KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA

  Рет қаралды 277,504

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 512
@suzanamushi4567
@suzanamushi4567 Жыл бұрын
Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib
@gradientlife
@gradientlife Жыл бұрын
Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
@abdullahomar8092
@abdullahomar8092 Жыл бұрын
Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie
@rodashadrack9474
@rodashadrack9474 Жыл бұрын
Malori 100 tu
@bennymsigwa1527
@bennymsigwa1527 Жыл бұрын
KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 Жыл бұрын
@@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?
@thegreat.9869
@thegreat.9869 Жыл бұрын
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂 Ukweli hawausemagi
@laisamally3736
@laisamally3736 Жыл бұрын
Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib
@halimamremi5375
@halimamremi5375 Жыл бұрын
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
@fadhilikiyungi1741
@fadhilikiyungi1741 Жыл бұрын
Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 Жыл бұрын
Mashallah. Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.
@brobabuu3973
@brobabuu3973 Жыл бұрын
Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin
@mosesarapkoibei9923
@mosesarapkoibei9923 Жыл бұрын
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
@hamidaala2832
@hamidaala2832 Жыл бұрын
MASHA.ALAH
@medlucas5686
@medlucas5686 Жыл бұрын
Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara
@jabirjabir4652
@jabirjabir4652 Жыл бұрын
Kweli sioutani
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 Жыл бұрын
Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa
@ngwelesalu8348
@ngwelesalu8348 Жыл бұрын
@@shabanialfani5394 250M
@shamimuabdallah8801
@shamimuabdallah8801 Жыл бұрын
Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa
@hadijaalpha7547
@hadijaalpha7547 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤
@glorylyimo_
@glorylyimo_ Жыл бұрын
Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 Жыл бұрын
Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU
@Cao_ZeKai
@Cao_ZeKai Жыл бұрын
sasa hapo tena Yesu kafata nini?
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Bila kutoka jasho.mmmm,!!
@barakachalres9316
@barakachalres9316 Жыл бұрын
AMEEEN
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
@sadiqahmed5216
@sadiqahmed5216 Жыл бұрын
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 Жыл бұрын
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
@NeemaKipande-hr9rz
@NeemaKipande-hr9rz 9 ай бұрын
Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Жыл бұрын
Masha ALLAH Tabarakallah
@hgltv5336
@hgltv5336 Жыл бұрын
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake. Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏 barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
@sharifasultanmhinah7829
@sharifasultanmhinah7829 Жыл бұрын
Kabisa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Awesome
@petersmart8107
@petersmart8107 Жыл бұрын
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 bola iwe kweri
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Жыл бұрын
Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 Жыл бұрын
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
@kibabumlelwa71
@kibabumlelwa71 Жыл бұрын
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
@edlumala9428
@edlumala9428 Жыл бұрын
Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah
@masudially4669
@masudially4669 Жыл бұрын
Swadaqta
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Aisee, hongera sana kwake.
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
God bless you bro,kijana ata mafuta ajapaka 🙌🙌🙌
@hadithizetutv
@hadithizetutv Жыл бұрын
Asante kwa hadithi
@khalidsharji2462
@khalidsharji2462 Жыл бұрын
Mashallah M.mungu akulinde
@aishashaibu4772
@aishashaibu4772 Жыл бұрын
Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele
@daudhabona8897
@daudhabona8897 Жыл бұрын
Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Жыл бұрын
Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize
@sarafinaoscar1360
@sarafinaoscar1360 Жыл бұрын
@@alexchungu6263 🤣🤣
@andiqueantonio3377
@andiqueantonio3377 Жыл бұрын
Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐
@patrickpazza4764
@patrickpazza4764 Жыл бұрын
Inatufariji Sana aisee kwa hili hongera Sana bro
@janechristophermkumbi9046
@janechristophermkumbi9046 Жыл бұрын
Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah
@user-th1il3zt7o
@user-th1il3zt7o 2 ай бұрын
Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako
@richardkajembe6939
@richardkajembe6939 Жыл бұрын
Great brother 🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏congratulations
@abdulahmadimkabakuli6342
@abdulahmadimkabakuli6342 Жыл бұрын
ALLAH akuzidishi pia usihau dini yako toa kwa ajiri ya ALLAH utafanikiwa
@jimmykitura5803
@jimmykitura5803 Жыл бұрын
Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother
@robsondalink6206
@robsondalink6206 Жыл бұрын
Kafagie na wewe sasa uone😂😂😂😂 maisha na mafanikio ya mtu ni siri kubwa sana
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
Hahahhaha mamae!
