JAMBAZI SUGU LAFUNGUKA/ TULIFUNGWA NA TUNDU LISSU/ALINIKATAA/ BABU SEYA NA WANAWE!/ UKATILI GEREZANI

  Рет қаралды 61,565

Dar24 Media

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ukonga #jela #mahakamani

Пікірлер: 106
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una mkasa au simulizi wasiliana nasi kupitia simu namba..#0653127761
@abdulnasrikhatibu7568
@abdulnasrikhatibu7568 Жыл бұрын
kaka wakati unafanya kipindi hakikisha sauti inakuwa inayosikika vizuri
@antonyvallerian1718
@antonyvallerian1718 Жыл бұрын
I'll l look see ll
@SaidMatimbwa
@SaidMatimbwa 9 ай бұрын
​@@abdulnasrikhatibu7568❤❤❤❤q
@fadhilimsafiri216
@fadhilimsafiri216 8 ай бұрын
Maongezi mengi sana kupoteza muda mwingi.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Only in Tanzania, Nchi Nyingine Ujigambe Ulipiga M2 Mapanga Ukafanya Nyanganyiwa wa silaha LEO wafuatilie Wakute ni Kweli Hilo tukio lilitokea, Utakamatwa. Na Hiyo itachukuliwa kama Comfession to a Crime
@biblicalchristianassemblies
@biblicalchristianassemblies Жыл бұрын
Huyu mpuuzi kweli kweli, yaani hajutii aliuowafanyia wengine, ila anajutia aliuofanyiwa. Mpuuziiiiiiii
@milnertv8079
@milnertv8079 Жыл бұрын
Huyo anayejiita mwana kondoo kama hayo ndiyo aliyoyafanya basi atubie sana kwa mungu
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 Жыл бұрын
Thanks
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea Sana, una maswali ya kijinga unamkatisha katisha Sana unaboaaaaaaa
@justinkihongo-ou1up
@justinkihongo-ou1up Жыл бұрын
Inchiiiii ihiiiii bwanaaa
@florianmodest6215
@florianmodest6215 Жыл бұрын
Hatari sana maisha ya ujambazi sio tuishi kwa utaratibu na kumuomba mungu aepushe mambo haya.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Dupa mdupange nikiaza kukusikiliza huwa najipanga mdogo wangu chechemua Salut kwako story mbona kama hunailushalusha bregedia 🇹🇿🇬🇷😁👍🙋‍♂️✊✊✊✊
@christopherrobert1948
@christopherrobert1948 Жыл бұрын
11:53 miaka ya 90 alikua anakaba wahindi anawachukulia simu na ela. 😂😂😂😂 muda mchache mbele anakwambia simu amna simu amna.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Nimewaza kwa sauti, miaka ya 90 cm hazikuwepo😢
@ayoubmwanawima1820
@ayoubmwanawima1820 Жыл бұрын
Brigedia analia
@nikyhassan9394
@nikyhassan9394 Жыл бұрын
Congratulations bro Dumpa
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Huyu Jamaa ana siri nzito sana sana.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Huyu Mpumbavu labda Ukute stori za Uwongo, Lakini kama Ni Kweli anazungumzia Kumpiga Mtu mapanga Bila hata Kuonyesha Majuitio, He need to Be Arrested!
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema Жыл бұрын
This is a confession but without strong evidence it's his words against state and that's period
@user-mv1vn7oj4w
@user-mv1vn7oj4w Жыл бұрын
1991 SIMU GANI ULIKUA UNAIBA WEEWE,ACHA UONGO
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
NAWASHAURU TU POLISI LABDA HUYU MJINGA AWE ANATUNGA, KAMA HAYA MATUKIO KWELI YALITOKEA. MKAMATENI HARAKA!
