Apostle mungu akubariki sababu viote uliviosema hakika nimimi niko ivio
@maureenmuhenje9169 ай бұрын
nashukuru sana Mungu kukutumikia ili nijue napotelea wapi sijui nifanye aje !!ili nitumikie hii kipower😢😢nmekaa tu bure dunian ambapo kazi ya Mungu inaningoja😢😢
@maryedson83824 ай бұрын
Mimi huwa nachukia sana dhambi, napenda kukaa peke angu kutafakari juu ya neno la Mungu, muotaji wa ndoto zinazotokea baada ya siku chache baadae ,naamini katika kuwezekana,kuthibitisha vitu kwa nguvu, naamini katika kuwezekana na nyingine nyingi tu ulizozitaja . Mungu anitie nguvu mimi ni nabii wake .
@jenniferongwech64214 ай бұрын
Asante sana mtumizi wa Mungu kwa mafunzo
@user-tf1il1hg3l2 ай бұрын
Asante hizizote na sikiakama nyingine katiya azo zinani fikia ila sijifahamu kwani sijajua namuna ya kizitumikisha alafu sijui ni fanye Nini mimi Nina majukumu inayo husiana na mamboya kiroho ila naishiakwanjia Yani hazitimiye wazi asante kua kio kwangu je nifanye Nini
@shiningstarheavenlyembassy2 ай бұрын
+255768275795 nitumie sms Whatsapp nkushauli Cha kufanya
@user-io1tp6nz8m4 ай бұрын
Amen amen na ukionda uko kwa nyumba ndani na uko ije Ya nyumba hiyo inajekwa na mafundi
@doreenhallai206010 ай бұрын
Mungu asante kwa ajili yako mtumishi naomba kufundishwa zaidi
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@teresiakwambokaorangi36779 ай бұрын
Mara nikiombea watwu wangojua nikitembea Mari akunaanga nyumba waramiti niiji kaafu kapisa pastor mungu akupariki sana the jasas nemu ♥️🙏
@shiningstarheavenlyembassy9 ай бұрын
Glory be to Jesus Christ amen 🙏🙏🙏
@user-xx6yr1fj5r9 ай бұрын
Asante sanaaa Mtumishi wa Mungu kwa kunifunulia haya yote. Mimi sikuwa ninajua kwamba nina sifa za Kinabii. Lakini kiukweli ni kwamba haya yote uliyoyasema ninayo kabisa kwa asilimia zote, na ndivyo ninavyo ishi katika maisha yangu yote. Sasa nina muomba Mungu, anisaidie ni yaishi maisha ya Kinabii ili Mungu azidi kunitumia katika maisha yangu na kwa ajili ya watu wengine hapa Duniani tuki mngojea Yesu kurudi kwa mara ya pili, kutuchukua kwenda Mbinguni katika maisha yetu ya umilele. Mungu wetu akubariki sana Nimeguswa mnoo. Amen
@estherdavidjohn-py7hh6 ай бұрын
Asante mtumishi dalili nyingi zimenigusa, mimi nampenda MUNGU sana na naichukia dhambi,nikiota kitu huwa kinatokea vile vile, huwa nina roho ya hisia mtu anaweza kuwa ananishirikisha changamoto anayopitia basi hunijia hisia naanza kumtamkia kinachomsumbua ni nini na nampa solution yake kwa kumwombea na kumpa neno la Mungu na kinaenda kutokea vilevile, Na kweli huwa ninaroho y kutonyamazia kitu kikinijia ktk hisia huwa najikaza nisiseme lkn kuna roho inanipush niseme na nikisema bdae kinathibitika kuwa Mungu alikuwa n kusudi jema kuniambia nikiseme bila kuogopa japo kinaweza kutafsirika vibaya lkn bdae sifa zinarudi kwangu, Napenda uwepo wa MUNGU, na ninapenda kubeba shida y mtu ktk kumwombea nitahakikisha namfatilia mpaka majibu yatokee, Pia huwa naweza pata hisia kichwani km mtu ananielekeza na nikiongea kinatokea vile vile hd najiogopa, Pia huwa natamkiwa kuwa mimi ni mtumishi ila cjajijua au cjapata pa kutumika kulingana na kipawa changu, mamaangu Ananiitaga nabii. MUNGU anisaidie
@angle36006 ай бұрын
