Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤
@Justin-c5k8 күн бұрын
Wimbo mzur Sanaa...hongeren waimbaj ...Mungu awatie nguv
@lilianalara800710 ай бұрын
Sauti nzuri God bless you for Good job🎉
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥
@geofreynyangoro50084 ай бұрын
Hongera sana sana kwa kazi ya kitume
@paulinaluambano9150 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima
@MaryNgosse4 ай бұрын
Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki
@stellahmnema92794 ай бұрын
Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san
@christinaraymond19289 ай бұрын
Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze
@KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI28 күн бұрын
Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno Hongera kwa mtunzi pia
@kelvinmulingei16006 ай бұрын
Good message. Hongereni😊 Ubarikiwe sana Mwita
@NiccaSaua2 ай бұрын
Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤
@baremaleonard99806 ай бұрын
Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo
@nyimbotamu Жыл бұрын
Yaani kama tungekua tunatafakari maneno haya mazito katika mioyo yetu Mungu ataturehemu, barikiwa sana Mwita Isaac, Mungu akukirimie neema sana, huwa unanibariki sana @franklinOrganist
@seltusmwanampemba940310 ай бұрын
M
@stephenndagalla81836 ай бұрын
Kuyatafakari na kuyatenda maelezo ya wimbo huu.
@mussaananiasmyonga7272 ай бұрын
Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!
@norbertsungu39229 ай бұрын
Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist
@rosewanjiku267 Жыл бұрын
❤kazi nzuri sana God bless you all
@user-io5cs1mb4d Жыл бұрын
Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤
@BethinaLeonardy2 ай бұрын
Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa
@user-oq9vc3zl5z7 ай бұрын
❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote
@jonaskweyamba9747 Жыл бұрын
Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla
@martinmhando83512 ай бұрын
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu
@ericluminator5 ай бұрын
Nice message
@johndgurty901110 ай бұрын
Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia
@adelinusacleus4237 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana
@MaryNgosse3 ай бұрын
Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha
@cathywalwit5437 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe
@HOLYTRINITYSTUDIOS Жыл бұрын
Hongera Galaxy Pro
@runyankolecatholictv822710 ай бұрын
nice...my favourite Despina love you
@JOHNMAGEZI-er6pl4 ай бұрын
Nimeipenda
@user-fi5ml8th6w9 ай бұрын
Wimbi mzur sna unatugusa san
@kasalakasala74175 ай бұрын
Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi
@juliusdanson22511 ай бұрын
Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤
@juliusdanson22511 ай бұрын
Bravo,bravo,bravo❤❤❤
@alfredandunguru450511 ай бұрын
So proud to be Catholic,
@ManyandaMalashi-uw3me Жыл бұрын
congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack
@JustinMalipanga-wg6we8 ай бұрын
KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana
@deokessy65966 ай бұрын
Evangelical voice
@georgemhindi9961 Жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu
@cosmasbarnabas492711 ай бұрын
Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla
@irenekibaho4549 Жыл бұрын
Dada mungu awabarikiri
@user-yj8xx4we1s5 ай бұрын
Kweli ni meukubali
@user-lg8lq1jv7w6 ай бұрын
Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote
@marypirian423626 күн бұрын
Daaaah...! Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏
@AloyceMdollo Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@rahmapanga8845 Жыл бұрын
Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all
@ExaveryNgonji-hl6ym Жыл бұрын
Hii ni hatali ngoma kali sana mmbalikiwe sana
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia
@shayobeatuscasmiri298111 ай бұрын
Good message. Mbarikiwe
@revaniakataga8070 Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana
@user-ex1nd6so6d Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya wetu
@user-bv9or2lo2w6 ай бұрын
Nice piece with good message and creativity ❤❤
@menancemhombwe226711 ай бұрын
Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako
@FelisterKazimili-lk3qo11 ай бұрын
Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam
@TheopisterAlfledy2 ай бұрын
❤ Safi san
@theodorycharles11 ай бұрын
Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana
@theodorycharles11 ай бұрын
❤
@mwitaisack958211 ай бұрын
Amina dadangu Mungu ni mwema
@mercywakola Жыл бұрын
Barikiweni sana,kazi nzuri
@blandinabugomba922610 ай бұрын
Hongera sana ❤❤❤
@JacksonKanzira-wp3wt Жыл бұрын
Hongereni sana wote mlioshiriki kuikamilisha kazi nzuri hii (Mtunzi, waimbaji, Studio audio-video, organist...). Mungu awabariki !