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
Heri yako mwenye Akili ombea wenzako mema ,maisha ni siri hujui kesho yako
@Yussuf1996-ew5gj
@Yussuf1996-ew5gj Жыл бұрын
Hiiii nilikuwa naisubr kwa hamu dupaaaaah
@kingkendrickk
@kingkendrickk Жыл бұрын
Ndani ya mbanga mpya
@amosmahona433
@amosmahona433 Жыл бұрын
Mtangazaji hajui kuhoji
@user-vi3xx5ew5i
@user-vi3xx5ew5i Жыл бұрын
Kwani huko mbongo hakuna machine ya X ray. ? Inaonekana bodo tupo ktk karne ya 18
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea sana humpi muda wa kutosha kila neno unatia neno lako ulisomea wapi
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Mtangazaji usiongee sana tumsikilize huyu muhusika
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Wanaiga wicked ya Kenya lakini haibambi ki viile
@FunnyZVideos
@FunnyZVideos Жыл бұрын
Hiyo mbanga mbanga... iondoeni au mpunguze sauti kidogo bana.. inashtua aisee. Kuna mzee niponae hapa hadi kaamua kuondoka.😁😁😁
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
Huyu anaonekana na anavyoongea hajatubu...yaani aliokuwa anafanya kwa wengine kwake ni sawa tu,,,,,pumbavu zake,,,angefungwa life
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Mtangazaji fara anataka kuongea linamzuia iri tuje tuangalie 2
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Жыл бұрын
Mbona humpi nafasi ya kueleza ulimuuliza shule aliyosoma ukarukia ukamwambia alifikaje kwa hiyo hatujui alisoma wapi na ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kama ulivyikuwa umemuuliza awali
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Huyu ni kichaa kabisa
@ibnmoses979
@ibnmoses979 Жыл бұрын
Balozi bado ni msimuliaji bora kwa 2023 labda atokee mwengine
@machaggechacha243
@machaggechacha243 Жыл бұрын
Sasa nini kama mlifungwa? Upumbavu wenu uliwaponza na utazidi kuwaponza kama hamkujifunza gerezani.!
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz Жыл бұрын
Kwani huyu alifikiri ataotesha mahindi avune maharage?huo ni mshahara wa maasi yake
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 Жыл бұрын
Msela wakizamani 😂😂😂Wengi wamekufa keko mwanga na jangwani 😂😂
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HAYO NDO MAMBO,,TULISHAMCHOKA YULE MWANENU
@ibnmoses979
@ibnmoses979 Жыл бұрын
We acha bwana Balozi ni next Level
@hamismahamdu2334
@hamismahamdu2334 Жыл бұрын
Mtangazaji unaongea sana, punguza maneno
@innocentrichard9316
@innocentrichard9316 Жыл бұрын
pamoja saana dupa mdupange
@byabatotv3283
@byabatotv3283 Жыл бұрын
Mkishazeeka nguvu zimeisha ndo mnajifanya watakatifu..
@abdulswamdenyambuka1902
@abdulswamdenyambuka1902 Жыл бұрын
Jamaa sio mzuri kwenye kusimulia... anarukaruka sana na kuchanganya matukio... ila story yake ni nzuri sana... ila baharia balozi alitisha sana ktk kusimulia
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Story ya kukata watu mapanga ndio unaiona ni nzuri, hii ni story ya kusikitisha hivi ingekuwa wewe umepigwa mapanga au ndugu yako ungeona hiyo story ni nzuri
@ibraton4071
@ibraton4071 Жыл бұрын
yaaan jamaa analalamika kama alikua mtu...halafu ana bahati hajauliwa sabab enzi zake walikua wanaua balaaa
@ramadhanmido3679
@ramadhanmido3679 Жыл бұрын
Punguza maelezo kaka unakula mda wa watu kujifunza kipindi ni kizuri ongera
@user-im9ly7vt6b
@user-im9ly7vt6b Жыл бұрын
Mwaka 1991 alichukua simu baada ya muda mfupi anasema simu zilikua hamna mwongo
@muokiones2761
@muokiones2761 Жыл бұрын
huyu mjinga bado analia eti alifungwa bure. ye haoni maisha ya watu alivyoyadhuru.
