'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW

  Рет қаралды 755,823

DW Kiswahili

DW Kiswahili

5 жыл бұрын

Adam Mohamed Bakari, mtu anayefikiriwa kuwa shahidi muhimu kwenye mkasa wa kushambuliwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki nchini Tanzania, Tundu Lissu, amekuwa kimya tangu Septemba 2017 hadi alipozungumza na DW kwa mara ya kwanza akiwa nchini Ubelgiji, zaidi ya mwaka mmoja na nusu tangu kutokea kwa mashambulizi hayo.

Пікірлер: 677
@johngibson3089
@johngibson3089 Жыл бұрын
Pole sana dereva na hongera kwa kushiriki kumnusuru Tndu Lissu. Mungu akusaidie ili siku moja uwe dereva wa rais Tundu Lissu
@rebecashumbi3450
@rebecashumbi3450 Жыл бұрын
Adam mpe Yesu maisha yako umeokoka kwenye tundu la simba okoka YESU atawale maisha yk
@mashindanolivinus
@mashindanolivinus Жыл бұрын
1. Tumeanza kufuatiliwa toka tunatoka bungeni.. kila tukipiga kona magari mawili yanatufuatilia, ila sikumuambia bosi. 2. Tunaingia getini gari moja inaingia na sisi na kupaki nyuma yetu, namuambia bosi asishuke ila kwa dakika zaidi ya kumi hata hatupigi simu kuomba msaada kwa kuhisi hatari. 3. Gari inageuzwa kuelekea ilipoingilia (getini) anashuka mtu wanaongea tena kwa dakika kadhaa kisha gari inarudishwa rivasi na kupaki nyuma ya gari yetu. 4. Zinapigwa risasi upande wa abiria (bosi) inamaana kushoto kwake lakini anajeruhiwa mguu wa kulia. 5. Anasema hakupaniki kabisa aliposikia mlio wa bunduki maana ni muda walishajua wanafuatiliwa. (MLIO WA SMG!!!??) Mungu endelea kutulinda sisi na nchi yetu!!!
@rajabungereza8755
@rajabungereza8755 4 жыл бұрын
Naomba ahojiwe vzuri atakuwa anajuwa kwann. Hakumwambia boss wake mapema ili atoe taarifa police anasubiri mpaka avamiwe hapo naona kuna alama ya kuuliza hatakama sijasoma
@ramadhannjuch9549
@ramadhannjuch9549 3 жыл бұрын
Kwanini walitoa Camera
@franknamkoko8228
@franknamkoko8228 3 жыл бұрын
Polis gani tena ushaambiwa walitoa taarifa mapema saan na hakuna kilichofanyikaa
@zuhurageyash3519
@zuhurageyash3519 3 жыл бұрын
Dereva anahusika kwanini. Ashuke wakati aliona hatari? Na kwanini asimwambie boss kuna watu wanatuatilia? Ili achukue tahadhari? Akafanya siri kisha akashuka ili risasi zisimpate? Hao waliofanya kitendo hicho ni wafuasi wa chadema wameona tundu lisu kimbelembele hataki wenzake washike nafasi ya urais maana mbowe alitaka awe rais Dr silaa Sharif hamad na pro lipumba wote walitaka wagombee sasa jamaa kagoma hapo ukawa na ukuta ikafa hivyo ni visasi vyao tu na dereva anajua yote lakini mjue kikulacho kinguoni mwako
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Kabisa kwanin yeye hajapata majeruhi
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Hawa wanasinema wazur sana, huyu jamaa nafsi yake inamambo mengi juu ya hili..... Ni serikali ya wapi itumie mateja au walevi kufanya ambush kama hiyo? Maana mtu aliyempiga hizo bastola za kupigia njiwa pori anaonekana kbsa ni kilaza tu, mm naamini asingetoka mtu hapo, 32 bullets 🙄🙄🙄. CCTV gn kwan mtu akisema umeng'oa kigingi hata kama hakikuwepo mdomo wake utabambika?
@ismailzakayo1139
@ismailzakayo1139 Жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana ni mlinzi wa maisha yetu anatupigania
@jastinistivini9687
@jastinistivini9687 2 жыл бұрын
Poleni Sana tufungeni siku mtu mungu atajibu
@humaidalnaamani4183
@humaidalnaamani4183 3 жыл бұрын
Daah gari ulikuwa nyuma ya gari yao kisha wanapigwa na risasi tokea nyuma ya gari inampiga mshambuliwa kwenye paja hii kali
@jasonhiphop2589
@jasonhiphop2589 5 жыл бұрын
Waliopotea tu inatosha kutohowa nakupata Lugha kamili yawalio husika.Mungu ndie muweza wayote hakuna atakaeishi milele.Mungu atukuzwe kwakuwaponya.
@deogratius1790
@deogratius1790 Жыл бұрын
Tf brtteyy
@erastoonesmo6109
@erastoonesmo6109 3 жыл бұрын
Kiuhakisia izo risasi zingemjeruhi na yeye picha LA kihindi ili😂😂😂
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
acha ukuma wewe, mbn ushangai walinzi wa hapo walikuwa wap!!!???
@daudidarabo3311
@daudidarabo3311 3 жыл бұрын
@@bennymochiwa4800Asanteee benny
@joyceshile6322
@joyceshile6322 3 жыл бұрын
Hiyo hotuba ya RAIS WETU INAITWAJE KZfaq, ALIYOTAMKA MANENO HAYO ILI TUSIKIE ACHENI KUTUFANYA MAZOBA
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 жыл бұрын
Mungu anajua zaidi
@stevenmsaaada.msaada.389
@stevenmsaaada.msaada.389 3 жыл бұрын
Yaan ulipiga mlango ukatoka. Afu nani akaufunga? Maana umesema uliufungua tena ukakuta bos wako ameumizwa baada ya tukio. Huon kama unadanganya waziwaz?