Mimi,napenda kuomba na kumtaja Mungu sana,ninapenda kusaidia sana,nina huruma nyingi hata hua nateseka kwa moyo ninapoona shida za wenzangu,ikuna kipindi naeza ombea mtu na akapona,lolote litakalo tokea hata kama ni kesho nitaota,hofu kipindi chengine,sipendi ogomvi,nina hasira sana ila ni mwepesi wakusamehe,hata adui yangu niko tayar kumsaidia,nafikiria sana nikifa nitakwenda ishi vipi huko,Hakika Mungu tuongoze kwenye mema
@shiningstarheavenlyembassy6 ай бұрын
MUNGU akubariki SANA
@angle36006 ай бұрын
@@shiningstarheavenlyembassy amiin
@angle36006 ай бұрын
@@shiningstarheavenlyembassy pia wewe nawe Mungu akubariki kwa lolote utakalo fanya akutangulie na akuongoze
@narggdhdv76510 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@BeatriceIluta5 ай бұрын
Mutumishi wa mungu ubarikiwe kabisa,miye najisikia kukua Na furah maneno aya unatoka kuyasema inanifanya nijijuwe kama mie niko nani,lakini ndani ya moyo wangu nakuaka na woga,ila nasemaka ndani ya moyo mie niko mutumishi wa mungu kupitia byenye na kuaka naona ao byenye napitiaka,tatizo yangu yenye nakuaka nayo nakuaka nasema tamutumikiaje mungu,maisha ya mwili aina bien ,ila tangu nilianza kukufata nilikamata atuwa kusema kama mie uyu mwaka wa 2024 tajikaza kwenda kuma ibada,kuma fundisho,nifundishwe mbele juu maneno na matendo ivaye mwili nione kile mungu alitia ndani yangu,sijui ni seme nini kwa kweli na shukuru tu kwa yote.
@agneskapenegele77547 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, katika hizo ishara ulizotaja mimi ambazo ninazo ni kuota ndoto ,kupata ujumbe frani kabra haujatokea iwe ni mzuri au mbaya, kuumia ninapoona mtu anapitia shida na Mungu yupo,kuwa muwazi sana kwa mtu au watu kwa jambo ambalo naona halitosis sawa,napenda kuombea watu na nione matokeo ya kuomba kwangu uponyaji nk ,na huwa inatokea,kumtamkia mtu neno na ikawa kweli na mengine mengi uliyotaja kuna baadhi ya watu huniita nabii
@NyongesaNdege-xt8ip3 ай бұрын
Napenda kutapiri mtoto aliye dumboni Kama ni .mufulana na akisaliwa anakuasichana
@DeborahNyagawa-jy5gb4 ай бұрын
Umesema na mimi kabisa yaani mimi ni nabii MKE Asante kwa kunifunilia siri hii ya kujua kipawa cha kinabii ameno
@user-io1tp6nz8m5 ай бұрын
Barikiwa sana mutumishi wa mungu Mimi ni barikiwa sanaaaana nimejijua kweli unatumiwa na mungu wa kweli kabiza mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana
@mwavitaseremabАй бұрын
Barikiwe Sana mtumish Wa mungu
@DanieryWangao24 күн бұрын
Nishawai kuota nimeokota biblia kipindi cha Masika mashambani sjawaii tambua ndoto hii
@JamesOdhiambo-wu2pj9 ай бұрын
Asante, asante asante
@AgnessPete4 ай бұрын
Sharon Sharon miminiriota usingizini nikamuona mtu amevaakanzu nyeupe ndefu harafu anandevundefu nyeupe kama Sufi irayuko navitotoviwiri navyo vimevaanguo nyeupe anavirushia sarafu vinashindwakudabasivinachekavinacheza hahukunayuremtu mbereyakekunabarabar inamwanga mkari wakierekea huko sijajuwa. Maanayake emen🙏🙏
@hidayangoda472410 ай бұрын
Mtumishi yote uliyoyaelezea ni yakwangu utadhani unanujua asante sana stay blessed ❤
@KhadijaSaidi-bg6nc4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi uzidi kutufindisha na kutufinua! Mimi mtumishi hapo nimeona vingi sana kwangu zaidi ya 10 Apostle,nahitaji kujifunza mengi sana kutoka kwako ili niweze kujipata Apostle naanza kugundua kitu...!
@shiningstarheavenlyembassy4 ай бұрын
+255768275795 nitafute mtu wa MUNGU
@JeniferIminza-ur3wj9 ай бұрын
Amen ata mm uwa najihisi niko na unabii lkn sijui venye nitaanza shida yangu ni maneno mengi alafu venye napitia maisha ngumu ndio maani uwa narudi nyuma
@graceyamado85786 ай бұрын
Mimi napenda nitabiliwe,arafu iyo yakitizama mtu unaona ugonjwa wake iyo ninayo sanaa,kingine ndoto zangu naotaga mtu ana niambia kitu "uyo mtu simuoni nasikia sauti tu"lazima icho kitu kitokee❤
@shiningstarheavenlyembassy6 ай бұрын
Anza KUMTUMIKIA MUNGU
@user-gt2bk3dy2t10 ай бұрын
Yesu ni bwana mwanangu ana zote ishirini haswa ya maombi nakutabiri na ana miaka 16 ninahitaji sana mungu amtunze awe mtumishi wakumtumikia cku zote za maisha yake
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Mungu amuinue zaidi Kwa jina la YESU KRISTO
@user-gt2bk3dy2t10 ай бұрын
Amina mtumishi
@user-gt2bk3dy2t10 ай бұрын
Shalom mtumishi nisaidie tafadhali natamani kujua haya mtoto wangu anaona vision yakuonyeshwa vitu Tena katikati ya bahari juu ya mwamba anafanta maombi samaki na viumbe was baharini wakimzunguka bilakumzuru na anaonyeshwa mistari ya biblia kwenye hayo maono kaona waraka Kwa waebrania sura ya tatu mstari 1 Hadi SITA lakini kwenye ndoto isaya 60 :1 na hagai 1
@hidayangoda472410 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa ufafanuzi mzuri nimejielewa sana 🙏🙏
@GodrichSamwely15 сағат бұрын
Amina
@user-fs1oo5mq5v4 ай бұрын
Mutumishi wa mungu barikiwa kabisaa
@rhodamushumbusi76096 ай бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe Sana, mi karibia sifa zote ninazo ila huwa najiuliza Sana nifanyeje sasa na Nani wa kunisaidia ili nifikie kusudi la mungu
@jenniferandmwakikono496010 ай бұрын
Asante sana mtu wa Mungu Mimi hizi 20 zote ninazo kabisaa nitakutafuta ila sijui unapatikana wapi .ila nampenda sana Yesu nilibatizwa 2006 na nabii Geor Davie na nilikuwa mwanamaombi ktk watu 5 kuombea ministry na kumuombea nabii lakini nilipata matatizo nikaondoka ila nipo nasali ktk kanisa la kiroho lakin ninakiu yakujenga ministry ili nimtumikie Mungu ila Leo umenipa ujasiri zaidi nimempanga kwenda Kwa nabii pia maana tangu niondoke sijawahi Rudi huko.mungu akutunze
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Mungu akubariki SANA na akuongezee Baraka tele
@wekvawr905510 ай бұрын
Asante. mimi huwa roho inanitangulia kuwa hiki kitu au mtu ni mbaya na napata ni kweli .tena juzi nikaota kaburi jipya la mwanamume nisiyemjua kuamkia kesho nikapata ni kweli hadi mitandaoni na kuna zingine kama kuokota kuni mm na mamangu na mimi kukwama na nikweli kabisaa lakini Mungu ananisaidia hata kama bado,,,na napenda kuwa peke yangu,kusema ukweli,upendo na nasukumwa kumutumikia Mungu pia na maombi ila mimi ni muoga.
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
USIOGOPE! WOGA ni mlango WA SHETANI kukutesa
@teresiakwambokaorangi36779 ай бұрын
ndoodo pia kushidia watu pia wantonto pia Kashi ya. Mungu kanisani watwumishi wamungu naota nikipuruka juu yahanga namuntinto watogo emeni the jasas nemu 🙏
@RivonaNtanyinya9 ай бұрын
Nimepata majibu,barikiwa mtumishi wa Mungu
@user-jn7vr3tb9q9 ай бұрын
Mungu akubariki sana, naziona nyingi kwangu, hofu ndio kikwazo kikubwa Kwa upande wangu, nahofu km nitakosea, kudanganya watu, nifanye Nini ?
@shiningstarheavenlyembassy9 ай бұрын
Fear not my friend in Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏
@JoshuaPeter-es4xm9 ай бұрын
Ubarikiwe sana Aposlte Mm zote ninazo
@moureenmosha6587Ай бұрын
Nini nifanye napoona hali kama hiyo ❤
@mpesastatements226510 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa mungu
@user-ob7jh3bh9s2 ай бұрын
Thax man of God for the revelation
@user-rn6zu1ik4c8 ай бұрын
Mimi mara mingi hupenda kuomba sana,Kila mara nikipatana na changa moto hua natumia neno Kwa Imani nitashinda,Kuna wakati hua naonyeshwa mambo Kwa ndoto na baadaye nakuja kuziona adharani.. please naomba uniombee tu kama Mungu ameniitan ameniita
@happynesseliezel695010 ай бұрын
Hongera sana mtumishi wa mungu, na Mimi Niko hivo hivo naomba msaada wako
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Zidi kusoma BIBLIA, mtumie ROHO MTAKATIFU na aza hapo ulipo kutumika
@EliaMvungi4 ай бұрын
Na Mimi nasikiaga Sana watu wanachowaza Ila naogopa kusema pia nasikiaga sauti ya mung ikinisemesha pia naupendo na nachukia dhambi pia ukwel ninaoujua si rahix mtumish kunipotosha pia napendag kujtenga na nishawahi kukaa peke yangu kama mwaka nikiomba peke Yang Ila nilivojichangany kuomba na wezangu roho ya kuomba ikapungua pia nishawahi kufunga siku tatu kavu
@EdwardYusufu-ek5gy10 ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu nakupata sana
@janengaga29283 ай бұрын
Nichukue hatua gani mtumishi kipawa hiki kiinuke sana.
@user-qk3uw4jf7z5 ай бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu Kuna kitu kikubwa nimejifunza hapa leo
@shiningstarheavenlyembassy5 ай бұрын
MUNGU azidi kukufungua na KUKUPA hekima KUBWA Kwa jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏
@reginamarwa86369 ай бұрын
Oooo Asante Mungu wangu.......mie naona ninazo zote.isipokua Ile ya kuota.Mungu wangu na Yesu wangu.......nimeogopa sanaaa ...dumisha kilichomo ndani yangu na ninakipokea.ninaitika kama samwel.nena bwana mtumishi wako anasikiaaaa.ninavyo viashilia karibu vyoteeeee!!!!!!
@shiningstarheavenlyembassy9 ай бұрын
MUNGU atakusaidia na CHUKUA HATUA ya Imani! Kwa jina la YESU KRISTO
@reginamarwa86369 ай бұрын
@@shiningstarheavenlyembassy Aminaaaaaaa Mungu nisaidieee
@everlyneimili8 ай бұрын
wow nimebarikiwa sana pastor nashukuru.
@wakywenaky367410 ай бұрын
All of things it's me , thank God for this gift 🙏
@fatumatandika62207 ай бұрын
Kwa kweli ninazo hizo dalili zaidi ya 15 nifanye nini na naupenda unabii .asante sana. Ingalau niko ktk hofu kipindi hiki lakini umeziondoa mungu ashukuriwe na ubarikiwe
@irenenanjala32429 ай бұрын
Nakumbuka nkiwa na mimba ya mtoto wangu 2021 my sister alikua ameoleka mwanaume fulani akamdanganya nikamwambia usioleke kwa uyo mwanaume baki kwa mzee yako maanake mtasumbuana hakunisikiza baada ya miaka miwili kujifungua aliniambia my sister kweli uliniambia still io ndoa ako tu but aina amani ni maombi tu
@ChichiSekiko-go1lm8 ай бұрын
Aamin mchungaji nahisi hata mimi ninachembe chembe za unabii.
@user-ir5ex1qo3f10 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@NSIAGKWEKA10 ай бұрын
Nakushukuru sana mtumishi wa Mungu Kwa kunifungua Akili. Nilikua nahisi tu ila sikua na hakika kilichomo ndani yangu.Mungu akubariki. Ntakutafuta Nina jumbe/na maonyo mengi sana juu ya Taifa na watu hata makanisa. Barikiwa.
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
MUNGU akubariki SANA
@monicasanca18659 ай бұрын
Asante mtumishi tangu nimeanza kukufuatilia nimepata baraka na mwanga flani dhidi ya ndoto na tabia zangu, Mungu azidi kukubariki
@appsplay43247 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@humblemercyy6 ай бұрын
Mtumishi 🙏Nko na hiyo roho kitu inachotaka kutokea na limetokea nakuwa na ile roho inaniskuma kuomba
@chrisdewill64853 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Bwana.Naomba unifundishe nifanye nini ili hii karama iweze kudhihirika.
@shiningstarheavenlyembassy3 ай бұрын
Tuna vitabu na mafunzo maalumu nitafute Whatsapp + 255768275795
@DeborahNyagawa-jy5gb29 күн бұрын
Safi😂😂@@shiningstarheavenlyembassy
@monicacastory16262 ай бұрын
Sharom mtumishi wa Mungu,mm ninazo zote isipokuwa ya utambuzu ndiyo cna
@shiningstarheavenlyembassy2 ай бұрын
YESU KRISTO akutumie Kwa jina la YESU KRISTO AMEN
@humblemercyy6 ай бұрын
Hapo kwa ishara ya 5 ❤️❤️ni ukweli yaani ninajua kabsa Huyu mtu Anafikiria hivi na ndo hivo inakuwa ukweli ❤🙏🙏🙏Mungu nifungue Macho
@shiningstarheavenlyembassy6 ай бұрын
Kuna vitabu vya kinabii na na ma ya kufanya! +255768275795
@ashnaom227010 ай бұрын
Mimi najisikia kuomba tu ila kunawakat ata nikitaka kuomba mdomo unakua mzito, pia ninajikuta nimeongea kitu kina kua kweli, mpaka najisikia vibaya kwann nimeongea, pia naweza ona mtu nika mwambia jambo likawa kwel mfano nika mtania ila nikwel na laaibu, kuna wakati staki niongee ila najikuta nimeongea , kingine naweza kukaa zangu tu nikajikuta kausingiz flan dk chache mno nikaona jambo kama naota ila huo usingiz niwatofaut nakitandan naona mpaka naogopa, ila nikiona kinakua kweli kabisa, kingine saut nasikia napata taarifa ndani yangu mabishano saut mbil nisha uliza sana natatizo gan, nishaombewa hakiachi,
@user-jw8ex6hd5m10 ай бұрын
Shalomu mtumishi Mara nyingi nikiota ndoto lazima itimie sijajua Nina kipawa gani
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es6 ай бұрын
Yaani Kila Wakati napenda kukaa peke yangu Ili kuongea na MUNGU,pia namchukia Dhambi sana
@BellyKepher-jq7ef10 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu, mimi nina kipawa hicho ila nina vita vikali sana
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Ni kawaida kwani Kila penye MAONO ni LAZIMA pawepo muuaji
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Endelea kupambana
@user-fb2so8yg6r10 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuinua zaidi ili uweze kusaidia wana wa mungu
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 God bless YOU
@user-fb2so8yg6r10 ай бұрын
