No video

JINSI YA KUTUMIA KALENDA KUHESABU SIKU ZA HATARI

  Рет қаралды 47,914

Afya Tips

Afya Tips

4 жыл бұрын

Fahamu jinsi ya kutumia kalenda kuzijua siku za kubeba mimba katika mzunguko wa hedhi.

Пікірлер: 75
@afyatips
@afyatips 3 жыл бұрын
Kama unahitaji ushauri wa kitaalamu au una swali kuhusu maswala ya mzunguko wa hedhi, Uzazi au Afya kiujumla, tutumie message WhatsApp kwenye namba 0717 442 590
@meshackmbopu5588
@meshackmbopu5588 3 жыл бұрын
Je Kama unaigia cku 7
@ramadhanameh7675
@ramadhanameh7675 Жыл бұрын
@@meshackmbopu5588 naingia siku 5
@musapetro6593
@musapetro6593 Жыл бұрын
naingia cik 4-5
@ashakhamis9093
@ashakhamis9093 10 ай бұрын
Mm natk kujua jins ya kuhesabu mimba inamiez gn?
@VeronicaLutobeka
@VeronicaLutobeka 29 күн бұрын
Nimekuelewa asant
@EmmanuelMduma-ly5xk
@EmmanuelMduma-ly5xk 11 күн бұрын
Asant
@benitagidion4652
@benitagidion4652 2 жыл бұрын
Kama nzunguko unabadilika kila mwezi utajuaje Siku ya hatari maana mi kila mwezi talehe inabadilika nisaidie
@annamzee1709
@annamzee1709 3 жыл бұрын
Asant kwa somo nzuri
@afyatips
@afyatips 3 жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾😊
@nestoryedward7148
@nestoryedward7148 Жыл бұрын
Something good
@DianaMohamed-yk9ri
@DianaMohamed-yk9ri Жыл бұрын
Kwa mfano mm mzunguko wangu ni siku 28 na 27 na naingia hedhi siku tati je siku ya nne na ya Tano naweza be a ujauzito baada ya kutoka hedh
@evalinemushi2289
@evalinemushi2289 2 жыл бұрын
Mimi naitaji kujua siku yangu ya hatari mwezi watano niliona sikuzangu tarehe 2 mwezi 5 na mwezi wa sita nikaingia tarehe 1 sikuyangu yahatari nilini na mzunguko wangu niwasiku ngapi?
@ndayikezaaminata424
@ndayikezaaminata424 7 ай бұрын
Hawujambo dr nilikua nataka kuliza kwahuyu mufano ulie tupa ziku ya ovulation ni hiyi tare 16 nje nikiwa sikufanya mapenzi hiyo tare ya 16 nikaja kufanyana mapenzi tare 18 na 19 naweza kupata ujawuzito?
@nassirkhamis9889
@nassirkhamis9889 Жыл бұрын
Naomba kuuliza
@lightnessfrumence2880
@lightnessfrumence2880 2 жыл бұрын
Sorry doctar me hedhi yangu huanza mfano tarehe 21/6 na kuona tena tarh 21/7 ya kila mwez sas cjajua me nipo kwenye mzunguko wa 28,30 au 35 Kati ya hapo n.a. nahitaj kujua cku za hatari n.a. salama
@user-ef4kb9zj2c
@user-ef4kb9zj2c 3 ай бұрын
Isee samahani kuuliza mm nipo confused niliingia kwenye period tarehee1 nikqmaliza tarehee 5 nimekutana na mwanaume wangu tarehee 13 na 14 je mimba itakuwa imeshika na itakuwa imeshika tarehee ngap
@user-fd8xq1sc4l
@user-fd8xq1sc4l 4 ай бұрын
Kwahiyo kwafano utumia siku 4 halafu panakauka kabla ya siku za hatali unaweza kukutana namwanaume na kutokupata mimba?
@sifaelielias5861
@sifaelielias5861 2 жыл бұрын
Naomba kujua pia kama umeghaflika ukakutana na mwenza siku ya hatari na hamjawa tayari kuzaa, utafanyaje kuepuka kuzaa mtoto bila kukusufia
@malochokolo6017
@malochokolo6017 3 жыл бұрын
Jaman samahan me nanyonyesha tataka nikutane na mwenza wang sjawah tumia uzaz wa mpango wa aina yoyote wala kalenda nafanyaje na nilikuwa naingia sk 4 lakn saiv siingii
@christinabocho4344
@christinabocho4344 Жыл бұрын
Mm Nina shida moja miezi miwili unaingia tarehe moja,,mwezi wa napitisha siku nyingi ,,
@francisdunda1646
@francisdunda1646 2 жыл бұрын
Kwa mfano mwana mke anaingia kwa period 28 alafu leo alale n mwana ume alafu leo ni 25 je atapata mimba
@afyatips
@afyatips 2 жыл бұрын