@emmapaul1766
@emmapaul1766 3 жыл бұрын
Wewe ni mpumbavu polis nani aliwatoa au unajisahaulisha serikali kama hawajampiga wao waseme polisi ambao huwa wanalinda masaa 24 siku zote walitolewa na nani
@joyceshile6322
@joyceshile6322 3 жыл бұрын
HAHAAAAAA! ANAFIKIRIA WOTE TULIZIMIA SIKU HIYO, KUMBE ALIZIMIA BOSS WAKE KIMAWAZO? TUNAWACHEKIIII TU😳( steven), SWALI LAKO ni Babu KUBWAAAAA. HUYU DEREVAAA WA LISU HUYUUUU🤣🤣🤣🤐🤐🤐🤐🤐
@muhdsseif5785
@muhdsseif5785 3 жыл бұрын
Eee ndugu hakuna asiejua risasi zile ilikuwa mkono wa serikali. Sasa unapojaribu kusema dereva ni mjinga, unazidi kumpaka mavi Magufuli. Maana masaa mawili kabla ya risasi alitoa tishio la kumuua Lissu. Na hiyo hutuba imo youtube hadi leo
@timboxlee919
@timboxlee919 3 жыл бұрын
Acheni usanii wewe dereva na huyo tindulisu wako,kama risasi ni wewe ndie ulie mpiga huyo bwana wako,,tena kwa kuona mtaumbuka mkambilia huko ubeligiji,
@bableeyzabdalla531
@bableeyzabdalla531 3 жыл бұрын
@@muhdsseif5785 mwenyezi mungu alimuonesha magufuli uwezo wake WA kiungu ili ajitambue kibri chake hakiseidii kitu hao wanaosema sijui dereva sijui nani wote wanajuwa mpango WA kumuuwa lissu ni amri ya magufuli na mpangaji mkuu ni makonda alikueko Dodoma kisiri waliompiga risasi ni walinzi WA Rais na usalama WA taifa simu ya makonda mawasiliano walivokuwa wakipanga yako alipoekewa vikwazo na amerika sababu ni utekaji na utesaji
@rashadallamki8862
@rashadallamki8862 3 жыл бұрын
Adam Asante kwa wako ukweli na Mungu atakuhifadhini wewe na Muhishimiwa Ameen
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Жыл бұрын
Ukweli aupeleke police kesi ianze waache mambo ya kihuni huyu ni shahidi number moja
@pundatr8103
@pundatr8103 Жыл бұрын
Adam aje tz mbona lisu kalud ajeahojiwe napols muuaj skatangulia
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Жыл бұрын
@@pundatr8103 lissu si victim aende akafungue mashtaka alafu aje na huyo Adam atoe ushahidi lissu mwenyewe hata hana uhakika kwa sasa nani alimfanyia tukio
@robertnsambila7354
@robertnsambila7354 3 жыл бұрын
Mungu mwema na ndio mana kawanusuru hamkuwa na hatia tunawaombea sana
@johanesjohn8471
@johanesjohn8471 4 жыл бұрын
Mission impossible....Mungu mwema
@immailecx5355
@immailecx5355 Жыл бұрын
Dereva. Ausik .kwaniangeshindwa kumalZ. WEWENIMTUMUNGU NAMUNGUAKULIND UWENAMOYO UWO UW
@privatuswapeter4457
@privatuswapeter4457 5 жыл бұрын
Uko poa bro
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 5 жыл бұрын
Siasa nimchezo mchafu sana mtajuana wenyewe huko siasa nikama ugonjwa
@pauldavid5141
@pauldavid5141 5 жыл бұрын
Utungaji.
@dinahnyagosaima1259
@dinahnyagosaima1259 3 жыл бұрын
Jina jingine ufahamu
@elliottrahema
@elliottrahema 3 жыл бұрын
Jamani siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, Huyu fala ni muongo mkavu sijui umelipwa kiasi gani phuu
@neemakrekamoo4789
@neemakrekamoo4789 Жыл бұрын
Very smart and honest guy👏
@AD-qi3wb
@AD-qi3wb 4 ай бұрын
How? wewe watu wakifuata ,utawapeleka mpka kwako na na kusubili nje?
@tegamaduhu5204
@tegamaduhu5204 4 жыл бұрын
Pole baba ugua pole
@sadikirajabu6806
@sadikirajabu6806 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@elishangomele9937
@elishangomele9937 3 жыл бұрын
Shida ipo kwenye kuumia mguu wa kulia alihari umekaa upande wa kushoto ya mungu mengi
@emanueldunia0014
@emanueldunia0014 Жыл бұрын
Kwahiyo amejipiga risasi au??? Wewe unaweza?
@JoblessMillionaireMakolo-jb7xo
@JoblessMillionaireMakolo-jb7xo 2 ай бұрын
Kawaida ya risasi ukipigwa kushoto hutokea kulia.
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
Mungu Ndo shaidi pekee🙏
@lauriankajugusi5225
@lauriankajugusi5225 5 жыл бұрын
Sasa naamini kuwa huyu dereva ni wa mhimu ktk sakata hili.Hebu tuangalie kwa pamoja, dereva kwa taratibu za kupaki gari huwa ni kushoto kwake,akiiacha nafasi ya mpitaji mwingine Julia kwake.Kwa maelezo yake,gari LA washambuliaji, ghafla lilirudi reverse na kuwashambulia kwa ubavuni.Hapa mhanga wa kwanza alipaswa kuwa yeye.Wataalam wakimpata huyu bwana, ukweli utapatikana kiurahisi.
@roseesospeter1792
@roseesospeter1792 3 жыл бұрын
Uposahihi kabisa bado hawajasema me niliomba tu wawe nahofu ya mungu ndipo watasema ukweli
@christopherjimmy8925
@christopherjimmy8925 5 жыл бұрын
Taratibu kisheria mtu wa kwanza kumhoji Ni Yule aliyekuopo kwenye tukio ndipo upelelez mwngn unaendelea sasa ninyi wote mko ulaya sasa nani atafungua kesi nani atatoa maelezo ili kusaidia police. Leo naamin wana macho lkn hawaon wana masikio hawasikii.
