
Kuna baaz ya watz wenye roho yakwann walikua wanalificha ili chimbo walikua awataki wabongo wengine walijue chimbo ili. Milad ayo umefichua chimbo. sasa kila mtz anajua kz kwetu kuchangamkia fulsa hii. Milad ayo uko ju.. Mungu akuweke 1000
@fusotanzania81745 жыл бұрын
Millard utabak kuwa juu juu juu mawinguniii
@sadafrancis83094 жыл бұрын
One of ma dream is going to China for business purposes and this information given out by Millard ayo online media is very awesome to me....and this is da best information to be given out for da people not musicians and artists life
@issackjacobo45355 жыл бұрын
Kama unamkubali MILLARD AYO gonga like mtuwangu wanguvu damdam milele.
@safisimkoko1932 Жыл бұрын
Millard ayo kaka upovizur hiii nimeipenda japo kastor kamekuwepo kafupi Yan katiya watu wanaotafuta chansi ya kwenda inje naminipo Eemwenyezi MUNGU nakuomba unisaidie daimaaa
@iamthefarmerceo23165 жыл бұрын
Now umeivaa dogo big up sanaaa Yani wenge loteee tupaaa kuleee
@saidiissa87295 жыл бұрын
Sura za wananchi wenyefuraha utazijua tu umeona mchina anacheka kwa tabasamu nzuri sanaa sasa njoo huku kwetu na upishane na mtu kariakoo dah
@fababindawood83635 жыл бұрын
Namuona namuona swahiba wngu Said 🔥🔥🔥alikuwa mpambanaj k.koo
@godblessjrtz.86524 жыл бұрын
Waulize silent ocean wanampango gani wa kufungua duka kama hilo Tanzania ili wawe wanauzia na nchi jirani?
@muzneali51115 жыл бұрын
Jamal Mmoja : Itazame hii video vizuri kuna gari moja la silent ocean limeonyeshwa na ubavuni mwa gari Hilo kuna namba za cmu nafikiri nitakuwa nimekusaidia kidogo
@sharifabdul60855 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri mno,nadhani ulistahiki haswa kuitangaza tz nje,kaza kamba
@breymbasa34515 жыл бұрын
Dah Kama najiona hapo ndani ya miaka mi4 ijayo🙏
@mohamedkikale72414 жыл бұрын
Kweli ukifanya kazi inayowanufaisha watu wewe hunufaika zaid, Allah akujaalie kheri na baraka tele kwenye kazi zako za kila siku.
@samtelah75785 жыл бұрын
Aisee mmenifungua macho sana me mwakan naanza kwenda china kumbe ni rahis hiv nljua kuna complication kibao
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
Nomegunduwa kitu ikiwa ujuwi Luga aijalishi utaenda chaina