MIMI NI MKRISTO KABISÀA ILA SHEHEE MUNGU AKUWEKEEE UNA MANENO YENYE FUNZO AMEEN
@hamisisha3 жыл бұрын
AMIIN🙏🏽
@fraviansweetberty88193 жыл бұрын
Ndio kaongea ukwel nakasimamia palipo na haki tutamkumbk Sana Magufuri
@frolalupogompumbavuwewesiw1793 жыл бұрын
Nakukubali cna she wewe mie Ni mkristo
@monicahovda45243 жыл бұрын
Mmmmh hizo coment , Hebu kwanza Tuangalie Undugu wetu sisi Sote tu ndugu wa jamaa moja Ambayo ndio TZ, hatuwezi kuliepuka Hilo na kumchukia ndugu yako , Hata kama Dini zetu ni tofauti, Lakini undugu upo pale pale, siwezi mbagua ndugu yangu au Wazazi wetu kwa kuwa wako tofauti mradi wote Wanamwamini Mungu alieziumba Mbingu na Nchi
@nimbonajamilla61023 жыл бұрын
Anta namimi Mkristo namupendaga nasa Shehee kutoka Burundi
@allmotorbikesrepair65653 жыл бұрын
Sheikh hongera sana kwa nasaha na hotuba nzuri zenye kujenga na kuimarisha taifa letu binafsi nimekuelewa Sana
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki Sheik Umeshuhudia Vema Mwenye Masikio Asikie na Kujifunza🙏 RIP JPM🤲🙏🇹🇿
@stephanominja89273 жыл бұрын
Magufuli alikua anaufundisha umma wa waisilamu kuwa mungu wetu ni mmoja,, kama mnanielewa gonga like
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Sasa mbona wenu kazaa na kuzaliwa?
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 😂😂😂
@brightongetruda93703 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Umma gn ulokuwa ukifundishwa na mtu aso kuwa muislam?? Sijawai sikia ata siku moja leo ndio nasikia kwako
@mgbilal97073 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 🤔🤣🤣
@abdulhafidhuqassim24813 жыл бұрын
Shekh wangu kishki unanikosha sana Allah atukutanishe peponi, amiin
@lazzrchanal1935 Жыл бұрын
Amiin
@oscarkasalile84423 жыл бұрын
Sasa nimekubali Tanzania hakuna udini na wewe shehe unaweza ukanishawishi niipende dini hii ya kiislam wewe ni mkweli magufuli alikuwa tunu yetu watanzania wote, naomba wanaoniunga mkono wa like tujuane wazalendo.
@malugukushaha67643 жыл бұрын
Mashaallah, mwenyezi mungu akulinde sheikh wetu uzidi kutupa elimu.
@user-ih8yq8dp4z3 жыл бұрын
Umeongea maneno muhimu sana shekhe wetu namuomba Allah awafanyie wepesi alhekma foundation kazi tunaiona namuomba awape Baraka Tele na pepo ya juu kabisa siku ya mwisho yaani tufe akiwa ameturidhia
@naamohamed10423 жыл бұрын
Mzee Magufuri kaumiza mioyo ya watu wengi wallah dahhhh😭😭😭
@mwannerajabu86883 жыл бұрын
Naa nakukubali tunazurula et 😊😊kwazahir nako sema. Niko mzito kutoa cement
@naamohamed10423 жыл бұрын
@@mwannerajabu8688 na kwel tunazurula mana mpk tunakaliliana 😄
@SaitoMk3 жыл бұрын
😭😭😭
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
😭😭😭
@SaitoMk3 жыл бұрын
@@kawtharsaleh9229 huku pia upo wngu n 🇪🇭🇪🇭❤❤ N Aysha mahariq 😋😋
@saraphinamtegwa91283 жыл бұрын
😭😭😭😭mola amlaze mahali pema peponi ameen🙏🙏🙏🙏
@elymollel2 жыл бұрын
Lingine kubwa aliongoza mchango kanisani wa kujenga msikiti chamwino dodoma.mimi ni Mkristo ila ninachoamini sisi sote ni ndugu dini ni daraja tu la kutufikisha tunapokwenda. Asante #Shekh kishki.
