YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI

  Рет қаралды 79,923

ZVP ONLINE TV

ZVP ONLINE TV

3 ай бұрын

#ShZaidMakubuli #ZvpOnlineTv #Tabora

Пікірлер: 366
@wiliampaulo5556
@wiliampaulo5556 2 ай бұрын
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-dq1lm2be2u
@user-dq1lm2be2u 3 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 3 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 2 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla9428
@radhiamalla9428 2 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@user-vy7zv1xx7u
@user-vy7zv1xx7u 2 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Kweli
@mudhihirIbrahim-hb7ry
@mudhihirIbrahim-hb7ry 3 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo8277
@gabrielnduwayo8277 3 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 3 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 3 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 2 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@user-zw6xz3lq1x
@user-zw6xz3lq1x 2 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@user-dr1su7pf7w
@user-dr1su7pf7w 2 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp
@ShafiiAbuu-jb8hp 3 күн бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 3 ай бұрын
Naam
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@abuibra
@abuibra 3 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 3 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@SubiraMndeme-yw7mx
@SubiraMndeme-yw7mx 3 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@nassornyanyagi5126
@nassornyanyagi5126 3 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 3 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 3 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 3 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......​@@zvpOnlineTv
@user-xo5lq7mw3n
@user-xo5lq7mw3n 3 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@user-hi6mb4so8w
@user-hi6mb4so8w 3 ай бұрын
​@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@sunwizy608
@sunwizy608 3 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@habibkuya3327
@habibkuya3327 3 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye2215
@miye2215 3 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@pauloropian2367
@pauloropian2367 2 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 3 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed999
@AminaAhmed999 2 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd
@JamaliAmour-jp9dd 2 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo1378
@jumashiyo1378 2 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@drkalokola5861
@drkalokola5861 3 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 3 ай бұрын
Mh
@danielshimora5315
@danielshimora5315 3 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 3 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu3347
@juliusmsegu3347 3 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 ай бұрын
​@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 2 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 2 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@jumasibanilo2912
@jumasibanilo2912 3 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@stanleysteven1998
@stanleysteven1998 2 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
@nadhirunjinjo5790
@nadhirunjinjo5790 Ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f 3 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@kimaroabduli
@kimaroabduli 2 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@user-xw1dv3gr8s
@user-xw1dv3gr8s 3 ай бұрын
Sheikh mche mola
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Allahu akbsr
@user-ow2jv4vn8b
@user-ow2jv4vn8b 2 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@miye2215
@miye2215 3 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@adammaro7836
@adammaro7836 Ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@fathimamct232
@fathimamct232 3 ай бұрын
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
@EzraSaid
@EzraSaid 2 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@mwanakupona
@mwanakupona 3 ай бұрын
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 2 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli4366
@salummakaveli4366 Ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@user-ez1ky4ls7c
@user-ez1ky4ls7c Ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit9637
@vicentkibirit9637 Ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@kassuqutbi2199
@kassuqutbi2199 3 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb2848
@cgbb2848 3 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb2848
@cgbb2848 3 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 3 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl
@SalmaSeif-yg5wl 3 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@mussasenga6732
@mussasenga6732 2 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@bradleykhanei4092
@bradleykhanei4092 2 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@OmaryKaniki-hs5mz
@OmaryKaniki-hs5mz 2 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 2 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 3 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@budodianthony8094
@budodianthony8094 2 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@mussasenga6732
@mussasenga6732 2 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@fundibombazanzbar5717
@fundibombazanzbar5717 2 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@1961nungwi
@1961nungwi 3 ай бұрын
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
@JamaliAmour-jp9dd
@JamaliAmour-jp9dd 2 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 2 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@rizikiallie3266
@rizikiallie3266 3 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@hassanmzandy1421
@hassanmzandy1421 3 ай бұрын
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
@HamisaIssa-df7yy
@HamisaIssa-df7yy 3 ай бұрын
Allahyakhalam
@georgesolos344
@georgesolos344 2 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@user-ez1ky4ls7c
@user-ez1ky4ls7c Ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 3 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@user-sw1ol9jb6z
@user-sw1ol9jb6z 2 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@jumashiyo1378
@jumashiyo1378 2 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@mwanakupona
