Mahitaji ya chapati 1kg unga 3/4 cup maziwa ya unga chumvi 1/2 tbsp mafuta samli maji
Пікірлер: 97
@Mapishirahisi2 жыл бұрын
*Hi my dears, sorry kwenye video nimesema nusu kijiko kikubwa sukari badala ya chumvi. Hii recipe haihitaji sukari kwa sababu ya maziwa ya unga. I hope mumeelewa😊*
@judithfimbo37432 жыл бұрын
Chapati zangu huwa zinakatika katika je shida inakua unga au moto? Msaada please
@faridajuma76722 жыл бұрын
Napenda mapishi yko madear uko vzr 👍
@zeitunabdallah85932 жыл бұрын
Nauliza hiyo pan nitapata wapi?
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
@@judithfimbo3743 Shida ni unga unakanda mgumu kanda uwe laini
@hassanathman9573 Жыл бұрын
Shukran dadangu hapa tumefahamu vizuri sana.nimependa sana chapati zako
@fatmarashid36292 жыл бұрын
Mashallah chapati nzuri mnooo, uyu dada sio mchoyo wa Elimu mashallah.. Wengine ndo wanasema mapichi onlin ada elf 50, au laki
@fatumasuleymanashurambinda68802 жыл бұрын
Samahani nauliza inawezekana chumvi badili ya sukali kwenye chapati??.
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Maa shaa Allah chapati nzuri zinavutia lkn maziwa ya unga🤔 Mnaharibu ladha asilia za vyakula.
@user-yx3fv6rf6c7 ай бұрын
Asantee Shana Kwa pishiako zr nmependa saana aseee
@vickyshayo7880Ай бұрын
Good
@LwezauraLushengwa-xw6cf Жыл бұрын
I like it
@khadijasalum23022 жыл бұрын
Maa shaa Allah tomorrow I will take recipe in shaa Allah ilike it my dear
@fatmatwalib81792 жыл бұрын
One day nilijaribu kuweka maziwa ya unga kwenye chapat ila ladha ckuipenda ilikua tofaut na chapat nilizozizoea
@rahelkimumbi74182 жыл бұрын
Maashallah! Thanks for your recipe
@maxamuudismaacil31542 жыл бұрын
Beautiful maashallah
@aishaabdallah45602 жыл бұрын
MashaaAllah bibie zivatia bado mbaazi 2
@isabellkingori61612 жыл бұрын
Very nice. Thank you
@itsangycuisine11622 жыл бұрын
Looks delicious kabisa
@user-yx3fv6rf6c7 ай бұрын
Lakin mekosea kwa kusma sukari badala ya chumvi ❤❤ nmeipenda
@jacquelinecassian44632 жыл бұрын
Asante tunashukuru dear ubarikiwe ❤
@zaychocolate18352 жыл бұрын
Shukran kipnz
@MmatJ-xy7vp Жыл бұрын
Mashallah i love it
@fatumajuma93889 ай бұрын
MASHA ALLAH ❤❤mungu akueke daa🙏🙏
@ashaseif6772 жыл бұрын
Masha Allah nzur sana
@diamondnasrudin1522 жыл бұрын
thank you sister
@husnafeiswal97722 жыл бұрын
Yummy n delicious mashallah tabarakallah
@Mapishirahisi2 жыл бұрын
Thank you 💖
@thehonesty67652 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@sophydaisy2 жыл бұрын
Mashallah napenda mapishi yako sana
@MICAH-vu8zq10 ай бұрын
Zulisana na mm Nita tengeneza asate
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah 💕
@agnesdidas27902 жыл бұрын
Uko vizurii saanaaa nimeelewa kitu ambacho sikujuwa miak 30
@selmezahor4696 Жыл бұрын
Ma Sha Allah
@safibonaya8532 жыл бұрын
MashaAllah ❤️
@safiaothman10982 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@fatmahamed59722 жыл бұрын
Shukran
@daisyrosey84472 жыл бұрын
Abayo shukran
@Luweenamandal2911 Жыл бұрын
Masha Allah
@tatuali14642 жыл бұрын
Mashalha
@amrahschannel55992 жыл бұрын
mashaAllah
@mwanamisikibwana18932 жыл бұрын
MashaAllah...nauliza jee kama sitki kueka maziwa ya unga naeza Endelea ivo ivo na ikatokea ivo ama....
@lilhomies25412 жыл бұрын
Mashaallah chapati za kishua...👌
@paskalmaiko-nl9sy Жыл бұрын
Nimeipenda
@humphreykarua52412 жыл бұрын
Asantenssana Dada kwa hivyo
@ukhtyzainab72542 жыл бұрын
Thanks
@lilliantoo-nw9tz Жыл бұрын
I love it this is really tasty....😋😋 May I ask which pan you're using? is it the Non - stick Pan?
@asilahasila2 жыл бұрын
Mashallah
@herbieberr34682 жыл бұрын
Masha Allah ntajaribu
@Mapishirahisi2 жыл бұрын
In sha Allah. Waeza ukanitumia feedback insta
@a.8562 жыл бұрын
Asante
@fauziakinyua452 жыл бұрын
Thx
@badrahibrahim6867 Жыл бұрын
Nzuru Sana mini inafanya chsti ikipigwa uprpo inakua ngumu
@agneswanjiru96092 жыл бұрын
Iko sawa
@lisauroble312 жыл бұрын
Nijaribu sasa asante nitatowa kama hizoo
@ashwaqkhalid14352 жыл бұрын
I tried it na maziwa ya unga kidogo, maashaAllah very very tasty n more soft
@Mapishirahisi2 жыл бұрын
Masha Allah. I'm glad you tried the recipe and loved it💕
@fatmamajidusa Жыл бұрын
@@Mapishirahisi Maziwa ya Unga ya aina gani au Nido brand??
@zuwenaamour17272 жыл бұрын
mashllh
@aminateja50212 жыл бұрын
🥰🥰😋😋
@wardaally76442 жыл бұрын
Je naweza tumia bluu band badala ya samli??
@JackMoh-q6e3 күн бұрын
Dad km sina maziwa ya unga na nikatumia maji na mafuta haiwez kua lain
@asiyamuscat-oman22832 жыл бұрын
❤❤
@andrewjoseph20542 жыл бұрын
napenda mapish yako sanaaa dear
@yusrashabani29832 жыл бұрын
Asante sana leo najaribu kisha nitarudi kukoment
@magemelameck31152 жыл бұрын
Unaweza tumia blue band mumy
@hassanathman9573 Жыл бұрын
Mbona sikuona kama umeweka sukari bali nuliona umeweka chunvi lkn umetaja sukari ni vipi hapo?
@guyolibani365411 ай бұрын
Jisiyakupikachapatizabilamayai
@margaretkitti633910 ай бұрын
Kama Sina powered milk nitumie nini Asante
@priscilahkibunja2120 Жыл бұрын
Haujaweka sikari tena NI nikiasi ngani???
@badawyhaji92882 жыл бұрын
😋😋😋😋😋😋😋❤❤👍👍👌👌
@user-wl3po6eu5n5 ай бұрын
Kitambara chini au? Nasikia harufu tamu adi uku
@zahrasaad76152 жыл бұрын
Assalam aleykum viphali yako mzima nilikuwa auliza nikipika na maziwa ya packet na mafuta ya kawaida
@alsam48812 жыл бұрын
Chapati ni nzuri MashaAllah, ila ulikosea kusema umeweka Sukari badala ya kusema chumvi.