@amarislam15893 жыл бұрын
mashalah maneno ya hekima sanaa.na hio dua iko sawa kabisa ALLAH ampe malipo yanayostahiki.shuran sheikh kishki
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Ninayo jua kwamba asie muamini mtume mohamed NA asio muslaam kulipiwa huko katika dunia tu kwa mfano mungu anampa afya anampa mwili mzuri yaani raha ya dunia tu lakini amlipe kama walivyo muamini mohamed hapo lazima kuuliza wenye elimu ikiwa abu thalib baba yake mdogo wa mtume mohamed alimlea NA kumlinda NA kupenda sana ali ingia motoni abu thalib akiulizwa huyo mohamed ni nani anasema ni mtoto wangu mohamed alikua yatima amemlea amu yake
@leylahbillah48763 жыл бұрын
Yaarabby tupe mwisho mwemaa na sisi waja wako🇴🇲🇴🇲😭😭🤲
@asmakigahe31983 жыл бұрын
Aamiin
@machiavelshakur89393 жыл бұрын
Yan wewe n shetani
@user-ws9ek8dj5n3 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah hayati mzee Magifuli kifo chake kime leta utata,wananchi mutakaa mutamkumbuka hata kwa kidogo alichokifanya muhimu ni upendo na amani utande,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh barakallahu fik
@michaelmsis39653 жыл бұрын
Sheikh, nakuombea kwa mungu,akuzidishie hekma, na tuombee taifa letu like na amani na ushirikiano, tusiishi kwa kubaguana, sisi sote ni ndugu, tusibaguane kutokana na dini zetu, AMANI itawale katika nafsi zetu AMINA.
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
Kishki Jazakallahu khaira 🙏
@naslee10102 жыл бұрын
Shekhe#kishki muislam mwenzetu hawezi napia dini yetu inakataa kuongozwa na mwanamke unaona yanayo tokea leo nitabaki kumkumbuka bwana #magufuli mungu ailaze roho yake mahali pema insha allah 🙏😭
@mponelamathei72453 жыл бұрын
Allah ampe qauli thabit baba huyu, JPM alikua mtu mwema sana alipenda din zote, na sasa katuachia mama nae muumin mwenzetu Tumuombee Allah ampe uwezo na ujasiri katika kulipeleka Taifa hili mbele🙏
Asaalam aleikum naomba niseme Sheikh kishk wewe uko vizuri mwenyezi mungu akufanyie wepesi
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@esterkiyabo13293 жыл бұрын
Thank you
@calvinlekule54002 жыл бұрын
Do you have any prove that his salary was $4000
@menalikechildren8836 Жыл бұрын
Grazie
@omakywazamani6696 Жыл бұрын
You right
@maulidsawaka2463 Жыл бұрын
Ina maana hujui Kiswahili sasa umejuaje kama anaezungumziwa hapa ni Magufuli au ukiwa Italy Kiswahili hakitumiki
@hamidafundi58903 жыл бұрын
Ama kwa hakika, Shekh Kishki wewe ni mtu wa 'HAKI na KWELI, Katika mawaidha yako. MWENYEZIMUNGU akufanyie wepesi Ishallah 🙏
@mkushmpondomoka Жыл бұрын
Allah amripe
@benedictmbelwa2385 Жыл бұрын
Asante sana Sheikh, umarikiwe sana
@bugapeasant18273 жыл бұрын
Ubarukiwe kwa mafundisho yako mazuri na yenye hekma,Mungu akuzidishie uzidi kua mwalim bora amina
@davidbakengwa34923 жыл бұрын
Allah mwenyezi mungu Mola mlezi wa viumbe vyote amjaliye mahala pema peponi magufuli rafikiangu
@salumumagono80953 жыл бұрын
A alaykum sheikh upon vizur Mashallah Allah akulipe
@azizimangara90243 жыл бұрын
Wamkamba?