@mwanakupona 3 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman179
@oman1oman179 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@JosephuSwai
@JosephuSwai 2 ай бұрын
Kweli
@AbrahamanSaidi-uf1dw
@AbrahamanSaidi-uf1dw 2 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
@user-dy8yc5ml1p
@user-dy8yc5ml1p 3 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@captenndunga6745
@captenndunga6745 3 ай бұрын
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
@seifyangawakosawakombo6605
@seifyangawakosawakombo6605 3 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk
@MullarCmk 2 ай бұрын
Hana akili chizi
@marymamarau24
@marymamarau24 3 ай бұрын
Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 2 ай бұрын
ila ndio kasema hamfai kuolewa
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 3 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd
@GeofreyWilliam-ev7qd 2 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@HajiHarumbo
@HajiHarumbo 2 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@user-ed1cf9nq5w
@user-ed1cf9nq5w 2 ай бұрын
Huyu ana ujahiliyah
@mikidadiyusufu2319
@mikidadiyusufu2319 2 ай бұрын
Umechemka sanaa
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 2 ай бұрын
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@user-dm8vq6yo1e
@user-dm8vq6yo1e Ай бұрын
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@JosephuSwai
@JosephuSwai 2 ай бұрын
Kweli shee
@HajiAlly-uz7vp
@HajiAlly-uz7vp Ай бұрын
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
@emmanuelahmedbyona2353
@emmanuelahmedbyona2353 2 ай бұрын
Uislamu unaanza tena ku promote ukabila?
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 3 ай бұрын
Hii
@IssaKabelwa-zs2ct
@IssaKabelwa-zs2ct 3 ай бұрын
Jazba weken mbali yeye hajaleta ukabila jambo lakuowa nilazma upete mke alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo kwahiyo kama kabila lako limetajwa vumiliya tuu ukweli nikusemwa
@user-sw1ol9jb6z
@user-sw1ol9jb6z 2 ай бұрын
We mbaguzi tabora si watu bora wote
@chachamturi259
@chachamturi259 2 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@omarihassani-qu5ie
@omarihassani-qu5ie 2 ай бұрын
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
@user-fq3ro9jp5v
@user-fq3ro9jp5v 2 ай бұрын
Mwenyeezimungu subhanawataala amesema chagueni ukoowakuolewa. Au. Kuolewa ukooyaani familia sio kabila shkh mtumzima unaropokatu ovyo mkofiauwo
@AbdallahNgoge
@AbdallahNgoge 2 ай бұрын
Daaa aisee kama viongozi wote wa dini wangekuwa wanatoa mahudiri au nasaha hizi sijui tungekuwa wapi ,
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 3 ай бұрын
Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 3 ай бұрын
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
@user-vd4og8md3v
@user-vd4og8md3v 2 ай бұрын
Hamna shekhe apo
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 2 ай бұрын
Miyeyusho Tu,🤯
@user-dj7bs7si1v
@user-dj7bs7si1v 2 ай бұрын
إنه امرؤ فيه الجاهلية
@chachamturi259
@chachamturi259 2 ай бұрын
Ilasemann umenifurahisha ilivyotaja Chem chem, maana ndiipo nilipo semea shuleyamsiingii
@husseinmohamed8493
@husseinmohamed8493 2 ай бұрын
Sheikh mimi nakuona mshamba tu na mpotoshaji chunga sana Kisha sheikh zipe dawa za kufanya meno yako yakawa kma ya watu wengine
@chachamturi259
@chachamturi259 2 ай бұрын
Duuh waislam kwakulopoka bhana
@TeresiaNestori-xh9ch
@TeresiaNestori-xh9ch 2 ай бұрын
Ana hekima ata
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 2 ай бұрын
Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v Ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@user-ez1ky4ls7c
@user-ez1ky4ls7c Ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@user-zg6hx6xi3x
@user-zg6hx6xi3x 2 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@abubakarothman3532
@abubakarothman3532 3 ай бұрын
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
@hilalmasoud6514
@hilalmasoud6514 3 ай бұрын
SHEIKH wacha upumbavu ukabila ni uvundo mcha mola ndio mbora wenu
@wisemankaniki4200
@wisemankaniki4200 2 ай бұрын
Huyu jamaa mpumbavu tu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 3 ай бұрын
Hao wanaosema namwachia Mungu hukunyuma wanaenda kuf
@yusuphmussa554
@yusuphmussa554 2 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@user-bp6fb6wo5u
@user-bp6fb6wo5u 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa ni mwehu sanaaa 😅😅😅😅 nafkiri atoka kuvuta bangi huyu 😂😂😂😂😂
@JudithNjovu-zt9sn
@JudithNjovu-zt9sn 2 ай бұрын
shekh unahaya embujalibuni kufundisha maadili mema sioupumbavu unao ujenga
@GeofreyWilliam-ev7qd
@GeofreyWilliam-ev7qd 2 ай бұрын
Hamna sheikh hapo
@georgesolos344
@georgesolos344 2 ай бұрын
Mchaga, mha, mpare, mhaya
@Sajdayusuf
@Sajdayusuf 2 ай бұрын
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety
@MarwaKatety 2 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
@yusufmod1437
@yusufmod1437 3 ай бұрын
Nimesoma comment zote ila watanzania mko n upungufu w kuelewa sana hapo ndio wakenya tunawashindia nyinyi mnapenda kuongea porojo n kujifanya mwajua n hamjui😅basi mbn msiende nyinyi mkatoe hayo mawaidha wadhan n rahisi kutoa hayo mawaidha au n tuma comment mbaya z kukosea heshima mashekhe wenu
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 ай бұрын
Upungufu wa akili mnao nyinyi wakenya, hamna lugha yenu ya taifa, mnaongea kingereza huku mnajua ni lugha ya your colonial master, acheni kutumia lugha ya mzungu, sio ya kwenu, we are proud of our swahili, we can talk, write and be proud of it because it belong to us (Tanzanian) hamna ardhi yoooote mmeitoa kwa wawekezaji, ukabila ndio msiseme uchaguzi hata wa balozi wa nyumba 10 mpaka mpigane, hampendani hata mkiwa ulaya mkikuyu hamsapoti mjaluo. Wivu wenu kwa watanzania ndio unawasumbua. Shame on you kenyans. Next time mkichapana kwenye uchaguzi tunaweza tusifungue boarder yetu.
@MARIAMKHAMISI-jz6ze
@MARIAMKHAMISI-jz6ze 2 ай бұрын
Shehe unapofundisha watu tumia hekima na tazama mafundisho Yako yanafikaje kwa waumini wanao kusikiliza
KUNA MAKUNGWI KAZIYAO MATUSI TU //SHEIKH NYUNDO
19:13
arkas online tv
Рет қаралды 111 М.
ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE
13:54
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 10 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
UNAJUA NI KWANINI  MUNGU AMEKATAZA KUOA/KUOLEWA NA MAKABILA HAYA - KUHANI MUSA
12:15
FRESH SPRING FELLOWSHIP
Рет қаралды 4,9 М.
WATU WANAAMINI HIRIZI KULIKO MUNGU// SHEIKH NYUNDO
12:42
arkas online tv
Рет қаралды 10 М.