Рет қаралды 21,437
Catherine Mwakasege aliyeongoza kitaifa katika masomo ya sayansi kwenye mtihani wa taifa wa kidato cha sita kwa mwaka 2022, ametaja siri ya ufaulu wake na malengo yake ya baadae.
Video kamili tumeshakuwekea kwenye ukurasa wetu wa KZfaq.