nilikuwa mmoja wa victim mentality, lakini toka nimegundua hayo lakini kupitia hizi forums nimejikuta ni mtu huru sana ninayeweza kufanya kazi zangu kwa kujiamini hata Kama nitakosa hamasa, lakini pia kusoma vitabu na makala mbalimbali vimenisaidia sana. Wewe ni mmoja wa walionisaidia sana , Big up.
@joelnanauka5 жыл бұрын
詹姆士mgallason wow,hongera sanaaa,this is good news.Nakutakia mafanikio zaidi
@brackskinyozi3280Ай бұрын
Nilikua kw.. hiyo pia.. pia mm bt nashukur toka nianze kukufatilia mmb.. yngu yana enda vizuri... asante sana 🙏🙏
@bonaventure23915 жыл бұрын
God bless u a man of god
@thomasdamas43474 жыл бұрын
Asante... Joel kwa kunipa ujasiri na nguvu za kusonga mbele kwenye majukumu yabkutimiza ndito zangu. Napenda sana uwe msimamizi ktk ndoto zangu...
@nswimaamedeo8711 Жыл бұрын
Hii namba 1 inaniadhiri sana
@ckosmah215 жыл бұрын
Big brother nachopendaga siishiag tu apa kwenye coment huwa navifanyia kazi na matokeo nayaona thankx xana
@joelnanauka5 жыл бұрын
Ckos mah safi sana hapo ndio unaponifurahisha
@ckosmah215 жыл бұрын
@@joelnanauka thank u brother
@matrugnawangaeli48152 жыл бұрын
Asante kwani tatizo langu kubwa ni kwamba mawasiliano yangu na watu ninao wafahamu sio mazuri, na hiyo imesababisha kukata tamaa kwangu. Kwani ninaamini katika uhusiano wa kirafiki hata kama nimepata changamoto nyingi na marafiki. Na sababu sio kwamba tumegombana isipokua pale ambato unaulizwa utoe ushauri wako halafu unakataliwa kwangu mimi ni sawa, lakini inapokuja uhukumiwe kwa hilo hapo ndio ninaona hatari ya uhusiano nami najiweka kando. Ndio, naona kwambo ni wakati mngumu na ninajiuliza kila siku nitato lini huko lakini maisha vilevile yanaenelea. Nami wazo langu niendelee kupambana ingawa sio rahisi bado ninajitia moyo.
@bonaventure23915 жыл бұрын
Leo kanisani nimebalikiwa sana somo la njia saba
@joelnanauka5 жыл бұрын
Bona Venture Ahsante sana naamini utalifanyia kazi na litakusaidia
@finiasfidelis14755 жыл бұрын
Oh Ahsante bro. Huwa na mie muda fulani victim mentality hunishika ila kuanzia now nitaanza kuishinda !
@joelnanauka5 жыл бұрын
Finias Fidelis kila la kheri
@sleyoumkhamic92375 жыл бұрын
asante brother mm ni mwka 1 na nusu nikianza kukontroli mawazo yangu mind set nashukuru nimepiga hatua kiac acilimia 100
@costabeatus94925 жыл бұрын
Thanks kiongozi
@alfredsebastian91315 жыл бұрын
Blaza Joel Nanauka kazi zako za ukweli nakubali mnooooooo.... Lakin pia Naomba Ufanye Mchakato usambaze vitabu vyako mikoan
@joelnanauka5 жыл бұрын
Alfred Sebastian ahsnate sana,mikoani tunao mawakala kujua wakala wa Mkoa wako au eneo karibu tuwasiliane 0745 252 670 au 0756-094875
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Asante Sana bro
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nipo katika Darasa
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Things bro Joel namba 4 inanihusu sana ila nashkuru kwa kuniamsha kiakili ntalifanyia kazi be blessed
@joelnanauka5 жыл бұрын
mbwana omary nashukuru Mbwana kwa kuendelea kujifunza pamoja
@babalois72405 жыл бұрын
Keys of success... Thankx Sir
@tungaraza77945 жыл бұрын
Thanks brother be blessed
@mwanaheriomary73335 жыл бұрын
Be blessed broo
@lauchungulau92555 жыл бұрын
God bless you teacher Joel every day you teach me deferent things in this life I lean something
@joelnanauka5 жыл бұрын
Lauchungu Lau nashukuru sana tuko pamoja
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nice
@luciewajesus7315 жыл бұрын
Woooi!!! Point 5 why me. Hili nimejiuliza wakati nimejikuta kwa shida. Nishalijuwa haitajirudia maishani, Asante Joel nasongambele kwa kasi sana.💃🏃♀️👍
@joelnanauka5 жыл бұрын
Kate Natalie Faitheruothyesu kabisaa tusonge mbele Tukutane At The Top
@elikadoelias80535 жыл бұрын
Ahsante! Sana kaka Nanauka mafundisho yako yamenifungua ufahamu Kwa kiwango kikubwa, Mungu aendelee kukupa vitu vipya kila Leo.Ahsante!
