Bango Kubwa Hemedy PHD amekutana na Jonijooo kwenye THE BARTENDER zimepigwa story nyingi na ukweli aliotakiwa kuongea .......... . POWERED BY : @pepsi_tz . . Cc : @grillhouse_daressalaam #TheBarTender #Jonijooo #WTVTheBarTender.
Пікірлер: 371
@franspaul34144 жыл бұрын
Anae mkubal jonijoo gonga like tujuane
@queen.christelle14 жыл бұрын
Zamani sio kwasasa zilipendwa
@nurochaibo65224 жыл бұрын
Frans Paul ok
@OmariKingwala3 жыл бұрын
Pamoja
@talyburnfaya40924 жыл бұрын
Well informed Lad Hemedy yuko vizuri Jonijoo kejeli zime backfire leo Swali limeulizwa kiutaalamu sana na jonijoo akawekwa mahali pake.
@bombatv79444 жыл бұрын
😂😂😂😂 Nimecheka kifala
@fatnahsaleh8604 жыл бұрын
HEMED wewe noma😘, Joni Joooooo big up show ni lit ✌
@sethny1124 жыл бұрын
One of the best interviews I ever watched, big up sana Jonijooo n PHD
@officialmpemba19524 жыл бұрын
Kuna mademu wanaskia huu utumbo wa hemedy lakin wataendelea kujipeleka kwa hemedy
@sismnfamily34264 жыл бұрын
Ulitaka waje kwako mpemba?🤔🤔🤔
@officialmpemba19524 жыл бұрын
Waje tu sio mbaya
@khamisfaki46404 жыл бұрын
Wanafuata color white halaf mpemba mwenzio hyo inavyoonekanwa
@officialmpemba19524 жыл бұрын
@@khamisfaki4640 dah ukiwa na rang bhna ht uspokuwa na pesa fulesh tu
@zuwenakabwe10174 жыл бұрын
Si wasenge
@ramadhanihudhaifani43764 жыл бұрын
Hemedi bhana...😀💪🤛 Ila punguza hizo "Bro" brother.Nimejaribu kuzihesabu nikaishia njian! Duh....😁😁🙌🙌🙌
@jamessara38084 жыл бұрын
Jonijoo huku umetulia💪💯✔️
@newbwejuu43024 жыл бұрын
Huwezi gombana na mtu kwa Mil. 800, 900 wewe, pesa ndogo Sana!! Kizazi jeuri.
@kriskarim204 жыл бұрын
this dude is so proud 6 feet under is all for us
@carlitacelestino88664 жыл бұрын
Nakupenda bure wagina🇲🇿
@MS.independent89344 жыл бұрын
jonijooo hii it's 🔥i ♥️ hii kituu ubunifuu mzuri sn💪
@yussufdjroo14464 жыл бұрын
Mariam Songoro umehusu Zanzibar
@twalib094 жыл бұрын
Wa kwanza leo jonijoooooo
@barakayohana60214 жыл бұрын
Jaman nikiingia You tube,huwaga namtafuta Jonijoo katuletea na nani,nilivomuona Hemed PH nikafurah
@leonardhaule5394 жыл бұрын
Mtafute salama
@KA-yz2ld4 жыл бұрын
asilimia nyingi ya wanaume walio kulia around good female role models huwa wanaheshimu wanawake... Mtu yoyote anapo kuwa haji heshim basi huwa anaropokwa na maneno ya ujinga... Asa kulala na dada au girlfriend alafu unaji big up is like your greatest achievement... Sorry i don't mean to say this to hurt anybody’s feelings but i want to add kwamba Hemedi ni mshamba big time... People who got themselves together don't talk like you... Kuto kuwa na ustarabu is soo not 2020, upgrade...
@ramadhanihudhaifani43764 жыл бұрын
Well said! I second you.🤝
@emidahayoub88494 жыл бұрын
True
@samiraabdimahamed44494 жыл бұрын
K A so true bro
@khamisfaki46404 жыл бұрын
And me too i take your hand brother
@MightyLumber4 жыл бұрын
Huyu dogo ni mshamba tena sana tu. Yaani mjinga kupindukia!