Usichoke kufanya haya unayoyafanya mtumishi kwa kuwa ni kwa njia hii wengi wetu tumepata kujielewa kwa kuwa yote hayo uliyoyasema kwa mfano ni ya kwangu ila huwa naogopa nikijiuliza ikiwa kama kwa kweli mungu ameniita nimtimikie kwa njia hii?Kwa kuwa tumekua katikati ya watumishi na wengine huwa hawatuambii,,,,🙏🙏
@stanleyjohn136110 ай бұрын
Mungu ni mwema
@JanetJumwa-zf7nn24 күн бұрын
Ameeeeen 🙏🙌🙏🙏
@user-ss8xg1gi5x7 ай бұрын
Mimi nikiwa darasa la samba niliota nikiwa na mimba ya jamaa fulani baada ya miezi nikabakwa na ndundu yake nikapata ball,Mara naota doto zinatimia ata kama ni baya
@user-of1ec3yd3p9 ай бұрын
Nashukuru kwa ujumbe mzuri❤❤
@musokedios816210 ай бұрын
Naomba no yako mtu wa Mungu
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
0768275795
@maureen21519 ай бұрын
Barikiwa sana pastor,,
@josuemalega-ec7pj10 ай бұрын
❤❤asante ubarikiwe
@JanetJumwa-zf7nn24 күн бұрын
Ameeeeen
@EdithaMyenzi10 ай бұрын
Bwana asifiwe Mtumishi wa MUNGU ALIE HAI mimi nimesikiliza yote ulio sema ninayo ila huwa sielewi kuwa mimi ni nani
@irenemoseti45847 ай бұрын
Namshukuru sana pastor maana nimejifaamu Sasa.
@GodrichSamwely15 сағат бұрын
Amina
@lucywamaitha40887 ай бұрын
Hii mafunzo yote nimeishika na hii mabo yote Niko nayo .kunjikaisha peke yangu ni sana mtumishi na pia kukasirika sana Kwa neno la mungu likiharibiwa maono ndoto ninazo na kulia sana kwa kazi ya Mungu.lakini sijaelewe nimejua Leo ni unabii
@shiningstarheavenlyembassy7 ай бұрын
Usikate TAMAA, unaweza kuwa CHOCHOTE DUNIANI KIRAHISI MNO-Kwa jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏
@ChristinaSamweli-le9cz2 ай бұрын
Christina samweli asante Kwa kunijilisha izi hishara ninazo
@AziziMapunda-vt4nv9 ай бұрын
Nashukulu kwaahana Mimi nikoivyo asante
@aggiekenya6 ай бұрын
Napenda vitu mingi sana hapo definitely mimi ni nambii..how to activate nataka kumfanyia mungu kazi kabisa
@shiningstarheavenlyembassy6 ай бұрын
Anzia pale ulipo
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es6 ай бұрын
Uwezo wng wa kunusa upo juu sana,naweza kusikia harufu nzuri au mbaya hata kama IPO mkoa mwingine, pia naweza Kupambanua sauti Kwa kiwango Cha juu sana, mtu akiongea hata Neno zuri, Lkn kama Nia yake ni mbaya, Huwa namchukia tu,pia naweza kuona Vitu ktk sura za Watu, hii ni ajabu
@esthermasudy841510 ай бұрын
Shalom Mtumishi wa Mungu. Mimi ninazo hizo ishara, namshukuru Mungu ninatumika kuwaombea wenye shida mbali mbali
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
MUNGU akubariki SANA Amen 🙏🙏🙏
@esthermasudy841510 ай бұрын
Ameen
@athumanmagomba593010 ай бұрын
Nisaidie nifanyeje Ili kulifanyia kaz ufalme wa mbinguni ume karibia amina
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Zidi kuomba, KUFUNGA na kujitakada
@athumanmagomba593010 ай бұрын
Amina
@athumanmagomba593010 ай бұрын
Amina
@user-bz8xx3hy1r7 ай бұрын
Na ninaota sana niko na asha watu na nilisha ota nipo kwenye kanisa la wachungaji
@josephmeleki39845 ай бұрын
Nikweli kuna wakati nakua nanguvu alafu wakatimwingine nakua na ofu ninapo taja jina la yesu ofu inaisha.