@simonshitindi6242
@simonshitindi6242 5 жыл бұрын
Brother we umeongea kitu chamsingi sana
@jonijojoss9181
@jonijojoss9181 5 жыл бұрын
Moo Roma walitekwa na mpaka Leo unataarifa gan maana wao walitwa polis na wakahojiwa hebu tupe mwendelezo wa ni kwanini walitekwa
@hemedmteza6956
@hemedmteza6956 5 жыл бұрын
Christopher Jimmy wangekufa je?
@fredymachumu1631
@fredymachumu1631 5 жыл бұрын
@@jonijojoss9181 we ni ndezi kweli
@ceciliamhumba7349
@ceciliamhumba7349 5 жыл бұрын
Wangekufa wote miili yao ingefanyiwa uchunguzi.
@ramanizetu_blog5973
@ramanizetu_blog5973 4 жыл бұрын
hivi dakika zote hizo mnashangaa lile gari na hadi linageuza mmeshindwaje kuchukua namba za gari? plate no.? dakika 10 mmeshindwa kuchukua hata picha? hata kupiga simu kwa ndugu wa karibu?
@jumaally4215
@jumaally4215 3 жыл бұрын
La pole mwenye ,zmungu akulinde zaid
@peteralfonce5848
@peteralfonce5848 5 жыл бұрын
Mimi siandamani tena
@princessfettyrashidi2409
@princessfettyrashidi2409 3 жыл бұрын
P0le
@nujakaambari5599
@nujakaambari5599 5 жыл бұрын
Bosi wako ktk ziara zake katamka ya kuwa kuna gari zilikuwa zinawafuata tangu mlipotoka bungeni. Na amedhihilisha kuwa mlikuwa kwenye hali ya tahadhali. Wewe unasema ya kuwa mlipotoka bungeni mlikuwa mnafuatiliwa na magari mawili,ukapunguza mwendo,baadae ukaongeza mwendo,na kipindi unafanya hivyo hukumwambia boss wako. Hapo ni kauli mbili tata. Kwa maoni yangu Dereva aliamua kuto kumweleza boss wake ili apate fulsa ya kumseti ilii washambulizi watimize lengo lao. Dereva anajua kila kitu Umekwisha broo
@nuranzubail1240
@nuranzubail1240 5 жыл бұрын
Hujui kusikiliza vizuri . Au unasikiliza kwa upendeleo bias listening unachagua ya kusikiliza au unapenda kusikiliza unayoyataka . Walipofika nyumbani pale lissu alitaka kushuka kwenye gari lakin alimwambia usishuke kwanza kuna hayo magari yametufatilia toka tuko bungeni. Mwanzo hakumwambia wakati wanaenda lakin walipofika alimkataza kushuka walikaaa km dk 10 hizi ndo alimwambia so Lissu nae akajua kumbe walifuatiliwa tangu bungeni .
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 3 жыл бұрын
YAANI KAMA UNGEMUACHIA ASHUKE ANGEPIGWA ZA KICHWA DOH! UMEMSEVU KUMUAMBIA ASISHUKE
@danielmarunda153
@danielmarunda153 3 жыл бұрын
Hilal Alhabsi Ungepata faida gani Kama angepigwa za kichwa? Acha ujinga wewe unashabikia upumbavu
@godisgreat1845
@godisgreat1845 3 жыл бұрын
Kuna clip ulisema ulilaza kiti ndio. Maana risasi hazikumpata hapa unasema ulilaza kwenye kiti chako
@mzafaludauda5342
@mzafaludauda5342 4 жыл бұрын
mmh namwachia mungu
@YudaMatesie80
@YudaMatesie80 4 жыл бұрын
Kama Lisu hakufariki bado ni shahidi siyo akomaliwe dereva tu hii ni move ya kucreat
@mclangutut5912
@mclangutut5912 8 ай бұрын
Pole sana kaka Lisu tunakupenda Mungu wako yupo hai. Jipe moyo
@dawillygene
@dawillygene 5 жыл бұрын
Mmmmm, acha nipite nisije kukufuru bure , huyu dereva na maongezi ya Lisu yanapishana ni bora hata asingeongea maana wanapozidi kujichanganya mnapoteza hata maana .
@abdulkareemseif667
@abdulkareemseif667 5 жыл бұрын
babyee Da love hawana utofauti wowote ila siasa tu ndo zinazowatoa roho kwa iyo ht mukiambiwa mutasema uongo
@NeemaMedia
@NeemaMedia 5 жыл бұрын
@@abdulkareemseif667 yes ni kweli
@princessfettyrashidi2409
@princessfettyrashidi2409 3 жыл бұрын
Maelezo yao yapo sawa kabisa ila wewe ndio chenga
@projestusbernad3813
@projestusbernad3813 3 жыл бұрын
Nimashaka wakati unaona watu wanafatilia nyuma kwanini haukumwambia naye akajiwekatayari aidha kuitaji msaada wa rafiki au majirani kuwa tunafutiliwa nyuma kitakachotokea mjue kuna watu. Sababu ya kuwa watu wawili nini sasa kama boss wako hautaki kuongea naye pale penye mashaka.
@wilsonchallange4420
@wilsonchallange4420 5 жыл бұрын
Hao watu walikuwa pembeni yenu kwa zaidi ya dakika SITA-6.. MLIKUWA MNASUBIRI FILAMU IANZE.!
@yagwishaheke6930
@yagwishaheke6930 5 жыл бұрын
This guy having something
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
acha uzuzu wewe mbn ushangai walinzi kutokuwepo, alafu mbn footage za cctv zimetoroshwa!!!??
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Unayoongea yote umepangwa uongee hayo unayoongea lakin sisi tunayo mambo unayopaswa kuongea. Kwanini ulitoroka baada ya tukio?
@yahyambega2937
@yahyambega2937 5 жыл бұрын
Imma Mlowe nawe unajuwa kama kafundichwa urikuwepo kwenye kumfundisha au uritaka asemeje?
@kambangwachanneltv8166
@kambangwachanneltv8166 5 жыл бұрын
Imma wewe ni zaidi ya chizi
@NeemaMedia
@NeemaMedia 5 жыл бұрын
Watu jamani ebu tuelize vile alitakiwa kuongea
@kindolek9257
@kindolek9257 5 жыл бұрын
Yes shahd wa kwanza huyu hapa haiewezekan risas zmepigwa kushoto lkn majeraha ya Lisu yapo kulia
@enockjoseph9001
@enockjoseph9001 3 жыл бұрын
Kwani dereva anayetorokaga car ni huyu2 au mlimtaka na yy afe
@kaniogachief6151
@kaniogachief6151 5 жыл бұрын
Police lisu alijipiga mwenyee nyie fanyeni kazi zingine upuuzi hatutaki Sisi wasitufanye wajinga hao
@simonetz7036
@simonetz7036 5 жыл бұрын
nadhani mbugila lilianzia kwenu
@simonetz7036
@simonetz7036 5 жыл бұрын
nadhani mbugila lilianzia kwenu
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 3 жыл бұрын
Nikwer kabisa hatamie hua ninamashaka makubwa sana juu ya lisu kupigwa lisasi kwa hivi wangekua ni jambazi kabisa kwann walishindwa kushot la kwenye moyo? Mie nahisi ni njama zake tu ili ajizolee umalufu😏😏😏🤣🤣
@princessfettyrashidi2409
@princessfettyrashidi2409 3 жыл бұрын
Memory yako nahisi haifanction very well
@tiktoktdmdynamo3100
@tiktoktdmdynamo3100 3 жыл бұрын
@@rahmaoman5122 kwa haya mawazo yako tanzania tuna safari ndefu
@saimonkimitho8536
@saimonkimitho8536 4 жыл бұрын
Ila kuna ukweli unafichwa mbona ww haukupata madhara yeyote?
@ednamanji
@ednamanji 3 жыл бұрын
Swali Kubwa ni hili . Mguu ambao Tundu Lissu alijeruhiwa kwa risasi ni mguu wa Kuria upande wa Dereva . Je inakuwaje Lissu Aumizwe sana upande wake na Dereva halafu Dereva mwenyewe asipate hata mchubuo wowote kwenye mwili wake?
@charlesmurimi592
@charlesmurimi592 5 жыл бұрын
Mungu yupo na yeye anajua hawa jamaa wasiojulikana
@prospermbatha5976
@prospermbatha5976 3 жыл бұрын
Honestly speaking These something somewhere Hardin, how come a drive who drives such a Big person like Mr Lisu, Umehona Gari zimekufata Na umekaha kimia Bila kumuhusisha boss wako? Second je Ahukufanya advance driving?
@nassoraltamimi6695
@nassoraltamimi6695 2 жыл бұрын
nnnnmnnnnnmjjkjjk¹nnn
@sitisuleiman7889
@sitisuleiman7889 4 жыл бұрын
Dah huyu dereva kaonesha uzembe kabisa angeona wanavofuatiliwa angetoa taarifa polisi au wangerudi bungeni 🤔
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Polisi wa wapi hao wenu wanaibeba ccm khhaa usichafuwe hali ya hewa hapa
@arunamwaholi1351
@arunamwaholi1351 5 жыл бұрын
Hapa kira mtu atachangia anachojuwa yy cha msingi dereva usirudi huku mpaka mlud wote cku ikifika ya kulud
@charlesnoafekwalipibayaali2662
@charlesnoafekwalipibayaali2662 3 жыл бұрын
Aruna bado upo hai moshi au umekufa au mzima? Kama mzima powa dereva wako yupo wapi? Tulijuwa uliwaza nini? hapo longolongo tu ila kwa sababu kama unapenda ushoga utabisha tu
@yassiniferuzi2867
@yassiniferuzi2867 3 жыл бұрын
Wewe linda tu Nyumba huyo bosi wako atarudi tu kwani Urais hawezi kupata nani atampa kuwadi wa Mabeberu na Ushoga akapige pasi tu
@zawadmsalilwamsalilwa3973
@zawadmsalilwamsalilwa3973 3 жыл бұрын
Hata wewe kuwadi ndio maana umemjua kuwadi mwenzio punda wewe
@tadeusitemba5152
@tadeusitemba5152 3 жыл бұрын
Mtazamo finyu
@leonardfrancisco7877
@leonardfrancisco7877 3 жыл бұрын
Ww ni muongo sana huo ni mchezo
@AnneNdabila-uv2qh
@AnneNdabila-uv2qh 4 ай бұрын
Asante kwa kuokoa maisha ya lissu Mungu atakulipa
@Kiswahili
@Kiswahili 4 ай бұрын
🙏
@yagwishaheke6930
@yagwishaheke6930 5 жыл бұрын
Kwa mtu mwenye akili timamu ukisikiliza tu maelezo ya dreva inatosha kuonyesha kuwa dreva alijua shambulizi 100% believe me
@NeemaMedia
@NeemaMedia 5 жыл бұрын
Mimi nadhani yeye aliwaona na aliwajuwa ila anashindwa kutaja hadharani ni vyema vyombo vya usalama kukaa nae na kuongea nae vizuri
@franceobed7463
@franceobed7463 5 жыл бұрын
Uyu jamaa maelezo yake duh nina was2
@maselejacob8370
@maselejacob8370 5 жыл бұрын
Dereva alinunuliwa huyo
@YudaMatesie80
@YudaMatesie80 4 жыл бұрын
Alijua na ndo maana Lisu alipona
@frankjohn8570
@frankjohn8570 4 жыл бұрын
Wote walijua kuwa wanafuatiliwa hata kuna wkt Lissu aliomba ulonzi je wote wanapaswa kutiwa hatiani kutokana na tukio hilo? Na kama risasi zilipigwa kutokea nje ya gari je alishuka mtu katiyao kupiga risasi? Na vipi risasi zisichunguzwe kujua in bunduki gani inamilikiwa na nani.....
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
POLISI WA TANZANIA NENDENI SHULE MKAJIFUNZE UPELELEZI. KAZI YENU ILIKUWA TAYARI IMEKWISHA KAMA MSINGEIBA MASHINE ZA CCTV. MUMETUMA WATU WAFUNGUE MASHINE ZA CCTV MKIJUA USHAHIDI UMEPOTEA. JESHI LA POLISI NI JESHI LA KIHUNI LINALOFANYA KAZI CHINI YA CCM.
