Hiyo ya mwisho mm naijua inasadia kweli naitumiaga mm 10000%
@abdulrahmanngaluma37685 жыл бұрын
Sheikh punguza viapo ..... Riziki hugawa Allah mtukufu
@nafesamohamed75535 жыл бұрын
MashaAllah jazakAllah kheri
@rashidabeid1725 жыл бұрын
Shukran sheikh ila tutajie bei zake tafadhali
@awazyhamisiawazyhamisi41093 жыл бұрын
Mashaallh allh akulike kila lakheli pia ukuzidishie umli mlefu akujalie mwisho mwema alahumm amin
@jasminali59214 жыл бұрын
Jazakallahu kher shekh
@omanseeb86095 жыл бұрын
Shukran shekh
@priencedamdoek5085 жыл бұрын
Somo zuri sana ubarikiwe shekhe 🙏
@ustadhmusa27365 жыл бұрын
Shukrani sheikh michael Dawa tutapataje waliopo kongo lubumbashi
@sumaiahamimu67054 жыл бұрын
Asalam waalaykum warhama tullah wabarakatuh. Mimi nayitwa Safia hamim. SHEIKH shukran kwa kutupa tiba ila fimbo yambali ayiuwi nyoka SHEIKH. Izo dawa ziko mbali yangu
@swalehesalim1384 жыл бұрын
Reohii ninaimani watajitokeza wafanye biashara wakila aina mungu akulinde sana kka ninaimani atafungua mirango yako yakheri
@abdallahhadaika21315 жыл бұрын
Mashaallah shukran sheikh
@nadiabakary14664 жыл бұрын
Asante Ustadh Allah akubarik
@asiaissa9765 жыл бұрын
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
@abibumubaraka52495 жыл бұрын
Mawayida yakoni muzuri sana
@admakoga18713 жыл бұрын
Maalimu
@latifahassan60245 жыл бұрын
Mashallah shukran Sana naomba maelekezo pakuzipata nahitaji tafadhal
@alimussa26555 жыл бұрын
Shehe mw mungu akuweke inshallh
@mimitijara48065 жыл бұрын
jazzakallah kheri nitaipataje hii dawa shukurun sheikh
@hadijangina70254 жыл бұрын
masha Allah Barak Allah
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
masha Allah
@omaryissa39655 жыл бұрын
Shekh; Embu jitahidi kuwajibu wale wenye shida na hizo dawa Kumbuka umeweka biashara na unahitaji wateja sasa mbona unadharau wateja Kumbuka ukweli wako juu ya Mwenyez Mungu Umesema popote mtu alipo ataipata na ndomana watu wanaihitaji hiyo dawa.
@issakatety35353 жыл бұрын
Omary Issa kama utazipiga hizo namba basi hakika utasaidiwa haraka shida yako mimi ni shahidi kaka kujibu comment zote hawezi
@rkenea42625 жыл бұрын
Shukran sana
@muhamadhalimah50445 жыл бұрын
Masha Allah Tabaraka Allah sheikh...Jazzakallahu kheir...In sha Allah nitaitajia izo dawa 2 ulizozielezea lkn cjui ni pesa ngapi...Pia naitajika kukuona palipo majaaliwa January nna Binamu yangu ana tatizo la ki mashetani niseme. Ucku ana jipata anapigana na kujiuma ulini kwa dharubu bila kufahamu akiamka kicha cha muuma sanaa ulimi wote vidonda hawezi kula..mara huanguka na kupoteza fahamu nikuona in box in sha Allah sheikh ili tuone vipi utanishuri juu ya tatizo hili
@BinMowlana3 жыл бұрын
Assalamu Aleykum warahmatulah wabarakat. Ninahitaji hiyo dawe nitawasiliyana vipi niko enje ya inchi
@aminamichael17065 жыл бұрын
Ahsante shekh
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@mussadante72004 жыл бұрын
Mashallah
@jamilabadru55265 жыл бұрын
Allahamdulillah, Allah akujaze mie kutoka Kenya Nairobi in shaa Allah dawa hii itamsaidia saana Habib wangu.