@ndennkya9554
@ndennkya9554 Жыл бұрын
Kweli kabisa umenena neno la maana
@priscamhando3818
@priscamhando3818 8 ай бұрын
Kwel kabisaa
@peterkasenga8404
@peterkasenga8404 Жыл бұрын
Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Nawewe ufate izo siri
@khadijaksssimkhadijakassim6324
@khadijaksssimkhadijakassim6324 Жыл бұрын
Hongera
@abdullyathuman1425
@abdullyathuman1425 Жыл бұрын
He's so innocent but anyway congratulation brother
@alfredinaperent26
@alfredinaperent26 Жыл бұрын
Hongera kijana kweli Manisha nikupambana kaza buti
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Haki nawaambia ndugu watanzania mimi siku Moja mpaka Millard ayo ataniita na anihoji apa kuweni na subira na mniombee sana. Sitawaangusha ndg zangu mwenyezi mungu anitangulie hakna kt natamani kama siku Moja nitoboe halafu nikakaa hapa sitaki BBC nataka Millard ayo hapa.
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Жыл бұрын
Kabeti brooo uta won 🤑🤑🤑
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
@@burudanitiv324 kubet sio ajira kaka wala co kt Cha ktegemea kaka tnamitikasi tnafanya tnaamini ck 1 mambo yatajipa t ni suala la mda t
@burudanitiv324
@burudanitiv324 Жыл бұрын
@@musason1680 total true brother Im understand broo hod bless us
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Hongera saana mkuu nami pia naamin one day we will be
@leonardmisalaba7946
@leonardmisalaba7946 Жыл бұрын
Tuzd kupambana tuu ipo siku marengo yetu yatatimia
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.
@binally1alkindy511
@binally1alkindy511 Жыл бұрын
Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee
@zawadisospeter827
@zawadisospeter827 Жыл бұрын
Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Ni vzrii kusikilizaa watu walio fanikiwaa.lakin ndugu zanguu ningumuu mtu kusemaa njia alizotumiaa akafanikiwaaa .matajiri wenyewee wanatoaa ushaurii kwaa masikinii.lakin aslimiaa kubwaa sis tunaskilizaa watuu walio fanikiwaa na kudhalau ushaur wa maskin.atujuii kwambaa maskini ndioo ana. Idea nzriii bila wivuu wowotee
@athusmateru
@athusmateru Жыл бұрын
Fact🙄
@jerichomwandenje3657
@jerichomwandenje3657 Жыл бұрын
Naomba kazi mwee
@frolandunguru4489
@frolandunguru4489 Жыл бұрын
Hongera kwa kututangulia
@didasseveline9013
@didasseveline9013 Жыл бұрын
Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2
@abdallahkajonjo2296
@abdallahkajonjo2296 Жыл бұрын
Hahahahahha
@bahatiagape731
@bahatiagape731 Жыл бұрын
Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
Baba taja jina la kampuni ulifanya Kazi ingland campany yakoo ww ndio ulisimamia msiba wa Albee magwea bada yakusikia amefaliki ulikuwa Zambia
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 Жыл бұрын
Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏
@merinaemmanuel3593
@merinaemmanuel3593 Жыл бұрын
Hongera sana
@lawrencmagwaja9480
@lawrencmagwaja9480 Жыл бұрын
Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao
@iddiali8057
@iddiali8057 Жыл бұрын
BarakaLLAHU LAKA
@janatiitungo7338
@janatiitungo7338 Жыл бұрын
Masha'Allah
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Hongera sana br utafika mbali
@Nyamko-christmas
@Nyamko-christmas Жыл бұрын
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
@gabrielkimario3160
@gabrielkimario3160 Жыл бұрын
Ni kweli anaoneka wazazi wake walikuwa na uwezo wa kifedhaa
@prosperkiluwa8184
@prosperkiluwa8184 Жыл бұрын
Mungu akutunze. Je sisi watu wnye uemavu wa kujongea na tuna ujuzi au ideas ni vipi
@amenuhu9268
@amenuhu9268 Жыл бұрын
hongera ndugu yangu wewe ni mpampambanaji
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Jamaa Yuko vzrii.sio rahis kama a mnavo fikriaa
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 Жыл бұрын
Mashaaallah
@machajeremia7870
@machajeremia7870 Жыл бұрын
Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako
@Udindigwa
@Udindigwa Жыл бұрын
Ujumbe Mzuri sana Hongela Sana
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Жыл бұрын
Hongera sn kwake. Millard nyuma ya camera hao wadau wawe makini ktk minong'ono, kuanzia ktk swali la thamani ya utajiri...
@barakanicholaus7507
@barakanicholaus7507 Жыл бұрын
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
@hakunamatataznz5508
@hakunamatataznz5508 Жыл бұрын
Kongore kaka, Allah bless you and Ayo Tv
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
@yahyaiddi5782
@yahyaiddi5782 Жыл бұрын
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
@happymushi8197
@happymushi8197 Жыл бұрын
Kanifurahisha tu hachanganyi lugha ila wangekuwa wengine hapo kizungu kama chote kila sentence yan. Big up bro!