@eliasrobert6255
@eliasrobert6255 8 ай бұрын
Bado sana huyo jamaa
@chezariboy
@chezariboy Жыл бұрын
Huyu,, jamaa mwonekano tu inaonyesha bado hatabiriki,, tundu lisu anaangaliaga haki yako imekaa kwenye mstari vinginevyo Mungu alihusika jamaa apate mafunzo gerezan maana uluonea watu sana.
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 Жыл бұрын
😂😂😂
@hansmsangi9828
@hansmsangi9828 Жыл бұрын
Tulikuwa tunawachukulia simu hela kwenye dakika 11 46 mpk 11 47 alafu mbele tena unasema mlikuwa hamchukuwi simu kipindi hicho simu hakuna kwenye dakia 12 35 ss tunashindwa kuelewa hizi story za kutunga au mtuweke sawa hapo tunatumia MB zenye hela ndani
@mwaka43
@mwaka43 Жыл бұрын
Nafikiri alikuwa anaelezea matukio yote aliyoyafanya kuanzia kabla na hata baada ya Simu kuingia miaka ya 2000 mwanzoni, Mara ya Pili alizungumzia matukio yake Specific kabla ya simu kuingia....Huyu bwana amefanya matukio kabla na baada ya simu kuingia
@martinmuthii1900
@martinmuthii1900 Жыл бұрын
@@mwaka43 hapo umetafakali vizuri
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Stor za kiwak
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 Жыл бұрын
Nazima data mtangazaji unaboa
@sirajbakari104
@sirajbakari104 Жыл бұрын
Duu hii ya leo kali
@davidpaschal778
@davidpaschal778 Жыл бұрын
Maelezo meng
@joshuajacksonbatholomeo3408
@joshuajacksonbatholomeo3408 Жыл бұрын
H!
@jumahalifamkindi2175
@jumahalifamkindi2175 Жыл бұрын
Host jitahidi ufupishe maelezo unakera
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 Жыл бұрын
Mbaga huwezi kuhoji vizuri na story zingine zinarukwa rukwa tu hivyo story hainogi kabisa. Ni kama vile umbea fulani hivi
@eugenyraphael4334
@eugenyraphael4334 Жыл бұрын
Mfano pale mke alipojifungua,Kule hosipitali
@shamsaelbeity8250
@shamsaelbeity8250 Жыл бұрын
Wanarudiaga hao
@bensonmwita-vv7pb
@bensonmwita-vv7pb Жыл бұрын
Punguzeni basi music basi Daaaahhh
@hashimrashid6380
@hashimrashid6380 Жыл бұрын
Ndugu mtangaj utangulizi t nusu saa 😅
@kelvintiba9412
@kelvintiba9412 Жыл бұрын
Anaongea sana aisee.😂
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Mtangazaji acha mtu aflow too much interuption
@SudiKama-ok9eh
@SudiKama-ok9eh Жыл бұрын
😂😂😂
@masanjamasaga5498
@masanjamasaga5498 Жыл бұрын
dhuruma haidum
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 Жыл бұрын
Ww mwandishi unaongea Sana
@simbabbq4427
@simbabbq4427 Жыл бұрын
Jambazi huyo angefungwa maisha alimpiga babayake mdogo kisu sema kama katubu niborayake a anisjfu kua jambazinamtakia maishayake mapya...
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Hakuna Kutubu, Kutubu Kwa Mungu, ANATAKIWA AKAMATWE, WAFUATILIE KAMA KWELI HAYO MATUKIO YALITOKEA, ICHUKULIWE KUWA AMEKIRI UHALIFU. NITAISHANGAA SANA SERIKALI KAMA HUYU MBWA HATAKAMATWA
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 Жыл бұрын
sasa unadhan angekuwa anaendelea na hayo matukio angejitokeza kushare mapito yake kwetu au angeendelea kujificha?