@jamilabadru55265 жыл бұрын
Nitafanya bidii niwasiliane nawe ili ukipata dawa hii bi'idhinllah.
@hamisisudi5984 Жыл бұрын
mmmh ok
@montenomontana29355 жыл бұрын
Jamani hamwoni nambari yake kwa screen ..mna kera..ipo hpo acheni kuzungumza vibaya...
@salimkadenge32313 жыл бұрын
Mashaallah
@saeedsaeed73815 жыл бұрын
Mashallah Mashallah sheikh Othman leo umetufafanulia vizuri sana kuhusu mashakeel haya ya nguvu za kiume na dawa hizi umechambua undani wake..mungu akupe umry mwema and Amani Ameen yarab..bei gani dawa no 1 na ya pili ndogo??
@aishaamani94915 жыл бұрын
Shekh nnaomba no yako kama hutojali inshaAllah mm nipo uk
@saidimasimba28505 жыл бұрын
mashaalla
@swafiamohammed17084 жыл бұрын
Assalamu alayukum warahmatullah wabarakatuh Sheikh jazakallahul kheir kwa kutupa faida hii bora Mimi naitaka hio dhifuljisia lakn sielewi nitaipata kwa njia gani mimi niko kenya
@ramadhanibakariramadhaniba25993 жыл бұрын
Mm nipo daa na hitaj hiyo dawa nitaipataje npo maeneo ya mabibo makutano naomba unisaidie
@ramadhanibakariramadhaniba25993 жыл бұрын
Namba yangu 0655942744
@eliasmajambomwinyihaji13354 жыл бұрын
duuh ustadhi mada ya leo nzur san
@makameabdallah67625 жыл бұрын
Mashaallah nakukubali shekhe wangu
@asiahmariam39424 жыл бұрын
Nataka hio ya kuongeza hamu ili niwe nampa mume wangu haki yake kila akinihitaji hua sijiskii kufanya fanya sana na yeye anakua anataka hio dawa naitaka kabisa sheikh wangu
@omarkhamis95145 жыл бұрын
Jazaaka’Allah Khair Sheikh Othman, Inshaa’Allah tujulishe Mombasa, Kenya tutazipataje dawa hizi? Nina marafiki wengi tukikaa wanaongea kuwa wana matatizo haya yote mawili. Narejelea ni watu wengi sana. Na wanatafuta dawa kama hizi. Imekuwa kama bahati mimi kuangalia video yako hii. Shukran tena!
@montenomontana29355 жыл бұрын
Chukua nambari yake hapo..kisha mpigie uagize hata mimi nilagoza nikatumiwa hyo dawa
@kassimfarouk30504 жыл бұрын
Mm nimemtumia pesa Leo 1700 wallah nilipotuma pesa tu simu zangu hawapokei tena na mwanzoni walinambia wana agent hapa Mombasa watantumia number zake ila mpaka sahii hawajanitumia wallah na mm Niko Mombasa kisha simu inapokelewa na sheikh then anapawa mwanamke ndio huyo anakwambia eti wana agent hapa Mombasa..sijaamini mpaka sahii sheikh mkubwa kisha iwe ni matapeli!!!!
@aishasuleiman70164 жыл бұрын
Shekhe mkoa sehemu gan shekhe naomba uniambie
@saidimohammed24555 жыл бұрын
MASH Allah Mimi Niko Mombasa Kenya Jee Nitaipaje
@rahmamusavyimana99064 жыл бұрын
💃💃🥰
@allyjuma89254 жыл бұрын
mungu akujalie zaidi upo sehemu gani shekh
@allyahmed40144 жыл бұрын
Nishawahi tumia ni 100% ndugu zangu hizo zote mbili ni shilingi elf 40 hiyo ya kwanza ni elf 25 hyo ya pili ni elf 15 nmeletewa mpaka Mtongani kutoka Kiwalani Markaz usafir ni Elf 5. Shekhe yuko real 💪👊
@jumakisusi99324 жыл бұрын
Inazuia kumaliza haraka?