@selestinfrancis5904 Жыл бұрын
Mungu akubariki Shekhe kwa hekima zako
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Haki Mungu yuko pamoja nawe Mungu wetu ni mmoja ubarikiwe sana
@najluq33663 жыл бұрын
Allahumma Aaamin Allah amlipe malipo yake stahiki na amtie nguvu mama yetu Samia aliongoze jahazi kwa uwezo wa Allah S.W Aaamin
@mwanaidimwachitumbo91113 жыл бұрын
Asalaam alaykum waarahmatullah wabarakaatuh, Alhamdhulilah wallah .. maashaallah tabarakallah Sheikh kishk Allah akupe uzima na afya na umri mrefu akupe subra na nguvu uweze kutupa mawaidha.. aamiin yarabby 🤲
@armsochatu81223 жыл бұрын
Ameen
@FatmaFatma-dy8pv3 жыл бұрын
Najikuta naumia moyo Sana kw haya maneno daaah Hata mm ilikuwa namuombea Allah ampe hidaya Magufuli kipindi Cha uhai wake matendo yake alikuwa anayafanya yalikuwa yanaumiza moyo wangu pale nikimfikiria kuwa Hana imani ya kweli daah alikuwa mtu wa ajabu Sana pia alikuwa kiongozi muadilifu sina la kusema ila Allah ndie anaejuwa zaidi yetu Allah amlaze panapomstahikia ila nikikumbuka nashindwa kuondowa maumivu ya moyo jinsi Shekhe ulivyomuelezea alivyokuwa Hana ubaguzi wa dini yetu na pia aliupa saport inaniuma Sana 💘😭 hatuwezi kumsahau
@emariusrush77043 жыл бұрын
Waislam sku hizi mnahukumu?? Dini yakweli anajua mwenyezi mungu pekee
@nasmamponde5737 Жыл бұрын
Huyu raisi wa sasa ni muislam ambae anaimani jee mbona hawakumbushi kumjuwa Mungu kama Magufuli
@AyshaHamza-yd7so Жыл бұрын
Vizuri ila hapo kwenye Imani ya kweli. Umeleta hadithi za halfu- olela. Imani yake ni ya wale waliopewa kitabu kabla ya Imani Yako na mmeambiwa muwafiate wawafundishe Sasa sijui ata kama Imani Yako unajijua vema?
@bikomboali28453 жыл бұрын
Masha Allah shekh Allah azidi kukupa nguvu ili uzidi kusimama kwenye membar....kuelimisha watu maana kuna binadam wanajivisha sifa ya allah kuhukumu binadam wenzao......cha msingi tukae chini...tujitathimini na sisi tulio bakia tutaondoka ktk hali gani na sifa gani.....Allah amuoke kiongozi wetu ktk sehemu anayo stahiki...
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Kwani coroan na sunnah zamutume habina maana ayo tamakufuli musiyajafili sana ata nyinyi hamujuwi anapokwenda ebu twambiye wamasukini wambinguni nikinanani ambao walikua funiani nimatajiri nyie hamujuwi nafsi zinakwenda wapi aca ivo sio muhukumu kwamaco yenu uyo amesoma chimi lazima atende wema anao uona nakutafuta vyeo vyamasauti
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Kaforinikafiritu ivi kadema marangapi yesu nimokozi nani Mungu kitukitakao aneishwa kuesabika sio sala? Atakayesalisga watu peponi dio MUTUME ebu angaliyeni kitabo cenu nayanao wausu iyo nikutafautiyana waesilamu wazama izi nihatari ivi tanzania mpaka sasa kakuna walokosa mi makufuli nilimupendeya tu ile kupatiya hakiyao waisilamu yamusikiti vinginevyo niwajibu wa kiongozi mwema