Kama mzunguko wake upo sawa (yaani haubadiliki badiliki) uwezekano wa kupata ni mdogo saana
@ChristianSiwale-iw7ex
@ChristianSiwale-iw7ex Жыл бұрын
Mimi mzunguko wangu ni siku 24 naomba nisaidie siku zangu za hataki ni tarehe ipi?
@HappyGodson-zl5wr
@HappyGodson-zl5wr 4 ай бұрын
Mimi situlii kwenye mzinguko mwezi huu naweza nikaona tr 10 ujao nikaona 31 nafanyaje ili niweze kutumia kalenda
@athmansaid1304
@athmansaid1304 2 жыл бұрын
Hi how are you naomba uisabu kama mtu ameingia kwa damu siku tatu
@user-lo4hq3vp1o
@user-lo4hq3vp1o 7 ай бұрын
Nauliza kuwa cijui mzunguko wangu wa hezi halafu nataka nitumie kalenda Kwahy nifanyeje kama kuepukana na mimba
@LailatyHamisi
@LailatyHamisi Ай бұрын
Mfano ukiw unaend siku Saba na tar zinabadilika inakuwaj
@mgenihaji5712
@mgenihaji5712 Жыл бұрын
Habari kwamfano mimi nilitumia mwezi wa 7mwezi wa 8 sijaipata priad nimepata mwezi huu wa 9 sasa hapo nitafanya vipi huo mzunguko
@suzanlucas1910
@suzanlucas1910 2 жыл бұрын
Kama umekaribia kuingia period unabeba mimba
@irenemathias4266
@irenemathias4266 Жыл бұрын
Habari Mimi naitaji kujua namna yakupata kalenda
@laurentbanza6135
@laurentbanza6135 Жыл бұрын
Sasa Mimi mpenzi wangu ana tarehe kanuni ya kuona hedhi yake Sasa tajuwa vipi Siku zake za hatari?kwa sababu uyu mwezi wa Tisa amepata hedhi tarehe 20 na hedhi inafanyaka Siku Tatu kwake Kisha inamilzika ao Siku nne.sasa napenda kujuwa Siku zake za hatari.asanteni
@nassirkhamis9889
@nassirkhamis9889 Жыл бұрын
Umeanza tarehe 31 kisha umefuata na tarehe 2 kwenye mzunguko wa pili
@AndanganileSaidy
@AndanganileSaidy 4 ай бұрын
Hvii kuhusu wakin sis 2naoenda ckuu saba
@vailethmwageni8441
@vailethmwageni8441 Жыл бұрын
Kwa MTu anayekaribia kupata hedh nyingine anaweza kupata mimba
@elizabethmushi9206
@elizabethmushi9206 3 жыл бұрын
Doctor Mimi sikuzangu zinajirudia takribani miezi mitatu mfululizo mfano mwezi wa 5nilipata hedhi tar 10mwezi wa 6nilipata tar10mwezi wa Sana pia ikarudia Tena tar10sasa Mimi mzunguko wangu itakuwa wa siku ngapi?
@tullytemu4442
@tullytemu4442 3 жыл бұрын
28
@salimchausa2711
@salimchausa2711 3 жыл бұрын
Samahani mbona numb haipo whatspy
@chodachopper5962
@chodachopper5962 Жыл бұрын
Kama naingia siku tatu mara ya mwisho kuingia ni trh 12
@nassirkhamis9889
@nassirkhamis9889 Жыл бұрын
Nimeangaliya hpo nimeona mbn kuna tarehe umeziruka
@beatriceskawamala4094
@beatriceskawamala4094 2 жыл бұрын
Mtu anaye ingia mara mbili kwa mwezi,,anaesabuje
@williamelias17
@williamelias17 Жыл бұрын
Kama kila mwezi mzunguko unabadilika utajuaje siku ipi ya hatari
@latifamohamed5268
@latifamohamed5268 Жыл бұрын
Minilitakujua kwaiyo baada yaizo siku za hatar zinazo fata nifree au
@MusaEnosi
@MusaEnosi 8 ай бұрын
Hiyo kalenda tunaipa wap
@rebisiusmfuko5017
@rebisiusmfuko5017 3 жыл бұрын
Nimwanamke ambae nilimekosa mimba kwa mwaka mmoja nifanye je kupata mimba?
@LAURENT-jj5fu
@LAURENT-jj5fu 2 жыл бұрын
Mm naingia trh 20 je mzunguko wangu wa hedhi ni ck ngap naomba nisaidie.
@elzdeus2365
@elzdeus2365 Жыл бұрын
cjaelewa namna ya kuhesabu mzunguko wa hedhi yaani kujua siku salama na siku hatari
@ramadhanameh7675
@ramadhanameh7675 Жыл бұрын
Mimi nifanya tendon la ndoa siku yatano ya edhi naweza kupata ujauzito?
@samwelsanford2181
@samwelsanford2181 Жыл бұрын
Helloo! Mimi nina hitaji Kalenda nipo Dodoma
@shemsakiza8263
@shemsakiza8263 Жыл бұрын