@allyahmed40144 жыл бұрын
@@jumakisusi9932 Yah masaa Mawili uko juu tu ukimaliza doZi yan unakua konki
@jumakisusi99324 жыл бұрын
@@allyahmed4014 hamna kitu nimeisha zitumia
@sadikimaira55673 жыл бұрын
SHEIKH MM NK MKOANI GEITA NAIPATAJEHY DAWA
@bigsomu67555 жыл бұрын
Marshal kHz
@ashalaurent24655 жыл бұрын
Ni shngapi mim nasumbuliwa na kiuno
@komanyaamin67325 жыл бұрын
Shukuran
@musakarisa94495 жыл бұрын
Naweza zipata vp
@khamiszungu2713 жыл бұрын
Sheikh nipo Zanzibar naweza kupata dawa kivipi
@hafidhyakoub53505 жыл бұрын
Hiyo indhal cio vumbi la congo mashehe wengine wanasema
@ayeshadada38504 жыл бұрын
Mashalla
@zahramunir85964 жыл бұрын
Mashaallah may Allah bless you Amiinn yarrab
@ibrahimnzaro42504 жыл бұрын
Sasa nitasipata vipi hizo dawa ,Mimi Niko kaloleni giriama
@mwavitaselemani64314 жыл бұрын
Shukran Jazeera namba za sim shekhee nitaipataje
@charlesthomas62794 жыл бұрын
Hiyo sio vumbi la kongo shee
@fatmanassor53823 жыл бұрын
We we mjinga wa mwisho ingelikua we je unaetangaza uambiwe ivo utajiskiaje Kima ww
@laylisaid95635 жыл бұрын
🙏🙏
@zahraalmaady10965 жыл бұрын
Mashaalla
@nasraalismailiy51885 жыл бұрын
Shukran sheikh wapi dawa inauzwa au wapi tunaweza kuipata
@assianiyonkuru60615 жыл бұрын
Mashaalah mimi niko mbali ntaipataje hiyo dawa
@mwantumumwantumu68893 жыл бұрын
Naomba namba yako nashida Sana na kuugua navidonda vyaa tumbo.samahani kuenda nnje ya mada mdogo wangu
@liltanz22673 жыл бұрын
Asalam aleyku sheikh...kwanza shukran sana kwa darsa ya buree Mie nko istanbul Europe (TURKEY) Naweza kuzipata vipi ?
@failunaimba97744 жыл бұрын
Mbon Mimi nikila asali tumbo linauma nn
@mwantumumwantumu68893 жыл бұрын
Assalamu Aleykum warahmatulah wabarakat
@kadiriosmam5 жыл бұрын
Asalam alekum Niko Nairobi,naweza kupata hizo dawa aje?.
@salehkhalfan73454 жыл бұрын
Sheikh Othman tatzo hzo msg hazijibiwi huko watsap
@rashidkamanza27594 жыл бұрын
Mimi nko Mombasa nitazipata vipi hizo dawa.
@sadikimaira55673 жыл бұрын
SHEIKH INAUZWA BEI GAN HY
@MohammedAli-mf3ln3 жыл бұрын
Asalaam Aleiqum , dawa hii yapatikana mombasa kenya
@sadikimaira55673 жыл бұрын
Hello
@zanzibarroyalchannel86995 жыл бұрын
Hiyo dawa imetengenezwa Kwa nini ya pili
@bayaanhumud43285 жыл бұрын
sheikh me bado ila biidhinillah nitakutafuta nikiwa tayari nimependa sana darsa lako
@QuranFirst6105 жыл бұрын
Asalam alaykum, hii dawa nitaipata wapi??
@zainabumercyme6925 жыл бұрын
Dawa ya kwanza inatumika vipi na bei yake ni ngapi kwa senti za Kenya, nauliza hivi wanawake hafai kutuma hizi dawa au?
@hamisikassim37265 жыл бұрын
Asalam aleikum,sheikh ntaipata vipi hizo dawa zote niko dubai
@pacifiquemukanya10095 жыл бұрын
Maalim hauna watsp
@kholaalmahrizi85253 жыл бұрын
l
@MohammedAli-mf3ln3 жыл бұрын
Inzaal yapatigana mombasa kenya ?