@florachogo243 Жыл бұрын
Sheikh unanikosha mawaidha yako ,msema ukweli mpenzi wa mungu, unasema ukweli hupindishi wa huogopi mtu uwe na afya njema ,kazi zako ziinuliwe
@sabrakhamis80703 жыл бұрын
Mashallah sheikh Kishiq Allah akubareeq uendeleze kazi ya mitume.Ameen Yaraby
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
🤲 Yaa Rabbal-aalamiin jaalia kheri na baraka tele ktk kipindihiki tunacho ongozwa na rais wetu Samia mjaalie atuongoze vizuri watu woote na umkinge na maadui wa nje na ndani ktk uongozi wake na umkinge na kila aina ya sharri ya ulicho kiumba kwa Rais wetu wa sasa na Mama yetu kipenzi Allahumma Aamiin 🙏
@telaamtauta22273 жыл бұрын
Amiin yarabby
@micky53573 жыл бұрын
Alikuwa anaonyesha upendo kwa kila mtu wala hakuwa na mipaka
@andraabdulla48983 жыл бұрын
Hhhh
@haikalali30953 жыл бұрын
Shukran sheikh kishki kwa manenoz mazuri ,didi bin adam hatuja uwezo wa kumuhukuma bin adam mwenzetu bali Allah Ndie Mueza wa kila kitu ,haikua hayati mzee magufuli kuwa muislamu vitendo bake vimewashinda waisalamu wenyewe kiongozi mwema sifa zisizo na kifani mtetezi wa wanyonge hakubagua muislamu wala asiekua muislamu bali ni kiongozi ,baba wa taifa lote na akatuachia mama wa kiislamu nae ni mama wa taifa la tanzania na simama wa waislam peke yake in sha Allah namuombea rais mama samia Ampe nguvu hekima uongozi mwema Allah Ampe afya na furaha na familia yake na watanzania wote amiin
@tiopherysanga29342 жыл бұрын
Mungu apumnguzie adhab ya kaburi mimi ni mkristo ila nilipenda sana kujenga misikiti mingi kuliko makanisa asanteh nawe shekh
@davidbakengwa34923 жыл бұрын
Allah akujaliye Dada uiongoze pia tanzania vizuri
@mahmoudjaffar1483 жыл бұрын
Allah amrehemu Maghufuli, allahuma arhamhu .
@abdallahsalum9839 Жыл бұрын
Allah akujalie baraka na umri mrefu insha Allah mwenyez mungu akujalie baraka insha AllH
@kittygirlarmy26513 жыл бұрын
Amiin summa amiin ya Rabi subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar
@habibamusa15203 жыл бұрын
Mashalla he was good person
@oparetionmaalum90302 жыл бұрын
Hutba nzito imenitoa machozi Allah mrehemu shekh kishk warehem waislamu warehemu viongozi wetu warehemu Tanzania wote Amin Amin 🤲🤲😭😭😭
@masumbukomaganga438 Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/a7uIos-mv963kZc.html MUINGILIANO KATI YA UISLAMU NA UKATOLIKI
@hakizimanajean77022 жыл бұрын
Hongera xna mtumishi wa Mungu Kishk. UKWELI UTASIMAMA DAIMA.
@UwesuUwesumohammed-sm5lh Жыл бұрын
Daah!huyu Mzee alikuwa mtu mmoja mwenye Imani like Islam mungu mlipe Kwa aliyoyafanya!!