@suzymwageni7228
@suzymwageni7228 4 жыл бұрын
Mungu anawaona wtz mnaye amini dereva alihusika lakini amini nawaambieni lisu ni mtu ambaye Mungu amempa Karama ya kuongoza watu yote hiyo mlitaka afe Mungu kuzuia kajiinua mumjue mungu hakika naamini kwa kilicho tokea kwa tundu lisu Mungu atatufundisha na hatuta amini lakini tutaelewa kuwa Mungu alisimama kwa ajiri ya taifa la Tanzania sio kila magumu tunasema shetani amejiinua mungu anaruhusu tujifunze watanzania yatakapo timia lisu atakumbukwa na watanzania wote asante .
@pundatr8103
@pundatr8103 Жыл бұрын
Huyo chiba mpiga dili jibo lilimshinda amuongoze nan
@andrewemilly2890
@andrewemilly2890 5 жыл бұрын
Ulitakiwa na police kwa nn umegoma kuja
@dullahabdul6191
@dullahabdul6191 5 жыл бұрын
Unaielewa vizur selikal ya tz au unaropoka
@manasengobei9968
@manasengobei9968 3 жыл бұрын
Huyu jamaa si mnzima!
@glorychristopher7283
@glorychristopher7283 Жыл бұрын
We love you dear
@mpefu_4936
@mpefu_4936 23 күн бұрын
Pole sana
@Ba63828
@Ba63828 5 жыл бұрын
MUHIMU SANA HILI TUKIO LICHUNGUZWE KIKAMILIFU. INASHANGAZA UKAKASI UNATOKA WAPI.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Si kweli.
@PaulJimora
@PaulJimora 4 ай бұрын
Pole kaka
@d_ramir5689
@d_ramir5689 5 жыл бұрын
Binahadam bhana ivi mnais amfi syo nataman palapanda lilie Leo tukajionee mazambi yetu pesa mwanahalam sana
@simonetz7036
@simonetz7036 5 жыл бұрын
nimependa sana iyo comment
@adamabdull3789
@adamabdull3789 3 жыл бұрын
Ilikuaje.wewe.upunguze.mwendo.haliunajua.kunamagari.²yankufuàtilia,nausimwambie.Boss.mpakatukio.limetokea.
@jacksonjoakim4115
@jacksonjoakim4115 4 жыл бұрын
uuni mpango wa risu mwenyewe kwanini haukupiga sm police umeona unafatatiliwa haukupiga sm
@danielichuwa3747
@danielichuwa3747 4 жыл бұрын
Jackson Joakim wakati mwengine unapo toa maoni yako tambua kwanza unacho taka kuongea ama kusema
@roseesospeter1792
@roseesospeter1792 3 жыл бұрын
@@danielichuwa3747 kwani kakosea Nini ndyo alipaswa kupiga c
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 3 жыл бұрын
@@roseesospeter1792 kasema kajipiga mwenyewe au umesoma ya sm tuu🤔
@emmashayo8774
@emmashayo8774 3 жыл бұрын
Mungu anakuona
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 жыл бұрын
Mara nyingi mtu kama kitu hakijamtokea yy au hakifanyi yeye anakuwa anachkulia poa sana ilo tukio ni zito sana
@charlesnoafekwalipibayaali2662
@charlesnoafekwalipibayaali2662 3 жыл бұрын
Kama zito msaidie wewe kulibeba wewe. Mimi nina ndugu yangu anaendesha bodaboda yupo nje ya geti kwa nini hakusikia hiyo milio ya risasi???. Amezidi usanii sema alietumwa na hiyo pistor alikosea maagizo kama kawaida yetu akapiga nyingi. Usicheze na smg huwa inapigwa mbezi na mimi tegeta naisikia.
@tinamzava834
@tinamzava834 3 жыл бұрын
Sana
@fulgancenjau4735
@fulgancenjau4735 5 жыл бұрын
Nakushauri usirudi ng'o tuone km hawatafanya uchunguzi mchezo wanaujua wangeanza na walinzi waowakabidhi lindo tukio limetokea walipaswa kuwajibika Kwanza sio dereva
@zubermathayo1638
@zubermathayo1638 3 жыл бұрын
Mbona umetoroshwa nchini haupo unaogopa kubanwa na dola hapa kuna mchezo mmeusuka na lisu na nahisi umekata uraia huko uliko unaisaliti nchi ya babako na mamako
@claudiajames2003
@claudiajames2003 5 жыл бұрын
Kudadadeki dereva unavyosimulia utafikiri we ndio ulikuwa mbunge, kwanza angalia ulivyonenepa na kupendeza huko ubelgiji dizain km huna hata wasiwasi na hilo tukio
@infomkuruzo8165
@infomkuruzo8165 4 жыл бұрын
Dereva anasiri nyingi kwanza kwanini hukumwambua Lisu kua mnafatiliwa kwa mara ya kwanza, pili kwanini haukupeleka gari police pindi ulipo jua mnafatiliwa, tatu kwanini ulipo ona gari inasogea na kugeuzwa na washambuliaji wanashuka kwanini usiondoe gari eneo la Tukio kabla ya shambulizi/?
@mohammedrashid7735
@mohammedrashid7735 4 жыл бұрын
nyinyi mnayetaka dereva arudi ahojiwe na polisi, kwa nin kwanza msiwaulize hao polisi cctv camera zimeenda wapi? ukiangalia nature ya tukio lazma mtu ukimbie
@sememakolo9360
@sememakolo9360 3 жыл бұрын
Unauhakika zilikuwwpo au unakalilishwa
@pundatr8103
@pundatr8103 Жыл бұрын
Kwann halud ? Mbona chba kalud
@sadickd_knuckle5456
@sadickd_knuckle5456 5 жыл бұрын
Wewe badala ya kudrive kwenda police unadrive kwenda nyumbani wakati ushaona hatari
@denishamka8657
@denishamka8657 5 жыл бұрын
Kichwa Maji wewe mbona hukumwambie unajuaje kama angekupa ushauri mzuri sasa inawezekana wewe unahusika halafu wewe huna jeraha hata kidogo
@morrisonmufwoko7418
@morrisonmufwoko7418 5 жыл бұрын
Hapo ameeleza kwamba nyumbani kuna ulizi mkubwa siku zote. Kwa hivyo alijiamini yupo salama. Ajabu nikua walinzi siku hio hawjakuwepo.