@pastorgodwinchengula7848
@pastorgodwinchengula7848 Жыл бұрын
Kama wewe ulivyochanganya tayari hahaaa
@nyokonyoko7990
@nyokonyoko7990 Жыл бұрын
Wivu tu kw wanao changany ngeri mbn ww umesem big up acha uchawi dad 😆
@happymushi8197
@happymushi8197 Жыл бұрын
Ndio hivo kama cc
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Mtu anakosoa alafu anarudia kosa lile lile,Mambo ya kuona vibanzi vya wengine na huku liboriti limekaa fronti 🤣🤣
@rademm8924
@rademm8924 Жыл бұрын
Akichanganya kuna hasara gani unapata au faida gani?
@ip_header
@ip_header Жыл бұрын
Biashara ukisikiliza ni kama kuangalia movies utaona nyepesi lkn ukiingia ndio utajua changamoto zake.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Big up bro. I appreciate
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 Жыл бұрын
amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka
@alphoncekihwili
@alphoncekihwili Жыл бұрын
Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
Ww kipindi mtoto wakiongozi abakutuma Zambia kuchukuwa mwili wa ngwea ulikuwa ushakuwa na loli????duuuuu Tanzania noma
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera sana kaka.
@fredma21x
@fredma21x Жыл бұрын
Ameshindwa kujibu Networth yake ni kiasi gani...Hapo tu ndipo ameninyima raha🤣🤣🤣
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Жыл бұрын
Hongera sana bro
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 Жыл бұрын
MashaAllah 👍🏽
@mohamedsalum378
@mohamedsalum378 Жыл бұрын
Safi sana bro,Mimi namawazo namba ntapataje,tatizo mtaji
@batulimohamed6088
@batulimohamed6088 Жыл бұрын
Mashallah
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Kaka naomba kazi. Nitakua muaminifu
@antonisia5670
@antonisia5670 Жыл бұрын
safi sana muzalendo tungepata watu kama nyie kama miyambili ichiingenyoka vil
@japhetchristopher3669
@japhetchristopher3669 Жыл бұрын
Congratulations brother
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 Жыл бұрын
Mashaallah
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Mashaallah 🙏
@jinamabrio-duel8894
@jinamabrio-duel8894 Жыл бұрын
Great👍
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
AWE MKWELI BIASHARA YA MAGARI NA UMRI HUO NI MWOOONGO WENYE MAGARI TUNAWAJUA HAYAZALIANI KIRAHISI HIVYO. KAMA ANAENDELEZA MALI ZA BABA YAKE HAPO NITAELEWA.
@collinsambwene9563
@collinsambwene9563 Жыл бұрын
Sema unayejua ukweli
@fredikigodi4372
@fredikigodi4372 Жыл бұрын
Naomba kazi
@kelvin8831
@kelvin8831 Жыл бұрын
Hongera brother
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Wabongo wanavyopenda kuiga wangesikia bilionea anayefuga mbuz au analima vanila kesho wote wangefuga haya sasa kanunuen maloli😀😀nunuen loli moja tu
@busta_malik5971
@busta_malik5971 Жыл бұрын
Khaaa😂😂😂
@husnasamdia4176
@husnasamdia4176 Жыл бұрын
MashaAllah
@masudially4669
@masudially4669 Жыл бұрын
Big up to my bro
@its_khalidy_46
@its_khalidy_46 Жыл бұрын
Millard ayo ni jina kubwa sana kwa sasa,,,ila studio zake bado hazilingani hadhi na ilo jina,,, sound system,,camera mpaka chumba ,,ni wazo tu lakini
@mohdshebe5640
@mohdshebe5640 Жыл бұрын
Aaaaa kijana 2017 una lori 100 kwanza Mashaall lkn mimi naona nyuma yako kuna mtu ndio anayo hyo campany .
@kambonamahmadoo6814
@kambonamahmadoo6814 Жыл бұрын
Wacha Uchawi,,elewa tu
@yusuphjonas2988
@yusuphjonas2988 Жыл бұрын
Hongera sana
@ShamsiMikdad-bj7me
@ShamsiMikdad-bj7me 7 ай бұрын
Mashaallah mungu azidi kukuinua nasisi pia ameen
@hedwigjohn6276
@hedwigjohn6276 Жыл бұрын
Hongera sana Twalib
@jameskalibate7883
@jameskalibate7883 Жыл бұрын
Kusema ukwel jamaaa inaonekana kwao kulikua kuna pesa ndio maana kapata chance ya kusoma nje nakuweza kupata kazi nzuri katika shirika la fedha huo ndo ukwel maana pesa ya kununua lorry moja lile ya kwanza nikama million 300 iv
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 36 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 43 МЛН
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 16 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН