Hongera sana na Mimi ni mkulima wa nyanya nipo mwanza unatumia mbegu gan
@chillypips-yq6vh Жыл бұрын
Emanuel aliwekeza kupata knowledge first be careful 📌📌📌
@abbycherop4138 Жыл бұрын
Nice congratulations ,🇰🇪
@othumanomari1589 Жыл бұрын
Nyanya nyanyua congratulations 👏 brother mungu Aibariki sana kaziyako
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Tupe no. Your very special and blessed ulijua kushika fusa umejitahidi kijana lakini umejitahidi MUNGU Amekusaidia amelipa Nguvu.
@daudbulba9153 Жыл бұрын
Kaka naomba namba yako mimi nalima ila sio kisasa kama wewe
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Hey mtangazaji samahani kwenye swala la kipato anachopata maana usijetusababishia hao TRA kamatabkamatabwakaanza kuvamia kukamata wakulima kulipa KODI
@katrinebirktoft4901 Жыл бұрын
Hivi wakulima hawalipi kodi
@TufikeMbwambo6 ай бұрын
Wanalipa her!!
@RazaliaHamandi-jy7fh Жыл бұрын
Hongera Sana kaka nimejifunza hyse
@sylviacornely4688 Жыл бұрын
uko vzr kaka, unajiamini sana, endelea Ivo ivo, Mungu yupo nawe
@apolinamushi23 Жыл бұрын
Knowledge is power 🤝 hongera Sana bro
@user-hp1xe4tf4p10 ай бұрын
Hongera sana kakaang kweli upo na Akili sana umeniamasisha sana kwa kilimo cha nyanya
@kevinmary712913 күн бұрын
Waogo sanaaaaaa
@stanleyevanda797 Жыл бұрын
Hongera sana brow
@MudiMsangi-kk4ed Жыл бұрын
Aloooo Braza umenikosha sana , nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe😂😂😂😁
@josiahkulwa5318 Жыл бұрын
Great 👍
@user-ew4io7vp1k2 ай бұрын
Hongera sana kaka,naomba nije kujifunza
@allandavid7522 ай бұрын
Huyu jamaa sijamuelewa alipata hela akalima heka tisa akapata milion 70 halafu akaongeza heka moja.. why alitoka kwenye heka mbili akarukia tisa kutoka kwenye tisa kaongeza moja tu
@alphoncepeter67652 ай бұрын
Kuna vitu anaongea simwelew kwanza haelezei vizuri kuhusu mtaj wake its seems ana mtu behind the scene anaeisimamia shoo nzima ukute hata kusoma aliyempeleka ni huyo mtu
@gervas586 күн бұрын
Kweli mm ni mtaalamu hiyo kauli ni kweli
@revinmlay5031Ай бұрын
Big up brother,👍
@nyanchokachacha9954 Жыл бұрын
Hongera Sana Kijana.
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Hongera sana Kaka?kilimo sio kutu cha sjabu.ila watu wskisha soma huona Kilimo ni kazi ya chini haiwahudu wao.lkn wanahitajia Kula vizuri!
@christianmwasakogo5579 Жыл бұрын
❤ hongera sana
@mwaisunilaizer8438 Жыл бұрын
Hongera sana ndugu
@kamanda007 Жыл бұрын
Bongo fursa kila kona, hongera kwa kuonyesha njia
@alphakissendi4585 Жыл бұрын
Na mbegu anayolima ni Dhahabu F1
@happylemboto9103 Жыл бұрын
Nice
@ezekielenock46506 ай бұрын
Hongera sanaaa na mimi natamani kulima nyanya mkuranga vipi hali ya hewa inaruhusu kweli?
@user-il7dy5ug2m10 ай бұрын
Hongela😊
@NeemaSanga-tu1gk11 ай бұрын
Safi sana kaka umekua mfano kwa wengi
@MasoudHamad-dx9mt15 күн бұрын
Nahitaji kujifunza kilimo zaidi
@danmtuli9484 Жыл бұрын
…that’s the point, kilimo ni biashara wa sio cha walifeli kimaisha ka tunavyo fikilia🇹🇿🇰🇪
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Nilichojifunza hapa kabla hujafanya lolote lazima uwe na Elimu na hilo jambo
@PauloMsando2 ай бұрын
Nice connection
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Mtangazaji Asante Sana kwa namba ila nahi namba ya mkulima.
@fredrickandrew798 Жыл бұрын
Congratulations/ hongera sana nakutakia kila la kheri, watu kama hawa waachwe wa thrive ili waajiri watanzania wengi zaidi. Lakini utakuta watu wa kodi za ndani wataanza kukupigia hesabu za kodi ya mapato. Please let us work hard, fursa kwenye Kilimo ni dhahiri tuwatie moyo wajasiriamali kama hawa.
@triphonetawete3268 Жыл бұрын
Mm
@MariaMroso-eo2wt7 ай бұрын
Hongera sana
@albertalistides5428 Жыл бұрын
Hongera sana Bro. Mimi mwenyewe nalima nyanya, ila nimepata funzo fulani kwako. hasa hilo la kufeli mara ya kwanza ukaamua kuchukua kozi fupi kutoka SUA.
@dn.n49836 ай бұрын
Hongera
@sylivanomwanossa82132 ай бұрын
safi sanaa
@dn.n49836 ай бұрын
Naomba no simu emmanual kwa ushauri kilimo
@user-ds5tu6xy2v Жыл бұрын
kaka hongera sana, nimepata ujuzi zaid ya niliokuwa nao, Mungu azidi kukubariki, na pia vijana tujifunze kutoka kwa kaka yetu aliyejiajiri yeye kama yeye kupitia kilimo bora. "Nyaya nyanyua, nyanya nyanyasa"
@Jackylmariam-qy6qe Жыл бұрын
Hii ni interview Bora za wakulima wote walioojiwa inamotivate
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Maono Alipewa na Mungu akayaatamia na kujitia Nguvu
@samoocoolingsystem932 ай бұрын
Nyanya nyanyua nyanya nyanyasa 😂
@realskywalker45096 ай бұрын
heka moja kreti 200 ni ndogo sana... heka moja mazao madogo kreti 600
@zainabumahenge2048 Жыл бұрын
Hongera sana kwa kuwa mkulima umetupa hamasa
@tanzcanmediatv44732 ай бұрын
Huyu mwandishi anaambiwa anauliza tena
@user-rm3lp9hi1n8 ай бұрын
Uvumi muache jamani wakulima wasijekuvamiwa na TRA
@EsterManka9 ай бұрын
🙌🏻🙌🏻
@PartSany-xe7ls9 ай бұрын
Naombeni namba za huyo mbaba ili anifundishe vizur
@user-ft8vo2tl2b7 ай бұрын
Wakulima wenzangu tunaolima nyanya tusikate tamaa kwa garama ya uwekezaji wake hizo niporojo tu tupambane tu
@Trey2k365days Жыл бұрын
Iga ufe😂
@AsanterabiNkya8 ай бұрын
❤
@agapejosceline8262 Жыл бұрын
Congrarulation . Kazi njema na hongera sana. Short courzi ya kilimo ina patika wapi? Na tamani kui soma pia