@Ng_muscat4 жыл бұрын
Jamaa huyo anathalilisha sana wanawake kwann ss wanaume hatuwezi ku face mtu bila kumtukania mzazi au dada yani uka mface yeye Kama yeye kiume wengi wenu hamuwezi ila one love ya kibabe joninjooo
@slayingtee60444 жыл бұрын
Kweli ulichosema
@mohamedally3424 жыл бұрын
@@slayingtee6044 Umeona watu wenye akili zao wanakoment vitu vya maana ila wewe ungekua unatukana tu hapa
@godfreysolohmon10884 жыл бұрын
Nakubali mzee fastaaa umeiondoa hiyo kopo la redbull
@ismisalmu70584 жыл бұрын
Nakubali kaka jonijo
@slayingtee60444 жыл бұрын
Kumbuka Corona virus ni janga la dunia. 1.Osha mikono na sabuni endapo utashika vitu au watu pia tumia sanitaiza 2.Vaa maski ukiwa kwenye msongo wa watu wengi 3.Zuia mikutano ya watu wengi kama si lazima wakati huo
@khamisfaki46404 жыл бұрын
Ss mm nataka kusex na demu wangu inakuaje nivae mask na glaves
@ahmedmahamudu41404 жыл бұрын
@@khamisfaki4640 umeelewa ila una jifanya mwehu tu
@emmanuelnangi86614 жыл бұрын
Gud sound
@benwayneofficiall14554 жыл бұрын
Kweli kabs
@wilyjulius46794 жыл бұрын
Nakubalibakubali jonijooooo
@elidadinyalemaelidadinyale36864 жыл бұрын
Hemed mi nakupendea kitu kimoja,,,,huaga hufichi jambo nikuongea tu
@snagmann79954 жыл бұрын
Bonge la show , big up sana .. Sasa mmejipangaje na corona.. Naona mwakiuka masharti.. othr wise show imetulia.
@Basagamp44 жыл бұрын
Hahhah Daah Hemedy bwaaana Naenjoy Mahojiano yenu
@uwimanaalia94504 жыл бұрын
mi nampend Jonijo Baba ako❤️
@solomwana6834 жыл бұрын
Nakubalii jonijoo📌
@khatibumanyanya6504 жыл бұрын
Solo Mwana 0
@jumamnyoka69314 жыл бұрын
nakubali mzee wangu jonijoo
@amanimakovya22284 жыл бұрын
Bango ni kubwa bango limeng'aa mzee wangu
@jayculture77444 жыл бұрын
oya wa wakumi na tano 15 leo nimewai na mim like zang bc jamn dah
@dicksoniaidani38224 жыл бұрын
Akili kubwa mzee Jonijoo naona umekataa kuwapa mashavu red bull naona umemimina kinywaji fasta 😁😁😁😁
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Nakubalee jonijooo😂😂😂😂😂😂Hemed nakupendaga bure we mwehu😂😂😂😂
@queen.christelle14 жыл бұрын
Jasminy iddy Sulaiman Mimi simukubali hata kidogo zilipendwa nilikua namkubali zamani lakini kwasa zilipendwa
@junioroloo57523 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishaasumany5613 жыл бұрын
@@queen.christelle1 sisi twampenda mbondei wetu huyu
@pastorheri7154 жыл бұрын
Kwenye kujibu umeua sana Hemedy
@emmanuelgabagendi31694 жыл бұрын
Hiki kijwaji mbona hakiish bro au ndio hivyo tena
@husseinyusuph54584 жыл бұрын
Yuko vzur broo HD kwenye kujibu
@patrickwetu76514 жыл бұрын
He is my favorite Hemedi
@beataadam84414 жыл бұрын
Jonijo upo vizur yaani hii enterview ya hemedi ni bomba balaa
@mudybestmusic38894 жыл бұрын
wasafiiiiiii jonijo nakuelewa mzee
@azizi.j.hamisi23054 жыл бұрын
Daaah Yani kitambo Sana namkubali PhD tangu nipo skonga mpaka now huyu ni king of love but akiwa ndani ya movie
@ramamanyama29444 жыл бұрын
Wp likes za jonijoooooo mnyamaa
@giftmtemi10494 жыл бұрын
Jonijoooooo nakukubali kinyama lop u✌
@jestinakanji81684 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😁😁nachokupendee unaongeaga ukweli
@chugztz62044 жыл бұрын
Hahahaha nakubali sana mzee hemed
@khadijahussen57234 жыл бұрын
😂😂😂😂 broo unimecheka mapaka bac🗣🗣🗣🗣 nina 6x pack ni nakiboxsa then vyombo vina cheza cheza 😍😍😍😘😘😅😅😅😂😂😂🤣🤣
@iddyshabani59424 жыл бұрын
Gigy, Amber lulu ?? Hapo nikaushie 😂😂😂😂
@joleenmasha4 жыл бұрын
Hemed kwa kujisivu
@simonmashenene69674 жыл бұрын
Nakubali brooooo
@jaclecia32794 жыл бұрын
Phd ametisha sana ndo celebrity ambay hajakosa swal hata moja
@brosataasisi46294 жыл бұрын
Tafuta ya Nikki Mbishi Genius utakaa kimya
@faithdaniel56524 жыл бұрын
😂😂😂😂 huyo ndio mkwe wangu
@wilsonmaduhu60134 жыл бұрын
Nakubalii....