@okoambwaga63658 ай бұрын
Du!jaman mm hayoyote yanatokea nikisema inakuwa napia niliota naongea na ndege na waelewa wanacho ongea napia niliwahi kuota ninaonyeshwa watu wanateswa na wachawi nami nilisimama miguu yangu ikawa haikanyagi chin nikaita moto namoto ukatokea ukawaunguza wale wachawi wakawa majivu na watu wakawa huru wakawa wanashangilia jamani sijui hata lakufanya
@user-bo2il2ub1f7 ай бұрын
Amen God bless you
@brightergermanus21637 ай бұрын
MMMMM. MHUU YOTE 20 ULIYOYASEMA NINAYO NI HATARI MNOO UMEMIGUSAA MTUMISHI WA MUNGU
@Inah457910 ай бұрын
Nakumbuka mara ya Kwanza nilikua darasa la tano sijui chochote kuhusu uzazi,ila nilimuona mdada mmoja mjamzito amepita maeneo ya nyumbani nilimfata na nikamwangalia saana kisha nikamwambia siku ya leo haitoisha na utampata mtoto wa kiume ,alikua Yuko na ndugu yake ..siku iliyofuata nduguye alikuja nyumbani kunitafuta na hakunikuta Kwan nilikua Niko shule,Ila alimkuta Mama yangu na kumweleza kilicho tokea juu ya nduguye kua ni kweli kampata mtoto wa kiume usiku ule..Nilipotoka shule Mama alinieleza habari Ile kweli nilifurahi lkn Mama akanikataza nisiwe nawaambia watu juu ya ninachokihisi au kukiskia moyoni kwasababu naweza kushikwa uchawiii😂😂
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Endelea KUMWOMBA ROHO MTAKATIFU AKUSAIDIE. MANABII bado WAPO kibao TU. Na WEWE UNAWEZA kuwa usikate TAMAA ya kufanya KAZI ya Mungu
@user-tm2os7ex8e9 ай бұрын
Asante kwa ufafanuz mzur mm kalibia zote ninazo asante maana nimetambua kipawa changu.
@DeborahNyagawa-jy5gb4 ай бұрын
😂
@biblicalfactsnakedtruth66067 ай бұрын
Jameni Mimi Niko na hiyo roho apostle ila TU zojaombea itimie zote ishara pamoja na kuombea watu Mimi umia kabisa nikiona wagonjwa nadai hizo vipawa
@israelmlabwa97839 ай бұрын
MUNGU akubariki
@user-ce2en8bz4w7 ай бұрын
Mimi nimepata 11,jee mpakwa mafuta wa Mungu nifanye nini ilikipawa hiko kifanye kazi
@EmmanuelSanare-bc7si10 ай бұрын
Amina🙏💪
@elizabethkivuruga53519 ай бұрын
Mtumishi mm nikilala hasa mchana naota kila kitu kinachoendelea ktk vyote vinavyoendelea.pia naweza kujua kitu kilicho ndani yake nguvu inayomdrive.
