pasuwa majipu sheikh mwaipopo unasema ukweli mtupu mungu akujalie uwe hivyo hivyo always
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@hassanmpemba5747 je wajua shetani na majini ni waislam,walislim
@ayubutwalbu659418 күн бұрын
Allah akujalie wewe pamoja na sis
@Kuminamoja199524 күн бұрын
Points sheikh mwaipopo ahsante
@user-jy4pm3hh9s21 күн бұрын
Imani nin
@drnow152824 күн бұрын
maaskofu na wachungaji wanapiga pesa za waumini
@paulmushi242824 күн бұрын
Kwa Mujibu Wa Qur'an Dini ya Uislamu inawahusu Waarabu Soma Qur'an Surat Ash-Shura 42:7 Na namna Hivi tunekufunulia Qur'an Kwa Kiarabu ili iwaonye watu wa Makka na walio pembezoni mwake (Mf Madina, Badri, Uhud, Taif, Tobuk n.k) Soma pia Al-An'am 6:92
@marionoti576024 күн бұрын
Unaota, unaweweseka, unawahadaa waislamu , Unajikinaisha baada ya kufanya makosa makubwa ya kudharau utamaduni waliokuridhisha baba zako. Hata waislamu wanakuona punguani. unaropoka ropoka kama kalagesye. pole mwanafile, Mbele kwa moto na nyuma kwa moto.
@savinosalamba917424 күн бұрын
Hapana,hapana,
@savinosalamba917424 күн бұрын
Shetan na majini walifukuzwa na mungu wanasubiri moto wa jehanamu,kwann ety wamesilimishwa,
@paulmushi242824 күн бұрын
Kwa Mujibu wa Qur'an Hata Muhammad Mwenyewe alitumwa na Allah wa Makka kwa Waarabu soma Qur'an Surat Ibrahimu 14: 4 - Na hatukumtuma mtume yoyote isipokuwa Kwa lugha ya watu wake apate kuwabainishia Surat At Towba 9: 128 Hakika amekwisha kujieni mtume kutokana na nyinyi wenyewe ( Waarabu)
@prochesernest543924 күн бұрын
Wakristo hawaendi kwenye pepo ya allah maana huko kuna kuna kuoa wanawake sabini Kwa Yehova hakuna kuoa wala kuolewa
@PriscusAssenga-eo7rm24 күн бұрын
Is not true
@prochesernest543924 күн бұрын
Huyo mkristo ajielewi maana hamjui mungu WA kiislamu ni tofauti na Mungu wa kikristo maana allah Sio baba na Mungu Yehova ni Baba kwaiyo huyo dada akimjua huyo Mungu WA waislamu hataludia kusema hayo ayasemayo maana allah apendi kusikia watu wakisema Mungu ana mwana
@cizaiddy783922 күн бұрын
Wewe Mungu wawakristo na Mungu wawaislam ni umoja tatizo liko kwenu wa kristo
@prochesernest543922 күн бұрын
@@cizaiddy7839 Mungu WA wakristo na waislamu Sio Mmoja nakupa vigezo Yehova ni Baba Mungu WA wakristo Allah Sio baba Mungu WA waislamu Mungu WA wakristo ametukataza kushilikiana na majini au mapepo wachafu mungu WA waislamu kawaluhusu kuwa na Imani Moja na majini na kingine Mungu WA wakristo kasema mbinguni hakuna kuoa Wala kuolewa Allah Mungu WA waislamu kawaidi wanawake huko peponi Wanadamu na majini watapewa wake kingine Allah ataingiza hunyayo wake jehanamu ya moto kingine Allah kawaluhusu waislamu kuwapinga watu WA kitabu mpaka waingie kwenye Dini yake 9:29 quruan Soma hapo Mungu WA quruan hawezi Kuwa na mwana mpaka awe na mke quruan 6:101 Mungu WA biblia anasema aliupenda ulimwengu akamtoa mwanawe pekee kitabu Cha Yohana 3:16 soma hapo mungu WA quruan anasema mbingu na ardhi zanapasuka na milima kuanguka Kwa kusema mungu ana mwana kwaiyo ndiomaana hatumkubali huyo Allah wenu kaja kupinga biblia iliyotangulia
@savinosalamba917424 күн бұрын
Shetani alislimu,na majini yalislimu,no no no
@paulmushi242824 күн бұрын
Mwaipopo nilishasema nasema tena Qur'an Surat Imran 3:19 " Dini ya Haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu" hapo hasemi Mwenyezi Mungu Bali Kuna mtu au Jinn anasema! Angekuwa kasema Mwenyezi Mungu Aya ingesema Hivi - "Dini ya Haki mbele yangu Mimi Mwenyezi Mungu ni Uislamu"
@savinosalamba917423 күн бұрын
Hoja Yako mwaipopo sikubaliani nayo kabisa,UKRISTO UMENYOOKA SANA HADI KWA MUNGU,MUNGU ALIMTOA MWANAE YESU ILI KILA AMWAMINIE AWE NA UZIMA WA MILELE
@jonathanmasu680322 күн бұрын
Niwaombe waislam swala sio kupinga au kukubali imani tu lkn tafuteni uhalisia wake kwa mfano muulize sheikh yoyote je alishawahi kusemeshwa na Allah, kama hapana basi jiulize uyo allah ni kweli yupo?