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 5 жыл бұрын
Wewe jifanye kutabasam tu macho kumesa mesa na kuyakaza tumeelewa kitu
@doreenmsafiri8349
@doreenmsafiri8349 3 жыл бұрын
Dereva huyu msenge tu anafilwa
@d_ramir5689
@d_ramir5689 5 жыл бұрын
Wenye imani usema bora useme mungu yupo uende ukamkosa kuliko kusema mungu ayupo uende ukamkuta
@onesmominga844
@onesmominga844 3 жыл бұрын
Hawa walikuwa wakisubiria ashuke I li wammalizie kabisa mungu mwema ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.
@WorldView24hrs
@WorldView24hrs 5 жыл бұрын
Maswali ya muhimu hawaulizi..Mfano... (1)We dereva ,Ni kwanini Hujawahi kuripoti kituo chochote cha Polisi baada ya kupata Matatizo makubwa kama hayo ya mashambulizi..na..Ni kwa nini Hujawahi kuitikia wito wa Polisi mara tu baada ya kusikia unatafutwa na Polisi. (2)Je.!,Wakati washambulizi wameanza kuwashambulia ..wewe ulikua ndani ya gari na gari iliokua nyuma yenu mlishaitilia shaka..ni kwanini hujaondoa Gari mara tu baada ya kuanza kushambuliwa au baada ya kuona gari ya wahalifu inakuja upande wenu.?? (3)Ni kwanini hukumjulisha Boss wako kuwa mnafuatiliwa mara tu ulipogundua mnafuatiliwa..?Tangu umeanza kufuatiliwa mpaka mnashambuliwa wewe hujachukua hatua yeyote ya maana kunusuru Maisha ya Boss wako maana inashangaza kwamba umeshindwa hata kukimbia wakati maadui mnaangaliana tu zaidi ya dk10 nzima..??? ◇◇Ahsante..◇◇ ●Naomba ifahamike kuwa ..maswali hayo nimeuliza kwa nia njema na sio lengo langu kumkera mtu yeyote.
@fulgancenjau4735
@fulgancenjau4735 5 жыл бұрын
Maswali ya kijinga kabisa hayo ww ungeuliza kwa nn like gari lilipota gatini bila ya kukaguliwa pili kwann walizitoa 📷 zilizoona tukio maswali yako yangepata majibu
@abdallahsaidkipalo1381
@abdallahsaidkipalo1381 3 жыл бұрын
Mimi mwenye akili ya kutafakari jambo kwa kina kiukweli nimeishapata majibu siku nyiiingi Sana..bado nasisitiza Serikali kama Serikali na kwa ilivyopewa nguvu na Mungu mwenyewe..kiukweli haiwezi kufanya mchezo wa kitoto namna hiyo...kwani marehemu Tomboya wa Kenya alipigwa pale Anatoka Dukani Risasi ngapi?..Waziri wa mambo ya nje wa Kenya Bwana Robert Ouko ilikuaje?..Jenerali wa jeshi la Rwanda aliuwawa South Africa kivipi..?Rais wa Misri Bwana Gammal-Abdul-Nassa..alipigwa Risasi ngapi?na wengineo wengi..hii nimewaonyesha ni jinsi gani Serikali haiwezi kufanya ujinga huo...hivyo huyo Tundu Lisu ...na akina Mbowe na Chadema yao ni wao wenyewe tu ndio wanaujua ukweli...hivyo vijana mnaaminishwa uongo tu.mimi mtu mzima sidanganyiki kabisa.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 жыл бұрын
Unataka abakie wamuue tumia akili kufikiri
@WorldView24hrs
@WorldView24hrs 3 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 wewe ndugu yangu unajibu maswali kama unagombana..mi nimeuliza swali ya kiuchunguz..tujifunze kujadili mambo kwa busara..angalia mijadala ya wenzetu marekan..
@msafirimolimoli3667
@msafirimolimoli3667 3 жыл бұрын
mbona namba za gari hazitajwi?
@jumannemzungu1445
@jumannemzungu1445 5 жыл бұрын
Mmmhhhh mie kibinaadamu inasikitisha, je siku zote hizo uliikuwa wapi ,na je DW ndiyo jeshi na ulinzi kwenu, mmmhhhh
@fidelmbai3642
@fidelmbai3642 4 жыл бұрын
Mambo haya yanapendeza uyasikie na siyo yakutokee
@suleimankemba173
@suleimankemba173 4 жыл бұрын
Naomba mungu na ww yakutokee siku1 ili uhoji ujinga wako.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
yani wewe ndio walewale mazombi ya ccm
@joyceshile6322
@joyceshile6322 3 жыл бұрын
Ameijia KURA ZA URAIS, HALAFU ARUDI KWA WADHUUUNGU WAKE 🏃🏃🏃
@ibrahimkiluwi7199
@ibrahimkiluwi7199 5 жыл бұрын
macho huwa hayaongopi.... kwa cc wanasaikolojia tumeelew
@hamishasan7737
@hamishasan7737 3 жыл бұрын
Mh uko vizuri Kwa saikolojia nimekuelewa
@frankanold9803
@frankanold9803 3 жыл бұрын
NAKUSHUKURU SANA MUNGU TUNDULISSU AMEPONA.HATIMAYE ALIYETAKA UFE AMEKUFA YEYE NA WEWE NDIYE ULIYEIAMBIA DUNIA KUHUSU UGONJWA WAKE
@victorernest7702
@victorernest7702 5 жыл бұрын
Kaka mungu mwema kawarudisha tena na ndio atakae wapa ulinzi wamaisha yenu,,,,,,usiogope llye nna imani hukufanya kosa pia simamia unachokoamin
@leinaamos
@leinaamos 3 жыл бұрын
Iv lisasi zote hizo walinzi hawakusikia?
