Рет қаралды 3,117
Tumwimbie Mungu ni albamu yenye nyimbo 10 zilizotungwa na watunzi mbalimbali mahiri hapa nchini. Kazi hii imefanywa kikamilifu na Tanganyika Productions kutoka Dodoma.
Uzinduzi utafanyika tr 21.11.2021 katika Ukumbi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga kilichopo pembezoni mwa Hospitali teule ya Wilaya ya Mwambani, Mkwajuni Wilayani Songwe kuanzia saa saba mchana
Karibuni nyote tushiriki tukio hili la kihistoria.
Kwa mawasiliano na mahitaji ya DVD au flash ya albamu hii: +255 742 619 354, +255 756 529 232, +255 786 714 581
Tufuate pia
Facebook:
/ kwaya-ya-mt-john-bosco...
Instagram:
I'm on Instagram as @kwaya_mtjohnboscomkwajuni. Install the app to follow my photos and videos. invitescon...
Audiomack:
audiomack.com/kwaya-ya-mt-joh...