JEMEDALI AUCHAMBUA USAJILI WA KELVIN KIJILI/SIMBA WAMEKOSEA KUSAJILI WACHEZAJI WENGI?/MVP KIBAO?

  Рет қаралды 34,008

JEMBESPORTS

JEMBESPORTS

26 күн бұрын

Пікірлер: 68
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 24 күн бұрын
Tatizo la Aishi sio majeruh ni msaliti
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 24 күн бұрын
Tatizo aishi ni msariti kwa klub kwahiyo analipwa kile alicho kifanya kwa usariti
@bellenoe414
@bellenoe414 24 күн бұрын
Mchezaji wake ndo maana inamuuma😂😂😂
@edwardmbonika5102
@edwardmbonika5102 24 күн бұрын
Aishi ulitochufanyia mechi ya prison mungu akubariki
@kassidpandu866
@kassidpandu866 24 күн бұрын
Mwache apate Adabu huyo jamaa aliuza Mechi na yanga clear kabisa
@clarencemeena1628
@clarencemeena1628 24 күн бұрын
Aishi alikuwa mchezaji muhimu sana ndani ya Timu lkn baadaye alijigeuza duka la utopolo
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 24 күн бұрын
Hilo ni somo kwa wachezaji mujue timu hazina fadhila punguzeni muhemko wa kusajili miaka mingi maana bongo mashabiki wakikuvisha kikoti cha usaliti na viongozi wanaburuzwa juu ya maamuz. Aishi fanya mazoez yako pumzka kama umebakia mwaka utaondoka na kibegi chako uende utakako lakn kama ulisain miaka 5 ukaiona simba ya maana ndo majibu yao hayo
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 24 күн бұрын
Tamaa za Aishi zimetuumiza sana wanaSimba mashabiki wengi hatuna imani nae tena.. viongozi wamwache aende tu au avunje mkataba yeye
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 23 күн бұрын
Kumbe Said ni mnyama kamili
@fatherjaytz
@fatherjaytz 24 күн бұрын
Duka la Mbangula magoli ya kise sana
@luindabablui7213
@luindabablui7213 24 күн бұрын
Leo mnaisema Simba vibaya msimu ukianza mtaanza kuisifia tena
@ramadhanimsangi9515
@ramadhanimsangi9515 23 күн бұрын
Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM
@erasmusleonidas6729
@erasmusleonidas6729 24 күн бұрын
Azam avunje mkataba wa Manula wampeleke tupate ela mambo yaishe
@abdallaselemani
@abdallaselemani 24 күн бұрын
Kama anataka kuondoka avunje mkataba
@user-ok8wc7io9r
@user-ok8wc7io9r 24 күн бұрын
Shida wametukatalia fei toto 😅😅😅😅😅😅😅
@jumannekimpundu4789
@jumannekimpundu4789 24 күн бұрын
Ni sawa mbona wao wamemzuia Feitoto?
@user-wl4yo4zp9t
@user-wl4yo4zp9t 24 күн бұрын
Aende tu hata bila ya thank your mbona chama kaenda bila thank your?
@filbertkisauke5647
@filbertkisauke5647 23 күн бұрын
Watu wanaponda usajili wa simba Kwa sbb si Azam watoe pesa Sasa inakuwaje .
@samwelsilas629
@samwelsilas629 24 күн бұрын
Azm watowe hela
@tatalyzer382
@tatalyzer382 22 күн бұрын
1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 24 күн бұрын
DUKA ILO alituuza vs Yanga
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 24 күн бұрын
Ushaidi unao my brother mimi binafsi ni simba lakini ile mechi yetu na yanga viongozi wenyewe ndio waliofanya makosa ya kushinikiza kocha amchezesha manula na uku wakitambua fika manula katoka kwenye majeraha
@user-et3wx3mq8h
@user-et3wx3mq8h 24 күн бұрын
Ashimanura kafanyavizurisanandaniyasimba rakinikatuumizasanawashabikiwasimba parearipopigwatano namtani kumbekapewahera kwahiyo hatumtakisimba aondoketu🐆🐆🐆🐆
@raphaelkomba364
@raphaelkomba364 23 күн бұрын
Kuma la mamako we mchambuz
@saidmfaume1282
@saidmfaume1282 24 күн бұрын
Sisi pia haturidhiki na alichotufanyia vs Yanga usiangalie upande wake tu.
@isaacmutegwa5881
@isaacmutegwa5881 24 күн бұрын
Usitupangue nyie ndo mlisema tuna wazee wengi. Alitusumbua alituuzia mechi ya Yanga .
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 24 күн бұрын
SAID NI MSEMAJI MZUR
@maryamnofli2109
@maryamnofli2109 24 күн бұрын
Aende. Zake. Simba. Haimuhusu. Jamanii
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 24 күн бұрын
Mpaka aseme,zile 5 alipewa how much😅
@ufundi_tz
@ufundi_tz 22 күн бұрын
kwani timu ni azam tu .. huyu nae kavurugwa
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 24 күн бұрын
Yy alichotufanyia kufungwaa 5 alituomba msamaha
@stephenwainage2523
@stephenwainage2523 23 күн бұрын
Goli tano zimemponza😊😅
@user-wv2wr3kl2x
@user-wv2wr3kl2x 23 күн бұрын
Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport
@user-mm9qr7em8k
@user-mm9qr7em8k 24 күн бұрын
Manula anavuna alichokipanda. alipanda usaliti anavuna usalitii.
@nyembobea7285
@nyembobea7285 23 күн бұрын
Hatumtaki chukua kipa wako mzee hana shukrani
@joachimsironga1560