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Sasa kama gari unazifaham leo ni zaid ya mwaka tangu tukio limetokea Tuma tafuta waliomficha kwanini hujaenda polisi nawewe ni mwanasheria?.je, mbona uliombwa uende polisi hakwenda badala yake ukapotea leo tunabiwa na Lisu uko uberigiji, ulienda Jersey huko na kufanya nini?
@simonetz7036
@simonetz7036 5 жыл бұрын
guys acheni utoto unadhani huyu jamaa yuko salama kiivo sio!!!! MASKINI WATANZANIA TUNAOKABILIWA NA WASIOJULIKANA. LKN WASIOJULIKANA WANA PAMBANA NA WATU WASIO NA MAFUNZO WALA SILAHA SABABU ZENYEWE HAZINA MASHIKO
@christophermafuru7152
@christophermafuru7152 Жыл бұрын
Wewe pumbavu sana, ulitaka aende polisi wakati walinzi waliokuwa eneo la tukio walikuwa ni polisi na waliondolewa tafakari.
@godisgreat1845
@godisgreat1845 5 жыл бұрын
Mchezo wa kuigiza huo mie napita tu langu jicho na sikio
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Umetumwa
@stephensikazwe7805
@stephensikazwe7805 5 жыл бұрын
Bibilia inasema anaechezea upanga atafia kwaupanga, mjue hivyo, wajinga nyie
@enockjoseph9001
@enockjoseph9001 3 жыл бұрын
Mpumbavu ni were na na wanaccm wenzako
@emmapaul1766
@emmapaul1766 3 жыл бұрын
Kwa hio polis wa serikali waliondolewa na huyu kijana au mim ndo sijaelewa
@bulubamabelele2311
@bulubamabelele2311 5 жыл бұрын
Contradictions
@hassansamata5995
@hassansamata5995 4 жыл бұрын
Mbona gari imeshambuliwa kushoto mguu wakulia ndio unavyuma..dereva ulikua upande gani
@neemajohn754
@neemajohn754 3 жыл бұрын
Kwahiyo we unaona ni mazingaumbwe au?kwenye hatari hasa risasi inaweza kulenga popote hasa mtu anapojigeuzageuza kwa kukwepa au kuugulia majeraha .kwani mguu wa kulia si sehemu ya mwili?au Lisu ni gogo na huwa hajigusi hata kwenye hatari?comment yako haina mashiko. Au kusema hivyo yaweza ashiria ulikuwa na washambuliaji na mnajua risasi mlikoelekeza na pengine hamkupanga kulenga mguu wa kulia..Kasaidie polis na wewe
@midumbiojijo8126
@midumbiojijo8126 3 жыл бұрын
Ww acha ushamba magar za serikali V8 zinakua na Sterling Kushoto Ili kuwezesha kutembea nchi yoyote
@JEMBEKALI
@JEMBEKALI 3 жыл бұрын
@@midumbiojijo8126 umesikiliza vizuri maelezo ya dereva? Anasema alikuwa upande wa kulia wa Lisu. Ona gari lilivyo shambuliwa - Risasi kutoka kushoto zilipiga kona? Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!!
@JEMBEKALI
@JEMBEKALI 3 жыл бұрын
@@neemajohn754 Mbowe alisema ni bunduki ya SMG ilitumika - sikiliza video yake mara tu baada ya tukio, na sijui alijuaje!! Risasi hazipindi kona - research ukweli
@davidkatunge2835
@davidkatunge2835 5 жыл бұрын
Sura na jina huyu ni gaidi anajua kila kitu msikilizeni tu maelezo yako yakaonyesha alikuwa na taarifa nzima ya kilichojiri. Kama alihisi kitu kea Nini asimweleze boss wake ili naye ashauri kitu Cha kufanya
@bahatikashinje5557
@bahatikashinje5557 5 жыл бұрын
Vip huyu deleva Angekua baba ungeandika huu ujinga umeuandika hapa??
@charlowmathew9762
@charlowmathew9762 4 жыл бұрын
Nafikiri mama yako alirepiwa ndio ukazaliwa mbwa wewe:::: gaidi ni awara alikuzaa
@mfaumehseyyid9750
@mfaumehseyyid9750 3 жыл бұрын
Hongera wewe hukuumia
@mariamichael3088
@mariamichael3088 3 жыл бұрын
Polen sana
@ibrahimrobart38
@ibrahimrobart38 3 жыл бұрын
Mungu ni wetu sisi sote wala hana chamaaa
@zulekhasaidmohamed4043
@zulekhasaidmohamed4043 5 жыл бұрын
Mungu yuko nawawo watakufa
@christinamtenga4479
@christinamtenga4479 4 жыл бұрын
Kwani amekufa..?
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 жыл бұрын
Acha kuwaombea mabaya siyo vizuri mungu anakuwona
@ezekiamwashemele2073
@ezekiamwashemele2073 3 жыл бұрын
Mungu amependa lisu aishi ila ushoga noma
@zulekhasaidmohamed4043
@zulekhasaidmohamed4043 5 жыл бұрын
Malipo hapahapa lisu hakuuwamtu uko sahihi chuga ukirudi utapoteza ndiyo TZ iliwatu waogopi kupiga chochote mungu atawalani
@msafirimwalyaje2979
@msafirimwalyaje2979 4 жыл бұрын
labda wew dereva usirudi tanzania, ukirudi ukweli utapatikana risasi mguu wa kulia alafu wew upone? maajabu ya musa
@lazarojacob641
@lazarojacob641 3 жыл бұрын
Mbna ni rahis tu.. Inategemea miguu imekaaje
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 жыл бұрын
Huyu dereva anatafutwa ili wamue asipate kutoa ushahidi tumebaini hiloo Huyu ndie atakuwa shahid wa tundu lissu
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 4 жыл бұрын
Dahh Dereva unamaelezo Mazuri saana sasa Rudi nyumbani usaidie Jesh letu kufanya uchunguzi,nasio unamuita Mjomba kwa heshima nimjombaako kweli.