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Sheikh Mungu akubariki sana🙏
@aishatwizerimana25053 жыл бұрын
Mash Allah shekh nundin
@hafsaramadaan99663 жыл бұрын
Shekhe Allah akuzidishie iMani
@timboxlee9192 жыл бұрын
Ameni ,Takbir ,mtumishi wa mungu kishiki,waliobaki ni mawakala wa shetani,, allah akupe maisha marefu Sana
@chrispinandrew506711 ай бұрын
Nakukubali sana kiongozi Mungu akubariki
@khamisikindungakhamisi5774 Жыл бұрын
aminn🤲🤲🤲🤲
@norbertlilungulu50183 жыл бұрын
Shee kisiki unaongea vizuri sana Japo unataadhalisha wenzako kwakuwa ni wepes sana kuhukumu binadamu WENZAO na kuwachukia wakristo, sasa huo ndio Upendo ambao sis tumeambiwa na Kristo Yesu kuwapenda watu wote bila kubagua
@devidsumaye53533 жыл бұрын
Ndungu zangu waislamu acheni mambo kunzungumzia udini hamn vita mbaya Kam kudini mm ni mkirsto lakin ukweli niseme tu sijawahi mdharau mtu kwa imani yake ila nawachukia wakirsto ambao ni walokole màan wanadanganya Sana watu na HV vitabu vya dini viliandikwa na binadamu jamn tuwe wamoja tu mungu wetu ni mmoja kama sisi ni binadamu bas aliyetuumba ni mungu tu mamb uislamu ukisto tuayaache kwenye imani ya kila mtu hamn anayejua yupi yuko sahihi yupi hayuko sahihi hiz din sisi tumeletewa na waarabu na wanzungu ila mungu kweli siyo dini ni imani yako kujuwa hiki ni kibaya na hiki ni kizuri mungu awe nasi allah hamdulillah
@geophreyponera4254 Жыл бұрын
Dini siyo kivuko Bali matendo yako
@muganyizibuzubona7160 Жыл бұрын
Mbona unaenda tofauti na maada yake sasa
@mamawawili40693 жыл бұрын
Wallah nakupend sana mzee wang nataman nionane na ww ht kwa dakika 5 maan unatoag vit ambavy vinaniingia sana kwa ubong wang
@telaamtauta22273 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭kwakweli magufuli hasahauliki maishani umeona mungu tupe subra
@dawaseif36993 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@amanaomar62323 жыл бұрын
Kweli kabxa
@charleskizo911 Жыл бұрын
Nimetokwa na chozi hakika kwa namna alivyomwelezea Magufuli. Ila siku zote muislam ni muislamu tu haachi asili yake ya kupenda wasio wa imani yake kwn kasisitiza kwa asiye muislamu kuna mipaka ya kimuombea dua limenifikirisha sana hili😭😭😭. Ila sijasikia Shehe akisisitiza mshikamano wa kitafa bila kubaguana kidini. Magufuli aliheshimu sana misingi ya dini Kiislamu na ndio maana hakuwahi kuvunja taratibu za kimsikiti ndani ya msikiti, Mungu amrehemu. Lengo la Magufuli kujenga misikiti na kuishi katika mioyo ya Waislamu ilihali ni Mkristo ni kutupa elimu kuwa Watanzania wote ni sawa, hatuna udini, hatuongozwi na udini. Mungu ibariki Tanzania, Mungu muongoze mama yetu Mh. Rais atuongoze vyema, Amen.
@marianamontoedi23333 жыл бұрын
Mungu amrehemu Raisi wetu
@kennethngoleka5173 жыл бұрын
Mimi ningeomba pia kupitia dini zetu mbili yaani waislamu na wakristo mashehe,mapadre,na maaskofu tuombe kwa mwenyezi Mungu wale wanaomgeuka wote na wasiopenda aliyoyafanya awaangamize wote.