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Kipind kizur sana hiki😉. JONIJO🔥😉
@maiissamuhammad52044 жыл бұрын
Jamani humenifraisha san
@calvinpaul21714 жыл бұрын
Ur beautifully
@daaluutvonline59364 жыл бұрын
Hata ww mzuri
@andreab70634 жыл бұрын
babaako🔥🔥🔥🔥
@sunpaul214 жыл бұрын
Lini utamfanyia nahrel interview
@shivobeats87214 жыл бұрын
Sun paul Hemedy kalewa
@gullaalex65904 жыл бұрын
😂😂😂Jaman bango Lazim lig'ae
@georgendove60584 жыл бұрын
Tunaxhukur kwa kutujuza mambo ambayo hatuyajui kabla ya kuanza interview
@hancembogella4 жыл бұрын
Hahaaaa phd noma wanyoshe tu watot wazur
@admiralaggrey60944 жыл бұрын
Yule demu wa afro mrudishe apo kwenye show ndo huwa pananoga.. sio mwamba uyo anazurura tu hana vionjo
@godfreywilliam93684 жыл бұрын
One of de best show🔥🔥❤️💪💪
@shakeepereiler77164 жыл бұрын
et afu mm handsome boy siwez ingilia nipigwe uso wang biashara
@mabeekeniya97104 жыл бұрын
Uko sawa hemedy Penda
@danfordmwingira85124 жыл бұрын
Namkubali PHD aisee... kwa smart bwoy yeyote lazma umuelew huyu mtu but yuko real saana na smart sana vipaji vingi mno!!!.. sana mwamba
@njikumkenji36764 жыл бұрын
On point
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
jonijo ee wahuni wanakuomba utoke kwenye block89 wanakufinya uonekani, kaa umu the bar teander
@edgarkingulinguli23104 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka
@jamilaomar98604 жыл бұрын
😁😁😁😁hii nomaa
@maimarypro4 жыл бұрын
nakubali
@benwayneofficiall14554 жыл бұрын
Hemedi namuelewa Sana
@budahman29084 жыл бұрын
Karne ya pili kulikua na existence ya nchi kama china....... Jonijo uwe unatupa source ya info zako hizo kwenye descriptions
@silasilazaro00744 жыл бұрын
bora wewe umesema unapiga kitaulo kuliko wengine wanakataa huku wanafanya
@ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын
😅😅😅Hemed enterviuw zako big up furaha kwenda mbele LIKE
@esboemsafi75704 жыл бұрын
Nakubali phd
@hbdbrown70204 жыл бұрын
Big up broe p.hd ninowmah!!
@getrudakulaya54954 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ila hemedy sifa ztamuua jaman khaaa
@lareineminah13534 жыл бұрын
Tuna thoo Tuna thoo Alafu tuna shyaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@issambassa99864 жыл бұрын
🤣🤣🤣hemedy nakukubali xna
@incridibleminds34724 жыл бұрын
the bar tender on fire...