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Jeshi la polisi la huko duh hahaha MMungu azidi kuwalinda ccm Allah amekuadhirini tumuogope Allah Alhamdulilah Allah mwema kamponesha
@pundatr8103
@pundatr8103 Жыл бұрын
Sawa sawa aje ahojiwe pols syo dw
@francismsonde3307
@francismsonde3307 3 жыл бұрын
Wote tutakufa tatizo ni muda tu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 na anayeua kwa Upanga naye .........................
@rebecashumbi3450
@rebecashumbi3450 Жыл бұрын
Pole pole ila YESU anaokoa Yesu aliwaokoa wewe na bosi wako mpeni Yesu maisha yenu mmeongezewa siku
@sememakolo9360
@sememakolo9360 3 жыл бұрын
Mbona upotee usiende kwenye vombo vya usalama, nakwanini uende arusha kulala huko wakati tukio lometokea Dom?
@mustafajumajuma2226
@mustafajumajuma2226 3 жыл бұрын
Wewe ni Mjeshi safi kabisa
@daudisebastian4935
@daudisebastian4935 2 жыл бұрын
Amina
@joelcassian2388
@joelcassian2388 4 жыл бұрын
Gari imetobolewa mala 32 lisu risasi 16 wewe ujaguswa hata kidogo ww ni zaidi ya malaika .....pili risas zmepigwa upande wako wa kushoto lisu amepigwa mguu wa kulia hizo zilizompiga lisu kulia zilitoka wapi na ww ulikua kulia hukuguswa kabisa tatu Kama risas zilipigwa kiholela ilikuwaje zilenge mguu tu ...kk tunaomba uhojiwe ilitupate majibu yaliyonyooka
@benjaminsimon3715
@benjaminsimon3715 3 жыл бұрын
Kabisa hatamimi wananichanganya
@johanesdeocles6337
@johanesdeocles6337 3 жыл бұрын
Unajua kuna watu wanadhani labda wataishi milele malipo hapa hapa duniani
@ijsound5149
@ijsound5149 5 жыл бұрын
?
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 5 жыл бұрын
Huko Ubelgiji kuna nini Mbona hata waasi wa Burundi na Congo mnakimbilia huko
@yohanajackisoni4710
@yohanajackisoni4710 5 жыл бұрын
Si kuna barozi yuko muulize!
@charlesphillip1855
@charlesphillip1855 3 жыл бұрын
Huko Ubeligiji kuna jambo tuwe makini sana na mgombea wao waliomtuma,,,,juzi juzi wameomba msamaha Congo kwa mabaya waliyofanya,,,sasa wa tunao na wana ajenda nzito,,watu wanashangilia maafa yajayo kwa kutokujua...Mungu ibariki Tanzania
@kimakimo3990
@kimakimo3990 5 жыл бұрын
Ilikuweje Lissu apigwe risasi mguu wa kulia na unasema alikaa upande wa kushoto kwako. Ina maana risasi zilitokea upande wako wa dereva na ww hukudhuruka hata kidogo. Halafu ni smg bunduki ya kivita hapo kuna utata mkubwa sana.
@jamesminja3273
@jamesminja3273 5 жыл бұрын
wewe ni msenge sana!!!! wewe mtu akivutiwa upande wa dereva anajeukaje,na akijeuka unadhani ni mguu gani utaathirika mpumbavu wewe!!!! huna akili ata ya kujiongeza!!! uwe na akili ya kujiongezaaaaaa
@fredymachumu1631
@fredymachumu1631 5 жыл бұрын
@@jamesminja3273 ww ndo msenge kafirwe dereva anajua kila kitu uyu mbowe ndo anaewamaliza na atawamalizaa
@macariusturuka453
@macariusturuka453 5 жыл бұрын
Yawezekana Mh. Lisu alijigeuza akalala kifudifudi
@cosmasthobias896
@cosmasthobias896 5 жыл бұрын
Mbona bunduki zimeelekea upande wa kushoto wa gari na tundulisu kaumia upande wa kulia?
@jamesminja3273
@jamesminja3273 5 жыл бұрын
wewe ni mpumbavu akili yako haifanyi kazi!!! unakosa akili ya hata ya kujiongeza!!!! wewe mtu amemvutia upande wa dereva na amegeuka unadhani ni mguu gani utaathirika uwe na akili ya kujiongeza bwegeeee weweeeeeee!
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Kapime akili
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Sijawahi ona mpumbavu humu you tube zaidi yako,
@fredymachumu1631
@fredymachumu1631 5 жыл бұрын
@@jamesminja3273 kwann dereva hakupigwa risasi na washambuliaji walishambulia upande wake yy dereva
@AbelMwakilembembwate
@AbelMwakilembembwate 23 күн бұрын
Kwa maelezo ya awali na unayotoa kuna tofauti
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 жыл бұрын
Arudi tu mzozo uishe asiporudi huyu watanzanania hawatamuelewa kuondoa mzizi wa fitina aje aeleze mkasa wote jamani
@kazamoyo7631
@kazamoyo7631 5 жыл бұрын
Aje atekwe?
@shedrackmwaipopo7253
@shedrackmwaipopo7253 3 жыл бұрын
Pambavu
@gelardanyasi919
@gelardanyasi919 Жыл бұрын
Pole kmnd tuko pamoja nawe
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
najiulizatu hivi lisasi zote zilizo mpata yeye hata moja aoikuwa wapi waliokua wanapiga lisasi wapo njee yeye alijificha wapi nashindwa kuelewa
@fulgancenjau4735
@fulgancenjau4735 5 жыл бұрын
Utaelewa vp wakati we kula kulala haya Ni Mambo ya wanaume
Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
8:42
VOA Swahili
Рет қаралды 388 М.
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 49 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Me: Don't cross there's cars coming
00:16
LOL
Рет қаралды 13 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 18 МЛН
Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version
1:17:26
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 300 М.
MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE
28:50
BBC News Swahili
Рет қаралды 1,4 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 49 МЛН