@fowzosman32113 жыл бұрын
أللهم ءامين 🤲🤲🤲
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Allah atakulipa shekhe kishik
@salmamkeyenge23223 жыл бұрын
Jazakha Llah sheikh Kishk
@ismailidi8823 жыл бұрын
Asslaam aleikum Shukran Allah akujaze kher
@shirfadigubike7920 Жыл бұрын
Inalillah wainahililajiuna.mungu amtolehe azabu ya kabuli😭😭
@saleemsaleems34073 жыл бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun In sha Allah Tanzania itaendelea vizuri Jazaakum Allah khairan
@mumkmamymshindoh79393 жыл бұрын
Allahumma Aameen
@bmpondamussa36243 жыл бұрын
😭Subhana llah Allah atujalie mwisho mwema
@machiavelshakur89393 жыл бұрын
Umekufaa
@aishaaboud44063 жыл бұрын
Ameen thuma Ameen Alhamdulillah
@user-xg3hz4ti5b9 ай бұрын
TAFADHARI NAKUOMBA KAICHUKUE FOFU YA URAISI,, inshaallah Allah akufanyie wepesi ilifanikishe,, tumerudi nyuma 😢😢😢😢 kimaendeleo,, kiimani, kimaendeleo,, kimafanikio na wizi umerudi,, ona wamachinga, ona wakulima, ona sisi tunaojiita wafanyakazi iwe binafsi au serikalini 😢😢😢😢😢,, HII KAULI YA tumerogwa nanani inaumiza sana,, sana kiukweli
@SaitoMk3 жыл бұрын
Allah amlaze pema Amin🤗🤗😭😭🇪🇭🇪🇭
@emmanuelshausi33932 жыл бұрын
Mi napenda watu wanaosema ukweli, kuna watu wanajua dini hii inaleta faraja sana katika nchi yetu, mi nakupenda Shekhe umeonyesha uisilamu aisee
@zulbbylukina58333 жыл бұрын
Allah ampe kauli dhabit Allahuma Amiin Amiin Amiin🙏🙏🙏
@abdulkareemahmady59713 жыл бұрын
Shart ni imaan
@rehemaabdallah53063 жыл бұрын
Mh
@rahimaalbusaid14253 жыл бұрын
Kauli thabit Ni kwa muislam tu
@mamymdogomamy36703 жыл бұрын
Mwisho mutamuombea FIRAUN pia Allah amsamehe 😭😭
@rahimaalbusaid14253 жыл бұрын
@@mamymdogomamy3670 😂😂
@jumannemwakalinga2586 Жыл бұрын
Sheikh, umeongea Jambo jema sana kuwaunganisha Watanzania. Maneno yako yanatukumbusha jinsi Rais wetu Magufuli alivyojitoa kwetu bila ubaguzi wa dini. RIP JPM
@kijitamfyomi55983 жыл бұрын
Mama Samia ni mwerevu sana anajua kina nani wanamuombea dua ya kweli na kina nani wanataka kujipendekeza kwake maana hajawa kiongozi leo hata alipokua makamu wa raisi alikua ni kiongozi na alikua na majukumu mengi sana yakufanya ila hatujapatapo kusikia hao masheikh wakimuombea leo kawa rahisi utaona masheikh watakavyojitokeza kumuombea kwa kujipendekeza Ya Rabbi tujaalie ni wenye kujipendekeza kwako tu ameen
@vickykwimbere99043 жыл бұрын
Hongera sana shekhe!
@yasodishonest97923 жыл бұрын
Mashaallah Allah amlipe anayostaiki Magufuli
@producerkenn28073 жыл бұрын
Nimependezwa na mafunzo yako,mi ni kenn from kenya
@t.jsaidia20473 жыл бұрын
Shehe Tunakupenda sana.. Nakufuatilia sana... Shukrani kwa mawadha
@mams18923 жыл бұрын
Jazzakallahu khairan
@salimaslalaamalekumwardah13183 жыл бұрын
Allahuma Ameen yarabi alalamen
@jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын
Shekh Kishk wewe ni noma akika ni mtu wa Mungu. Mimi ni mkristo lakini nakukubali sanaaa
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Ata mimi na muombea kwa allah ampe malipo yanayo stahiki da angekuwa muslimu na aliyo yafanya leo angekuwa mwenye fahari ila ndo hivo hakumuamini Allah na mtume muhamad ila Allah ndio anajuwa haswa inshallah Allah atupe mwisho mwema kafanya mazuri haswa kwa waislamu leo ndo usiku wa kwanza kaburini wallah allah karim hata ufanye mema kama jabali lakini kama hukumuamini Allah na mtume wake utakua huna kitu wallah maana allah hapendi kushirikishwa na kitu chochote na ukimshirikisha na kitu chochote basi utakuwa kwenye khasara duniani na akhera Allah atupe pepo waislamu wote inshallah atupe pepo ya firdaus inshallah Allah karim
@albertdoherty93943 жыл бұрын
Allahumma Amiin
@alialamoudi97293 жыл бұрын
Nakonga asl mia kwa mia dada wangu kwa uslaam kama ulivosema mungu hapendi kumshiriki mungu atakusamehe kwa kila kitu ila alshirk NA mungu ni moja tu wala hana haja kusaidiwa
@khadeejaabdullah70833 жыл бұрын
Aamiin
@abuubakarsoud45883 жыл бұрын
Amiin
@dushmanabdul49293 жыл бұрын
Afwqn nikurekebishe kidogo, haifai kumwombea asiekua mwisilamu baada ya kifo yake, unaweza kumwombea hidaya kama Yuko hai kama alivyomwombea sheikh kishki, lakini Kwa hotuba yote hujasikia akimwombea baada ya kufa kwake
@fatmajuma72163 жыл бұрын
Nakupendaje wwe shekhe kishki mungu akujalie jannatul iwe makaz yako
@rahmakontomarahmakontoma3693 жыл бұрын
Masha Allah Mungu hasaidie Mama wetu Inshaallah.