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥
@edwinotieno9189 Жыл бұрын
Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa. Wimbo tamu sana
@despinae.mdende Жыл бұрын
Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.
@immaoyugi12869 ай бұрын
Wimbo mzuri wa kutafakari🙏
@tempochoir7 ай бұрын
Awesome ❤
@plannerkasina488 Жыл бұрын
Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana
@josephmunene4010 Жыл бұрын
Nyimbo zenu hubariki. Asanteni.
@richardtiganya955911 ай бұрын
Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!
@user-ii5qn4cp1u Жыл бұрын
Hongeleni Sana wanakwaya wetu
@Valerie365 Жыл бұрын
Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥
@simonthongori8586 Жыл бұрын
Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .
@TanasBall3 ай бұрын
Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤
@erickmomanyi9644 Жыл бұрын
Napenda, good job.
@olivernyakiage954 Жыл бұрын
Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.
@christinekimani7738 Жыл бұрын
Bravo 🎉,🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Beautiful song
@fabiansululi75117 ай бұрын
Aloo ❤
@magrethmdemu3985 Жыл бұрын
Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Amina 🙏
@josminimsigwa5146 Жыл бұрын
Kazi na ibarikiwe 🙏🙏
@heavenlymusicproduction4360 Жыл бұрын
Safi sana kazi nzuri sana hio❤❤
@HeriusMatiku-kp9iy Жыл бұрын
Ujumbe mzur Mungu awbariki sana ndg zangu 🙏
@fumeme0991 Жыл бұрын
What a sweet music 🎶, am blessed a lot. Asante sana Galaxy pro, waimbaji, mtunzi.Naomb kwa mwenye huu utukufu (music notes) wakuu anisaidie ..🙏🙏
@veronicangota35329 ай бұрын
Kazi njema ✔️
@andrewngatunga7837 Жыл бұрын
Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉
@dokctv_dokccatholic Жыл бұрын
🙏
@user-xz4sm7qn5l10 ай бұрын
I love this song it the best
@user-ov5fj9vl7i Жыл бұрын
Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Amina sana
@odettevianney3026 Жыл бұрын
Wimbo mzuri kuanzia maudhui hadi sauti na mpangilio mzima. Hongereni sana😊
@amambiastephen178 Жыл бұрын
Kila kitu kizuri! Baraka tele!
@sheilajepkorir23869 ай бұрын
Finally despina ♥️
@herrykifikilo7821 Жыл бұрын
hakikaa ujumbee mzitoo
@wise_d_tz Жыл бұрын
inagusa sana what a song #nzuri mnoo #we are blessed
@mercymburu822711 ай бұрын
Wimbo una maneno ya ushauri🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MasindePeter-tm1qk Жыл бұрын
Tumwombe Mungu aendelee kuwatia nguvu na kutuepusha na kiburi cha uzima
@SirJames065 Жыл бұрын
Wimbo mzuri..
@TM.254 Жыл бұрын
Kazi zuri mno ya kupendeza. That's why i love @Galaxy pro🔥. Clear production. Instrumentals are best
@cosmasbarnabas492711 ай бұрын
Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo
@mwitaisack958211 ай бұрын
Amina kaka Mungu ni mwema.
@pirminmbawala84545 ай бұрын
Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.
@pirminmbawala84545 ай бұрын
Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko
@francismarykimaili470611 ай бұрын
Bellisima! Buona musica
@yorandayorandan4018 Жыл бұрын
Mmejua kunibariki sana mm mtoto wa kichaka nibarikiwa mno sio siri
@benyjoseph949 Жыл бұрын
Wooooow wooo huu wimbo ndo nilikuwa nausubiri kwa Hama ❤❤❤
@MasindePeter-tm1qk Жыл бұрын
Mungu away awabariki Sana wapendwa kwa kazi nzuri na tafakari ya kina.
@inosensiamarcel80669 ай бұрын
Nice song...
@guygerardmaindo3202 Жыл бұрын
Merci beaucoup pour cette mélodie.Je suis fier d'être catholique pour toujours.Depuis Kinshasa rd.Congo