@joelnanauka5 жыл бұрын
Elikado Elias Ameen nashukuru saa
@violetphilemon4635 жыл бұрын
thanks a lot Sir
@joelnanauka5 жыл бұрын
Violet Philemon karibu mnooo
@lucyloy16104 жыл бұрын
Thank you a lot..I learn something..
@mercygikaara93385 жыл бұрын
Naked truth Umenitoa bali sana kwa video zako zote karibu Nairobi kenya one day
@joelnanauka5 жыл бұрын
Mercy Gikaara nashukuru sana naamini nitakuja Nairobi one day.Nipatie nambari YAKO ya simu
@barakamsemwa67055 жыл бұрын
Sawa
@herimailo8183 Жыл бұрын
Brother Asante sana
@neemaonesmo76425 жыл бұрын
Thankx,nimekuelewa sir
@sirgodfreycharles14125 жыл бұрын
Asante mi team fearless
@joelnanauka5 жыл бұрын
Sir Godfrey Charles 💪💪💪
@zainabomar55125 жыл бұрын
Umenibadisha sana kimawZo
@saidmwinyi5065 жыл бұрын
You are great Joel.Napenda jumbe zako.victim mentality.
@winnyshayo88125 жыл бұрын
Barikiwa kaka Joel.
@joramntandu36685 жыл бұрын
Hongera sana kaka Kwa elimu bora kbs
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri #kuonewa huruma ni changamoto japo huwa narudi kwenye mstari tena baada ya kusikiliza motivational speech kama hii God bless u
@kassimmhamadi54495 жыл бұрын
Thanks 🙏
@cleopatraadolf64922 жыл бұрын
Asante sana kaka
@johnluhwa83425 жыл бұрын
Brooh unajua asantee sana.
@heavenlypatric48225 жыл бұрын
Thanks bro
@deotv5035 жыл бұрын
Asanteee brother video zakooo zinanifunzaaa mengiii na kunibadilishaaaa vitu vingiii
@joelnanauka5 жыл бұрын
Deogratius Nyutro nashukuru sana pamoja saa
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Ujumbe umefika na tumeupokea vema sana Bro Asante
@joelnanauka5 жыл бұрын
Maneno Lugendo karibu sana
@mamlakakahise8195 жыл бұрын
Umenena bro
@rahemahrahemah27195 жыл бұрын
Shukraan Kwa somo zr teacher wangu, umebadilisha Sana maisha yangu! MUNGU azidi kukuongoza 🙏
@joelnanauka5 жыл бұрын
rahemah Rahemah nashukuru pamoja saa
@Mnyaruge5 жыл бұрын
You drop the fact👍
@joelnanauka5 жыл бұрын
Mnyaruge Media Thanks sana pamoja
@shadrackmchele83125 жыл бұрын
Asante mkuu
@msleny67675 жыл бұрын
Lo! nimeipenda point ya kwanza kuonewa huruma hadi ujidhalilishe kuwa kila mtu duniani walikuja kukusaidia,😊😊 Thx so much for the upload, well digested👍
@joelnanauka5 жыл бұрын
WORK OF GRACE nashukuru sana
@juliusmatiko10515 жыл бұрын
Duh.... Bro ur da best Unanibadilisha xaana....be blessed
@joelnanauka5 жыл бұрын
Julius Matiko Thanks sana pamoja 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@healinghomeprayercentre5 жыл бұрын
Thank you sir, I am in Kenya
@joelnanauka5 жыл бұрын
apj mwenda will visit you one day
@nasryjuma47135 жыл бұрын
nashukuru sana bro kwa masomo yako
@joelnanauka5 жыл бұрын
nasry JUMA karibu sana
@hilarygodfrey58625 жыл бұрын
Boss wangu
@malalezengo44055 жыл бұрын
Dafi sana mwalim Joel nanauka
@joelnanauka5 жыл бұрын
Malale Zengo nashukuru karibu sana
@mwakamtungirehi20015 жыл бұрын
Kweli kabisa
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Thanks brother #npo darasani tayari kujifunza
@joelnanauka5 жыл бұрын
Charlz ze son Consciousness umetisha sanaa
@pendonyoni53645 жыл бұрын
Asante kaka,namba 4 hapo kaka kwangu tatizo
@talibtruth80185 жыл бұрын
M'baba joel.. heb nisaidie ni kit gan mtu afanye ili aweze kua na confidance ya kuamua jambo analotaka.. lkn pia maybe ameamua tyr hilo jamb la kit alichochagua kinahitaj fedha kukamilika lkn hizo hela hana anawwezaje kufikia hilo lengo lake
@joelnanauka5 жыл бұрын
Talib truth dawa ni kuchukua hatua tu,usipende kughairisha mambo kila wakati
@cosmasmrema88715 жыл бұрын
Safi kaka apo tano zote kwang tatiz
@rumayojr46385 жыл бұрын
🙏
@hadidjaissa915411 ай бұрын
❤
@denlsondanielson96695 жыл бұрын
Nmepata kitu
@chrissmalloy95 жыл бұрын
Kaka uko vzr sana mun
