Asante sana AJE Farm kwa kutuhabarisha tuko pamoja
@aje-farmsmashambayanayotem73925 ай бұрын
Karibu sana Ally,na tunakuomba utusaidie kwa KUSUBSCRIBE na kusambaza video hii muhimu kwa wadau wa kilimo. Unaweza pia kununua kitabu cha KILIMO CHA CHIKICHI kwa TZS 3,000 ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE.
@ndagijimanafelix57193 ай бұрын
Vizuri
@aje-farmsmashambayanayotem73923 ай бұрын
Karibu AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA na tafadhali SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi kutoka mashambani kwetu.
@edwardgereza60462 жыл бұрын
Kazi nzuri. Mnatumia mbinu gani ya kupunguza kupotea kwa maji katika mabwawa kupitia kunyonywa na mchanga?
@aje-farmsmashambayanayotem73922 жыл бұрын
Ni kweli kuna kiwango cha maji kinachopotea kupitia udongo ,ila bwawa haya haya tunafugia kambale /mumi ;ikibidi nyakati ambapo maji yatapungua zaidi tunaweza kupump maji kutoka ziwani.Ni kama kwa kuvuna maji ya mvua tunapunguza gharama za umwagiliaji kwa asilimia 50 na hivyo kuongeza faida kwenye kilimo chetu.Mbinu hii ya kuvuna maji huambatana na mbinu nyingine za kuhakikisha hata maji tuliyoyamwagilia shambani hayapotei. No single bullet! Tusingetumia mabwawa haya kufugia kambale basi tungetandaza kapeti ya nylon kwenye bwawa na hivyo kutunza maji kwa 100%
@work24onme2 жыл бұрын
Hongera sana👏🏽👏🏽 Shamba linapendeza hadi raha. Kuanzia usafi, mpangilio, Afya ya migomba, etc!❤️this🙏🏽. Hii ni aina gani ya migomba?
@aje-farmsmashambayanayotem73922 жыл бұрын
Shukran sana, hii migomba ni aina ya FHIA 17. Inaweza kuliwa kama tunda ikiiva au inaweza kupikwa ikiwa mbichi.
@sixtusmmhozya658 Жыл бұрын
Mbegu beigan
@aje-farmsmashambayanayotem739210 ай бұрын
Plse WhatsApp 0757757968
@SarahtzWilliam2 жыл бұрын
toeni elimu mmefanyaje
@aje-farmsmashambayanayotem73922 жыл бұрын
Hello Sarah, tafadhali tazama video nyingine ili kuona kanuni tunazotumia kuanzia maandalizi ya shamba, upandaji ,utunzaji na uvunaji
@charlesgadi670217 күн бұрын
Bei ya mche mmoja ni bei gani? na je ni aina gani ndizi unazo mimi nahitaji mzuzu au mkono wa tembo na ndizi kisukari zile za kizamani
@aje-farmsmashambayanayotem739217 күн бұрын
Bei ni TZS 2,500 @ kwa kila aina ya ndizi. Gharama ya usafirishaji ni juu yako. Tutakupatia kitabu cha KILIMO CHA MIGOMBA ambacho utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp ya KILIMO CHA MIGOMBA ili uweze kuendelea kujifunza zaidi. Tafadhali SUSBCRIBE,like na share video hii ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi. Kwa mawasiliano zaidi tafadhali WhatsApp:0757 757 968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA.
@mrmvumo59592 жыл бұрын
mnamwagilia kwa njia gani?
@aje-farmsmashambayanayotem73922 жыл бұрын
Tunatumia ndoo /mitaro. Ukiwa shamba limefunikwa na nyasi za matandazo shina moja hutumia 100 kwa mwezi mmoja.