KUHUSU KIFO MANENO YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI | MANENO MAZITO KWA KIJAZI
Пікірлер: 717
@furahabeatrice20573 жыл бұрын
Pumzika kwa amani daima, tulikupenda sana baba. Ulale salama, MUNGU akupe pumziko njema ya milele 😭😭😭😭
@omarymalema87393 жыл бұрын
Umetuacha njia panda mpendwa baba yetu tutakukumbuka kila siku kwa mema uliyo tutendea Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
@peterchristopher35553 жыл бұрын
Aaaà
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuweke mahala pema peponi aaamin,na Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, aamina, Nilikupenda zaidi ya Sana
@elijahgichumbi99713 жыл бұрын
RIP Baba mpenzi Rais Magufuli. Wamekuondoa. Watajua tayari ulitunywesha maadili mema. Watajua mawazo yako tutayapeleka mbele.
@aishaarusha8944 ай бұрын
We naye nani alie muondoa mungu mwenyewe kamuitaji
@elijahgichumbi99714 ай бұрын
@@aishaarusha894 hatutabishana aisee
@abelahadi18383 жыл бұрын
Bwana tusaidie watanzania tunapita katika wakati mgumu sana ulitupatia ndg.yetu kipenzi ndg.Dr john Joseph pombe magufuli kuwa rais wa taifa hili teule la Tanzania lkn ghafla sana tukiwa tunamhitaji zaidi ndipo nawe umeamua kumtwaa ,Bwana ulitoa na umetwaa jina lako libarikiwe hakika wewe ni mungu hatuna cha kusema Amen.....
@geofreymfumbilwa26592 жыл бұрын
L
@geofreymfumbilwa26592 жыл бұрын
L
@anesiusrweikiza48503 жыл бұрын
Kifo ni fumbo kubwa sana,Mwenyezi Mungu tusaidie tuvuke salama kwenye hii dunia tunamuombea jpm apokelewe kwa amani huko mbinguni😭😭
Nawaomba Watanzania WOTE jueni Kama vile Rais Magufuli alivyo waambia jueni Raìs Magufuli aliweza kuwatendea mambo mengi mema, sio kwa ajili ya uwezo wake, bali kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Mkisahau Mwenyezi Mungu mtadidimia. Rais wenu amewaachia mfano mzuri wa vile kuendelea, mkianza kuwasikiza Wazungu mtapotea. Poleni familia na nyinyi nyote
@aairraahseif56483 жыл бұрын
It'is true,wakumbuke hilo sana
@meryanmwailakale6703 жыл бұрын
Watanzania baadhi wanafurahia sasa yabaadae hawajui, pumzika kwa AMANI Raisi wa wanyonge kazi umeifanya
@nectasummary12983 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu john Joseph magufuli maala pema peponi, tangulia mbele ya haki, ukaketi katika kiti cha enzi tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
@pacifiqueheri17673 жыл бұрын
Suja wa Africa île sauti hatutaisikiyaka tena, hongera kwa kazi ulifanyiya Tanzania na Africa kwa ujumla. Uko mufiya Africa
@augustinejohnnyakatoma85912 жыл бұрын
Sauti yenye mamlaka na mvuto. Iliyo mtaja Mungu KILA wakati
@abdulbora39613 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭ewe mwenyezi mungu nakuomba mpokee babaetu magufuli kwenye uzima wa milele amin.lala salama baba🙏🙏
@mariamuhussein14073 жыл бұрын
Pumzka salama raisi wetu tulikupenda Sana Ila mwenyeezmungu amekupenda Zaid mungu akjlaze mahali pema peponiii
@tiffahkidoti89543 жыл бұрын
Allah ailaze Roho ya Hayati JPM mahala pema peponi kwa huruma na wingi wa REHEMA zake. Amin
@benjaminmakega44322 жыл бұрын
Makegz
@jacklinejosam3713 Жыл бұрын
Ila webaba tupate wapi mtu kama wewe magufuli jamani?
@uwasemaureenangel4773 жыл бұрын
RIP magufuri. Hatutokusahau kamwe. Wewe urikuwa shujaa na mukakamavu pia na mapenzi kwa Tanzania.
@amanimwidowe46323 жыл бұрын
NI ngumu kuelewa hata kuamini kumbe hata msiba wa kijazi ulikuwa hata huumwi Nini kimeingia hapa kati kati rais wangu hii Dunia iniambie bas wapi inatupeleka angalau nijue maana imetubeba basi iniambie inamaana Mungu ndy alikupenda Zaid magu 😭😭😭😭 Mungu huna hasira wewe unajua mengi kuliko tujuavyo Pumzika kwa Amani Magufuli.