@joelnanauka5 жыл бұрын
Chriss Malloy nashukuru sana
@DRICK-vn3oj5 жыл бұрын
Bro video zina sauti ya chini
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Asante sana kwakunielimisha nimeanza kuhijua mimi ni nani na ninatakiwa nifanye ni-ni
@joelnanauka5 жыл бұрын
Josée Faida Butu wow hongera sanaaaaa
@nswimaamedeo8711 Жыл бұрын
And 5
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
Yaani yote uliyoyasema Ni Mimi kabisaa🤭🤭 nahitaji kubadilika
@wittyberry38975 жыл бұрын
Why me? Huwezi kupiga hatua, Asante kwa somo zuri
@joelnanauka5 жыл бұрын
Witness Berthesa kabisa witness
@jomikomike16825 жыл бұрын
Dah uyu mimi kabisa
@joelnanauka5 жыл бұрын
jomiko mike Naamini utabadilika fastaaaa
@richardrobert17625 жыл бұрын
Sir Joel una Vitabu vyenye mkusanyiko wa Elim hizi unazo zitoa naitaji sana kufahan katika hili
@msengisimoni20875 жыл бұрын
hivi vyote vinatusumbua sana sisi vijana
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
eee kuonewa huruma tena. hiyo mbaya wasomaji
@joelnanauka5 жыл бұрын
Judith Njunwa kabisaaa,haifai
@mariamuswedy88995 жыл бұрын
Joel vitu vizuri mnoo ila Nina jambo linanisumbua
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Dah Jana nimepata vitabu vyango vipo vizur Sana
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
vitabu vyako
@josephmandelapenet45879 ай бұрын
6:42
@tungaraza77945 жыл бұрын
Nina rafiki yangu mmoja yeye huwa anataka kuonewa huruma
@joelnanauka5 жыл бұрын
Tunga Raza itabidi umpe zawadi ya hii Video 😂😂🙏🏼
@dianamalingumu45165 жыл бұрын
dah nimefika sehemu sababu yko kaka kwa Sasa mimi ni MTU ambae nakufatilia umenifikisha sehemu nilipo
@joelnanauka5 жыл бұрын
Diana Malingumu nashukuru sana Diana,barikiwa sana na Nakutakia mafanikio Makubwa sana
@emmanueldonald92435 жыл бұрын
Hellow
@malakimoses61155 жыл бұрын
Kunamtu namfahamu anadalili hizo nataka kumsaidia
@sihabarajabu55095 жыл бұрын
Ni mhanga wa malalamiko yaan why me
@azizmustapha38185 жыл бұрын
Mimi hapo mtaalamu kiukweli ninazo dalili karbia zote ila tatu ndo zimeshamili mno nazo ni kujiona naonewa na kila mtu kujiona sina thamani na kutaka nihurumiwe. naomba msaada zaidi please.
@joelnanauka5 жыл бұрын
Aziz mustapha pole sana ,kujitambua ni hatua ya kutatua changamoto.Njia bora ni kuendelea kusikiliza video kama hizi na kusoma zaidi vitabu vya kukujengea ujasiri maishani
@albeleenalberto1585 жыл бұрын
Hivi wanaoweka dislike huwa wanakuwa wameelewa kilichozungumzwa?
@joelnanauka5 жыл бұрын
Dorah Albert 😂😂😂
@meshackngadango68555 жыл бұрын
Ndo uelewa wao ulipoishia,2wasamehe
@shubackmashinga35355 жыл бұрын
Mm sina bahati imekua kama wimbo wa taifa
@yohanakigulu33725 жыл бұрын
somo zuri sana nimekuelewa bro nimepiga hatua mpaka Sasa nilipo kaka #joelinamauka______-_+_🤗🤗 yohanakigulu0700@gmail.com why me??
@jacobedmar.yakobo45465 жыл бұрын
Na ndio maana Confius alisema aie foi en vous meme et vous saurez comment vivre Tatizo kubwa la kuwa victim mentality Ni kutokuwa na imani kwao peke yao na kutokujikubali Binafsi nashukuru mi siyo victim hwa huo u victim
@joelnanauka5 жыл бұрын
Jacques Edouard safi sanaaaa
@miim94295 жыл бұрын
Bro what to do to cure that victim mentality
@joelnanauka5 жыл бұрын
miim act opposite of the victim mentality person
@chiefexecutiveofficer49424 жыл бұрын
Lakini mkuu wangu unaweza kuwa hvo na ukawa bado juhudi na pleas niasidie christopherlaurent088@gmail.com naomba tuwasliane mkuuu wanguu
@tariqkideu73685 жыл бұрын
Aujibu sms zangu ista wala whatsapp
@joelnanauka5 жыл бұрын
Tariq Kideu pole sana huwa najitahidi kujibu Kadiri ninavyoweza kwa uwingi wao
@richardvalson98685 жыл бұрын
Daaaah kwa sasa nimesha anza kubadilika kwa elimu nzuri unayo nipa #ulipo nipo #ßrotherNanauka