@dorisanyangoanyango8767 Жыл бұрын
Shelkh naweza Pata number yako plz
@Pichuselemanione3 жыл бұрын
Kitoko 👍🏽🌷
@bablyroi9425 жыл бұрын
Shekhe Niko south Africa nitaipata wapi?
@simaishariffoum98824 жыл бұрын
Kila moja inauzwa shilingi ngapi?
@ramadhanramadhan38905 жыл бұрын
sheikh nitaipataje iyo dawa
@muhammedomar5845 жыл бұрын
H
@suleymanhemed26075 жыл бұрын
Sheikh naona nikuone ofsini kwako ni wapi??
@abuuhusseinmouhamed69834 жыл бұрын
Shekh naomba no yako ya WhatsApp
@karistkanuti27475 жыл бұрын
Mnachonikeraga watoa mada Wa you tube hamjibu maswali yetu,2nakuuliza sh ngap? Na 2taipate HUJIBU ,sasa MNA maana gani,kama vp hachageni kutoa matangazo ya biashara ubirini neno la Mungu tu
@selemanihamisi57474 жыл бұрын
Dareslam kiwalan
@amosmwanga40275 жыл бұрын
Tunaipata vp Mawasiliano
@omartehseen21285 жыл бұрын
Asalaam alaykum dawa hizo zinaweza nifikia nipo nje ya nchi
@othmanmichael17795 жыл бұрын
Naam
@QuranFirst6105 жыл бұрын
Tuta order wapi
@ramadhanramadhan38905 жыл бұрын
na shingapi iyo dawa
@inosentmyumbo32664 жыл бұрын
Shekhe ntazipataje hizo dawa
@fahmiabubakar56545 жыл бұрын
Mashllh
@muniramunira19685 жыл бұрын
Sheikh shukran Hiyo Dawa ni muhimu sana mm Niko ughaibuni nitaipatajee? Jazakallahu kheyra
@nyangeawari83355 жыл бұрын
Sheikh huo ni ukweli mtupu mwenyezi mungu akuhalie kheri
@abdanshakuranrajab97185 жыл бұрын
بارك الله فيك يا شيخ عثمان. Darsa liziri Sana..
@ashuraashura8825 жыл бұрын
Nataka namba yako ya whsp pls
@abdanshakuranrajab97185 жыл бұрын
@@ashuraashura882 +966561670130
@sukumaganga26135 жыл бұрын
Hiyo hata kahaba hawez kusitahimili mziki wake
@jumakisusi99324 жыл бұрын
We we unaijua?
@jumakisusi99324 жыл бұрын
Nimeisha yatumia hakuna kitu
@binshelabinnabah86135 жыл бұрын
Shekh ofc yko ipowpi?
@safiyasafiya55424 жыл бұрын
Bugurun rozan nyuma ya stend ya daladal
@saidishekalaghe34965 жыл бұрын
Ni tsh! Ngapi?
@abdullazizimashallahmenahi52324 жыл бұрын
Sheikh me nahitaji iyo dawa ya inzal no yng 0776808290
@fahmiabubakar56545 жыл бұрын
Number ya whtsp sheikh tunaomba na upo sehemu ya ofici ni wapi
@selemanihamisi57474 жыл бұрын
Kiwalan
@saidishekalaghe34965 жыл бұрын
Zote mbili ni tsh. Ngapi?
@othmanmichael17795 жыл бұрын
saidi shekalaghe 30000
@munguakulipekilalakherisch82405 жыл бұрын
Mikoani tunapatje
@mkonokitmana98945 жыл бұрын
@@othmanmichael1779 Unapatikana wapi? Au Contact zako
@othmanmichael17795 жыл бұрын
Mkono Kitmana 0652891126
@artisthusnatalal30995 жыл бұрын
@@othmanmichael1779 jee hii number yako ya whatsapp au?
@sukumaganga26135 жыл бұрын
Hiyo ya mwisho mm naijua inasadia kweli naitumiaga mm 10000%
@fakishaame65424 жыл бұрын
Ndugu kwl unachosema maana wngne tumechoka kuchukuwa dawa lkn hatuoni lolote zaid watu kupiga pesa wakaenda zao