@hemedymkala75663 жыл бұрын
Asante shee
@ramamambosupesupa37243 жыл бұрын
masha Allah
@kaundasutikaunda77693 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana.
@raheeamanzi33193 жыл бұрын
Allahumma amiin 🤲
@surayaali24703 жыл бұрын
Allahuma amiiin
@Ali-nl2du3 жыл бұрын
JPM alikuwa na akhlaaq nyingi za kiislamu. Nyengine hata sisi waislamu hatunazo. Natamani iwe ametoa shahada kabla ya kufa kwake. Allahu aalam.
@timetravellor53673 жыл бұрын
Allah akulipe la kheri
@user-xg3hz4ti5b9 ай бұрын
TAFADHARI NAKUOMBA KAICHUKUE FOMU YA URAISI,, inshaallah Allah akufanyie wepesi ilifanikishe,, tumerudi nyuma 😢😢😢😢 kimaendeleo,, kiimani, kimaendeleo,, kimafanikio na wizi umerudi,, ona wamachinga, ona wakulima, ona sisi tunaojiita wafanyakazi iwe binafsi au serikalini 😢😢😢😢😢,, HII KAULI YA tumerogwa nanani inaumiza 😮sana,, sana kiukweli
@shocknumbe56023 жыл бұрын
Mimi ni mcongo nakupongeaza sana tofauti na waziri mnafiki alionsaliti Ayati Rais Magufuli bungeni bila Ahibu yoyote nilazima alaaniwe
@vsounds15393 жыл бұрын
MIMI NI MKIRISTO.... ILA WEWE KISHK NAKUKUBALI SANA
@hawaheri58333 жыл бұрын
Alla akuongozo katika DINI ya haki
@J4UPro3 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@aisha0043 жыл бұрын
Magufuli Allah akusameh mapungufu yako na akulaze mahali pema peponi
@Almujdy.783 жыл бұрын
Kama una kubali karibu uingie kstika dini ya haki ya uislamu
@Almujdy.783 жыл бұрын
@@aisha004 ni haramu kumuombea kafiri kuingia peponi
@dotahamad66403 жыл бұрын
Amiin thuma amiin 🤲
@whiteAfrican833 жыл бұрын
Tunahitaji taifa la namna hii.sisi tuu wana wa Ibrahim
@albertdoherty93943 жыл бұрын
Allahumma Amiin thumma Amiin
@naturelle1097 Жыл бұрын
Rest in peace our President your legend lives on.
@shanishosho9113 жыл бұрын
Aamiin
@henryanatoly25223 жыл бұрын
Tanzania tunahutaji watu wa aina yk, yaan kiongoz anaekua na matamanio ya kuwaweka watu pamoja pacpo kujal imani zao. Mungu akuweke ktk salama yake tena ktk afya ya mwili na akili. Amina!
@yusufumahendeka2456 Жыл бұрын
Ameeen asante kwa kusema wema wake na ukweli tutaendelea kuusema wema wake sana