Mambo vp tunashukuru kukisomo kama apa mm naona tale 31 nitaisambia aje
@user-kx4hs5cx3l
@user-kx4hs5cx3l 7 ай бұрын
Kwa. Mfano umeingia tarehe kumi natatu nielewese hapo
@mhindimuhundira14
@mhindimuhundira14 2 жыл бұрын
Nilikuwa nahitaji maelekezo zaid
@salharajab8862
@salharajab8862 3 жыл бұрын
Habar nahitaji hiyo kalenda
@fatmamasoud6642
@fatmamasoud6642 2 жыл бұрын
Kwa mtu anaye ingia mara mbili
@shundakwesey9035
@shundakwesey9035 2 жыл бұрын
Me ninashida
@barikimkwera-wn4wl
@barikimkwera-wn4wl Жыл бұрын
Nahitaji kalenda hiyo,ntaipaje
@juniorsmart2483
@juniorsmart2483 2 жыл бұрын
Me hata xmuelewi
@jakobjuma8301
@jakobjuma8301 4 жыл бұрын
Na je mbn mm nilifundshwa xhuln kua unaanza kuesabu toka siku ile alivyomaliza edhi mpaka cku ya kumi na moja ndo cku ya Atari inanza VP i inakaje
@afyatips
@afyatips 4 жыл бұрын
Hiyo ni kwa mzunguko wa hedhi wa siku 28. Na shuleni mara nyingi huwa wanafundisha wakitolea mfano mzunguko wa siku 28.
@jakobjuma8301
@jakobjuma8301 4 жыл бұрын
@@afyatips apo nimekusoka na VP kama ana hedhi ya cku 30
@tumsifungogo6361
@tumsifungogo6361 2 жыл бұрын
Swali langu ni tatumia karenda sawa asa katika karenda kuna mwenzi mfupi na mrefu nitajuaje apo siku zangu za hatari doctor?
@razakidelly3976
@razakidelly3976 4 жыл бұрын
Samahan doctor mm panapo nixhnda kwny mznguko was cku 28,30,31 yaan kW ufupi sielew tu na Nina tatzo lingne natapka kila mda na matiti nahisi kujaa km chem chem toka mwez wa6 Niko na hii hali hedhi napata kla mwz natumbo lng nikubwa napta was was nisaidie ushaur dokta
@afyatips
@afyatips 4 жыл бұрын
Kwani kila mwezi unapata period yako au kuna miezi unakuwa hupati period?!
@afyatips
@afyatips 4 жыл бұрын
Na hayo maziwa yanajaa muda wote au kuna kipindi fulan kwenye mzunguko wa hedhi ndio huwa yanajaa?!
@razakidelly3976
@razakidelly3976 4 жыл бұрын
Kila mwezi napata hedhi na maziwa ujaa kila cku au naweza kaa cku mbili bila kuona hiyo hali lkn cku ifuatayo nikaona yanajaa
@sophiarichardjmnrubynkpend6960
@sophiarichardjmnrubynkpend6960 4 жыл бұрын
Me sielew jaman
@afyatips
@afyatips 4 жыл бұрын
Enhee.. niambie hauelewi wapi?!
@subiralukasa839
@subiralukasa839 2 жыл бұрын
@@afyatips Dr samahan mfano mm nlianza period tar 23 mwez huu yaan jmos nkamaliza 27 j5 nataka kujua kufikia cku ya leo nipo safe au hatar make mwenzang hakuepo ndo anarud na mm ctak kubeba mimba
@nassirkhamis9889
@nassirkhamis9889 Жыл бұрын
Nimeangaliya hpo nimeona mbn kuna tarehe umeziruka
@malochokolo6017
@malochokolo6017 3 жыл бұрын
Jaman samahan me nanyonyesha tataka nikutane na mwenza wang sjawah tumia uzaz wa mpango wa aina yoyote wala kalenda nafanyaje na nilikuwa naingia sk 4 lakn saiv siingii
@salhakihulya9804
@salhakihulya9804 Жыл бұрын
Jamani samahani mie niliingia period tarehe 9 Oct na nikamaliza terehe 14 Oct na Ilipofika tarehe 28 Oct nikashiriki tendo la ndoa .but now mwezi November sijaona period kwahiyo tatizo nin?
Hizi ndio siku za Kushika Mimba - Dr Baiya Kissiwa
10:12
Kalamutz
Рет қаралды 32 М.
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 26 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 28 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
jinsi ya kuhesabu siku za mzunguko wa hedhi wa aina zote
7:25
Afya Tips
Рет қаралды 499 М.
FAHAMU MZUNGUKO WA HEDHI NA JINSI YA KUSOMA KALENDA YA HEDHI
8:13
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 26 МЛН