@juliethhope72813 жыл бұрын
Naumiaaaaa jmn 😭😭😭
@juliethhope72813 жыл бұрын
Amen
@rashidymhina8242 жыл бұрын
Tanzania tunakumis Sana baba yetu. Kila nikisikia sauti yako ninafarijika. Rest in peace MAGUFULI.
@matridafamatwi87812 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@jairosjulius9447 Жыл бұрын
P
@bebisheni43803 жыл бұрын
Baba magufuli baba umetacha nimeumia mimi baba namuomba mwenyezi mungu akuweke mahala pema
@rosenelima86183 жыл бұрын
Rip shujaa wa Africa,😭😭😭😭mungu akulaze mahala pema raisi mpendwa😭😭😭😭😭😭😭
@juliethhope72813 жыл бұрын
Jmniii kamfata rafik yake.alimpenda sana mwenzie..inaumiza mno jmn😷😭😭😭
@theo-xc3rz3 жыл бұрын
Huna doa baba pumzika kwa amani mwenyez mungu atawaadhibu mmoja mmja walioamua kutuzimia shujaa wetu wew ni kiongoz bado hadi sahv sjaoona wakukufikia.Baba we pumzk me napitia tu speech zako naon bdo unaongz nchi
@lydianyamoma38663 жыл бұрын
😭😭😭pumzika baba umelala magufuli Mungu akulipe sawasawa na matendo yako, usamehewe dhambi za sirini na hadharani 🙏
@rahmanguzo92702 жыл бұрын
Rahma
@rahmanguzo92702 жыл бұрын
Rahma
@mankamushi45882 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele baba Mimi nakukumbuka kila inapoitwa leo .na nitakukumbuka na kukuombea kila siku
@jessicastephano59743 жыл бұрын
Rais John pombe magufuli. Shujaa wetu mtoto wa Africa mpambanaji asie teteleka pumzika kwa Amani Baba yangu mpendwa nilikupenda sana,
@ustzhadilimuhamadi30283 жыл бұрын
Amen mungu amlaze mapema
@jacklinjosam55662 жыл бұрын
Dah kamaunaishi vile, ila wewenishujaatuuu halitapingikahilo, rest in peace our Dady
@jessicarasigu22203 жыл бұрын
Mlio muuwa magufuli,machozi ya WATANZANA wanyonge 😭 😭😭😭 na Africa kwa ujumla imewalaani wote waliousika na kifo chake JPM wetu make bado tunamlilia tu sana, naamini hanna Amani miyoni mwenu,
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Nawao watakufa tena vibaya
@williumjackob83612 жыл бұрын
Hakika hatutaacha kumlilia kwamwe na mungu awape adhab isiyo na mwisho
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Unao ushahidi au unakurupuka
@amanmyolo5359 Жыл бұрын
Mungu anawaona na hawana amani na mungu wameachana njia wenyewe kwa wenyewe mungu ni mwema
@user-io1lt7my4i8 ай бұрын
Sasa walanchi wamefulahi na wanakula tuu nchi inasikitisha😭😭😭
@mwanzashinyanga80603 жыл бұрын
kweli kizuri hakidumu daah 🙏🙏🙏
@rhodahleopord25813 жыл бұрын
kweli😭😭😭
@marthagwelino18973 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana rais wetu
@Pen9602 жыл бұрын
Yani hapa mzee alikua anaonesha kujikaza kabisa!!! Hata sura ilishaanza kubadilika. He was a best leader!
@williamkirway46202 жыл бұрын
Ukweli,uvumilivu,ukarimu,unyenyekevu ni vipaji kutoka kwa mungu,havifundishwi shuleni,bali vyote vya toka Kwa mungu tuvipokee Kwa furaha kwani hata mazuri mbona twashukuru,hata magumu na mabaya tusimchukie mungu,bali tumshukuru.
@sarahnzwala53152 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko lanmilele mbinguni raha ya milele umpe ebwana 🤲 na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amin 🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️🙏🙏🙏❤️🤍
@vumilialeonardi1093 жыл бұрын
Kweri Rais magufuri uliamua kutufia watanzania
@annamtapila57613 жыл бұрын
Ahsante baba kwa kututia nguvu na moyo wa maombi. Pumzika kwa amani baba.
@robertnyandwaro80402 жыл бұрын
This Man, president JPM, a man of the people. An exceptional leader. This world is not our permanent home for sure. Am a Kenyan citizen but i loved the type of a leader he was.....