@abdilahyahya30304 жыл бұрын
Yap ndio
@jujufitnessvlogs76944 жыл бұрын
😂😂Hemedy 🙌🏾
@babaajnaty86294 жыл бұрын
Dah Hemed mjing kwl ety kw wasichan wazr tun duuu duuuu duuu kish tun rukaaaa😂😂😂
@ismailabdulrahman72164 жыл бұрын
Unajisifu kugonga madada zao ..wako unawagonga Mwenyewe?
@twalib094 жыл бұрын
Wacha Corona iishe kwa uwezo wa mungu nije nitembee huko
@marinamooh40554 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Hemed Shikamoo 🤣🤣🤣🤣🙌
@pulkeriacrisent36264 жыл бұрын
Uyu jamaa na wolper nawaelewa mno😂😂😂yan kama kuna some characters wanaendana wanafurahisha sanaaaaa💖
@safarikikaadrien1084 жыл бұрын
Eti mujomba kabaki katikati 🤣🤣,irene kaenda uku ww ukapita uku
@Bensonfrank254 жыл бұрын
FUNNYYYY GUYY
@therealmsopa4 жыл бұрын
Six pack ambition thats a dream bro 😂🔥
@junioroloo57523 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@idrissaabubabakar57874 жыл бұрын
Frernando papii karito
@wilsonthomas71744 жыл бұрын
Morientes
@nemaodhiambo72744 жыл бұрын
Fernando, Carlito, Alejandro, Enrique, Rodrigue Romeo, papi, quique, Pancho Pablo, Saulo,😂😂 Bueno y ahora que hermoso?
@pendondossy21583 жыл бұрын
@@nemaodhiambo7274 😹😹😹😹😹ndooroobooo
@carolinemremi54784 жыл бұрын
HB HEMED,,,,,,,, Nakubali sanaaaaaa❤
@simeonfrancis96304 жыл бұрын
nikubali basi na mimi
@carolinemremi54784 жыл бұрын
@@simeonfrancis9630 nikupeleke wap?
@ezekielmanyesela38464 жыл бұрын
@@carolinemremi5478 hahahaaaaaa
@methodmathias13154 жыл бұрын
Jonijoo umetisha, nakubali!!!!
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Bando lmewaka TAA 🚦 Jonijoo
@momadeauale27654 жыл бұрын
Hemedy bwana"eti uso wangu biashara"
@heletuuabdalla94344 жыл бұрын
Hahahahahahahah huyu mtu daahhh hemed bora bass broo
@fahadfahmy4 жыл бұрын
Natizama kipindi sana tu lakini bado sijamuona aliekunywa Juisi kama Mkude simba.
@idrisatv55404 жыл бұрын
Mkude nyoko kanipigia vikombe 6
@neemafrank71284 жыл бұрын
Ahahahah
@aloycemyovela25214 жыл бұрын
Mleteniiiii MR BLUE BYSER BHANA
@blackpanther48254 жыл бұрын
Wabondei huwa wazuri sana kama akina Antonio Nugaz
@bensonthobias84014 жыл бұрын
Jonijo anajua
@kareemclassic4624 жыл бұрын
Appreciate the show
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Bhana bhana nyingi ujue badili tumia lugha fasaha duuuuuh
@kelvinfidelis56324 жыл бұрын
Yes
@lazarogabrielmalinjanga94954 жыл бұрын
Bangoo limewaka taa mwaaaaaa
@alistidiusjohnkaroly67364 жыл бұрын
PHD nakubali bonge la point
@benjagabril99943 жыл бұрын
Jonijo upo juu bro uwa upotez mzeee
@hajiabdalla57724 жыл бұрын
Muislam anatakiwa ajisifu kwa wema wewe unajigamba kwa maovu ila usije ukajutia mwehu kweli sio mwanamme shabab mana mambo yako hunatafaut na akina mama . Kutia wanawake hata mashoga hufikia siku na wao hufanya
@kassammwalo56634 жыл бұрын
Watoto 6 kila mtu na mamake😂😂😂😂😂😂😂
@zabibunduwimana46124 жыл бұрын
Hemed mbona Bro ziko mengi😂😂😂Jonijoo leo umehulizwa swali ukashindwa😂😂😂