Рет қаралды 5,868
#mboga ya mlenda
majani ya maboga
bamia
nyanya chungu
magadi(yanapatikana sokoni popote)
karanga.
#mlenda upo wa aina nyingi na huu wa kwangu ni wamajani ya maboga na bamia
#ugali wa dona,niugali unaopikwa na unga wa mahindi ambao hujakobolewa Yani hujatolewa kile kiini ambacho ndicho chenye faida mwilini ikiwemo wanga
*ondoa fikra kwamba kula ugali wa dona ni umasikini