@edwardouma16302 жыл бұрын
Mungu aibariki Tanzania na watto wa Tanzania 🇹🇿 by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya
@dianamahendekamahendeka13442 жыл бұрын
Dar nashindwa niangalieje naishia kulia maana hapa ulikua umebajiwa na siku chache sana 😭😭😭😭😭😭😭
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@rwenenahomechannel16342 жыл бұрын
I really like your comment brother.
@mutijimacedrick16222 жыл бұрын
in this generation ,no one like him....African hero...we miss prophet ....been killed by big men of this world criminals
@simonedward2442 жыл бұрын
I real love president
@mashambosheby20632 жыл бұрын
@@mutijimacedrick1622 💯
@jeanbaptistetwizerimana3149 Жыл бұрын
House yyhhgguuuu;; uo3se,08inpnbhubn?❤v❤❤😢tyuyuu1uujllsdaaasqqhbhhefyipo9umiuui😂àuuykoàatà k 1bbhjaslllkkfyuv ❤,
@marrymenas3 жыл бұрын
Hapo ni yy alikuwa akiongea lakini kwa nguvu za roho mtakatifu alimshukia kimiujiza bila hata yy kujua...Tutakukumbuka daima Baba 💔🙏
@berthambizo46466 ай бұрын
Baba alikua mnyenyekevu huyu Daaaa...Mungu ampe pumziko la Milele Dr John Pombe Josephu Magufuli
@mimimoop26173 жыл бұрын
Pumnzika kwa amani magufuli wetu daima tutakukumbuka amina
@user-rn3fk1kd3f8 ай бұрын
Tumekukumbuka sana
@lucymumbimuriithi14163 жыл бұрын
😭😭😭😭😭huyu prezo alikuwa shujaaa RIP
@iminzaiminza58133 жыл бұрын
Hakuna president aliyekuwa akisema ukweli Na kumcha Mungu kama wewe Mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭I can't stop my tears😭😭😭😭🇰🇪😭😭😭
@mankamushi45882 жыл бұрын
Asante mungu kwa zawadi ya huyu baba najua ulimleta hapa duniani ukatuonyesha mazuri yake baba kidogo ukamchukua.🙏 Asante kwa zawadi za huyu baba.
@rosaliebati84933 жыл бұрын
Quel sagesse Mr le Président, t'es unique,lala salama
@benjaminsamuel46413 жыл бұрын
We 'll never forget you.may God Rest in peace, bodly we're not together but spiritually we shall meet.MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI BYE BYE.umetuacha ktk majonzi na simanzi kubwa jemedali wetu.
@alimdoe83073 жыл бұрын
R.I.P,Jpm!! Hakika nchi imeumia sana!! Sasa hivi tuko na makamu wako,haya!!
@EvalistChriss-fk8yj9 ай бұрын
Habari nzuri sana kwa kunisikiliza na kujua BY WU&YTCNEWS
Nikama ndoto naota, kama nawaona wapiga pesa wanavyosherekea
@user-bf3hc6we7j3 жыл бұрын
acha tu nawao ila wakubuke kuwa wataziacha tu zina mwisho
@kulwammbwambwa40893 жыл бұрын
Mwenyezi mungu mpokee mwanao
@PantaleoBundala-tl2kd9 ай бұрын
Hakika tulipoteza hazina kubwa sana hizi za Taifa. Mungu awape pumziko la milele........Amina
@joycephillip89263 жыл бұрын
Mungu wewe ni mwanzo na mwisho wetu ,pumzika kwa amani baba yetu kipenzi,safari yako baba ilianzia hapa kwa muonekano wa huzuni kubwa inayojidhirisha usoni
@nurukiingu90123 жыл бұрын
Kwawale wajuzi tu.
@chakiraibrahima17512 жыл бұрын
Nimehupenda sana
@user-ot4uk1rz5i16 күн бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wetu tunakukumbuka mungu ailaze roho yako mahali pema peponi AMINA.
@user-sc8un9qh3t8 ай бұрын
Mungu akupe wepesi ktk safar yako baba
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
The most clever leader in Tanzania and Africa time running out R.I.P Magufulification of Africa.
@paulmkimani61342 жыл бұрын
Asante kwa Imani kwa Mwenyenzi Mungu! Lala pema Mhe Rai's.