@joachimsironga1560 23 күн бұрын
We unaongea ila inaonekana hujui kiundani kunasababu huyo jamaaaa bhna ni mbongo tu😅😅
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 24 күн бұрын
Manula msaliti ka chama na inonga sisi tunajua
@user-wn9bp5cl1j
@user-wn9bp5cl1j 24 күн бұрын
Tunasafisha wasaliti wotee😅😅
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 24 күн бұрын
Alituuza
@gilbertmaganga9370
@gilbertmaganga9370 24 күн бұрын
Analeta usaliti
@godfreymanyilizu5789
@godfreymanyilizu5789 24 күн бұрын
Sasa hii Ng'ombe inasema yenyewe sio Simba sasa hapo inaropoka nini sasa.
@nellykira7812
@nellykira7812 24 күн бұрын
Kibaraka huyu
@user-bx1qo9fe3q
@user-bx1qo9fe3q 24 күн бұрын
Simba wanashida na Hawa wachezaji waliotokeanao mbali wanawazalau itawatafuna msim ujao kumiiiiiiiiiiiiiii tilipuhii
@abdallahally842
@abdallahally842 24 күн бұрын
Anaemtaka manula amnunue sio mkopo
@GeorgeSikazwe-mm7nn
@GeorgeSikazwe-mm7nn 24 күн бұрын
Jamii iamue nini ww achana na simba..ww sio msemaji wa wachezaji
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 24 күн бұрын
Halufu maneno ya kihuni ya ukikubali kuolewa YANASEMWA NA WENYE AKILI FINYU VIJIWENI NA WENYE ELIMU DUNI VIJIWENI WAVUTA BANGI.Kwa mtu Mwenye WELEDI na MTU MZIMA hawezi kutamka hayo kwenye VYOMBO VYA HABARI.JIHESHIMUNI ILI MUHESHIMIWE
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 24 күн бұрын
Chama huyo achezi kama kasaliti Simba tutamsomea albadir kama alivyo saliti simba hata cheza yanga mtakuja kuona sisi atumfichi mbaya sana chama Bora angeenda Azam au kmc kuliko yanga hatumuachi si ameona kwa Morrison na mayele na yeye pia
@BenjaminiMathayo
@BenjaminiMathayo 24 күн бұрын
Unatolea maelezo habari za Simba wewe ni nani au unatafuta kiki
@suleimanmakameissa6071
@suleimanmakameissa6071 22 күн бұрын
Kwani apo anazungumzia Simba au Manula ambae yeye ni mchezaji anaemsimamia?
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 24 күн бұрын
Huyu siyo mchambuzi ni msemaji wa upande mwingine
@subiraaddo864
@subiraaddo864 24 күн бұрын
Kwani si useme tu chama keshazeeka unavunga vunga nn??
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 23 күн бұрын
Kasema tukutane kwa Mkapa aongei sana by Chama
@user-wl4yo4zp9t
@user-wl4yo4zp9t 24 күн бұрын
Kusajili wachezaji wengi haikuhusu achana na simba yetu.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 24 күн бұрын
Umejuaje kuwa nilitaka kuzema hivyo?
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 24 күн бұрын
Chama tutamshushu busha la nyuma alafu tutamuona kama tarehe 8 DABI hatacheza na akicheza hapo hapo tunampa
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 23 күн бұрын
Mzee mpili kasema atakae mgusa Chama anaruka nae kama kipanga msijaribu muacheni acheze mpira
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 24 күн бұрын
Viongozi wetu wa Simba hacheni mambo ya hovyo hovyo kama hutuna mpango nae Aisha manula basi mwacheni aenda hata kwa mkopo azam
@yusuphmdadike8758
@yusuphmdadike8758 24 күн бұрын
Atoe pesa anunue mkataba fullstop
@subiraaddo864
@subiraaddo864 24 күн бұрын
Kwani huyu ndo msemaji wa simba au??
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 23 күн бұрын
Tukutane Lupas😊
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 24 күн бұрын
TATIZO LAWI BADO ANA MKATABA NA COASTAL NA MBONA HILO HAMLIHOJI?
@soniimedia2440
@soniimedia2440 24 күн бұрын
Huu ni wakati wa simba kubeba makombe tusisikilize propaganda ukweli simba anasajili vizuri na watakaoachwa hawapo kwenye mipango yetu.
@FIDELISMfugale
@FIDELISMfugale 24 күн бұрын
Hatumtak kabisaaaaaaaaaa Huyo group Moja na Chama,inonga, Tunafanya USAF wajinga wote waondoke
@user-fi6hb3lp5y
@user-fi6hb3lp5y 24 күн бұрын
Hivi wewe yupo mchezaji aliesajiliwa Simba ukasema wamepatia? Mbona too much know wewe
@bellenoe414
@bellenoe414 24 күн бұрын
Meneja wa manula 😂😂
@patrickdaffa1207
@patrickdaffa1207 22 күн бұрын
Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 23 күн бұрын
Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 32 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 28 МЛН
JUMA MGUNDA ATOA KAULI HII BAADA YA MECHI YA SIMBA VS
2:55
DISWA TV
Рет қаралды 2,3 М.
KELVIN KIJILI SKILLS MCHEZAJI MPYA SIMBA SC ASSISTS RUNS
8:33
Klik Hapa TV
Рет қаралды 15 М.
IShowSpeed Покоряет Мир😳 #shorts
0:48
a_ve_znali
Рет қаралды 1,4 МЛН
Сын Роналду чуть не облысел 🤯
0:28
Спортивные Моменты
Рет қаралды 988 М.