@DeborahDeecassama4 ай бұрын
Mtumishi nimesikiliza Sijui Kwanini nimelia 😭😭
@donaldmpagaze9803Ай бұрын
Ktk vitu 20 ulivovitaja na kuvitafsiri mimi vingi ninavyo nivichocheeje maana kutokana na maisha ninayoyapitia najikuta nimekata tamaa na ninakuwa kam nazira kwakuwa ninatendwa na wale ambao sikutegemea kuwa wangenifanyia hivo hivyo ninapoteza mambo fulani kiroho
@gracesidi81828 ай бұрын
Karibu vipengele vyote hunitukia sasa hiyo ni kumaani niko na roho ya kinabii
@user-nx8tj3bf1f9 ай бұрын
Mimi ni lydia niko na ayo yote ni panye nini
@shiningstarheavenlyembassy9 ай бұрын
Anza KUMUOMBA ROHO MTAKATIFU AKUSAIDIE, lakini CHUKUA HATUA HATA Kwa kutafuta sehemu ya kuhudumu ama kuanzisha huduma wewe MWENYEWE
@doreenhallai206010 ай бұрын
Nikisema kitu lazima kitokee na mara nyingine huwa naogopa kusema. Na nikiota ndoto utokeakwa kweli
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es6 ай бұрын
Nipe no.yako ya sim Apostle, Nimefurahi zaidi Kwa somo hili
@shiningstarheavenlyembassy6 ай бұрын
+255768275795
@reginahmwanza78878 ай бұрын
Mm kuna wakati nafikiria kitu tu na kinatokea kwa mfano kuna wakati mjomba wangu alikua hos anaumwa kipindi hicho nko mdogo sana nlikua nalisha ng'ombe, nkawa nawaza naona vile amekufa na akazikwa makaburini baadaye kufika home nlipata n hivyo kweli amekufa na kesho yake alizikwa makaburini na sikua najua chochote juu ya kifo,, nmeota ndoto nyingi sana na zikatokea vile vile, tena naweza jipata nadanganya yaan kama mzaa na lile jambo likatokea kwa mfano nlitania mtu nkamwambia ndugu yangu amenunua gari na nlikua mbali na yeye Baada ya miezi kidogo nkaskia kweli amenunua gari yaan nlishagaa sana
@witnessjohn8578 ай бұрын
Me mara nyingi xana huota ndoto na zinatokea
@user-bz8xx3hy1r7 ай бұрын
Nimewai kuota ninatembea na mchungaji juu ya maji na nilishawai kuota mtu simuoni sura ananiambia nitoe pepo akaniita Simon petro ma alikuwa amejifunga kiuno chake kwa kitu kama kamba
@shiningstarheavenlyembassy7 ай бұрын
Kipawa Cha uponyaji na UTUMISHI WA MUNGU. Anza kusoma zaidi
@MarthaToshАй бұрын
Anza
@shantiMickel10 ай бұрын
Nikweli 😮😮😮 huyo ni Mimi 😮😮😮😮
@user-gk4oo7bh1f10 ай бұрын
mm karibia ishara zote niko nazo ubarikiwe mtumishi ni Resla kutoka kenya
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
May our God 🙏🙏🙏 show you the way to Serve him
@Inah457910 ай бұрын
Haikuishia hapo Nikiwa na umri mdogo huo Ndani ya family yetu ilikua no family ya kikoloni Kaka zangu walikua wakali saana juu ya kuwakemea Dada zangu juu ya tabia za ajabu ajabu ,..siku moja niliikuta haliile ikiendelea dhidi ya Kaka angu wa pili kuzaliwa akimkemea Dada angu wa sita..Nikamwangalia kisha nikacheka nikasema Ee Mungu tazama kijana huyu akimkemea nduguye juu ya tabia za ajabu ..wakati Mimi kila ninapo mwangalia Namuona kabisaa mtoto wa Kwanza ktk family Hii kuniita Shangazi atatoka kwake no ajabuu😂😂kisha nikakimbia ilipita kama miaka 4 mbele akawa amempa mdada Ujauzito,..Ajaabuu Ujauzito ule waliutoa lkn utabiri wangu ukawa umetimia😂😂Nikajisemea Ee Mungu labda ningezaliwaga zamani Ningekua nabii Nimambo mengi Ila waga sijielewiii
@shiningstarheavenlyembassy10 ай бұрын
Zidi KUFUNGA na kuomba Mungu ANATAKA kukutumia. USIPUUZE na USIACHE kuwatabilia WATU
@jeremiahchristophermollelmolle8 ай бұрын
SHALOOM,,mim nikiota ndoto inatoke hicho kitu na Kuna wakt nikihis kitu bdae kinatokea vilevile pia najikut nataman kuwa muhubir,,pia muimbaji lakin kila nikianzisha tu juhud najikut nashindw
@shiningstarheavenlyembassy8 ай бұрын
@@jeremiahchristophermollelmolle MAISHA ni mapambano! UKIONA NDOTO ULIYO NAYO ni RAHISI na inaenda vizuri JUA hutofika POPOTE. LAKINI NDOTO KUBWA inayokuogopesha ndio ITAKUFANYA UWE MTU MKUU HAPA DUNIANI!