@user-nl8ej7le2c8 ай бұрын
Tu étais un président exemplaires
@wilhelminajob3581 Жыл бұрын
Life has never been the same since you left us Tanzanians
@faithmbeyela95532 жыл бұрын
Mawazo na maneno yako yanaishi nasi Kila siku upumzike kwa Aman tulikupenda sana rais wetu, tumekumisi mno
@user-fq2xj9nt3g9 ай бұрын
Uncle magu jamani katuacha wanyonge mungu akulaze mahala pema peponi umecha historia ya milele
@okunguisaiah44623 жыл бұрын
R.i.p rais wherever happened on earth also in heaven people love you not only in Tanzania but also in other countries the love you show to your people also will be shown in heaven that the meaning of God's prayer whom Jesus Christ tought his disciples God accepted you same as people accepted you allover the world R.i.p till we meet again in glorious God amen
@reginampigachai85373 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 hatuna jinsi mwenyezi mungu akulaze mahali pema peponi
@uwishyakanduwe15623 жыл бұрын
Amen
@paulnjenga30693 жыл бұрын
Hongera mpendwa hayati raisi Magufuri
@IgurusikwetuPAZULI Жыл бұрын
@@paulnjenga3069 mungu yu
@IgurusikwetuPAZULI Жыл бұрын
@@paulnjenga3069 Arikuwa mwambà
@JoyceMwita-vm3pv Жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini nmlilia Mzee John pm magufuri namuombea mungu ailaze roho yake pema pazuri naitwa chacha mwita kutoka Kenya county ya migori
@joycemwandola48263 жыл бұрын
R.I.p.baba kweli umeniuma we baba
@trissateddy99092 жыл бұрын
May your soul Continue to resting in eternal life...🙏🙏😔😭😭😭😭
@shukurunongele14103 жыл бұрын
Safi sana kwa kumbumbu hii
@KiyumbiEmmanuel-zc4hv6 ай бұрын
Tulikupenda sana lakin mungu kukupenda zaid R.I.P our best leader ever JPM we still ❤❤❤❤ you
@SimonKitaly9 ай бұрын
Mungu sio dhalimu..
@sophiamapunda90542 жыл бұрын
Pamoja sana, hongera kwa lasi nzuri. tutakukumbuka baba yetu mpendwa.!
@user-yh3oo7yt3h8 ай бұрын
Mpunzika Kwa amani rais wetu magufuli
@ngasikajoel95763 жыл бұрын
This was the Man of the people truly...rest in peace late Magufuli
@shabaninjenge28522 жыл бұрын
We can't forget you,RIP Mh.Magufuli.
@veronicathomasmlay2456 Жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba magufuli daima tutakukumbuka
@user-ys7li6cg7l4 ай бұрын
Kiongozi mwenye bidii na mchapa kazi poleni sana ndugu zetu wa tz mungu awarehemu sana na ailaze roho yake mahala pema kule aendako Amen.
@lydiagray33232 жыл бұрын
Ntakupenda daima baba angu mungu akulaze mahali pema peponi 🙏🙏🙏🙏🙏
Eee mwenyez mungu ilazeroho ya rais wangu mahala pena peponi amina
@Myboy_10328 ай бұрын
Daima tutakukumbuka😢😢😢😢
@user-iv4eg1cv2f10 ай бұрын
Ni muwazi sana uyu baba
@user-wq8th9jv8e9 ай бұрын
Mungu akulaze pema pepon makufur
@charlessymussa4460 Жыл бұрын
Hata mimi naungana na ninyi kumukumbuka kila nikisikia Sauti yake mungu amuweke mahala pema peonies aminaa R.PJ
@davidbiashara2593 жыл бұрын
Dar bado siamini jamani sijui tulieje mungu mpokee baba yetu
@gideonsupeetgideonsupeet87932 жыл бұрын
Rest in peace BABA...tutakukumbuka milele
@faustineathanas83112 жыл бұрын
Rest in peace Dady Dr John Pombe Magufuli, Tanzania missed you 😭😭😭😭
@richardhonomou37433 жыл бұрын
Rip Dady we love you from guinea Conakry 😭😭😭😭😭😭😭
@janethmabwila33513 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima baba yetu wa nchi
@teddymwageni17633 жыл бұрын
Physical appearance yake hapo bado anaonyesha Hana uchangamfu wa siku zote,Mungu alimjua toka tumboni mama yake
@jumamstapha95587 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢 dah umetisha bro sanaaaaa mana bado anaishi myoyoni mwetu daima 😭😭😭😭😭
@user-dv4xl2fn1t9 ай бұрын
Le président John Pombe Magufuli a marqué toute l'Afrique en général,et en particulier la Tanzanie,pays qu'il a dirigé pendant plus ou moins cinq à six ans
@hesbonombati99915 ай бұрын
Hakika huyu ni rais aliyempenda Mungu kweli, ndugu zetu watanzania walipoteza kinyozi mkuu kweli