@MollelSirikwa24 күн бұрын
Mwapopo unatulete maneno ya maneno ya mohamad kujibingia debe dini yke
@allyhasani375024 күн бұрын
Tatzo unanichefua kuiyazungumzia mafisadi, tu mavi juu ya biliani (ccm) haifai
@paulmushi242824 күн бұрын
Na kwa Mujibu wa Qur'an yenyewe - Uislamu ni dini ya Allah wa Makka ambaye siyo MWENYEZI MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI!!
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@paulmushi2428 safiiii wape ukweli
@savinosalamba917422 күн бұрын
@@paulmushi2428 hapana,hapana,shetani kasilimishwa,majini yamesilimishwa,hiyo ni dini ya mungu kweliiii oneni aibu,
@savinosalamba917422 күн бұрын
@@paulmushi2428 tuwape ukweli baba paulmushi,Toka wadogo tunaambiwa dino ya majini kumbe kweli
@savinosalamba917424 күн бұрын
Suratul jinn
@savinosalamba917424 күн бұрын
Waalimu wa madrasa,pia mnaharibu watoto wa kiume
@drnow152824 күн бұрын
ushoga ulianzia Vatican
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@drnow1528 chimbuko uarabuni,watanzania wengi wanaenda kufanya kazi uarabuni uliza wanafanywa Nini wanaume kwa wanawake,halafu mtu anasali sala 5,
@savinosalamba917422 күн бұрын
Mimi Islam hunivutii hata kidogo ,maana najua vizuri,uovu wote upon kwenu,ugaidi,waalimu wa madrassa,majini,
@nduwimanaamidou400919 күн бұрын
Kwani nani alikwambia uislam unakutaka wewe
@savinosalamba917416 күн бұрын
@@nduwimanaamidou4009 kasema dini ya haki hapana,mambo ya uchawi majini Toka enzi Hadi Leo
@savinosalamba917424 күн бұрын
NITAMWAMINI MUNGU ,YESU CHRISTO ,YESU ALIKUFA AKAFUFUKA NA SASA YUKO MBINGUNI,KWA MUNGU
@seifserenge334024 күн бұрын
Wewe ni chizi kweli. Yesu ni mungu. Halafu Mungu huyo(yesu)kafa,na hivi sasa yuko mbinguni kwa Mungu. Una miungu mingapi!!😂😂
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@seifserenge3340 endeleeni kuabudu shetan,majini,kisomo cha kichawi,waalimu madrasa wanaharibu watoto,ugaidi duniani,moto wa jehanam halali yenu,
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@seifserenge3340 SHETANI ALI SLIMU HUJUI,MAJINI WAZURI WALISLIM NA MSIKITINI MAJINI HUSALI,WEW,
@savinosalamba917423 күн бұрын
@@seifserenge3340 Yesu mwana mungu,aliletwa na mungu ili tukombolewe sisi wandamu
@seifserenge334023 күн бұрын
@@savinosalamba9174 sasa Yesu ni Mungu au ni mwana wa Mungu ?