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 Жыл бұрын
Mwongo uyo
@firegun9443
@firegun9443 Жыл бұрын
Mkweli wewe basi
@yusufulimo5737
@yusufulimo5737 Жыл бұрын
Umekwepesha vitu vingi sana hi story ina ukweli asilimia ndogo mno umekua muongo kwa kifupi.
@jafarimohamedi7900
@jafarimohamedi7900 Жыл бұрын
Katoe story yako ya ukweli
@saimonjohnsumley9198
@saimonjohnsumley9198 Жыл бұрын
Kuna kitu Anatafuta huyu
@ajantstudios2
@ajantstudios2 Жыл бұрын
Huyu Jamaa Kama Muongo Hivi🎃🎃
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema Жыл бұрын
Hata wewe jina tu lako ni uwongo na confused haujui ni mnaija aw mbongo
@user-mf7tz4go2x
@user-mf7tz4go2x Жыл бұрын
Kaka story hii inaendelea lini tena
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Alitakiwa avuliwe nguo zote hadharani kisha aingizwe kitu mkunduni
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
We ni mkamilifu sana au sio
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
@@panafricanmawesa2555 wewe huwajuwi hao, jambazi ninkama nyoka hata ukimtoa meno bado ana madhara, huyo jamaa na shetani tofauti yao shetani haonekani yeye anaonekana. Anajisifu kukata watu mapanga alafu unaniuliza eti mimi kaka ni mkamilifu au jambazi mwenzio.
@zenanassor7118
@zenanassor7118 Жыл бұрын
😅kaa nae mbari atakupiga ndosi huyo bado fuz imekata
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Hujatenda kosa mpumbavu ww wakat ulkuwa unakaba watu yani watu wa HV ningekuwa askar ukiletwa kituoni n kpigwa t sindano ya sumu
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 Жыл бұрын
Usihukum kabla hujahukumiwa 🙏🙏
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
@@jovintosssi3287 yy mwnyw s kasema alikuwa anakaba watu anawakata mapanga sasa unataka tuseme nn pita HV mzeee
@dennymkumbala5748
@dennymkumbala5748 Жыл бұрын
Mwongo jamaa aeleweki
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Жыл бұрын
Bado muhuni tu
@brysonmandari5694
@brysonmandari5694 Жыл бұрын
Story ya uongo hiyo
@KatulebeJaphet-jr4br
@KatulebeJaphet-jr4br Жыл бұрын
Mwaka 1991 simu zilikuwa za aina gani mhhh
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
​@@KatulebeJaphet-jr4br Philips, yalikuwa yanaitwa mche wa sabuni sababu yalikuwa makubwa
@KatulebeJaphet-jr4br
@KatulebeJaphet-jr4br Жыл бұрын
@@nantaembanusurupia5674 lakni hyo story ni ya mchongo
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
@@KatulebeJaphet-jr4br 🤣🤣 acha yapite kama mengine😂
@allanothuman2941
@allanothuman2941 Жыл бұрын
​@@KatulebeJaphet-jr4br unauhakika na unalolisem eb leta ushahid wowot ule
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 Жыл бұрын
unajipa jina brigedia ushukuru Mungu wenzako wote wako kaburini
@nobilityofmind4784
@nobilityofmind4784 Жыл бұрын
Unaongea sana jifunze kumpa mtu muda aseme
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 Жыл бұрын
Huja fungwa bure bwege we... Umetesa watu sana ndo umelipa mungu alikuwa amekuwekea time yako ya kulipa ulivo watesa watu na kuiba mali zao pumbavu usilalamike umeonewa
@panafricanmawesa2555
@panafricanmawesa2555 Жыл бұрын
Hujafa ujaumbiika muombee kher tu maan ata ww apo sioo mkamilifu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
@@panafricanmawesa2555 kwani ujambazi ni ugonjwa
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 Жыл бұрын
😂😂😂
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 26 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
EXCLUSIVE: MKEWE LISSU AFUNGUKA, NGUMU KUAMINI (PART 1)
26:26
Mwananchi Digital
Рет қаралды 182 М.
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 757 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 26 МЛН